Political Question and Intellectual answers by Kimberly kitu kimoja nimejifunza wenzetu mpaka uwajibike ni lazima proceedings zifatwe yana hakuna mambo ya kukurupuka. Calmness ya huyu DG ni ya kiwango cha juu sana 🙌🏻🙌🏻
wewe unaita political question mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea political question ipi ?
The majority of this committee members ukifuatilia wanabackground nzuri ya utumishi kwenye majeshi na masuala mbalimbali ya usalama na uchunguzi so lazima ujue wanajua wanachouliza it's not political question ni intellectual question na expertise questions
Director Kimberly won. She didn't answer as asked, she answered as she thought won't let herself blocked in an angle. Zero emotion, very rational throughout the interview. She never leaked any information. Strong woman
wewe unasema she won how ???? kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea "she won" ipi ?
Kaka unajua kingereza ila akil yko kama matko uyu ni mlinzi na kaz yake ilikua kumlinda trump na trump kapigwa risas unasemaje uyu ni mshindi wakt mteja wake nusura auliwe
@@iam_samiuelewa wako ndio mdogo she won yah kama unasikia kinachoongeleewa wanasiasa wanataka kujibiwa wanavyotaka wao bt huyo ni director wa usalama wa Taifa hawezi kuanika kila jambo hapo kuna mengi nyuma yake wanataka kujua
Fredrick, Nchi ya Marekani ilisimama kila mtu alikua na maswali Magumu kutokana na tukio. Kama unavyoona Maswali haya hawajaruhusu Wabunge wa Democratic Party wamuulize Secret Service Director maswali kuhusu tukio. Hili ni hatarishi kwa Taifa la Marekani na Amani kwa ujumla ili wasidhani palikua na mpango mkubwa. Wengi walijiongeza kwamba ni Mpango wa Upande wa Pili kumuua Rais Trump. Kama unavyoona Trump ana bahati nyiingi sana za kuchukua nchi. Return to the Comment: CEO Fredrick Unafanya kazi nzuri sana kutuletea Positive News. You the Best in Tanzania 🇹🇿 #GodBless
@@comics3437 Wewe unasema intelligent how ???? kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwenyewe mgombea kujeruliwa ? au unaongelea "ni very intelligent" ipi ?
@@AllyMaya-yj3xd kwaiyo kazi aliiweza au hakuiweza hiyo siku boss kujeruliwa na kukoswa kuuliwa na mpiga kura wake kuuliwa unasema hawezi kufunga kila kitu au unamanisha waendelee kumtumia kama kiongozi wa ulinzi huko mbeleni ?
Tundu lisu aliwahi kumuhojibmagu maswali magumu magumu bungeni alishia risasi kidogo apoteze maisha.nay wa mitego akichana mambo yenye uhalisia anakamatwa roma alitekwa Tanzania Tanzania
Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?
Si suala la kesi liko chini ya upelelezi, maswali anayoulizwa ni ya kiutendaji. Mfano, kwa vipi watu waliyokuwepo wapige kelele la tishio kwa mtu aliyekuwa juu ya paa akiwa na silaha, halafu walinzi wa secret service wasione hilo ni tatizo na kulidhibiti kabla ya kupigwa kwa risasi?
Aaha hapo hakuna upelelezi mambo yalikua wazi kabsa, kijana anapanda ukuta halafu anajificha na kulala juu ya paa la nyumba na Hatimaye anafyatua risasi ,raia walikua wanamuona na walitoa taarifa kea hao maafisa usalama lakini hawakuchukua hatua yoyotee sasa uchunguzi wa nini hapooo
Kuna muda ili uwe upande salama, ni kukwepa maswali kijanja. Kwangu mimi namuona yuko smart, hakutaka kujiweka ktk complication zaidi maana bado jambo liko katika uchunguzi.
Huyu mama amekuwa na siku mbaya sana. Ila kuna kitu cha kujifunza…. Kuna siku mojo Makonda alimwambia mwanamke mmoja aongea vizuri, watu walimjia juu eti hawezi kumdhalilisha mke wa mtu. Huku wengine wakipanga kumuua. Africa bado…
Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?
Sasa alikubalije kwenda kuhojiwa bungeni kwenye kamati live tena alipewa wito wiki moja kabla ya kujiandaa yeye alikubalije na aliendaje kama hawezi kuweka wazi majibu kulingana na taratibu zao za kazi ?
Mbona amesema kabisa kwamba utafiti unaendelea na awezi kuuharibu kwa kueleza nini kinachoendelea na amekubali kwenda apo kwa maslahi ya wananchi na secret service wenyewe kama kitendo. And she seem very professional akibanwa anakupigia we are still in process 😂😂
@@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?
@@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?
@@Thatscene2024 @Thatscene2024 wewe unaita Professional kiongozi mkuu wa ulinzi idara ya usalama kwenye kampeni mpiga kura wake mgombea kuuliwa na yeye mwemyewe mgombea kujeruliwa ? Au unaongelea professional ipi ?
