Тёмный

UJUMBE WA MPOTO ULIVYOWASHANGAZA VIONGOZI IKULU MPYA CHAMWINO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 158   
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb Год назад
Unafiki mwingi hadi unakera. Rest in peace our Hero JPM. In our hearts you are still living
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Tena unafiki mkubwa.
@goodluckphinias4666
@goodluckphinias4666 Год назад
Kweri njaa ni shida kwer mpoto Samia ndo anejenga ikulu muogope mungu.
@sunaybrajabu238
@sunaybrajabu238 Год назад
Ndo kamlipa ataacha kumpamba
@ellymakongo656
@ellymakongo656 Год назад
Na samia kakubali kupewa sifa za uongo
@fridoliusrushunju9093
@fridoliusrushunju9093 Год назад
Huyu mpoto mpumbavu sana njaa inamsumbua sifa ulizompa Samia zilimfaa magufuli swain
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Ndio hata mama anamsikiliza lakini hafurahi watu hawashangilii
@Edward_Falu
@Edward_Falu Год назад
@@blandinamwarabu5025 haswa kumbe na wewe imeliona hilo. Hana furaha kabisa
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Anahangaika.
@yasiniyamamoto8174
@yasiniyamamoto8174 Год назад
Jpm the greatest leader in the world mola akupumzishe uzalendo wako unaishi.
@raymond5175
@raymond5175 Год назад
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Jasiri aliyedhubutu na kutekeleza vingi, mzalendo wa kweli DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hata kama amekufa anastahili kupewa hongera zake.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Kweli ila kuondoa fitina mkamilishaji naye apewe pongezi kwa maana angeliweza kuishia njiani
@saadatsaadat9252
@saadatsaadat9252 Год назад
WOTE WANASTAHIKI KUPONGEZWA WALIKUWA MTU NA MSAIDIZI WAKE AWAMU YA TANO AHSANTE WATANZANIA KWA KUMPOKEA VZR MAMA SAMIA..❤
@venusmalima3457
@venusmalima3457 Год назад
TANZANIA hii inawanafiki na waoga wengi sana Asante Mungu nipo hivi nilivyo maana vingnevyo ningeshatoweka😢
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Год назад
Mbeba maono ni Julius kambalage Nyerere na mkamilishaji ni John pombe magufuri usitupotoshe tunaijua historia rest in peace baba JPM rest in peace JK Nyerere hakika mtaishi
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Umenene
@mwakasagule
@mwakasagule Год назад
Mpoto huwa nakuamini sana kwa mashairi yako. Ila kwa hapa umepungua na umepwaya sana. Huwezi niambia kwa namna ulivyomtambua JPM kwa ufinyu sana kiasi hicho kwamba umejisahau, si kweli; ila hizo ni njama, na mmekusudia kudhoofisha na kuhujumu juhudi za mzalendo wa kweli JPM. MPOTO your not fare. Na tuwaambie ukweli tu. Mbinu zenu hizo mjue tu kwamba mmefeli. Kimsingi Ilipaswa ujikite sana kwa JPM. Lakini kwasababu hata unafki ni Sanaa pia hakuna shida. Ila ikumbukwe kwamba hata mfanye Hila kiasi gani juu ya DR. JPM fahamuni kwamba, picha ya JPM Hamwezi kuifuta mioyoni mwa WATANZANIA. Tunatambua vema sana History na juhudi za BABA WA TIFA MWALIMU JK. NYRERE, na nguvu kubwa ya JPM kuhusu IKULU YA CHAMWINO DODOMA. R.I.P JPM.
@venusmalima3457
@venusmalima3457 Год назад
Kamwe hata wafanyeje hawawezi kufuta mapenzi yetu Kwa JPM❤❤milele
@imanicharles936
@imanicharles936 Год назад
JPM nitampenda hata wangemsemaje , pekee ndo Raisi wangu, ilitakiwa hata ofisi moja ipewe jina lake
@paulmarwa439
@paulmarwa439 Год назад
Jpm ❤
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Tena na huyu? Bora wasanii waliokaa kimya.utavuna dhambi isiyo yako.
