Тёмный

Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 916 тыс.
50% 1

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu.
Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao.
Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi.
Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka.
Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Опубликовано:

 

13 июн 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 431   
@gidiuskato7722
@gidiuskato7722 2 месяца назад
Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅
@edmundisospeter7837
@edmundisospeter7837 4 года назад
Kama sisi sio wanafiki tugonge like
@luckmanhuxtler8306
@luckmanhuxtler8306 3 года назад
Ee baba
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 9 месяцев назад
WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA
@chamlilemhando7478
@chamlilemhando7478 7 лет назад
viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 7 лет назад
Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo
@kitabwana9741
@kitabwana9741 5 лет назад
Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 года назад
Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 года назад
@@nyawawawanyawawa935 shoga wew
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 лет назад
Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly
@veronicazacharia2080
@veronicazacharia2080 7 лет назад
Nassor Said sure
@10th_Uncle_01
@10th_Uncle_01 6 лет назад
William Ruto
@rashidisadala9460
@rashidisadala9460 4 года назад
Kweli kabsaa
@rozinkinda1607
@rozinkinda1607 4 года назад
Mbona unaugovi na magufuri
@danieldaniel-lb2on
@danieldaniel-lb2on 4 года назад
Ndio,
@juliuskizito8929
@juliuskizito8929 7 лет назад
Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 лет назад
Ndiyoooo
@luluamri370
@luluamri370 4 года назад
Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio
@sanyamwita1853
@sanyamwita1853 3 года назад
lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa
@steamnature
@steamnature 3 года назад
@@luluamri370 Ndio hayo hayo
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 года назад
Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....
@selemanilila56
@selemanilila56 Год назад
.
@amosmerama3680
@amosmerama3680 4 года назад
I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele
@thomastarimo
@thomastarimo Год назад
Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 6 лет назад
Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Год назад
SEMA risu mwanasheriamkuuuu sioweee
@delebm543
@delebm543 7 лет назад
mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana
@mariagoletalex9439
@mariagoletalex9439 5 лет назад
Dele BM
@kelvinalex5644
@kelvinalex5644 7 лет назад
hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale
@tecnof1232
@tecnof1232 5 лет назад
Dadaktaa!
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 4 года назад
Kabisaa hakunaa
@husenijryahya5232
@husenijryahya5232 4 года назад
Haipingiki mkuu
@shanelisessoa6319
@shanelisessoa6319 4 года назад
Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
@edmundisospeter7837
@edmundisospeter7837 4 года назад
Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 5 лет назад
Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako ...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 года назад
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Год назад
Sio mlemavu wa akili kama wwe
@abdallahibrahim2264
@abdallahibrahim2264 6 лет назад
Yuko sawa lisu
@willeydavid2108
@willeydavid2108 3 года назад
We miss you TUNDU LISSU 😭😭
@renatusvedasto1201
@renatusvedasto1201 5 лет назад
tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu
@philimonambilikile6645
@philimonambilikile6645 2 года назад
Tutakupenda daima mungu akupe nguvu
@vanessagoodluck7176
@vanessagoodluck7176 5 лет назад
Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.
@hilaliissa5056
@hilaliissa5056 5 лет назад
Ki r0 .
@hilaliissa5056
@hilaliissa5056 5 лет назад
-
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 года назад
Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 года назад
@@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 года назад
@@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 года назад
Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????
@athuimansaidi6525
@athuimansaidi6525 4 года назад
Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 5 месяцев назад
Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 9 месяцев назад
MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 7 лет назад
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
@alinanusyemwatukambo7908
@alinanusyemwatukambo7908 5 лет назад
We we acha uwongo
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 года назад
Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 года назад
Dah MAGUFULI alimkosea huyu
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 года назад
Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 года назад
Hapo ni wapi amepingaa? Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.
@jocefstephen2475
@jocefstephen2475 3 года назад
mbona kama nimeskia "mfanyeni kiwete huyo!"
