Тёмный

BILIONEA WA KILIMO ALLY HAPI, SHAMBANI KWAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA, TOKA U-DC, RC MKULIMA BINGWA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 278 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 293   
@wiliminawiliams9384
@wiliminawiliams9384 Год назад
Hongera Sana Mheshimiwa Ally Happy,Hakika wewe ni kiongozi,Mpambanaji,Mwalimu na Mfano wa kuigwa,Mwenyezi Mungu akusimamie Kaka.Unatu-inspire 💕💕
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 4 месяца назад
SASA unampa hongera Yani wakati huyu alikuwa anajuwa kilimo alipo kuwa mkuu WA mkowa alishidwa kuwanufaisha wakulima Kwa kuwapa mafundisho na kuwawezesha lakini alikuwa na roho mbaya Leo kawachishwa kazi ndio anatuonyesha
@Chuma-vk4jg
@Chuma-vk4jg 14 дней назад
Parabéns adeus ti abençoe sempre mungu akujarie kutoka Moçambique
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Год назад
Hongera sana mdogo wangu wewe ni mfano bora sana mzalendo wakweli naona chembecheme za nyerere na magufuli tafuta chako cha halali kuliko hao wafuga matumbo kucha kutuibia wanyonge ipo siku watalia mbele za Mungu watatamani wapewe sekunde warudishe ila muda utakuwa umeisha
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 Год назад
Hakika!! Wana macho hawaoni, Wana masikio hawaoni dhuruma wameifanya ndio mitaji. Acha tutaabike lkn kila mmoja ana ya kujibu muda ukifika.
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 Год назад
Uko vizuri unaonyesha njia kuwa kuteuliwa sio kuhama duniani na kuishi dunia nyingine. Wengine hadi hapo wangekuwa wanachungulia kaburi kwa msongo. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Uliwasaidia watu kupata haki zao, si tulikuwa tunaona na kusoma!!? Piga kazi uwafungue watanzania kuishi nje ya boksina kuwaza positively wakati mambo yamegeuka ghafla. Acha jamaa yule acheze litungu kama mtaji.🙋 Well-done Hapi
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Riziki mafungu saba, Mwenyezi Mungu akufungulie milango yote ya riziki
@iddyhamis5330
@iddyhamis5330 Год назад
Hapana lizik mafungu 2 kupata au kukosa
@devidpanja115
@devidpanja115 Год назад
Dhahabu ni dhahabu tu popote inashine. ..hongera sana
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Год назад
Ally Happi alikuwa anakwenda na wale wale wa mazoea ya kuimba CCM ya jenga Inchi. Nilisikitika sana kumwaachisha katika Mkowa wa Mara. Angewanyosha watu wa Mara. Alikuwa anataka kuwatoa wanamara kuacha marumbano kugeuza kazi. Hawakumuelewa. Hongera sana kijana. Mungu aendelee kubariki kazi ya mikono yako.
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 Год назад
Safi sana. Ni mfano wa kuigwa. Hongera Ally.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Mungu ambariki sanaaaa mwanazengo
@limakisasautajirike
@limakisasautajirike Год назад
Mimi ni Mtaalamu wa Kilimo, Kiukweli Mr Hapi, passion yake kwenye kilimo ndo inayomfanya afanye mazuri zaidi..... Kilimo ni ni sector mojawapo ambayo kwa sasa inauwezo wa kumtoa kwenye umaskini. Kwa sasa masoko yapo, technology zimeimarishwa na kilichobaki ni kufungua njia mkulima awe na uwezo wa kupata mtaji kirahisi..... Tupo pamoja kukifikisha kilimo kisasa zaidi....
@yashramanuj250
@yashramanuj250 Год назад
Unaweza kunipa namba yako? Tuwasiliane
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Hongera sana kwakujiajiri 💪💪
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 Год назад
Hongera sana, Mungu aibariki kazi ya mikono yake.
@adolfmjunguz9794
@adolfmjunguz9794 Год назад
Uyo ni Superman ukweli namkubali nampenda najifunza mengi sana kwake🇹🇿🙏
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Год назад
Anatumia jina gani IG
@dannywiston6391
@dannywiston6391 Год назад
Happi alikua na plan b, baada ya siasa alifanya maandalizi ikiwa alishazisoma siasa za nchi hii kulingana na mfumo wa siasa ulivokaa, kila mtawala ana matakwa yake kulingana na aina ya watu anaowataka,alijua hawez kuendana na huu mfumo then alijiandaa, watu wa hivi ni wachache, japo najua hawez kukwepa utumishi maana pia ni passion yake, utakapofika utawala utakaoendana na misimamo,utendaj, wake ataingia Tena japo naamin hawez kuacha kilimo
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 Год назад
Well said
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Hawezi tena siasa ukionja hii pesa ya kilimo utaki tena mbamba
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Год назад
Yaani hii siasa hii. Mheshimiwa aliona mbali sana na Mungu atakuongoza na kukulinda
@msombanehemia7503
@msombanehemia7503 Год назад
Sahh
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 Год назад
@@jazeerajuma5014 nani kakudanganya?
