Тёмный

UNABII WA VIFO VYA VIONGOZI WAZIDI KUTIMIA.MUULIZENI MWAMPOSA, NA HILI TUSEME NINI. 

huduma ya kristo
Подписаться 18 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 3 месяца назад
Mtumishi wa Mungu Jakobo Fanya kazi ya Mungu acha kuwasema wengine,Mwamposa hajawahi kukutaja wewe sijawahi kumsikia akimsema vibaya wengine acha kumsingizia hubiri injili Mtumishi
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 3 месяца назад
Ubarkiwe Nabii❤❤❤❤❤ huduma yako iko wap
@simeontwiyogohe2727
@simeontwiyogohe2727 3 месяца назад
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.
@obinasimbeye1750
@obinasimbeye1750 3 месяца назад
Sasa unasema Ili iweje. Huwezi kuzuia kama Mungu anepanga
@lilianrwegasira2769
@lilianrwegasira2769 3 месяца назад
Wewe acha wivu
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 месяца назад
InatakiwA ujichekeche kuota ndoto kijana yusufu aliota akiwa kijana ila uombe sana loho ya Mungu tafsiri na namna ya kuongelea au kulipeleka mbele za watu loho akupe loho namna ya kulipeleka jambo kwa watanzania na kukuchambulia.kuhusu watakalolipokea pata utulivu mwingi halafu jitahidi kuwasikiliza sana waliokutangulia mfano.gwajima mwakasege na Abiud misholi pata akili kwa hao pata muda wasikilize.mtandaoni uitafute hekima kwao usivowaelewa usivichukue waachie nina maana hii toa pokea
@josephkadeghe4720
@josephkadeghe4720 3 месяца назад
Unadhani Mungu anapendezwa na kifo cha mwenye dhambi? Magufuli ameuawa kwa mpango maalum kabisa , ambao manabii wa shetani walitangulia kusema , Manabii wa uongo wanafurahishwa sana inapokuja kutimia juu ya mtu ambae walitabiri atakufa, huu ni ushetani. kanisa lazima lisimame kuzuia hizi nabii nyuma yake zina roho kweli ya kuua kama kanisa lisipo simama
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 3 месяца назад
Kweli kabisa na wanachukia hayo maneneno Yao yasipotimia
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 3 месяца назад
Kweli kabisa unaweza kuangamia kwa sababu ya Lukas kwenye Baraza na waovu ingawa wewe sio mwovu ,wavaa irizi ,wapiga manyanga, waabudu SHETANI ,Wanafanya mapepo yakufuate hasa kama ndiyo wakuu wako wa kazi na hujakaa na Mungu vizuri( ubarikiwe )
@LucyLyimo-sc1lz
@LucyLyimo-sc1lz 3 месяца назад
Ubarikiwe Mwl. Ukiota unaongeza na mtu aliyekufa hili iko na maana gani? Mdogo wangu ameota yuko na kaka yake ambaye n marehemu kwa sasa wako wanatembea na walikuwa wametofautiana walikuwa wakibishana sana mara wakavuka mto, walipo vuka tu akashtuka katika ndoto. Hiii imekaaje Mtumishi.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 месяца назад
MUNGU hasababishi vifo kifo ni uchaguzi wa mwanadamu mwenyewe kila mtu atakufa.
@geofreymilinga2965
@geofreymilinga2965 3 месяца назад
Sasa unafurahia viongozi kufa acha upumbavu
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 3 месяца назад
Huyu anahubiri pumba, Kila nafsi itaonja mauti sio Tu VIongozi Acha uninga basi jitabirie ww kama unaeza
@GBhahat
@GBhahat 3 месяца назад
WEWE WACHA KUMSAKAMA MTUMUSHIBWA MUNGU ,UTAUMIA TAFUTA KIBARUA KINGINE UPIGE DEBE KWA VINGINE SIO HUYU! 😂
@moseshaule586
@moseshaule586 3 месяца назад
Sisi wote tutaondoka
@charlesmganga-gv2cs
@charlesmganga-gv2cs 3 месяца назад
UNAITAJI KUSAIDIWA
@lilianrwegasira2769
@lilianrwegasira2769 3 месяца назад
Una jipya wewe acha wivu
@GBhahat
@GBhahat 3 месяца назад
SHAURIKO ,SASA,WEWE NDIO MKUFURU,HUJIJUI😂 YA MUNGU MUACHIE MUNGU,WATUMISHI HUWA WANA NEEMA YAO YA KIPEKEE, ! OKMIE NIMEKUPATIA USHAURI TUU,
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Kila nabii amemtabilia huyo atakufa
@joyjackson258
@joyjackson258 3 месяца назад
Kijana safari ya huduma yako ni ndefu . Hiivyo acha kumsakama Mch Mwamposa . Tena ukionyeshwa mtu kafa wasiliana nae ili useme nae kwa habari ya toba .
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Sasa Kama atajukufa kweli
@NeenaGaspa
@NeenaGaspa 3 месяца назад
Mtumishi mungu amekuamini waombee hao viongozi mungu awahulumie wewe ni mlinzi wa Kuta za yerusalem mungu atusaidie
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 3 месяца назад
asante mtumishi
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 3 месяца назад
Kweli kabisa Mwamposa anafanya kazi aliyopewa na Mungu hana ujinga wa kuwasema wengine
@simeontwiyogohe2727
@simeontwiyogohe2727 3 месяца назад
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.
Далее
MWAMPOSA KAANZA MAJUNGU.
25:52
Просмотров 4,8 тыс.
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
MWAMPOSA TAPELI SHEIKH MAZINGE ALIPUKA
7:18
Просмотров 37 тыс.
MIPANGO YA KUMUUA MAMA SAMIA NA GWAJIMA.
34:11
Просмотров 52 тыс.
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
UKUTA WA IKULU WAPASUKA MARA MBILI
28:37
Просмотров 72 тыс.
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51