Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Jasiri aliyedhubutu na kutekeleza vingi, mzalendo wa kweli DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hata kama amekufa anastahili kupewa hongera zake.
Mbeba maono ni Julius kambalage Nyerere na mkamilishaji ni John pombe magufuri usitupotoshe tunaijua historia rest in peace baba JPM rest in peace JK Nyerere hakika mtaishi
Mpoto huwa nakuamini sana kwa mashairi yako. Ila kwa hapa umepungua na umepwaya sana. Huwezi niambia kwa namna ulivyomtambua JPM kwa ufinyu sana kiasi hicho kwamba umejisahau, si kweli; ila hizo ni njama, na mmekusudia kudhoofisha na kuhujumu juhudi za mzalendo wa kweli JPM. MPOTO your not fare. Na tuwaambie ukweli tu. Mbinu zenu hizo mjue tu kwamba mmefeli. Kimsingi Ilipaswa ujikite sana kwa JPM. Lakini kwasababu hata unafki ni Sanaa pia hakuna shida. Ila ikumbukwe kwamba hata mfanye Hila kiasi gani juu ya DR. JPM fahamuni kwamba, picha ya JPM Hamwezi kuifuta mioyoni mwa WATANZANIA. Tunatambua vema sana History na juhudi za BABA WA TIFA MWALIMU JK. NYRERE, na nguvu kubwa ya JPM kuhusu IKULU YA CHAMWINO DODOMA. R.I.P JPM.
@@bahatimalundi3593 Watanzania tunaijua historia ya Magufuli vizuri zaidi kuliko huyo unayetuaminisha kuwa anamjua . Magufuli ametawala tukiwepo . Tuliona kwa macho na kusikia kwa Masikio mawili tuliyopewa na Mungu hivyo hakuna tusichokifahamu kuhusu JPM. Hatukuhadithiwa kuhusu utawala wake kama ambavyo wengi tumekuwa tukisimuliwa kuhusu utawala wa Baba wa Taifa na wasaidizi wake kama akina Sokoine na Kawawa na Wengineo wengi, bali utawala wa Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli Mwamba toka Rubambangwe Chato Geita Tz tuliuona kwa macho yetu mawili. Have I paralyzed you ?
Wakimsimamisha mzee Mwinyi hapo atasema ukweli huwa anasema kila wakati WENGINE TULISHINDWA MAGUFULI ALIWEZA🤣 ila haina shida mama anafuata nyayo za Magufuli.
Mpoto sifa umewazidishia waliopo hapo wote tunatambua nguvu Alioitumia magufuli paka ikulu imekamilika hiyo magufuli jembe hata usipo ongea wanakutazama watu na ukweli wa kazi za magufuli ukiimba katika mioyo ya Watanzania kwasababu ulijua unaimba kwania Gani Hauna makosa Mungu Aendelee kumupumnzisha mahari pema peponi Amina
Mrisho Mpoto,ww ni Zaidi ya msanii,unajua historia ya ikulu ya Chamwino Kwa upana Sana!,uwasilishaji wako wa ujumbe Kwa njia ya mashairi,mantiki ya kisintaksia,sauti ya kiutawala iliyojaa katika maneno na sura Yako vinakutofautisha na wasanii wetu wengi wa kizazi kipya in short watu wote makini hawachoki kukusikiliza!. You're so talented brother! .
Acha uongo aliyeanzisha kujenga sio Samia ni magufuli Amina Hana lolote ndio maana unasema mkamilishaji, je, mwanzilishi ninani? JPM mwamba, jiwe kweli.
Haki huwa haifichiki ila huwa inachelewa. Kamanda alishatenda ss hayupo. Ni ujasiri wake na uthubutu wake aliamua kusema serikali lazima ihamie makao makuu ya nchi kongole magufuli pumzika kwa amani Kamanda wangu. Nchi uliyoiacha baba saivi ipo ipo tyuuu maskini hatutambuliwi tena wanaotambuliwa kwass ni wale waliomalizaga madaraka. Tutakukumbuka milele na milele MAGUFULI
Mbona awa viongozi wamekaa Kama wachawi ata tabasamu hakuna mmechukia Sana kwenda Cha mwino hacheni uchawi Sisi sote watanzania.Mrisho Mpoto kamsifia Kila mtu John katajwa tu ajasifiwa Wala Nini.Maana mmenuna Kama kamati ya roho mbaya au wasagasumu.