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Год назад
Hongera sana sana Mungu wa mbinguni aendelee kukuongoza
@happymsaki1720
@happymsaki1720 Год назад
Chapa kazi Dogo Ally Mungu akuongoze
@nahumumgwama2280
@nahumumgwama2280 Год назад
Iringa moja iyo naiona isimani shambani kwa aliy hapi hongera Sana🤝👍
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Год назад
Hongera sana mpambanaji,mtaji ndiyo shida
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Kwakweli mtaji ndio shida, yeye alikuwa anapata mshahara laki 8 unashindwaje kumiliki maheka kama hayo.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Год назад
@@happylynguya3464 mkuu wa mkoa laki nane?
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
@@johnmichaellukindo21 Ahahahaha!!!! Ama nimechekesha jamani. Ni milioni 8 John jamani Uwiiiiiii..
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Год назад
MashaAllah Mwenyeez Mungu akusimamie Ally Happy riziki mafungu saba tulikuombea sana Mwenyeez Mungu amejibu inadhirihisha usikate tamaa
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Год назад
Mungu aibariki kazi ya mikono yako kaka nakupenda sana wewe ni mtu mahili sana🙏🙏🙏❤
@to-chisesoboy7336
@to-chisesoboy7336 Год назад
Nakubali sana huyu jamaa ni mkulima mzuri na aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu wa MARA 💕💕💕
@gracemwanyika7429
@gracemwanyika7429 Год назад
Kazi nzuri sana Mheshimiwa,ninapenda sana kujifunza na Mimi kuhusu kilimo
@jamalnaheka1131
@jamalnaheka1131 4 месяца назад
mashaallah,...Allah azidi kukupambania ndgu ally...imenigusa sana.
@ericgardner7509
@ericgardner7509 Год назад
Nakubali George sanga Lwandai sec mlalo unatuwakilisha kinomer nomer👊💪
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Год назад
If Tz have 5 people like Ally happy the country should be lucky enough
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
They are more than that. Ila sisi wa mitandaoni hatujui!
@oklahommy9838
@oklahommy9838 Год назад
Watanzania ni watu wakulaumu tu kila siku sijui serikali imefanya A serikali imefanya B ..yaani mambo kama haya au zaidi ya haya hatuezi fikiri kabisa...sisi tunawaza tuu kuwa stable maishani lakini hata njia yakutufikisha huko hatujui na wala hatutaki kufikiri kabisa
@TamuzaKale
@TamuzaKale Год назад
@@oklahommy9838 Mwenye lawama hajawahi kufanikiwa!
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
There are few and far between
@alluminiumexperttz.12mview13
Ni mkulima mdogo sana hapa bongo
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 Год назад
Hongera sana kwake, Mungu amsimamie na ambariki sana sana
@rashidmshindo1527
@rashidmshindo1527 Год назад
safi kaka siasa ya bongo aina chochote ukiwa kiongozi bora unatolewa waache waibe pesa lakini wataziacha tu
@fatmashija5637
@fatmashija5637 Год назад
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuwaji. Saiv Hana shida na mwaswala ya selikali bora afanye yake potelea mbali maana katika selikali utapata changamoto lakin kwa shughuli zake mwenyewe hamna chakumkela mie namtakia. Kila lenye kher na Allah amfanyie uwepes katika kazi zake
@fadhilidini1181
@fadhilidini1181 Год назад
nice project
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 Год назад
Kaka hongera sana na wadogo zako tuko nyuma twaka kipambania mapinduzi ya maisha kupitia neno "AGRICULTURE & BUSINESS" mungu tuwezesheni afya njema na akili timamu vinatosha mengine tutakipambania,asnte baba
@ramsonsaid7962
@ramsonsaid7962 Год назад
mwenyenzi mungu amekuonyesha njia yakufanya mungu hamtupi mja wake mungu akubariki hongera sana
@manahiljamal834
@manahiljamal834 Год назад
Hongera
@mwajumayona7608
@mwajumayona7608 Год назад
Safi Sana kaka Bora tu ujiajiri waachie serikali yao
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 Год назад
Kweli mwaju
@telesphoramtenga569
@telesphoramtenga569 Год назад
safi
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Год назад
God bless you and open more opportunities for you 🙏
@firmakisika5073
@firmakisika5073 Год назад
Hangera sana mwanangu Ally Hapi kwa kuwaonyesha njia vijana. Mwenyezi akuongoze kwenye kila hatua
@mbarikiwambarikiwa6479
@mbarikiwambarikiwa6479 Год назад
Njia ikiwa na nyenzo ndg, Hapo katumia pesa si haba.