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Год назад
Kaka meseji nzuri sana Mungu hakubariki Sana
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 Год назад
Aibu sana Mpoto Umemsahau Magufuli!!!
@bahatimalundi3593
@bahatimalundi3593 Год назад
Huyo mwenda zake mulize lema ndio ana ijuwa hishoria yake
@boniphacelusato
@boniphacelusato Год назад
​@@bahatimalundi3593 Watanzania tunaijua historia ya Magufuli vizuri zaidi kuliko huyo unayetuaminisha kuwa anamjua . Magufuli ametawala tukiwepo . Tuliona kwa macho na kusikia kwa Masikio mawili tuliyopewa na Mungu hivyo hakuna tusichokifahamu kuhusu JPM. Hatukuhadithiwa kuhusu utawala wake kama ambavyo wengi tumekuwa tukisimuliwa kuhusu utawala wa Baba wa Taifa na wasaidizi wake kama akina Sokoine na Kawawa na Wengineo wengi, bali utawala wa Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli Mwamba toka Rubambangwe Chato Geita Tz tuliuona kwa macho yetu mawili. Have I paralyzed you ?
@venusmalima3457
@venusmalima3457 Год назад
JPM endelea kupumzika baba mtanzania wakweli sisi tulioshuhudia uongozi wako tutawasimlia na vizazi vijavyo ❤❤❤❤❤❤J❤P❤M.
@chilesanga7931
@chilesanga7931 Год назад
Magufuli mbona mmemtaja kidogo zambi hizo asingekuwa yeye hata mlipo kaa pasinge kuwepo mpoto uja tenda haki kabisa
@nicolausmavoa7909
@nicolausmavoa7909 Год назад
Magufuli hoyeeeeeeee pumzika kwa amani rais wangu kazi kubwa ulifanya leo hii anasifiwa mpemba
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Год назад
Sifa ya mtu kamwe haitapotea kwenye mioyo na macho ya jamii. Lakini kwa nini unaamini kwenye ubaguzi!!!???
@boniphacelusato
@boniphacelusato Год назад
Haipendezi kwenye Taifa hili kutukuza ukabila. Hujanifurahisha kwa kutumia neno Mpemba. Acha ubaguzi. Ongea ukweli lakini usituletee ukabila.
@thanimosi8906
@thanimosi8906 Год назад
Waja ujinga wewe sukuma gang
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 Год назад
Ila sjapenda amemtambua Megufuri kidogo sana daaah R.I.P Magufuri Tunajua Kaz uliinza wewe wengi iliwashinda
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Год назад
Huyu ni chawa anasaka ulaji
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Wakimsimamisha mzee Mwinyi hapo atasema ukweli huwa anasema kila wakati WENGINE TULISHINDWA MAGUFULI ALIWEZA🤣 ila haina shida mama anafuata nyayo za Magufuli.
@ellymakongo656
@ellymakongo656 Год назад
@@blandinamwarabu5025 🤣🤣🤣 wameshtuka ndo hawajamsimamisha angewachomesha wajinga hawa🤣🤣
@mwakasagule
@mwakasagule Год назад
@@blandinamwarabu5025 walijua mzee MWINYI atawaumbua
@allenmdota4820
@allenmdota4820 Год назад
Asante sana jpm pumzika kwa aman
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Magufuli forever amejenga ikulu ya dodoma. Hakuna rais kama magufuli. I miss jpm. Lala salama jpm utakumbukwa daima kwakujenga ikulu ya dodoma.
@thanimosi8906
@thanimosi8906 Год назад
Hongera Mama Samia Suluhu Hassan Kwa kukamilisha ujenzi wa Ikulu yetu mpya Tanzania Dodoma
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
@@thanimosi8906una wazimu.
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Baba Magufuli lala salama😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@japhetkarori5230
@japhetkarori5230 Год назад
Ili jamaa kumbe taahira ivii....linafiki chili😂😂😂😂..RIP JOHN.P.MAGUFULI
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
MAMA SAMIA MNA MPAKA TUUU. HUYU WA JUZI,, MAGUFULI NDO MWENYE HILI JAMBO.
