Тёмный

VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 80 тыс.
50% 1

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 478   
@movingdiamonds5718
@movingdiamonds5718 20 дней назад
Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 19 дней назад
Wao ndio hawajui
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 17 дней назад
hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz
@aminata3702
@aminata3702 15 дней назад
Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo
@alifbe4395
@alifbe4395 12 дней назад
Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu
@karibunyumbani3824
@karibunyumbani3824 10 дней назад
Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp 22 дня назад
Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 22 дня назад
Putin sio putting
@Allybinamour
@Allybinamour 22 дня назад
😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 22 дня назад
Spika kapigwa jicho hilo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 22 дня назад
😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 22 дня назад
​@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂
@bashiruamri2167
@bashiruamri2167 22 дня назад
Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa
@user-hd8sm4mq6i
@user-hd8sm4mq6i 20 дней назад
Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 20 дней назад
Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje
@professorimmah
@professorimmah 16 дней назад
U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country
@ELIAMbise-sy5ue
@ELIAMbise-sy5ue 13 дней назад
Napenda marekani na urusi50/50
@HarunaMassamaky
@HarunaMassamaky 22 дня назад
Hongera Mh Tulia.Big up!
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 22 дня назад
Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 22 дня назад
Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama
@josephngwega7398
@josephngwega7398 22 дня назад
😂😂hapo akizingua atamkimbiza
@adamhashim3352
@adamhashim3352 22 дня назад
Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂
@nimujocentre2173
@nimujocentre2173 21 день назад
😂😂😂😂​@@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 21 день назад
@@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli
@ludovicsaronganangawe2720
@ludovicsaronganangawe2720 20 дней назад
Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!
@florashauri9228
@florashauri9228 22 дня назад
Big up madam speaker,I'm proud of you❤
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg 22 дня назад
Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕
@juliusdonard933
@juliusdonard933 22 дня назад
Putin aje Tanzania jaman naomba
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 17 дней назад
shida wamerakani hawapendi
@user-dk6rc9kb3f
@user-dk6rc9kb3f 19 дней назад
Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 22 дня назад
Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂
@johngerald4677
@johngerald4677 22 дня назад
Mzee anaona kama anapotezewa muda2
@issaalfani1030
@issaalfani1030 21 день назад
Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize
@objstv6976
@objstv6976 21 день назад
🎉🎉🎉
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 20 дней назад
Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 20 дней назад
Acha wenge ww
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 20 дней назад
Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin
@jastinekyungai1023
@jastinekyungai1023 22 дня назад
Tz to the world superb sana @tulia
@erastozawadi8002
@erastozawadi8002 22 дня назад
Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action
@msambalamjukuu3866
@msambalamjukuu3866 22 дня назад
mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 22 дня назад
Kijana unataka Vinu😅😅
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 22 дня назад
Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 22 дня назад
Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 22 дня назад
Haaaaa haaaaa
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 22 дня назад
Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake
@nickoemily8267
@nickoemily8267 22 дня назад
Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.
@francomkandawile8572
@francomkandawile8572 20 дней назад
Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.
@greysondavid6445
@greysondavid6445 22 дня назад
Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.
@KELVINHENRY-j1k
@KELVINHENRY-j1k 10 дней назад
Respect putting
@user-dk6rc9kb3f
@user-dk6rc9kb3f 19 дней назад
Hatua kubwa sana madam tulia
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 22 дня назад
Putin ni hatari
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 21 день назад
❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee
@samwelkulagwa861
@samwelkulagwa861 19 дней назад
Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 22 дня назад
Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 20 дней назад
Safi sana Mhe. Speaker 👏💯
@user-dk4iq5ct6r
@user-dk4iq5ct6r 22 дня назад
Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 22 дня назад
Kirusi cha UTI 😂😂
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 22 дня назад
Big up to sipika Tulia Rais ajaee
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d 22 дня назад
Jaman dada yngu mungua akutunze
@brother_majesty
@brother_majesty 22 дня назад
noma
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 22 дня назад
Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.
@ElneySheddy-is1dv
@ElneySheddy-is1dv 11 дней назад
Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢
@user-yu2mb4bk8i
@user-yu2mb4bk8i 9 дней назад
Mnyakyusa anaflow balaaa❤
@ErnestMhangwa
@ErnestMhangwa 22 дня назад
I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .
