Тёмный

IBRA CLASS: AFUNGUKA SAKATA LA HASSAN MWAKINYO | SIKIA MAONI YAKE. 

Ayoma Media
Подписаться 255 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@subetizaid6515
@subetizaid6515 11 месяцев назад
Safi sana ibra uko vizuri hauna maneno yakishamba uko vizuri broo
@stamilimakurunge9305
@stamilimakurunge9305 11 месяцев назад
Jamaaa unajielewa tofauti n yule mrembo wenu mfaume mfaume
@naimabdul1231
@naimabdul1231 11 месяцев назад
Ibrahim unajielewa sana nakukubali sana mdogo wangu ndugu yako mwakinyo anazingatia sana misimamo yake mujielewe sana ndugu zangu mufike mbali, mola awe nanyi forever
@kaluluu2011
@kaluluu2011 11 месяцев назад
Mwakinyo ana misimamo ya visa vya kuporwa mwanamke analeta kwenye kazi ....mbuzi uyo muoga muuza mech uyo mwakinyo tumemzoea ..anataka udalali anataka na PESA za mchezo pia alipwe .mwizi uyo mwakinyo kazoea PESA za bureee
@allykarupa1411
@allykarupa1411 10 месяцев назад
Dogo upovizuri mungu hakufikishembali
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 11 месяцев назад
Kwa kifupi Mwakinyo kakataa matapeli namuunga mkono
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 11 месяцев назад
Oya paf promotion si anaifaham vyem sana mwakinyo na aliisifia sana na kujiaminisha kwa analysis aloifany sasa imekuaje ?
@AmosSniper
@AmosSniper 11 месяцев назад
Class unaongea vzr, ww nibondia mwenye akili yakujielewa achana nayule nyani mfume anaeongeaga kichokochoko
@NajibuIbrahimu
@NajibuIbrahimu 11 месяцев назад
Hata mwakinyo anaongea kichokochoko
@user-zy2vg6kl1s
@user-zy2vg6kl1s 11 месяцев назад
Ili ufanikiwe kwenye tasnia yoyote ya kisasa lazima ujitengenezee jina zuri,Huyo Dogo Ibra nick name yake ni CLASS hivyo Kuna sehemu amesha jiweka yeye ni WA daraja flani.Tukija kwa Hassan Mwakinyo tayari ana majina mazuri mfano COLORADO KING,CHAMPEZ1 TIME na nk.Sasa wewe angalia yule Boya wa Mabibo eti ana jiita MAPAFU YA MBWA,sasa wewe ushajiita MBWA basi lazima uwe MBWA MBWA tu
@kenedyndunguru9068
@kenedyndunguru9068 11 месяцев назад
😂😂😂
@mgorakatembo2642
@mgorakatembo2642 11 месяцев назад
Mfaume haijielewi ninyani kweli wengi wetu hatumpendi anazingua sana
@mgorakatembo2642
@mgorakatembo2642 11 месяцев назад
Nakuelewa sana ibla Class na tunakupenda watanzania wengi anae kusema vibaya wewe ujuwe nimkimbizi sio mtanzania
@user-dd1uw9qw2t
@user-dd1uw9qw2t 11 месяцев назад
Mabondia mjifunze kwa mwakinyo kua na misimamo ktk maisha ya ngumi sio mpande 2 ulingoni kwa ajili ya kuwafulaisha mashabiki na kuwatajilisha mapromota kama hao alio wakataa mwakinyo pandisheni ngumi za tz ziende mbali zaidi .
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 11 месяцев назад
Ndugu, sio kila misumamo n mzuri, misimamo mengne inaweza kudistroy küla kitu!