Mi naelewa media nyingi haziwezi rusha habari kama hizi na hata zikirusha zinatoa taarifa za uongo hata media kubwa za hapa Tanzania ambazo siwez kuzitaja. Hizo media zinakua zipo under the matrix lakin kwa hapa bongo nawakubali sana (SNS) hampo kwenye mfumo wa matrix kwahiyo mnatoa habar kama zilivyo na mnazichambua. Respect sana na msije mkabukubali kuuza your soul to the matrix. Na mmefanya la maana sana kuwa na SNS web pamoja na twitter, kwa maana RU-vid wenyew ndo wale wale tu wanao support matrix ndomana watu kama wakina Andrew Tate walifungiwa RU-vid. Kama kuna mtu anaona kuna media nyingine hapa bongo inayotoa taarifa za Trump assassination kwa undani zaid aniambie ni media gani kama sio simulizi na sauti 🤐
@@RespinaRuben-qi6te na vitu wanavyo vifanya wakitaka kuingilia afu akakataa, wanafanya vitu vifuatavyo, kwa RU-vid wanakufungia, lakin kama unamiliki platform yako mwenyew, wanakushtaki kwa kosa la kijasusi, thats is how the matrix work
Hapana hii ya jambo liko mahakamani au police ni huku bongo. Sikiliza anaulizwa maswali ya kimfumo ndio maana unaona majibu yake yanakimbilia FBI but wanamkataa FBI wanaajibu wao na yeye anawajibu wako so anagonga kwenye wajibu wake
Dah! Hatari haya ni maswali ya kiumbe kwa kiumbe hali ndio kma hyo vp maswali yatakavykuwa ya Muumba mbingu na Ardhi kwa kiumbe wake??? , Halafu muulizwa maswali alikuwa na subra hyo n mvua ya maswali
Guys that is not a jokes but remember we need to pick some of the treat and bring it to Africa, you know what leading in African has been very peace of cake We should have pain in our hand we can't dare let thoughts and miss the reality, both side are good enough to listen huyo mama yuko sawa pia waulizaji wako na preparation ya kutosha
All in all uongozi sio jambo la mchezo mchezo....ukiona nchi inaendeshwa na imesimama kuna mambo Mengi sana yanaendelea mengine huwezi hata kuyaona...kuna watu hawalali kwa sababu yako n.k aisee sometimes tunapaswa ku appreciate viongozi wetu....😊
I thought she's going to resign.. Imiditely in side court room.. She's very strong woman not easy question's Really... For me l couldn't said she's reall defenders he job... Good job Kimberly
Uku kwetu afrika kama africa ukimuoji mkuu wa usalama wa taifa namna hii kesho huwezi julikana ulipo kwajia yote kwa uchawi au kwa nguvu ya dola maana kwetu uku Afrika utaonekana hauna adabu eti scjuwi hauna hekima utaskia mtangazaji hakutumia busara😅😅 kuna mahali waafrika tunazingua ingawa sie ndio binadamu alisi
@@mtemiwantobo2967 kivyovyote vile ukukwetu wangeambiwa ooh una namba yake kwanini usinge mpigia umwabie ata waloweka mitandaoni wangechukuliwa hatua kali zakisheria😹 au hujasikiya anavyo bananishwa na hizo questions wakati ni director wa secret service wa marekani ukukwetu afrika watu kesho ungeskia wamepotea hawajulikani walipo😀😀
Tunataka katiba na sisi kama hii mfanyakazi wa Umma anatakiwa awajibishwe hivi hivi Kwa nchi yetu.... Tuwe wazi lazma nchi iwajibike haswaaaa sio kuogopana tuuu kwa wakubwa tuuu. Angalia mtu mkubwa kabisa anaadabishwa na bunge....
"FBI have shared the information with you, you don't to share information with us..."! Kibano kilipozidi anyoosha mikono kwa kusema "I think I'm the best person to leave Secret service now...," Hiki ndicho kiti moto, jamaa hawana mzaha! Hapa ndipo kubananishwa, siyo maswali ya akina Kibajaji!
kwa kifupi tu ni watu wajue dunia si rafiki na ukweli ni kuwa the enemy of state ni state wenyewe..huo ni mkakati sanasana anavyojibu maswali ndo mbaya zaidi its a naked truth wala huwezi kuufunika uovu kama huu…watu watembee na Mungu serikali kama haina maslai na wewe ni ngumu kukulinda
Wanasiasa siku zote Ni pasua kichwa, hivi unawezaje muhoji mtu wa secret service wakati suala liko kwenye uchunguzi, Hawa jamaa hawaendani na mihemko hata siku moja na hawaogopi kuacha au kuachishwa cheo ili mradi Afanye jambo Kwa Mujibu wa taaluma zao
Tunajifunza nini kutoka Kwa wengine, watu wazima wanatekwa,watoto wanaibiwa, usalama wa raia ni changamoto. Lini tutafikia kumuuliza maswali anayesimamia yanayofanana kama hayo.
Hacha hiyo ndugu yangu wanao muliza maswali ni Chama cha Trump na huyu ni kiongozi wa ujasasusi hawezi kuongea juu unamuhuliza maswali kama hayo hadharani .
Tatizo Lugha ingefaa ungekuwa unatutafsiria au uwe unatuweka subtitles za kiswahili maana video km hii hata mm nimetaman kuiangalia LAKINI Lugha siifaham, Tena ingekuwa Kuna mtu anatafsri neno kwa neno Kama hizi movie zinazoangaliwa Azam Tv NAIMANI hiyo inawezekana ikishindikana basi hata subtitles za kiswahili.Ni maoni yangu kaka
Hawa wenyewe wamefundishwa kufanyiwa na kuhimili interrogation tena zenye mateso. Hayo mahojiano ya maneno tu ya wana Congress kwake ilikuwa kama Bubble gum. Kijike Cha nguvu 😀