@EliakimDaniel-t4x
@EliakimDaniel-t4x Год назад
Mbona mnapata shida ya kumtaja kamanda magufuri jembe la watanzania RIP kamanda mkuuuu daima tutakukumbuka chamwino bila magufuri haiwezekani
@ndambo6528
@ndambo6528 Год назад
Tatizo ni njaaaaaaaa hata Magufuli umeogopa kumsifa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
😂😂😂
@Edward_Falu
@Edward_Falu Год назад
@@blandinamwarabu5025 akimsifia hana ulaji 😂😂😂😂
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 Год назад
Dah kwel unafk hauwez kaisha Tz,yaan kwel mnaona had wivu kumpa sifa zke maguful kisa leo hayupo😢😢😢😢😢dah Pumzika JPM
@sambulugu9988
@sambulugu9988 Год назад
Huyu mnafiki Huyu! Eti Kikwete!😂😂😂
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 Год назад
Magufuli anatajwa kiujanjaujanja tu jamaa chawa huyu 🤣🤣🤣🤣
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Wewe mrisho kitambi tumbombo tumbo huna akili ni mnafiki sana tena sana Yani sifa za kumpa marehemu Magufuli unampa kikwete kweli wewe mnafiki.
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Ila njaa mbaya Rip magufuli
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Год назад
MPOTO WATU WANAOMJUA MAGUFULI KATI YA KITU CHA KIPUMBAVU NI UCHAWA ,MTAJENI MAGUFULI KINAFIKI SAWA LAKINI R.I.P. JPM
@jamesmbore3052
@jamesmbore3052 Год назад
Aliye jenga wakwanza n magufuli mama kamalzia 2
@nangugu1657
@nangugu1657 Год назад
Mpoto sifa umewazidishia waliopo hapo wote tunatambua nguvu Alioitumia magufuli paka ikulu imekamilika hiyo magufuli jembe hata usipo ongea wanakutazama watu na ukweli wa kazi za magufuli ukiimba katika mioyo ya Watanzania kwasababu ulijua unaimba kwania Gani Hauna makosa Mungu Aendelee kumupumnzisha mahari pema peponi Amina
@mashakalonka7767
@mashakalonka7767 Год назад
Mrisho Mpoto,ww ni Zaidi ya msanii,unajua historia ya ikulu ya Chamwino Kwa upana Sana!,uwasilishaji wako wa ujumbe Kwa njia ya mashairi,mantiki ya kisintaksia,sauti ya kiutawala iliyojaa katika maneno na sura Yako vinakutofautisha na wasanii wetu wengi wa kizazi kipya in short watu wote makini hawachoki kukusikiliza!. You're so talented brother! .
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je Год назад
Yeye mwenyewe anaona aibu mungu tusamee sisi binadama ongela ayati magufuli ongela sana wanajeshi wetu ongelen awamu ya tano
@mwakasagule
@mwakasagule Год назад
Anajua nini huyo chawa, hana lolote. Mpoto hana jipya kwa sasa, Mpoto kajishushia heshima mwenyewe kwa kuendekeza njaa.
@esromkanubo815
@esromkanubo815 Год назад
Unafiki unakera heshima apewe JPM mtutolee uchawa
@CharlesMajahasy
@CharlesMajahasy Год назад
Acha uongo aliyeanzisha kujenga sio Samia ni magufuli Amina Hana lolote ndio maana unasema mkamilishaji, je, mwanzilishi ninani? JPM mwamba, jiwe kweli.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Lakini kasema vizuri MKAMILISHAJI. Ila historia inajulikana anaijua MWINYI mzee wa RUKSA akisimama anachafua hali ya hewa.
@Edward_Falu
@Edward_Falu Год назад
@@blandinamwarabu5025 😂😂😂😂😂
@yohanekopilato-wn3lo
@yohanekopilato-wn3lo Год назад
Watu wamevurugwaaaa😂😂😂😂😂😂
@samagsmg
@samagsmg Год назад
Haki huwa haifichiki ila huwa inachelewa. Kamanda alishatenda ss hayupo. Ni ujasiri wake na uthubutu wake aliamua kusema serikali lazima ihamie makao makuu ya nchi kongole magufuli pumzika kwa amani Kamanda wangu. Nchi uliyoiacha baba saivi ipo ipo tyuuu maskini hatutambuliwi tena wanaotambuliwa kwass ni wale waliomalizaga madaraka. Tutakukumbuka milele na milele MAGUFULI
@mckilongojr6367
@mckilongojr6367 Год назад
10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Viongozi wamemzarau hata wao wenyewe 😂😂
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Год назад
😂😂😂wagogo na waheje sio watu😂😂😂
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Ehhh!