@user-kf1kf2gs4y
@user-kf1kf2gs4y 11 месяцев назад
Daaaah kumbe wajinga ni wengi hii nchi kwa hapo msimamo wa mwakinyo unaweza pandisha Boxing Tz kiaje
@FRESHNEWS171
@FRESHNEWS171 11 месяцев назад
Kakataa kupigana kwasababu ya ugomvi wake binafsi na baadhi ya watu..sasa ugomvi wake unamuusu nini promota😂 watu wanatafuta hela piga pesa baada ya apo endeleeni na ugomvi wenu
@adammalima3408
@adammalima3408 11 месяцев назад
Leo umeongea vizuri sana
@makupejafar1771
@makupejafar1771 10 месяцев назад
Yupo pamoja ibra
@fredprosper4883
@fredprosper4883 7 месяцев назад
on point
@ashrafurwegoshora4227
@ashrafurwegoshora4227 11 месяцев назад
Kipajinchako ndo kinafanya mapromoter wakufate,mwakinyo amejitafuta ana haki ya kufanya anachoona ni sahihi,mwakinyo uko sawaa kabisa
@ananiaszinns7324
@ananiaszinns7324 11 месяцев назад
Ila inaomesha pia kuna ubabaishaji baadhi ya maplomota
@user-zy2vg6kl1s
@user-zy2vg6kl1s 11 месяцев назад
zuri,Huyo Dogo Ibra nick name yake ni CLASS hivyo Kuna sehemu amesha jiweka yeye ni WA daraja flani.Tukija kwa Hassan Mwakinyo tayari ana majina mazuri mfano COLORADO KING,CHAMPEZ1 TIME na nk.Sasa wewe angalia yule Boya wa Mabibo eti ana jiita MAPAFU YA MBWA,sasa wewe ushajiita MBWA basi lazima uwe MBWA MBWA tu
@fj8317
@fj8317 11 месяцев назад
yule sio bondia yule ni mzee wa promo hana fight kubwa hata mmoja
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 11 месяцев назад
Hapo ata yule Mmalawi nadhan kulikua na mvutano wa malipo maana alitumia zaid ya dakika 40 kupanda ulingoni akiwa tayal kashaaitwa nadhan kulikua na ubabaishaj
@mgorakatembo2642
@mgorakatembo2642 11 месяцев назад
❤❤Class
@husseinkassimu4904
@husseinkassimu4904 11 месяцев назад
TANZANIA mm nawakubal Hasan mwakinyo na lbrahimu class mawe ni waungwana sana wengine ni waripokaji tyu
@sirizawa3360
@sirizawa3360 11 месяцев назад
Ibrahim kweli chanzo hukijui champion au umejisahaulisha
@abubakarathumani7404
@abubakarathumani7404 11 месяцев назад
Nice talking
@MussaMohamed-pd7pq
@MussaMohamed-pd7pq 11 месяцев назад
Saluti sana mawe uko vzl
@saidramadhan71
@saidramadhan71 11 месяцев назад
Hassan yupo sawa
@user-mt1ep9eu4e
@user-mt1ep9eu4e 11 месяцев назад
nadhan ibra wadau wamekufata kukwambia ubadilike interview zako zisiwe zakiswaz, manawe ndo mrithi wamakinyo, make sure hukai kindez ndez...be a professional as ur bro mwaki...mfaume ana wivu tu na wengineo
@hamisiyangakozwe147
@hamisiyangakozwe147 11 месяцев назад
Kaka kaongea vizuri san sio hao wengine wana wivu na champez
@issabilal4109
@issabilal4109 11 месяцев назад
Mwakinyo ni akili kubwa sio nyie huo ni upuuzi mnazulumiwa kupigana mkataba uwe wazi
@chidybwax8080
@chidybwax8080 11 месяцев назад
Ww cheza bure kesho uumwe uanze kutuomba mchango fanya kazi kwa malipo acha maneno utufurahishe yann lipwa hela kwanz
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 11 месяцев назад
Ugomvi wa nyumbani usiulete kazini kwako sawa! Je ugomvi wa nyumbani ukiukuta kazini kwako😂 hii ipo ivi! umetoka kwako umelumbana na mkeo au unaenda kazini promota anakuchukulia mkeo😂 kinyo akili kubwa dogo
@josephatmakaranga
@josephatmakaranga 11 месяцев назад
Asee umeongea point sana waropokaji wengi hawafikiriagi
@mickdady2050
@mickdady2050 11 месяцев назад
Kuna watu wanamkubal Ibra alichosema alaf wanasema mwakinyo anamsimamo huo sio maimamo hauwez kuelewana na kila mtu kama umechukua hela pigana izo tofaut zenu zitabak ivyo ivyo aaaache utoto na kutaka kutetewa na mashabik
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 11 месяцев назад
Akigoma meakinyo mnawapa wengine pambano c mabondia wapo wengi tanzania c muwape hizo fedha zenu za pilipili hoho mwakinyo hashuki ndo anapanda chart
@HASHIM-rt4mf
@HASHIM-rt4mf 11 месяцев назад
Hawa ndio machampez wanaongea point
@user-hx6cv3so7b
@user-hx6cv3so7b 11 месяцев назад
Mm namkubal mwakinyo kunashida hawez kataatu
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz 11 месяцев назад
Pesa kwanza kupigana bila pesa duuuu
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 11 месяцев назад
Salam zangu kutoka USA marekani inauma Sana nduguzagu what wrong home land Tanzania
@ramadhanirashidi4175
@ramadhanirashidi4175 11 месяцев назад
Nime kuelewa huja tia unafk umejibu kama inavyo takiwa maana mwakinyo Sy kichaa ana jua nini ana fanya
@erickzephania1030
@erickzephania1030 11 месяцев назад
Mapromota ni matapeli alichokifanya Mwakinyo ni kuonyesha misimamo
@MaalimShabani
@MaalimShabani 11 месяцев назад
Dogo inaonekana unaoigana kwa kupata hela yakula ila huna malengo ilà huyu mwakinyo ata wapa mafaniikio badae
@user-kf6ih5kk8v
@user-kf6ih5kk8v 11 месяцев назад
Mabondia wa bongo muache tamaa w iblahim maslai muim mtakufa ulingon
@mohamediabdalah7650
@mohamediabdalah7650 11 месяцев назад
Ihizi ngumi kila uchwao zina pungua nguvu mwishowake zitakufa kabisa .majungu! +Mapromotor= hamnakitu
@BahatiMolle-sv8hg
@BahatiMolle-sv8hg 11 месяцев назад
Mwokinyo sjafanya feya ametufelisha mashabiki
@ikramzamando810
@ikramzamando810 11 месяцев назад
Umefeli pekeako Kama vpi kapigane ww
@MohammedMashaka-wk6yd
@MohammedMashaka-wk6yd 11 месяцев назад
Bongo matapeli kibao
@Is-hakaRashid-il5er
@Is-hakaRashid-il5er 11 месяцев назад
Kakataaa matapeli
@user-iu1dt1xg3k
@user-iu1dt1xg3k 11 месяцев назад
😢hawa mapromota hawana hela wanasubiri wakusanye hela getini washama ndomana mkenya kakimbuaa
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 11 месяцев назад
Karigo anasem.mwakinyo hadai hata.mia kwa maana washamlipa na je yy alikuw hajaijua paf promotion?