@shaibukhamis863
@shaibukhamis863 22 дня назад
Jamaa jicho alichezi sio poa
@ericktesha1668
@ericktesha1668 22 дня назад
Spika katulia sana
@SimuliziDhahiri
@SimuliziDhahiri 22 дня назад
Kama jina lake
@levispaultitus8623
@levispaultitus8623 19 дней назад
Well presentation for national ❤
@allironjo2698
@allironjo2698 22 дня назад
Nimependa sana hasa ninapomuona Dr Tulia anaongea kwa heshima sana yani kama mwanafunzi wa darasa la pili kaitwa ofisini na mwalimu mkuu nimependa hongera spika wetu
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 22 дня назад
anakufaidiisha na nini
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 22 дня назад
Haaaaaa haaaaaaaa
@boniphacelusato
@boniphacelusato 22 дня назад
Duuuuuh! Wewe Jamaa hatari sana. Umenivunja mbavu
@jumampenda5805
@jumampenda5805 21 день назад
😂,,😂😂
@khalifaaliomar7989
@khalifaaliomar7989 22 дня назад
Asante
@MSAMBWANYAKUSOTA
@MSAMBWANYAKUSOTA 20 дней назад
Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation
@Allybinamour
@Allybinamour 22 дня назад
Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.
@drgeraldcubwa481
@drgeraldcubwa481 22 дня назад
Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO
@user-hq5qx1hu2x
@user-hq5qx1hu2x 21 день назад
Tulia NI kama zeelenziky tu Hastahili kukaa na putin
@SamsonLalika
@SamsonLalika 22 дня назад
Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin
@allythabiti8150
@allythabiti8150 22 дня назад
Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS
@user-hq5qx1hu2x
@user-hq5qx1hu2x 21 день назад
Hilo ndo hitaji letu
@idiphoncekiimbi2021
@idiphoncekiimbi2021 21 день назад
Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu
@barakamwangeni6589
@barakamwangeni6589 21 день назад
Hongera sana mh Tulia Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ 22 дня назад
Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana
@josephminja7953
@josephminja7953 22 дня назад
RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 22 дня назад
Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.
@Thobiaslucaskipara
@Thobiaslucaskipara 22 дня назад
IPO KAZI
@mwarabukabandama3797
@mwarabukabandama3797 16 дней назад
Big up🎉
@issakawaya8315
@issakawaya8315 22 дня назад
Ongera mauwa yako❤
@jonahmathayo5156
@jonahmathayo5156 22 дня назад
TULIA NI DOCTOR KWELIKWELI SHE DESERVES TO BE A PROFESSOR
@rashidkingazi3430
@rashidkingazi3430 20 дней назад
Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤
@edgarlinus2720
@edgarlinus2720 22 дня назад
Hongera sana Mh spika Tulia Akson
@maidimples8236
@maidimples8236 22 дня назад
Ur accent is fly for sure🔥
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 22 дня назад
Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂
@user-zr1ry5lm7d
@user-zr1ry5lm7d 22 дня назад
Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉
@MuungwaMtwana
@MuungwaMtwana 22 дня назад
Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus
@AdamuIbrahimu-e9m
@AdamuIbrahimu-e9m 9 дней назад
Safi spika wetu TULIA.
@georgeherman5613
@georgeherman5613 7 дней назад
President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries
@GeradLeonard
@GeradLeonard 20 дней назад
Hongera sana mh Tulia
@nyaturuboy1068
@nyaturuboy1068 22 дня назад
I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god
@nth3512
@nth3512 21 день назад
Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 дня назад
Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 22 дня назад
Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 дня назад
@@ramadhanmahongole9293 Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.
@johnv6916
@johnv6916 22 дня назад
​@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 дня назад
@@johnv6916 Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.
@johnv6916
@johnv6916 22 дня назад
@@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.
@SilasKanunga
@SilasKanunga 22 дня назад
Inapendeza sana
@victorburetta2972
@victorburetta2972 22 дня назад
❤❤
@user-uh5rs7me2m
@user-uh5rs7me2m 21 день назад
Tulia akson🔥🔥🔥🥰
@rev.thobias2756
@rev.thobias2756 2 дня назад
HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF
@AthanasFrancis
@AthanasFrancis 11 дней назад
Long live African Queene!!
