Mtumishi wa Mungu Jakobo Fanya kazi ya Mungu acha kuwasema wengine,Mwamposa hajawahi kukutaja wewe sijawahi kumsikia akimsema vibaya wengine acha kumsingizia hubiri injili Mtumishi
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.
InatakiwA ujichekeche kuota ndoto kijana yusufu aliota akiwa kijana ila uombe sana loho ya Mungu tafsiri na namna ya kuongelea au kulipeleka mbele za watu loho akupe loho namna ya kulipeleka jambo kwa watanzania na kukuchambulia.kuhusu watakalolipokea pata utulivu mwingi halafu jitahidi kuwasikiliza sana waliokutangulia mfano.gwajima mwakasege na Abiud misholi pata akili kwa hao pata muda wasikilize.mtandaoni uitafute hekima kwao usivowaelewa usivichukue waachie nina maana hii toa pokea
Unadhani Mungu anapendezwa na kifo cha mwenye dhambi? Magufuli ameuawa kwa mpango maalum kabisa , ambao manabii wa shetani walitangulia kusema , Manabii wa uongo wanafurahishwa sana inapokuja kutimia juu ya mtu ambae walitabiri atakufa, huu ni ushetani. kanisa lazima lisimame kuzuia hizi nabii nyuma yake zina roho kweli ya kuua kama kanisa lisipo simama
Kweli kabisa unaweza kuangamia kwa sababu ya Lukas kwenye Baraza na waovu ingawa wewe sio mwovu ,wavaa irizi ,wapiga manyanga, waabudu SHETANI ,Wanafanya mapepo yakufuate hasa kama ndiyo wakuu wako wa kazi na hujakaa na Mungu vizuri( ubarikiwe )
Ubarikiwe Mwl. Ukiota unaongeza na mtu aliyekufa hili iko na maana gani? Mdogo wangu ameota yuko na kaka yake ambaye n marehemu kwa sasa wako wanatembea na walikuwa wametofautiana walikuwa wakibishana sana mara wakavuka mto, walipo vuka tu akashtuka katika ndoto. Hiii imekaaje Mtumishi.
Kijana safari ya huduma yako ni ndefu . Hiivyo acha kumsakama Mch Mwamposa . Tena ukionyeshwa mtu kafa wasiliana nae ili useme nae kwa habari ya toba .
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.