@severinamsuya5963
@severinamsuya5963 Год назад
Hongera sana Bro🙏Mungu akubariki wewe na kazi ya mikono yako
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 Год назад
Hongera kijana wa mfano huko kunaitwa " believe in yourself" hupekekea kufikia ndoto zako. Umeo yesha njia, asante sana.
@PromiseJimson-ps5qw
@PromiseJimson-ps5qw 10 месяцев назад
Huyu mwamba alitusaidia tukarudishiwa shamba letu lenye ukubwa wa. Ekali60 ambazo tulishadhurumiwa na serikali ya kijiji salute bro
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 Год назад
Anachofanya mheshimiwa ni kizuri sana...Lakini lazima uwe na mtaji wa kutosha.
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Год назад
I always remember you ❤️ You worked so hard for the country but they didn't realize that God forbid it
@zawadijoel7516
@zawadijoel7516 Год назад
Ubarikiwe sana kijana unayejitambua
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 4 месяца назад
Hongera mh. Ally H.
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Год назад
Dah! Uko vizuri. Hutapata kisukari wala shinikizo la damu ukiweza haya.
@selestineramadhani7325
@selestineramadhani7325 Год назад
Ameweza sababu ana pesa ya mtaji wa kutosha
@richardlucas9612
@richardlucas9612 Год назад
Sawa kabisa
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 Год назад
Na kuthubutu
@masellemaziku1096
@masellemaziku1096 3 месяца назад
Kikubwa ni kujiamini, kuthubutu na kung'ang'ana. Pesa zinahitajika sana, lakini vitatu vya mwanzo ndio muhimu zaidi. Tumpongeze tu. Kafanya jambo zuri. Sisi tuige na tumfuate. Inawezekana sana tu.
@salutaricornel819
@salutaricornel819 Год назад
Hongera mhe.kwa kazi na uongozi bora
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
Hongera sana Ally Hapi, mwenyezi mungu azidi kukusimamia.
@ericmtalemwa5229
@ericmtalemwa5229 Год назад
Hongera sana mheshimiwa
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Год назад
Weeee jitangaze tu utaundiwa kesi sasa hivi mungu akulinde!
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Год назад
Hongera sana kwake
@abbas.h.saydy.3991
@abbas.h.saydy.3991 Год назад
Safi sanaa mkuu Ally Hapi ila atupe connection na sisi tuna nia ya kufanya kilimo chenye faida kubwa kisichotegemea mvua ila hatuna mitaji kwa ajili miundombinu ya maji na pembejeo za kilimo 🙏🙏🙏
@hanifaomar7438
@hanifaomar7438 Год назад
Safi Sana yapi sio lazima ajira mbampana kaka
@gracengole2773
@gracengole2773 Год назад
Nakupenda sana Happy. Wewe ni mfano wa kuigwa. Mwanadamu anamapungufu hajakamilika lakini kile kitu kizuri hata kama ni kidogo ukikichuchumilia kitakupa matokeo.
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Год назад
Hiyo ni kwa ufupi itoshe kusema ivo tu 👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🙏🙏😃😄😄
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
Our future leader, in waiting.
@naeematanzania9348
@naeematanzania9348 Год назад
Nimepende💗💗💗💗🌹
@saidali8338
@saidali8338 Год назад
Safi sana Happy hiyo ndio njia sahihi kilimo hakimtupi mkulima kwa vyovyote,,
@zuberimkuba2324
@zuberimkuba2324 Год назад
Kaz nzur
@makynicky2970
@makynicky2970 Год назад
My future president.
@CoachHafidh
@CoachHafidh Год назад
So inspiring...ila huyo mtaalam mnaemuhoji sauti ilkua chini sana
@gh7naa
@gh7naa Год назад
Mashaaalah
@jualismushi875
@jualismushi875 Год назад
Kaz nzur sana hongera sana
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 Год назад
Hongera sana ALLY HAPPY
@monikamasasi7582
@monikamasasi7582 Год назад
Nimempenda ghafla
@joycelorry3966
@joycelorry3966 Год назад
Nimependa
@jameelahkasalu8833
@jameelahkasalu8833 Год назад
Nimependa mnooo!
@babajay3445
@babajay3445 4 месяца назад
Natamani sana haya maisha ya kulima na kufuga ila ndio sijui naanzaje
@afdtfx.9814
@afdtfx.9814 Год назад
Mheshimiwa ally hapi kajitoa mhanga kwa vipande vyake vya pesa.MUNGU MWENYEZI.amzidishie faida.na ampe uvumilivu kuvumilia changamoto za VILIMO.
