Innaalillah wa innaa ilayhi raajiun jaman upo tayar Sasa kupoteza utu wako kias hiki, upo tayar kujidhalilisha kias hiki, upo tayar kwenda kuimba na diamond huku ukiwa upo uchi wa mnyama, upo tayar kuidhalilisha Zanzibar na maadil yetu na Mila na silka zetu . Na yote hayo ni madogo na kwa Allah je...au umepanga kuja kutubu baadae na kifo je unajua ni mda gan kitakujia. Ukhty shara ukhty shara mrudie mola wako nakuomba nipo chini y miguu Yako mrudie Allah
Yana mwisho sauti,uzuri,nakila kitu ila majib utaenda jibu kwa Allah kma kuimba ndio kazi alokuletea Allah hapa duanian mwanamke mzima heshima huna wala kutunza hadhi yako na thamani yako, sauti yako ni dhahabu kuskika ila ww ndo kwanza upo tyr mpka kuimba bongo fleva sasa inna lillahi wainna ilayhi rajiun , kuimbaji na msikilizaji atafufuliwa akiwa anatoka taka katika kila tundu za mwili wake uku akiadhibiwa je wewe mtoto wakike bdo wapaza sauti naomba tafakari urudi kwa Allah na Allah atakusameh