@godmbise-gj9ug
@godmbise-gj9ug 15 дней назад
Great Tulia Ackson
@selemanisabihi5994
@selemanisabihi5994 22 дня назад
Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 15 дней назад
Wow....madame speaker congoreee
@The_Original44
@The_Original44 22 дня назад
Piga kazi dada yangu🫡🙏❤️ God Bless You All🙏
@SirPiere
@SirPiere 22 дня назад
Dah kweli tuongee na Putin the tujitambue ni nini tunafanya tusiende kama maonyesho kwa Putin ❤ just like it🎉 Doctor and Tanzanian speaker
@jimmandela
@jimmandela 22 дня назад
Inaonekana alikua na wakat mzuri nchini Russia kuliko alichoenda kuzungumza
@neemakyando2579
@neemakyando2579 20 дней назад
Congratulation Tilia Ackson
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 22 дня назад
HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 22 дня назад
Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅
@KelvinMauky
@KelvinMauky 22 дня назад
Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh
@Sh_Taqee
@Sh_Taqee 22 дня назад
Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?
@linusluka5358
@linusluka5358 13 дней назад
Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima
@swahilitheafricantongue7041
@swahilitheafricantongue7041 22 дня назад
Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 22 дня назад
Mshukuru nawewe mungu kwa nafasi yako
@swahilitheafricantongue7041
@swahilitheafricantongue7041 22 дня назад
Always namshukuru sana
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 20 дней назад
Hongera mama yetu
@zefamange7281
@zefamange7281 22 дня назад
Mnafikiri urusi kuna msaada?😂
@EmanueliSimbwe-ru5fu
@EmanueliSimbwe-ru5fu 18 дней назад
Asante Tulia Ackson
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es 22 дня назад
Glory be to God kwaajili ya speaker wetu
@NkwabiMasanja
@NkwabiMasanja 22 дня назад
Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 22 дня назад
Yeah Putin I love you so much come and invest in Tanzania we have enough urenium in the southern part and also construct us a good standard gauge railroad from mtwara to songea Ruvuma to boost the economy in mtwara development corridor.we love you Putin and Russia.karibu sana nchi ya Mwl.Nyerere.
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 21 день назад
Nimependa Brics ❤
@rodamkunda9081
@rodamkunda9081 20 дней назад
Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia
@herilello4
@herilello4 22 дня назад
Happening Macho
@holyspiritpropheticministr3687
@holyspiritpropheticministr3687 22 дня назад
Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go
@user-vy9en5ly1z
@user-vy9en5ly1z 15 дней назад
Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.
@HABARIKATV-q3w
@HABARIKATV-q3w 22 дня назад
Duh aise noma putin
@TimothyAlex-it2lm
@TimothyAlex-it2lm 16 дней назад
Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala
@AtupokleLusago
@AtupokleLusago 16 дней назад
Hongela mama umetuwakilisha wa tz.
@eliudbeyanga8575
@eliudbeyanga8575 11 дней назад
Safi spika wetu
@kibwetere1418
@kibwetere1418 22 дня назад
Pootin jama katulia na tulia wetu
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 21 день назад
Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪
@mwamvitamwebeyo5547
@mwamvitamwebeyo5547 20 дней назад
Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka.. Kwa kichwa😂😂
@zully756
@zully756 22 дня назад
Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.
@professorimmah
@professorimmah 16 дней назад
Mh tulia your very brain I really likely your talking
@emanwelmsuya7320
@emanwelmsuya7320 22 дня назад
Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa
@user-kd6hp1pl5k
@user-kd6hp1pl5k 22 дня назад
KAZI NJEMA SANA JEMBE LETU LA MBEYA CITY.MUNGU AKULINDE
@NkwabiMasanja
@NkwabiMasanja 22 дня назад
Jembe kwakoooo
@user-hq5qx1hu2x
@user-hq5qx1hu2x 21 день назад
Mungu hawezi kumsamehe Acha unazi katika maslahi ya nchi.swala la mpina ni uonevu soma nilicho andika hapo juu
@igotv9978
@igotv9978 22 дня назад
Sawa
@japhethrogasiano-hp3lj
@japhethrogasiano-hp3lj 18 дней назад
Mama tulia umeongea vizuri sana
Далее
Как похудеть на 10 кг ?!
07:06
Просмотров 573 тыс.