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Год назад
Ukiwa napesa kilimo kjnalipa Sana Sana Sana.Hongera Sana kijana mwenzangu.Mungu alisema,nimewapeni Nchi mkailime.Lima Kaka lima.Mungu yuko pamoja nawe.
@clotiridamasota8401
@clotiridamasota8401 Год назад
Hgra zake
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Safiiiii sn broo huna haja ya kuajiriwa
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 Год назад
Hongera sana Ally,.. kila-laheri
@khadijakinyala9407
@khadijakinyala9407 Год назад
Ma shaa allah, haya mambo nayapenda mimi doooo 😍😍
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Hata Mimi mashaallah
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Hata akotee yule mwanamuziki wa Kenya analima hivyo Hadi rahaaa mashaallah
@khadijakinyala9407
@khadijakinyala9407 Год назад
@@jazeerajuma5014 ma shaa allah
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 Год назад
n kiongozi mzuri asiyependa udhalimu kwaio serikali haimtaki kwa kuwa wanafanya anachokipinga
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Maashallah tabarakallah Allah akujaalie msfanikip mema
@peteretlawe6269
@peteretlawe6269 Год назад
Nimependa sana hii
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Год назад
Hongera sana kaka yangu mungu abaliki kazi ya mikono yako mnaondolewa viongozi wanawekwa .....
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Hongera sana Ally Hapi ulijua kujipanga na plan B,achana na siasa ni pasua kichwa
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Год назад
I was so disappointed that day I heard Samia removed him why????? People like him they're few so I guess they knew he will take over someday that is why they decided to kick him out I'm so so disappointed
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Sio Samia aliyemwondoa.. ni msoga gang
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Год назад
Rais hapangiwi wa kumteua wa kumtengua, taarifa rasmi na za uhakika zikimfikia juu ya meza maamuzi ya uteuzi/utenguaji hufanyika mara moja
@leletimoy1984
@leletimoy1984 Год назад
kuna majungu sana huko,bora katoka na afya yake...piga kazi mdogoangu,hiyo ni hela safi
@hassansaid1575
@hassansaid1575 Год назад
Mwandishi umeongeza chumvi nyingi sana hivi bilionea wa kilimo unamjua
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Год назад
Hongera sana
@msanzyatvcomedy3326
@msanzyatvcomedy3326 Год назад
Hongera Ally hapy
@jfighterkissima6317
@jfighterkissima6317 4 месяца назад
Pongezi kwake
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Год назад
Hata akipata hasara hajui kama kala hasara😅😅
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Год назад
Ally you will be always happy as your name ( Ally happy )
@luhindakanige2987
@luhindakanige2987 Год назад
Hongera mkuu
@notickasimchimba7310
@notickasimchimba7310 Год назад
Really namkubali sana ally
@malundebugwata6779
@malundebugwata6779 Год назад
Ally happy muongo sana
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Huna budi kufanya hayo, kwa sababu ni lazima akili ya ziada ije.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Год назад
Hapa kazi2
@stn4873
@stn4873 Год назад
Makonda analima mpunga Kigamboni, Sabaya anasota Rupango daah... Life bwana🙌🏾🙌🏾
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Год назад
Life hatariiiiiii🤣🤣🤣
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 Год назад
Mwandishi wa habari saikolojia yako ipo kwenye faida tu inavoonesha hutaki kujifunza mambo ya msingi maswali yko yanaharakia faida tu
@mdta8161
@mdta8161 Год назад
Wanafupisha kutokana na muda
@eft255
@eft255 Год назад
Interesting..
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Год назад
Namkubali Sana Mkuu kwakeli kajitoa pamoja na msingi anao lakini pia hakutaka kushangaa magorofa mjini yuko Bega kwa Bega na wafanyakazi wake kila siku hiyo TU , Inawapa moyo wafanyakazi kufanya kazi Kwa bidii
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Hapi ameonyesha nguvu kubwa na elimu kwa watanzaniya wenye matumaini ya kupiga hatuwa kimaisha...hongera sana hapi
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Год назад
Uongo wenu
@rubebandihai6207
@rubebandihai6207 Год назад
That’s very impressive!!
@ADRIANAKOMBA
@ADRIANAKOMBA Год назад
Mwambieni mama yenuuu ajanikomoa😅😅😅
@othmanmapunda2310
@othmanmapunda2310 Год назад
Safi sana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Safi saana Hawa ndio vijana wanaojua kutumia fursa
@amanjoseph5356
@amanjoseph5356 Год назад
Hongera sana such Inspiration!
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Год назад
SAFIII SANAAAA KAKA
@user-ev6bq9gf1f
@user-ev6bq9gf1f 6 месяцев назад
Mama Samia ajielewi unamtowa kiongozi kama uyu mama mjinga sana
Далее
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
Просмотров 542 тыс.