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 года назад
Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!! Wewe ni mkweli aiseeee!!!
@nasibumatutera786
@nasibumatutera786 2 года назад
Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 лет назад
Sure
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 года назад
We miss him
@allanothuman2941
@allanothuman2941 3 года назад
Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa
@jessykaelus1579
@jessykaelus1579 7 лет назад
Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.
@DanielDaniel-ey8th
@DanielDaniel-ey8th 7 лет назад
Message sent.
@meshackkwigize9848
@meshackkwigize9848 4 года назад
We miss you brother
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
@vicentmayanda3935
@vicentmayanda3935 4 года назад
lissu anajua sana my role modal
@kagombaEnok
@kagombaEnok 11 дней назад
Tundu Lissu ni chumaaaa
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 4 года назад
Rudi mwanaharakati...mchango wako ni mkubwa na mhimu ktk nchi...hii n nchi yetu ote
@silasfaiwelo4114
@silasfaiwelo4114 3 года назад
Hahaha gonga like kwa lisu
@user-xf6lk8of5j
@user-xf6lk8of5j 4 года назад
Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa
@israeleliah7163
@israeleliah7163 4 года назад
Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww
@badymedia9648
@badymedia9648 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@athuimansaid1369
@athuimansaid1369 3 года назад
Mungu ndoo anajua
@evancemosha7862
@evancemosha7862 7 лет назад
safi sana km list uno vizur
@bakariali4026
@bakariali4026 7 лет назад
mtakuja kumkumbuka uyo lisu kwani mushamzomea mara ngapi ,pamoja na zito mwisho munajishuku wenyewe?
@matumizitonny1841
@matumizitonny1841 5 лет назад
Kweli kabisa
@danielernest8588
@danielernest8588 3 года назад
Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 3 года назад
Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 года назад
Nikipitia hizi bunge kukuangalia rais lissu mtarajiwa naingiwa na imani sana utatuvusha salama na wewe ndio itakae kuwa rais wa wanyonge
@mtolomi
@mtolomi 4 года назад
Lissu the GOAT.
@MchotaOnline
@MchotaOnline 3 года назад
2020 LIKE HAPA
@jamesmedard5538
@jamesmedard5538 7 лет назад
Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 лет назад
Kweli mkuu
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 Год назад
i miss this stuff
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 3 года назад
Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima
@shanelisessoa6319
@shanelisessoa6319 3 года назад
Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU Na cccmmmmm RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE
@abednego3876
@abednego3876 3 года назад
Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.
@josephnjau9544
@josephnjau9544 7 лет назад
kweli aise
@athuimansaidi6525
@athuimansaidi6525 4 года назад
Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo
@abednego3876
@abednego3876 3 года назад
Huyu ndy mwakilishi mkazi wa Waizi wa madini na rasilimali Tanzania. Bwana Mashavu PUMBAV KWELI
@kherysalum638
@kherysalum638 5 лет назад
huyo ndo lusu
@hamisyahaya9504
@hamisyahaya9504 4 года назад
Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo
@jaksonjulius9010
@jaksonjulius9010 4 года назад
Genius Lissu
@jumaaaley7584
@jumaaaley7584 7 лет назад
Lisu ni bingwa wa mabashite
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 года назад
Vipi bado unamkubali? JPM kashinda au lah?
@RashidRashid-on4fh
@RashidRashid-on4fh 3 года назад
Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani
@ericklaizer1696
@ericklaizer1696 3 года назад
Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma
@consolatamaarufu6762
@consolatamaarufu6762 6 лет назад
jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 3 года назад
Tundu ni baba lao jamaa anajua kujenga hoja
@kelvinkiria7852
@kelvinkiria7852 4 года назад
Waeleze bb ukweli
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 года назад
Chuma kisicho shika kutu! Ee Jehovah mnusuru mja wako huyu na hila za mwanadamu asiependa ukweli.