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Год назад
Mbona awa viongozi wamekaa Kama wachawi ata tabasamu hakuna mmechukia Sana kwenda Cha mwino hacheni uchawi Sisi sote watanzania.Mrisho Mpoto kamsifia Kila mtu John katajwa tu ajasifiwa Wala Nini.Maana mmenuna Kama kamati ya roho mbaya au wasagasumu.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
WANAONA HAYA, SABABU WANAJUWA HIZO SIFA SIYO ZA KWAO , MWENUYEWE NI MAGUFULI TUU..
@emmanuelyeliamajele-yk8hb
@emmanuelyeliamajele-yk8hb Год назад
Magufuli Mungu akuweke lakini hongela mama Samia Rais wetu tunakupenda Mungu amekuamini wewe utuongoze kwenye nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿♥️🥰 pia Mungu amuweke zaidi kikwete ♥️🥰 nawapenda Mungu amewapa ufalme kama alivyo penda Kila mtu ameongoza vyema kwa maono Samia Raisi wangu ataongoza kutokana na Mungu anavyo muongoza ataongoza tofauti na Mungu 🇹🇿 watu muelewe msitukane asila ya Mungu lsije lkawaka lkawaka juu yenu
@lucasalphonce7820
@lucasalphonce7820 Год назад
Kazi hayati Magufuli imekamilika Mungu akulinde sana baba wewe ni mwamba ,mwanamapinduzi wa Afrika pumzika salama baba,
@imanicharles936
@imanicharles936 Год назад
Ulale salama JPM
@mwesblind8990
@mwesblind8990 Год назад
Hata aibi hamna samia kajenga ikulu saa ngap kapiga rangi tu
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 Год назад
Magufuli kazi yake inaonekana hata kama hwataki
@moseschambo6801
@moseschambo6801 Год назад
Daaah hatari sana tumuachie tu Mungu ila JPM anaishi ndani ya mioyo ya wa Tanzania siku zote .
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Labda waje wadanganye vitukuu
@ericamkwena7736
@ericamkwena7736 Год назад
Unaumia sofa kwenda kwa mtu ambaye hakufanya lolote
@sunaybrajabu238
@sunaybrajabu238 Год назад
Huyu kaka kama chiziiiiiiiiii, Asante mwambien I nyie mnayeenda chooni kwaajili yake, sie akah sisi tunajuwa tu MAGUFULI jembe na lililima kweli yeye ndio aliyejenga ikulu, mama yenu kafanya kufanya finishing tu msituletee ududu washa basi nachukiaaaaaa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Ahhh,!
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 Год назад
Mpoto mpuuzi yaani baada ya kumtaja kikwete badala ya kumtaja anayefuata ni magufuli anamtaja mwenyekiti lugoha
@kilelechaimani.8956
@kilelechaimani.8956 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Unafiki,jamani jiepusheni na unafiki,unafiki sio mzuri,unafiki kiwango kingine.
@shedrackjacob6038
@shedrackjacob6038 Год назад
Mtaongea meng ila hakimu pekee mtenda haki Mungu pekeeeee ila ss wtnz tunamjua JPM
@jebace
@jebace Год назад
watanzania ujinga sijui wataacha lini
@boniphacelusato
@boniphacelusato Год назад
Baba Yetu Magufuli tunamkumbuka kwa aliyoyafanya ikiwemo ujenzi wa Ikulu ya Chamwino hata kama kuna Watu hawataki kuusema ukweli.
