We mpuuzi MWENYE ufinyu wa fikra Hujui kumiliki kwao timu ndio sabab ya wewe kukamuliwa Kwa KODI na TOZO kuongezewa kila wanapojisikia ! Kusoma hujui je hata picha huoni ?
Haihitaji Elimu ya chuo kikuu, mtu wa kawaida huwezi kumiliki timu ni gharama sana inahitaji fedha ya kutosha. Usajiri tu ni hatari ndugu, Ihefu wapo mapro wengi kwa mwezi sio chini ya Miloni 100 na zaidi.
Watanzania wanechoka ccm,leteni Sera zinazomgusa mwananchi dola mnaipata bila shida,fenyeni tafiti za kisiasa na mwelekeo wa upepo wa kisiasa,punguzeni matusi wapeni nafasi wanchi kusema wale wanayohitaji hakika mtaibuka kidedea
Kwakweli waafrica tunafanana, tatizo sio ccm, ni utayari wa viongoz waliopo madarakani, mbona nchi nyingi za africa zinapokezana zam ktk uongo lakin hakuna mabadiliko chanya!!.
oja ya msingi pesa wa mezitoa wapi ya kumiliki timu viongozi wa sele kali au auja muwe lewa miliki timu kama una weza mmiliki kocha uchebe uwone zinduka wewe
@@mzeebabumzee Vilaza kama hawa ndo wamejaa KIBAO hawana wanalolijua juu ya mustakabali wao wa maisha Afu wengi wao ndo walalaHoi, yaani wana tuchelewesha kinoma ! Hajui kama yeye mpiga Kura ana haki ZAKE za msingi inabidi azipate kupitia viongozi hawo wa serikali ndio maana kipindi cha uchaguzi anafuatwa kuombwa kura akiahidiwa aahadi KIBAO atafanyiwa. Lkn baada ya kuwapa Kura yake AHADI hizo zinaota mbawa anachoambulia ni ONGEZEKO la TOZO na KODI kila uchao !!!
Huyo Mwingulu alitumbuliwa na Mwendazake kwa mambo hayo hayo ya mpira na ushabiki wake ulopitiliza kwa Yanga. Kwanza akamuonya ,chagua moja kati ya mawili ! Aidha chagua ushabiki wako wa mpira Au fanya kazi ya serikali kwa kuwatumikia wananchi Akaendelea kushupaza shingo ... 😅😅😅