@ricklandennis
@ricklandennis 11 месяцев назад
Huyo karigo tapeli tu ukimsikiliza maneno yake, mabondia wengi maisha yao magumu angalia hata gym zao na mapromota washazoe kuwaburuza km ng'ombe ujanja ujanja mwingi
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 11 месяцев назад
Kama Mwakinyo asipofungua kesi dhidi ya hao mapromota anaowaita Ni matapeli.Kesi dhidi ya kutumia Jina lake kuwashawishi watu kununua tiketi.Basi Hapo maana yake yeye na Promoter Lao Ni moja tu.
@kaluluu2011
@kaluluu2011 11 месяцев назад
Mwakinyo ni tapta muuza mech
@hassanhamad263
@hassanhamad263 11 месяцев назад
Hasan sababu nyingi ata pambano la uengereza alisema viatu... naon n mjamja mjanja
@ahmadichumbueni6261
@ahmadichumbueni6261 11 месяцев назад
Mfaume Kuma tuu
@user-lq4sm1nr2o
@user-lq4sm1nr2o 11 месяцев назад
Hasani sio mjinga kukataa razima kunashida
@ikramzamando810
@ikramzamando810 11 месяцев назад
Ñikweli uyu mfaume anae vimba mashavu Kama paka shume ni fala Sana muimba mipasho wa mabibo
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 11 месяцев назад
Mwakinyo kaogopa
@shabanisalimu7391
@shabanisalimu7391 11 месяцев назад
Aka kademu nakaelewa aka sema nikabaya😂 ila napenda saut yake
@madibasenior412
@madibasenior412 11 месяцев назад
Acha tamaa sasa
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 11 месяцев назад
katik wanaume wapumbavu wew namba 1 ambao astaili kuwepo katika jamii unamwitaje mwanaume demu fyuuu sura mbaya km ngozi ya tako lako
@shabanisalimu7391
@shabanisalimu7391 10 месяцев назад
@@lightnessabdallah2340 uyo ayoma media ndo nasema
@MudhiryHassan-pq4se
@MudhiryHassan-pq4se 11 месяцев назад
Sema jamaa ni muungwana sana
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 11 месяцев назад
Nmecheka ulıongea kitu kinachompendeza shabiki wa mtu, Unaambiwa una AKILI Ukisema ukweli juu ya bondıa, machawa wake wanakutukana! This is nonsense
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 11 месяцев назад
𝑴𝑯 𝑴𝑴 𝑴𝑨𝑷𝑰𝑻𝑰𝑨 𝑪𝑶𝑴𝑬𝑵𝑻𝒀
@PaulMchopa
@PaulMchopa 11 месяцев назад
Mwakinyo,,Ashitakiwe tu,,,,Msumbufu sana ,,anajiona sana
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 11 месяцев назад
Classic unajitambua achana na mfaume fara huyo ninyi si vitega uchumi kwa kunufausha wengine promota munataka asemeje kama si kujikinga tu mtaelewa simamieni maslahi yenu badala ya mabindia kujitetea munamkandamiza mwenzenu wakati anaonewa
Далее
НЕ ИГРАЙ В ЭТУ ИГРУ! 😂 #Shorts
00:28
Просмотров 194 тыс.
NYIE NYIE MSIKIENI AHAMEDY ALLY ALIVYO FUNGUA PRESS
11:46
KIZAZI CHA HAMDALA KIUNO: |EP 42|
8:02
Просмотров 10 тыс.
He didn’t believe this
0:14
Просмотров 23 млн
신박하게 송판깨는 태권도 천재 아이
0:59