@patrickbayyo1616
@patrickbayyo1616 Год назад
Sifa apewe jpm
@BON357
@BON357 Год назад
Ela bana nashukuru MUNGU kwa kuweka kifo wapambe wa raisi sjui watampamba Tena raisi
@guidoliusmichaelhulilo3886
@guidoliusmichaelhulilo3886 Год назад
Binadamu ni KIUMBE MBAYA SANA KWA KWELI. Makubwa: Dhambi nyingine huwa ni za mauti, na huwa hazisameheki kama hii ya kumright OFF Magu on this project ambayo hata Mwalimu mwenyewe hakuweza kufanya. God is good, all the time. AND, All the time.. God is good🙏🙏🙏🙏RIP-JPM... Amen🙏
@wisdomjohn-nj9po
@wisdomjohn-nj9po Год назад
Unaznguaa sanaaaa mpoto mpototo
@bigdaddy_faustinjumong4427
@bigdaddy_faustinjumong4427 Год назад
Ndomaana Masanja ariacha kuitangazia nnchi.kwasababu Hao ndowakapanga Kumuua jpm #Rest_In_Peace_our_hello #JohnPombeMAGUFULI
@bashirumandwanga130
@bashirumandwanga130 Год назад
Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia Mungu wetu sote
@godsonanthonymshairi-tanza4088
Haya mrisho tiririsha mzee ma shairi hayo.
@AcroBantu
@AcroBantu Год назад
Hata mumfiche vipi lakini kila mtu anatambuwa bila Jembe mpaka leo hapo pasingekuwa na lolote pia hata lile bwawa la umeme lisingejengwa RIP Magufili pumzika kwa amani😢
@matokeo-wx9ws
@matokeo-wx9ws Год назад
hakika hili jembe likumbukwe
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Sijui kama hawa watu hawaoni huku mitaani jinsi raia wanavyo mkubali na kujua wazi juhudi za JPM,yaani wanampotezea hivi na kumwaga sifa kwa walio hai zaidi,kama kujitafutia sifa za uteuzi au kukaa salama,,,jamani sifa za uthubutu wa hiyo Ikulu hata kama ilianzia kwa JKN lakini JPM ndo amefanya muwe hapo. RIP John
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Год назад
Watu wanaweza kukuamini ila mwisho wa siku njaa zikakuharibia yani JPM ambaye alitakiwa kupewa sifa zote na nyingi leo mpoto unatuangusha mchana kweupe kabisa.
@Mamateekatuni
@Mamateekatuni Год назад
Nimeumia kumsikia Magufuli kwa uchache hivyo 🥲🥲🥲
@VMGAfrica
@VMGAfrica Год назад
#Nasemajee #Magufuliii Oyeeeee #Nyie Wasanii Wanafiki Acheni Kumjengea Mama Chuki Kwa Watanzania Wanao mpenda Magufulii #Mama Unachonganishwa #Ikulu Chamwino Wanasifiwa Wasio Husika Moja Kwa Moja Kuliko Muhusika Mkuu Namba Moja #Jembe / #Magufuli #Kwanini #Kwasababu Gani #KwaFaida Ya Nani #Mama Achana Na Machawa #Credibility Yako Mtaani Ni Miradi Mliyoanzisha Na Mwenda Zake Hapo Ndo Kura Zako Ziliko Hata Usifanya Campaingn
@jescakahangwa5224
@jescakahangwa5224 Год назад
Hongera sana Jpm upumzike Kwa Amani hongera pia mama Samia Kwa kumalizia miradi mlioanzisha na Jpm .
@mwakasagule
@mwakasagule Год назад
Huyu mama asipowashtukia hawa wasakatonge wakina Mpoto hawa; watamharibia. Watanzania sio wajinga.
@yawepetro2049
@yawepetro2049 Год назад
Yan ata diamond haja penda kwa jinsi ulivo msahau magufuli wetu
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Год назад
JPM is the one who made it happen if wasn't him Leo hii msingekuwa hapo .Rest in Peace Magufuli ✌️ We will always love you 😍 ❤️
@mangeranestory8225
@mangeranestory8225 Год назад
Sina neno 😢😢
@ismailmatari3889
@ismailmatari3889 Год назад
leo hii mnaimba ikulu ya chamwino ni baada ya mwamba mwendazake kuamua tekeleza kauli ya mw nyerere miaka kedekede iliyo pita wamepita maraisi wangapi na hawakua na ujasiri na uthubutu wa kusema serikali ihamie dodoma? ila ndani ya nchi hii mwamba ni mmoja tu aliekua na moyo na mapenzi ya dhati na nchi yake (RIP) wengine wote waliobaki wanajali maslahi yao kwa asilimia kubwa kuliko maslahi ya raia. tanzania is the best country lakini viongozi wake changamoto hasa kipindi hiki cha mama yetu. allah atupe subira watanzania maana hilili nalo litapita INSHAALLAH.