Magufuli Mungu akuweke lakini hongela mama Samia Rais wetu tunakupenda Mungu amekuamini wewe utuongoze kwenye nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿♥️🥰 pia Mungu amuweke zaidi kikwete ♥️🥰 nawapenda Mungu amewapa ufalme kama alivyo penda Kila mtu ameongoza vyema kwa maono Samia Raisi wangu ataongoza kutokana na Mungu anavyo muongoza ataongoza tofauti na Mungu 🇹🇿 watu muelewe msitukane asila ya Mungu lsije lkawaka lkawaka juu yenu
Huyu kaka kama chiziiiiiiiiii, Asante mwambien I nyie mnayeenda chooni kwaajili yake, sie akah sisi tunajuwa tu MAGUFULI jembe na lililima kweli yeye ndio aliyejenga ikulu, mama yenu kafanya kufanya finishing tu msituletee ududu washa basi nachukiaaaaaa
Binadamu ni KIUMBE MBAYA SANA KWA KWELI. Makubwa: Dhambi nyingine huwa ni za mauti, na huwa hazisameheki kama hii ya kumright OFF Magu on this project ambayo hata Mwalimu mwenyewe hakuweza kufanya. God is good, all the time. AND, All the time.. God is good🙏🙏🙏🙏RIP-JPM... Amen🙏
Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia Mungu wetu sote
Hata mumfiche vipi lakini kila mtu anatambuwa bila Jembe mpaka leo hapo pasingekuwa na lolote pia hata lile bwawa la umeme lisingejengwa RIP Magufili pumzika kwa amani😢
Sijui kama hawa watu hawaoni huku mitaani jinsi raia wanavyo mkubali na kujua wazi juhudi za JPM,yaani wanampotezea hivi na kumwaga sifa kwa walio hai zaidi,kama kujitafutia sifa za uteuzi au kukaa salama,,,jamani sifa za uthubutu wa hiyo Ikulu hata kama ilianzia kwa JKN lakini JPM ndo amefanya muwe hapo. RIP John
Watu wanaweza kukuamini ila mwisho wa siku njaa zikakuharibia yani JPM ambaye alitakiwa kupewa sifa zote na nyingi leo mpoto unatuangusha mchana kweupe kabisa.
#Nasemajee #Magufuliii Oyeeeee #Nyie Wasanii Wanafiki Acheni Kumjengea Mama Chuki Kwa Watanzania Wanao mpenda Magufulii #Mama Unachonganishwa #Ikulu Chamwino Wanasifiwa Wasio Husika Moja Kwa Moja Kuliko Muhusika Mkuu Namba Moja #Jembe / #Magufuli #Kwanini #Kwasababu Gani #KwaFaida Ya Nani #Mama Achana Na Machawa #Credibility Yako Mtaani Ni Miradi Mliyoanzisha Na Mwenda Zake Hapo Ndo Kura Zako Ziliko Hata Usifanya Campaingn
leo hii mnaimba ikulu ya chamwino ni baada ya mwamba mwendazake kuamua tekeleza kauli ya mw nyerere miaka kedekede iliyo pita wamepita maraisi wangapi na hawakua na ujasiri na uthubutu wa kusema serikali ihamie dodoma? ila ndani ya nchi hii mwamba ni mmoja tu aliekua na moyo na mapenzi ya dhati na nchi yake (RIP) wengine wote waliobaki wanajali maslahi yao kwa asilimia kubwa kuliko maslahi ya raia. tanzania is the best country lakini viongozi wake changamoto hasa kipindi hiki cha mama yetu. allah atupe subira watanzania maana hilili nalo litapita INSHAALLAH.
Nimesikiliza comment zenu SN humu lkn siwaelew mnamtukana mpoto kosa lake Nini na mjue katika kila kiongoz kashiriki kuijenga dodoma na kawataja viongozi wote Sasa mnapofikia mnamtukana kosa lake nn tuwe na HEKIMA
Unafiki tu umetawala hapo yaani mmesahau mara hii ni nani aliyeipangania hiyo ikulu hapo lah ubinadamu kazi endelea kupumzuka kwa amani baba yetu JPM .wanafiki wanazidi kuongezeka uku
Kila mtu katimiza majukumu yake. Niulize . Bunge kajenga magufuli? Chuo kikuu kajenga magufuli? Eneo la kujenga ikulu amelitenga magufuli? Magufuli yeye kajenga ikulu tu na baazi ya wizala. Tu. Kipi. Kingine amekifanya dodoma Cha ajabu
Yaaani ndio shida mnaferi na mtaferi unajua mtaonekana sio wakweli mnaposhindwa kuushuhudia ukweli mtaonekana waongo maana dawa ya Giza ni mwanga endeleeeni wananchi wakiwasha taa watawakuta katika Giza na yanayofanyika ktk Giza yanajukikana yakiwekwa wazi tutajificha wapi,
Mpoto hapo umefeli kwenye huu wimbo ulitakiwa mtu wa muhimu kumtaja hapo ni mzalendo namba moja JPM mwamba huyu hata kama hautamkumbuka watanzania wanajua yote umebugi brother
Mimi nilitaka kuona ajabu mtembea peku angali pesa za kununua viatu anazo tangu lini awe na akili ,,, yan huyu ni alama kubwa ya mchumia tumbo . Iv hayo manyanga yako yooote ungemzungumzia John Pombe Magufuli wangekuua au ??? TUACHE UNAFIKI JAMANIIIIIIII
Mbwa ni nani?Si Yule aliekuwa muuaji akiwauwa binadamu wenziwe?Kawauwa wengi akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwamno,kumpiga risasi Tundu Lissu kwa yonevu tu,Kuwateka watu na kuwatesa na kuwauwa,kurndelea kuwaeka ndani mashehe wa uamsho kwa uonevu tu .Nani ni mbwa?