Тёмный
No video :(

TWAHA KIDUKU AMALIZA UTATA KUPIGANA na MWAKINYO, SAKATA la DULLA MBABE - "UTAKUJA KUFIA ULINGONI" 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

TWAHA KIDUKU AMALIZA UTATA KUPIGANA na MWAKINYO, SAKATA la DULLA MBABE - "UTAKUJA KUFIA ULINGONI"
BONDIA Twaha Kiduku baada ya kupoteza pambano lake mkoani Mwanza amerudi tena na anatarajia kupanda ulingoni Desemba 26, 2023 dhidi ya Mohamed Sebyala katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar.

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 8 месяцев назад
Inabidi tuwaandae washabiki wetu kujikumbusha mara kwa mara juu ya Tanzania kwanza.kumekua na mtindo mgeni akionyesha upinzani kidogo hata kama kapigwa dhahiri washabiki wetu akitangazwa mwenetu utasikia bondia wetu kabebwa.na mgeni akipigwa KO wanasema bondia wetu kaletewa kiazi.Tumefika mahali tuna maradhi ya ajabu yakuwaombea nakufurahia wageni washinde.Champion Alimkosea kidogo sana yule bishoo kwa kumruhusu achezee nje sana.Amemaliza kishujaa sana fight yake.Marefa walipotangaza mshindi alipokea matokeo bila kinyongo hakika yeye ni jasiri sana na mwenye tabia njema ndani na nje ya ulingo.Inapasa kumpa moyo nakutokariri kupoteza kwake.Badala yake tumuonyeshe kua anaweza na nihakika kua anaweza.Mola awe nawe champion na azibariki juhudi zako zote
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 8 месяцев назад
Kauli thabiti Twaha big up sana
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 8 месяцев назад
Mwakinyo nambari moja tz Hadi afrika
@hamisimshamu8968
@hamisimshamu8968 8 месяцев назад
Unaweza siku ukenda kufa kwenye Ring 😂😂
@kismatinational8270
@kismatinational8270 8 месяцев назад
Mshikaji Twaha yuko poa sana ❤
@ramadhanihamadi6304
@ramadhanihamadi6304 8 месяцев назад
Nilikua namchukia huyu mwamba kimihemko lakini kumbe hana shda na mtu
@Gwax-hm3jl
@Gwax-hm3jl 8 месяцев назад
Wellsaid KIDUKU👊👊
@mokitaa8750
@mokitaa8750 8 месяцев назад
twaha kajibu vizuri anaenesha ukomavu wa akili alafu haoneshi kinyongo hii safi ata mwenye kinyongo nae atakunjua na mabondio wajefunze kwa twaha na ata akipigwa ajali anarelax na watu wake ... MWAKINYO WE NIWA NYUMBANI LAKINI SAMTIME UNASHINDWA KUJI KONTRO KWENYE MANENO JIREKEBISHE MWAMBA UNAJUA FANYA KWELI KAMA FADHILI MAJIHA
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 месяцев назад
Tunduma tupo kujenga mnara wako Twaha kiduku##heshima kwako brother Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwako ##
@adilhabib8988
@adilhabib8988 8 месяцев назад
Twaha mm nakukubaliii
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 8 месяцев назад
Safi sana broo
@RachaelJackson-xy7ct
@RachaelJackson-xy7ct 8 месяцев назад
Twaha kiduku hata apigwe miaka miaa Mimi namkubari na ndio bondia wangu namba mojaaa duniani hapa
@yousufyousuf5963
@yousufyousuf5963 8 месяцев назад
Twaha tunakupenda sana lakin ungana na mwakinyo usonge mbele acha kusikiza maneno ya watu nenda chukuwa trending bro mwakinyo nimzur kwa tanzina tuwache ubishi
@user-hv6qw2zw2y
@user-hv6qw2zw2y 8 месяцев назад
Acha ujinga atubembekezi vichwa PANZI 😮
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 8 месяцев назад
umeonge kwel kabisa mwakinyo yupo vizuri sana
@yousufyousuf5963
@yousufyousuf5963 8 месяцев назад
Wasikushonganishe ukapoteza kipaj chako bro
@kazumarihamisilikumbato9213
@kazumarihamisilikumbato9213 8 месяцев назад
Waandishi wa habari mbona mnakuwa mahayawani hivi mnaanza tena kumchonganisha mabondia mwanzo mlianza hivihivi kumuhoji Twaha kiduku kwa maswali ya uchonganishi bila twaha kujijua kuwa anachonganishwa akaingia kichwakichwa Mwakinyo kavumilia sana hadi kachoka kaanza kujibu wakaanza kumshambulia mabondia wengi alivyokuwa anajibu mashambulizi watu wakaanza kumuona mbaya yeye bila kuangalia nani kaanza. Ushauri; Waandishi wa habari kuweni na uweledi wa kazi zenu musiwe vyanzo au sehemu ya ugomvi na mifarakano katika jamii, hii haileti taswira nzuri katika tasinia yenu ya uwanahabari, mnatakiwa kuwa wapatanishi na wajenzi katika jamii na sio wabomozi, Kwa upande wamabondia, mnatakiwa muwe makini na hawa wanahabari uchwara wasiojitambua nini wanafanya dhidi ya maswali yao, msikurupuke kujibu tu bila kuangalia madhara ya swali hilo pamoja na jibu lake, mkifanikiwa kufanya hivyo mtajikuta mnajenga umoja ndani ya tasinia yenu ya ngumi na hatimae kuwa ni mchezo pendwa ndani ya jamii na ninyi kujikuta mnafika mbali sana kimafanikio. Ahsante.
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr 8 месяцев назад
Tatizo ni mwanahabari alaf mshabiki hilo tatizo
@yousufyousuf5963
@yousufyousuf5963 8 месяцев назад
Mwakinyo ni bondia acha ukuma wew utafananiza na wesenge
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 8 месяцев назад
mbona matus
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr 8 месяцев назад
Mtangazaji huyu hana weled wakuhoji unahoji kama mshabiki,bro unapohoji simama kuhoji sio km mshabiki
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 8 месяцев назад
Mwakinyo amefungiwa
@paschalemiri9944
@paschalemiri9944 8 месяцев назад
Nyie nini acheni mambo hyo champen ndino amemtoa twaha shamba la bibi taifa hyo we unaweza kupigana na baba yko
@mohamedally-cu8si
@mohamedally-cu8si 8 месяцев назад
We kuma usiongee tena ukuma km huuu
@midompemba9647
@midompemba9647 8 месяцев назад
Bondia mwepesi tu yule labda we mwenyewe ujichenge
@shehanimzee9953
@shehanimzee9953 8 месяцев назад
Twaha kupigana hujui bhana hata Mimi nataka pambano na ww
@adilhabib8988
@adilhabib8988 8 месяцев назад
Mtu akipigwa wacha apigwee tuuu
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr 8 месяцев назад
Mtangazaji huyu hana weled wakuhoji unahoji kama mshabiki,bro unapohoji simama kuhoji sio km mshabiki
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 8 месяцев назад
Unahekima usiwe Kama mfaume
Далее
The Fan’s Fang Skin🔥 | Brawl Stars Sneak Peek
00:16
WELCOME TO THE FAMILY, MOE! (Brawl Stars Animation)
00:40
Mwakinyo yupo tayari kuzipiga na Twaha Kiduku
4:11
Просмотров 7 тыс.
The Fan’s Fang Skin🔥 | Brawl Stars Sneak Peek
00:16