Тёмный

UKWELI KUHUSU NDOA YA MWIMBAJI ANGEL BENARD NA ALIEKUWA MUME WAKE GODSAVE SAKAFU....✍️ 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 Год назад
Unaehojiwa Mungu akubariki,una hekima,endeleeni kuwapokea wengine wanaotoka Tanzania na kufika huko.Mungu atawalipa.
@deborahrehema4066
@deborahrehema4066 10 месяцев назад
MCONGOMANI WETU GOD BLESS YOU ❤❤❤🎉🎉
@josephmandelapenet4587
@josephmandelapenet4587 Год назад
Very mindful and logical man.
@graysonkewe1004
@graysonkewe1004 Год назад
huyu Baba ana hekima sana, i like him aseee
@mariamaloda5447
@mariamaloda5447 Год назад
Ni kweli anaangalia na kupiga pale Mungu anapoweka mkono na mahali penye baraka yako.😢
@TzwatotowetuAzina
@TzwatotowetuAzina 11 месяцев назад
Mungu awape uvumilivu katika kila jambo waimbaji wa nyimbo za injili
@farfijahgibson6965
@farfijahgibson6965 Год назад
Mungu awasaidie watumishi wake wote kuishi kwa kufuata kusudu na kanuni za kiMungu hapa duniani.
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 Год назад
Mwanamke ni Mtu usieweza kumuelewa sana.But every woman wants good life.Imeenda hyo
@JanethAlbert-bq8mm
@JanethAlbert-bq8mm Год назад
Kaka umeongea vyema tena kwa hekima kubwa sanaa🙌👏.Mungu azid kukuneemesha
@elizabethfrank4396
@elizabethfrank4396 Год назад
Duh,, Mungu awasaidie waimbaji
@jukaelyelisha6311
@jukaelyelisha6311 Год назад
Umh kuna kazi kweli the Bible is say that kifo ndo kitakachotenganisha mtu na mkewe ama na mmewe hii imezidi penye ukweli lazima ukweli usimame sihukum lakini hapo bado yupo dhambini ni heri angebaki bila ndoa ingefaa zaidi maana hapo yupo ndani ya uzinzi bado hajaokoa kitu hata kama wao wanajua huko chanzo cha kufikia hapo lakini hyo sio ndoa ni uzinifu
@veronicasteven7116
@veronicasteven7116 Год назад
Exactly 💯
@WilfredLamaiMollel
@WilfredLamaiMollel Год назад
Nimefurahia sana hekima uliyotumia brothe Felis.
@evankya1955
@evankya1955 Год назад
Aisee hii kali! I never expected this. May God help us
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
Mungu atusaidie sn
@mariethamtawa314
@mariethamtawa314 Год назад
This man, Mungu ambariki
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Duh ila wadada 😢😢🙌🏻 mkaka wawatu anakusapoti unamuacha akikutaza unasema anakuonea mwee 🙌🏻🙌🏻
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
Wew angel ameachn na Gody?
@janethvincent7572
@janethvincent7572 Год назад
Hakuna anayejua nini kiliwakuta jaman usisimamie upande mmoja tu
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
@@messiasulleydidy2585 et mwayego ndo namm nimebaki nashangaa wameachana nayy ameisha olewa uko uko USA
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
@@janethvincent7572 ni kweli unacho sema ila waimbaji wa gospel wa KIBONGO wengi wanazingua wakifanikiwa tu wanawaacha waume zao
@AntonyDova
@AntonyDova Год назад
Maisha haya
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 Год назад
Narudia tena shikamoo waimbaji 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@fbr5113
@fbr5113 Год назад
NA WANAIMBA TU KAMA AJIRA LAKINI HAIMAANISHI MATENDO YAO. KWAMBA SIO KILA MUIMBA INJILI KAOKOKA KUTOKA MOYONI
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
😅😅😅😂
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Год назад
Nimeumia mno,sijui shida Ni Nini lakini angel kuachana na God kwangu huzuni mno
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
Dont judge kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake..hata Mungu anajua ndo sababu ya Yesu kuja ulimwenguni.
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi Год назад
😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu turehemu
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 6 месяцев назад
Mtu unamuacha mume wako au mnaachana tena wewe ni mtumishi halafu unaenda kufunga ndoa na mwanaume mwingine na unaamani kabisa na unaendelea na hudùma kweli.....ivi mnajua mnatupa uguu gani wakuhubiri au kutangaza neno la Mungu ukishakuwa mtumishi jaman unakua barua watu wanqkusoma wewe matendo yko mpk maneno yako ....unakua kiooo kwamataifa na nikitu ambacho kinaleta utukufu kwa Mungu ...aisee Mungu atusaidie sanaa
@furahasanga2534
@furahasanga2534 Год назад
Watoto watatu baba tofauti sasa na mume wa NNE!! Na bado anaitwa mtumishi!! Mungu tusamehe😭😭.
@SuzanMoshi-m1s
@SuzanMoshi-m1s Год назад
Ndio Mungu wetu ni Mungu wa wasio wakamilifu ko mtu n lazima atafute furaha yake na sio afanye kisaya walimwengu
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
Kwa hyo anao watoto 3 now?
