Tushazoea Kuona Mnafanya Uonevu Kwa Wanyonge Na Hii Ndio Kawaida Yenu Lkn Kumbuken Kuwa Dunia Ni Njia Tu Yapo Maisha Ya Milele Uko Ndio Ukwel Utabainika
ujenzi wa flyover ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa na kuendesha nchi kwa mihemko. Flyover haziingizi hata shilingi kwa serikali , kwanini zisitumike hizo pesa kwenye uwekezaji wenye tija. Kama tunasena dira yetu uchumi kwa buluu kwanini serikali isitumie hizo pesa kununulia meli za uvuvi na kuacha kutegemea viboti ambazo hata watu kumi hawawezi kupanda pamoja
Safi sana kwa hapa nawapongeza sana ule uamy unatakiwa uishe zanzibar kama mtu kajenga kwenye eneo la Barabara anapaswa aondoke tu kama hataki serikali iwabomolee No Pain No gain safi sana
Bara bara zitasaidia sana kurahisisha harakati za maisha ya kila siku. Naomba plan B ya Serikali kusaidia wana Nchi walo wengi kimaisha hasa jwa upande wa chakula, elimu na afya.
Anzeni kujenga njia za chini. Na mujue kuwa watu walijenga nyumba kabla ww hujazaliwa uje ujenge bara bara kisha usiwalipe ndio vipi. Jengeni njia za uhakika za chini munajenga njia baada ya mwaka njia mbovu.
Dhana ya utawala bora nikua serikali nibudi ijali wananchi wake japo fidia ndogo akaanzie maisha mapya sbb umasikini wa raiya unarudia serikali .sasa wewe unatamka haya sbb upo ktk system ukiondoka utajua hujui
Hamna utanuzi mmoja wa bara bara, mshakata miti tayari ila naona ao wanotengeza barabara kiembe samaki, njia ya kwa mchina mnapita mule mule mwa zamani
Serikali muliangalie la wananchi kwasasa hali ni ngumu ni vyema mkashauri tena kuhusu fidia walau nusu yake kuliko kutowapa kabisa hali ni ngumu kwa wananchi wenu
Izo barabara za juu mnajenga sawa shwihab, lakini tatizo lenu za chini zote mbovu barabara za mjini zimezidi, na mataa ya barabarani biziredi huu mwaka tena haziwaki ukiangalia watu wanalipa kodi pesa halmashauri wanakusanya lakini aaah ovyooo
lugha yako ni mbaya mbovu sana kama kiongozi. muna midomo michafu kwasababu yakiburi cha uongozi wamepita wengi nanyi mtapita hesabu yenu mtaikuta akhera
Hiyo ndio haki mtengeneze bara bara za Unguja zaidi ya 20 Pemba mtengeneze bara bara 3 tu?.. Wa Pemba wakisema mnawatenga kimaendeleo inakuwa nongwa ila kwa mwenendo huo ni haki kuzichukia serikali zote mbili wa Pemba wamechoka na huu Usaniii wa mkoloni mweusi.
Kweli kabisaa njia no.1 ni mtihani ile barabara ya bububu kwenda shamba magari ni.mengi mno kwakweli inshaallah allah awafanyie wepesi waongeze njia zaifi ya moja ikiwezekana kama nafasi hakuna wajenge na barabara zanjuu
Nimependa alivyo jibu swali kua, ikiwa watagundua wamemkuta mwananchi kisheria anayo haki ya kulipwa fidia watamlipa. Ni kweli jamani tumekua tukijinga bila kufata taratibu
Flyover za nini wananchi wananuka njaa? makodi ya kuuwa wafanya biashara na wananchi? nyinyi mnapita na misafara ya magari 100 na kila gari ni V8. Hayo mafuta na maposho mnatoa mifukoni mwenu? pesa zote zinaenda kwenye kuwaendesha nyinyi viongozi na familia zenu
Fidia mtatoa tu mana tuna vibali vya ujenzi vya mamlaka husika na mlikua wapi mpaka tukajenga na sasa mbomoe tutatumia ile sheria ya ardhi ya miaka 12 bila zuio mtatoa fidia wewe hujui sheria ndo mana unaongea tu ila sheria za kutulinda zipo
@@mudighurayra ww inaonekana unapenda kuongopewa kuzubaishwa akili yako za chini hazipo flyover au madaraja ya kuvuukia tu ushawahi kupita kwenye flyover? Wapi? Nope jibu?
@@omarissamashaallahpresiden2920 kabla kufika uko angalia uzur comment yake huyo angalia vzr na yngu angalia vzur na kitu unacho kiongelea alaf nitakujibu wapi nlisha tembea na kwa ushahidi gani