@BON357
@BON357 Год назад
Mmi akifa kiongoz uwa nafrahi ,kwasababu wote wezi
@sebastiankatalle2732
@sebastiankatalle2732 Год назад
Lugoa na wewe mpoto wote nyabarange.Magufuri oyeeee
@wisdomjohn-nj9po
@wisdomjohn-nj9po Год назад
Njaaa inakusumbua mpoto
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Год назад
Ila wagogo mmemkosea mpoto kwaku mpa choya sio vizuri😂😂😂😂😂
@mabwetebrown5432
@mabwetebrown5432 Год назад
Mpoto najua hata moyo wako unakuhukumu jinsi ulivo mzungumzia JPM kwa udogo kiasi icho kana kwamba hakuna alicho fanya .
@tysonlusinde8491
@tysonlusinde8491 Год назад
Duuuh yaaani Dr John Pombe kama hajafanya chochote daaah katajwa kidogo sana wakati yeye ndiye aliyepamba kuipeleka Ikulu Dodoma, daaah njaa mbaya
@mbeguclassic3387
@mbeguclassic3387 Год назад
Posho Bana Kwa sasa anasifia viongozi duh pesa nyoko😢😢
@ChikwemaMagazi
@ChikwemaMagazi 2 месяца назад
Magufuli atasimuliwa vizazi na vizazi
@ibrahimgeras6249
@ibrahimgeras6249 Год назад
Mnafiki sana huyu mzee nilikuwa namuonaga anaakili kumbe hamna kabisa
@lucasalphonce7820
@lucasalphonce7820 Год назад
Magufuli baba kama nakuona kwakaziile uliyo ifanya sifa zote kwako mwanamapinduzi wa Afrika pumzika kwa amani ame
@alfredmathias8748
@alfredmathias8748 Год назад
Rip magu
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Год назад
Nimesikiliza comment zenu SN humu lkn siwaelew mnamtukana mpoto kosa lake Nini na mjue katika kila kiongoz kashiriki kuijenga dodoma na kawataja viongozi wote Sasa mnapofikia mnamtukana kosa lake nn tuwe na HEKIMA
@BON357
@BON357 Год назад
Vitu vinapanda Bei baada kumusifu MUNGU sifa munampa samiya sawa ngoja tuone
@brysonzawad8521
@brysonzawad8521 Год назад
Mrisho mpoto wewe ni mbwa tu wanakutumia tu hulambi chochote
@provianapaul6634
@provianapaul6634 Год назад
Watu mna hasira jaman haaaa😂😂😂😂😂
@wilsonsaghy4171
@wilsonsaghy4171 Год назад
R.i.p JPM
@BON357
@BON357 Год назад
Raisi wakibongo wote wanamaisha mazuri Basi ata siku za mwisho mwezi mmoja toeni kupitia tigo pesa tupewe 20000,
@Godbless-o6c
@Godbless-o6c Год назад
Sijawahi kukuelewa
@chainchebby3313
@chainchebby3313 Год назад
Unafiki tu umetawala hapo yaani mmesahau mara hii ni nani aliyeipangania hiyo ikulu hapo lah ubinadamu kazi endelea kupumzuka kwa amani baba yetu JPM .wanafiki wanazidi kuongezeka uku
@annamsemwa1946
@annamsemwa1946 Год назад
Ila njaaa mbaya sana. Kweli ww Leo Mzee wamjomba ndo wakutufanyia usaliti huu.