@pendolaison5478
@pendolaison5478 Год назад
@@messiasulleydidy2585 anao 5
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Год назад
Yesu mwenyewe hakuwa wa yusuf. Wewe mkalifu hongera yako
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
@@pendolaison5478 weweee na ni kweli mtoto na babake?
@pastor_benjie
@pastor_benjie Год назад
Uyu jamaa anaye hojiwa Ana akili kubwa na uwezo mkubwa sana.
@everlyneomary7199
@everlyneomary7199 Год назад
0:10 w
@philipoburton3450
@philipoburton3450 Год назад
Hahahaa😂😂😂😂😂
@EvaInnocent-nd2vg
@EvaInnocent-nd2vg 9 месяцев назад
Mungu wajua yote jaman uwiiii haya
@florenciajacob5463
@florenciajacob5463 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭nimeumia Sana jamani
@zumasamson6603
@zumasamson6603 Год назад
Dah jamani Angel na mumewe ...what happened?...imeshindikana Kabisa kutatua changamoto zao ...dah maisha haya
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Год назад
Duh asee mungu aturehemu sana
@abrahamkanuya1076
@abrahamkanuya1076 Год назад
Wanawake bhnaaa😢😢😢
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Binadamu na waasi by nuture, Mungu atusaidie
@hopesengo6972
@hopesengo6972 Год назад
Kaka unahekima Sana,ubarikiwe.
@estherndosi8100
@estherndosi8100 Год назад
Sana
@marthamkilema6244
@marthamkilema6244 Год назад
Sanaaaa
@abrahamkanuya1076
@abrahamkanuya1076 Год назад
Mtu anaimba lakn afati maandiko Mungu atusaidiee😢
@happysimle991
@happysimle991 Год назад
Mungu Hapendi kuachana aiseee
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
KUIMBA HAKUMPELEK MTU MBNGUNI ASE
@marianablessed7135
@marianablessed7135 Год назад
Shetani ni muongo sana, yaani ni kuzidi tu kumwomba Mungu atusaidie.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Kwamba hatumombi? Tunamwomba jamaniiiiiii ila nass wanadam tupunguze tamaa na mihemko
@evangelistdanielsenyagwa4018
Waimbaji wengi sana Wanaachika ase
@danielkullwa1613
@danielkullwa1613 Год назад
Jesus...hsysa mambo yametokeaje tena...ok hakuna aliye mkamilifu but ...
@TullyDaudi
@TullyDaudi Месяц назад
We kaka unahekima ila enje kama kweli umeachana na mume wako urudi kwa mungo up ya au umeenda kwa mungo singing
@deborahrehema4066
@deborahrehema4066 10 месяцев назад
Mungu wangu Angel ameolewa ndoa ya tatu ?? Ooh my God the enemy is at work kabisa
@aliethlwaitama9592
@aliethlwaitama9592 Год назад
Ninachokijua katika ukristo kwa maana katika ulokole ,Mke mmoja mume mmoja mpaka kifo kiwatenganishe,atakayeipenda nafsi yake ataiangamiza Bali atakeichukia nafsi yake ataiokoa
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 5 месяцев назад
Waimbaji wengi wanatamaa
@yustaishengoma8526
@yustaishengoma8526 Год назад
Duh! Mungu tuwezeshe jamani
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Год назад
huo mwanamke anajificha eti kaokoka nyumba anatabia mbaya
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Год назад
Mmmh walokolo wengi hawajiombei ila wanapoteza muda mwingi kulaumu na kuwakosoa ambao hawajaokoka. Walokole jirekebisheni. Mnaturudisha nyuma kimaombi
@evodiaaloyce3670
@evodiaaloyce3670 Год назад
Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Wasikurudishe nyuma maana Kila mtu anawajibikia maisha yake
@AileenMakungu
@AileenMakungu Год назад
Waimbaji wa kike wengi wanaachana na waume zao Shetani yupo kazini jamani sio wao ni roho ya uharibifu kwa kazi wanayofanya Kinachotakiwa ni wao wakae katika maombi ya kina ili kuepuka uovu ulioandaliwa na ibilisi dhidi yao.
@8019bm
@8019bm Год назад
Hamnaga ndoabya mfano. Kila ndoa ni unique.
@evangelistdanielsenyagwa4018
Amejibu vema sana huyu mtu
@marymarie9941
@marymarie9941 Год назад
Tusihukumu jamani wanaojua ukweli kati yao ni wao wenyewe, usinyooshe kidole wakat vingine vinne vinakurudia, emb tumuache MUNGU ndie muhukumu sahihi
@upendojohn
@upendojohn Год назад
Kweli ndo ni ya wawili Siri ya kuachana wanaijua wenyewe
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
Kweli
@MargaretMunyao-m3t
@MargaretMunyao-m3t Год назад
Naona huu mrembo anaeza bada olewa mara tena iwe tena ndoa tatu
@GraceSimba
@GraceSimba Год назад
Kaka, ulishawahi kuwa mtangazaji was prez power radio?
