Ni muendelezo wa kipindi chetu pendwa kiitwacho SAFARI YETU, ambapo leo katika safari yetu tumepata bahati ya kutembelewa na msomaji wa Qaswida Maarufu Tanzania anaejuilikana kwa jina la UKHTY SAU.
Hapa utajua mengi usioyajua kuhusiana na maisha ya Msanii huyo pamoja na mchakato mzima wa maisha yake kwa upande wa tasnia ya Qaswaida.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.
25 окт 2020