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Год назад
Hila mpoto umefeli pakubwa sana
@danielmandia7447
@danielmandia7447 Год назад
Kila mtu katimiza majukumu yake. Niulize . Bunge kajenga magufuli? Chuo kikuu kajenga magufuli? Eneo la kujenga ikulu amelitenga magufuli? Magufuli yeye kajenga ikulu tu na baazi ya wizala. Tu. Kipi. Kingine amekifanya dodoma Cha ajabu
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
JAKAYA KIKWETEE😂😂😂😂😂😂
@naturalviewing3974
@naturalviewing3974 Год назад
Pumbavu mkubwa wewe JPM Ndio mpango mzima
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Год назад
Yaaani ndio shida mnaferi na mtaferi unajua mtaonekana sio wakweli mnaposhindwa kuushuhudia ukweli mtaonekana waongo maana dawa ya Giza ni mwanga endeleeeni wananchi wakiwasha taa watawakuta katika Giza na yanayofanyika ktk Giza yanajukikana yakiwekwa wazi tutajificha wapi,
@charlzlomo9219
@charlzlomo9219 Год назад
Coment zinaonyesha ni kosa la jinai rais kutoka kabila kubwa wahaya,wasukuma,wachaga,wanyskyusa ktk nia njema sawasawa hutuba ya baba wa taifa.
@guugug9gt829
@guugug9gt829 Год назад
Rip JPM
@sylvestercharles3585
@sylvestercharles3585 Год назад
Hata kama mkimtaja kwa uchache mwamba wa Chato, bado ni simba aliyelala katika ushujaa.
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Год назад
Bado kabisa hujafanikiwa.Tumekutambua
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Год назад
Mpoto hapo umefeli kwenye huu wimbo ulitakiwa mtu wa muhimu kumtaja hapo ni mzalendo namba moja JPM mwamba huyu hata kama hautamkumbuka watanzania wanajua yote umebugi brother
@yusufumbwene5669
@yusufumbwene5669 Год назад
Mimi nilitaka kuona ajabu mtembea peku angali pesa za kununua viatu anazo tangu lini awe na akili ,,, yan huyu ni alama kubwa ya mchumia tumbo . Iv hayo manyanga yako yooote ungemzungumzia John Pombe Magufuli wangekuua au ??? TUACHE UNAFIKI JAMANIIIIIIII
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 Год назад
Nimelia Mpoto hatari huo ni uzalendo.😭😭😭😭😭😭😭
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 Год назад
Magu ni jembe tu.
@saidmabanga388
@saidmabanga388 Год назад
Mnafkiii mkubwaaa wewee
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 Год назад
Mbwaaa wewe
@maulidimuhammed7851
@maulidimuhammed7851 Год назад
Mbwa ni nani?Si Yule aliekuwa muuaji akiwauwa binadamu wenziwe?Kawauwa wengi akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwamno,kumpiga risasi Tundu Lissu kwa yonevu tu,Kuwateka watu na kuwatesa na kuwauwa,kurndelea kuwaeka ndani mashehe wa uamsho kwa uonevu tu .Nani ni mbwa?
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 Год назад
Wamejenga wote kwa pamoja cz alikuwa makamo wake Sasa n Raisi
@nangugu1657
@nangugu1657 Год назад
Kumubeza magu na jitihada zake zote zambi tena zambi Bora kukaa kimya
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 Год назад
Wamejenga wote waliopita wanamchango kuanzia maono ya Mwalimu
@mckilongojr6367
@mckilongojr6367 Год назад
10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂
@aishaalbalushaishabalush8291
kikwete
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Nimecheka 😂
@PeterChacha-zc2hl
@PeterChacha-zc2hl Год назад
Mpoto nilijua unasifa ya uzalendo kumbe njaa tu ,jpm 😂😂😂😂 watanzania tunajua
@gsplundi1327
@gsplundi1327 Год назад
@@PeterChacha-zc2hl hata wafanyeje sisi tunajuwa ni JPM kidume💪💪💪💪RIP
Далее
Распаковка #MonsterHigh Potions №5
00:55
Просмотров 167 тыс.
Please Help This Superhero! 🙏
00:48
Просмотров 2,8 млн
Israel, Palestine: the new front lines
1:24:16
Просмотров 136 тыс.
Распаковка #MonsterHigh Potions №5
00:55
Просмотров 167 тыс.