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Год назад
My wizo favie
@tumainimsigomba4117
@tumainimsigomba4117 Год назад
duu angel bernad nimekosa neno la kuongeza
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 Год назад
What I can say is Don't judge
@macdonaldmwakisambwe6494
@macdonaldmwakisambwe6494 Год назад
Inatisha aisee Mungu atusaidie ila akumbuke hayo ni yadunia tu ila kuna mbingu, na mwisho wa mambo yote umekaribia
@happysimle991
@happysimle991 Год назад
Ni kweli kabisa
@gracemwita4167
@gracemwita4167 Год назад
Ila angle n too much,Mungu amusaidie asee
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Huyu angle ajitathmn ase sjapenda mm,, kabla ya kuolewa alibeba mimba, akazaa mtoto, alipoanza kuwa maarufu akaolewa akazaa watoto wawili, so ameacha huyo mume ndo kaolewa na mwingne so sadness sjapenda hata kidogo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
Alizaa na Nick shaboka kabla hajaolewa 🙌 Kumbe Kwa mumewe kazaa watt2? Sikujua ,nilidhani 1
@elizabethmabula6044
@elizabethmabula6044 Год назад
Mpendwa ni vita tuu wewe muombeee,, unapokuwa na kitu kikubwa zaidi ndo unazidi fatiliwa zaidiii
@ezzyzephania2597
@ezzyzephania2597 Год назад
MUNGU atusaidie wanaume!
@ennykyambiki2680
@ennykyambiki2680 Год назад
So sad kwakweli,.angel,Shetani anamtumia sanaa.
@leticialubala9721
@leticialubala9721 Год назад
Usilolijua ni kama usiku WA giza
@bonniebaraka
@bonniebaraka Год назад
@@leticialubala9721we unajua ukweli nini ?
@jacklineanyumba5413
@jacklineanyumba5413 Год назад
Ni kweli haya
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Год назад
SAFI SANA
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 Год назад
Duuu kweli
@happysimle991
@happysimle991 Год назад
Huyu kaka anaonhea kwa upeo sana yupo rohoni, nilazima tuwe makini maana shetani pia yupo kazini
@neypaul6416
@neypaul6416 Год назад
😭😭
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Kumbe uyu Dada anaishi Marekani sikuizi
@janetahmed6948
@janetahmed6948 Год назад
ee
@LovenessFedrick-cy9fh
@LovenessFedrick-cy9fh Год назад
Mda mrefu
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
Mmh hayaa
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 Год назад
Muda sana
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
😅ndio na kaolewa huko tena
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 Год назад
HONGERA
@kiswahilimovierecaps2024
@kiswahilimovierecaps2024 Год назад
MADEM WAHUNI HAHAHA
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Dada amesha ingia mjini ame pata mabawa 😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
😅😅
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Sijaelewa, ni nini?, ,Angel au mwingine?, Mbona ndo mwimbaji ambae nilikuwa nafikiri ana akili na anamjua MUNGU
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
Yaani🙌
@denismabeyo3350
@denismabeyo3350 Год назад
Humjui Angel vizuri ww
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
@@denismabeyo3350 namjulia wapi kaka, basi tu nsikitika,
@josephatn5040
@josephatn5040 Год назад
Theologia ina evolve?!!!. Ni sawa na kusema Mungu anabadilika kulingana na wakati. Mie napita!
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Wala hajakosea mana Mungu hapendwzw na hiyo kitu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Год назад
Mungu ni yuleyule habadiriki Watu ndo wanabadirika
@linetwanjira4472
@linetwanjira4472 Год назад
Theology is not God just curriculum .God is the same yesterday, today and tomorrow.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
@@linetwanjira4472 good
@anessabinery5654
@anessabinery5654 Год назад
eehehehehehe
@maryandason1815
@maryandason1815 Год назад
Hiv waimbaj wanawake asa wa gospel mko na shida gani???😢😢😢;,mkipta umaarufu tu kidgo kosaa mnakimbiaa ndoaa zenu?? Mbona mnatuimbiaa kuhusu ukuu wa MUNGU?? Anaweza kurejesha ndoa yko?? Inakuwaje ashindwe kusaidiaa ndoaa zenu???😢😢😢😢;waimbaj rudini magotin pa MUNGU hukumu inakuja uzinz wenu usifanye YESU atukukanwe n watu kisha muende jehanamu😢😢😢😢.tubun ufalme wa MUNGU umekujaaa??😢😢😢
@mariammbwaga8463
@mariammbwaga8463 Год назад
🤦 Mungu tusaidie
Далее
진 (Jin) 'I'll Be There' Official MV
03:15
Просмотров 7 млн
Страшная Тайна Светы Кемер !
33:04
МЭЙБИ БЭЙБИ - Hit Em Up (DISS)
02:48
Просмотров 336 тыс.
Angel Benard - Nimeona ( Official Music Video )
4:42
Просмотров 655 тыс.
진 (Jin) 'I'll Be There' Official MV
03:15
Просмотров 7 млн