@bakariali4026
@bakariali4026 7 лет назад
uyu jamaa ana akili nyingi ,,ujue simpendi uyu mbunge anaeomba taarifa kwanza sauti lake baya
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 лет назад
Big uko
@mwakapalamwakapala8317
@mwakapalamwakapala8317 9 месяцев назад
Hongera kwa ujasiri
@johnwenceslausmmbaga3917
@johnwenceslausmmbaga3917 4 года назад
Very good
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 3 года назад
Mbona tena leo anawatetea wezi
@moingety.kaleku8849
@moingety.kaleku8849 3 года назад
Amewatetea kwa lipi kaka
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 года назад
Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana
@bakariali4026
@bakariali4026 7 лет назад
katiba wanapitisha wao kisha wanazomea awa vp
@jamesharrison1553
@jamesharrison1553 4 года назад
We miss you
@jasminndalame3670
@jasminndalame3670 4 года назад
Lissu is the father of Tanzanian Pleiades Viva Lissu Viva.
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 года назад
Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana
@mbesinghabi1994
@mbesinghabi1994 Год назад
Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 4 года назад
Ukiona mpaka anashambuliwa basi ujue wameshindwa hoja... hoja za huyu jamaa zimekuwa zinawatesa....
@KilusuMigaro
@KilusuMigaro Год назад
Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu
@eliassingoi7565
@eliassingoi7565 2 года назад
Mashine ya kazi👏👏👏👏
@samsondecoman983
@samsondecoman983 5 лет назад
Uyu mwana ume niadhina ya taifaaa.
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 года назад
Duh
@temkezatv4381
@temkezatv4381 3 года назад
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@leonardmwita442
@leonardmwita442 4 года назад
Yap waambie kazi kuchukua posho tu
@HamisSondole-xz1ol
@HamisSondole-xz1ol 8 месяцев назад
Tundu lissu amesemaje leo
@mubarakanyamihasi881
@mubarakanyamihasi881 6 лет назад
wewe tundulisu unawatendea haki watanzania tumeelimika vya kutosha
@MatindeMatinde-mn8dc
@MatindeMatinde-mn8dc 2 месяца назад
Kweli
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 4 года назад
wanafiki wanaona aibuu sasa ...
@fortunatusphilimon8992
@fortunatusphilimon8992 2 года назад
Asante
@ndenimasawe7258
@ndenimasawe7258 2 года назад
Tundu namkubali san anaongea point
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Год назад
Shikamoo Lissu Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.
@paulowangoma4932
@paulowangoma4932 Год назад
The term Professorial Rubbish stands today. Wanajitetea kwenye kesi Leo hii wanasamea in 2013 we (Tanzania) were lenient to Investors. 😂
@jumachacha2731
@jumachacha2731 4 года назад
Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana
@afredyohana356
@afredyohana356 4 года назад
Mungu ametupa zawad
@this_is_joeh
@this_is_joeh 3 года назад
Sawa baba wape ukweli
@dickykagusu686
@dickykagusu686 3 года назад
Angekua ndugaiii
@user-yl3rp7gg5w
@user-yl3rp7gg5w 3 месяца назад
Nakuubari mh lisuu
@richardwamungu2268
@richardwamungu2268 4 года назад
Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi
@MatikoMichael
@MatikoMichael 4 месяца назад
Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 5 лет назад
Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Год назад
Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri
@lameckjohnlaizer4755
@lameckjohnlaizer4755 Год назад
siku hiyo ndio mashetani walienda kumpigia risasi. na mungu wetu alivyo mkuu leo yupo hi na wasalimu hatunao tena
Далее
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 12 млн
КАК Я ЭТО СДЕЛАЛА?
00:13
Просмотров 389 тыс.
BAJETI KUU 2017/18:Tundu Lissu amgusa JK
7:49
Просмотров 117 тыс.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Tundu Lissu alivyo fyatuka Bunge la Katiba
6:02
Просмотров 341 тыс.
Ouch.. 🤕
00:30
Просмотров 12 млн