Тёмный

UNAWEZA PATA MTU SAHIHI HATA KAMA UNAWATOTO | NILIDAI TALAKA MWENYEWE | BINTI HAKIKISHA UNAKIPATO 

Official Dating Assistance
Подписаться 44 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Terry ameeleza maisha yake kutoka Tanzania mpaka Belgium, ambapo ameeleza alikutana na changamoto ya ndoa ambapo ilibidi aivunje ndoa yake ili apate amani yake
Anakwambia mwanamke hakikisha unakipato chako ili uweze kuanza upya usikae sehemu ambayo unateseka moyoni.
Kua na watoto sio kigezo cha kukosa kupendwa na kupata mtu sahihi.
Never settle for less, ingia kwenye mahusiano kwa nia safi na sio kwasababu ya kupewa maisha mazuri.
Thank you Terry for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 139   
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 месяцев назад
Beautiful with brain❤❤❤nimekupenda dada kwa kufahamu thamani yako na nini unahitaji katika mahusiano. Hii ndo imekupelekea kupata Mr.Right,hongera sana kwa kuwa mpambanaji,Mungu akukuzie wanao..
@happinessshija5136
@happinessshija5136 5 месяцев назад
Umeolewa ndoa mbili,umezaa na wanaume watatu tofauti na bado umeolewa mwanaume ndoa ya tatu,UMENIFANYA NILALE USINGIZI MNONO SANA asante Kwa kuwa mkweli umenisaidia single mazazi mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
Ndoa mbili sio tatu😊
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 4 месяца назад
She s selfish nd Feminist 😂😂😂 huyu Dada atakuponzeni ana Matatizo!hana Raha hata kidogo.hana namna nyingine. Mwanaume wake ni Wale wanaume zaifu🤣 Fikra zake mbaya sana.badaa ya kuzaa watoto na wanaume mbalimbali ye anatoloka tu ili apate furaha yake,hajali mazala yake na watoto je wanafurahia!?. Anavunja familia za wana ili awe na furaha yake binafsi. Ndoa si mahali pa furaha.ni Msingi mgumu wa familia Huezi ondoka tu sababu hufurahii. Huo Mme s not Mature, he a weak Una m control ndo maana unasema mnaendana.
@NoraNora-gv7md
@NoraNora-gv7md 4 месяца назад
😊​@@burundishallsmile1day109
@AngelBulo
@AngelBulo 3 месяца назад
​@@burundishallsmile1day109wewe hujielewi. Sikiliza story yake vizuri. Halafu si wewe umemuoa acha mke wa wenyewe
@hamy255.
@hamy255. 5 месяцев назад
Mdada mzuriii and intelligent 👌 ❤
@reginajohnmaghisa322
@reginajohnmaghisa322 5 месяцев назад
Nampa hongera Sana huyu binti, kujitegemea ni kuzuri Sana wakina mama.
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 5 месяцев назад
Mungu akubariki dada,nimejifunza kitu hapa shuhuda nzuri mpendwa, Hata hapa kwetu,tz hapa wapo , ndoa watu wa 4,hongera kwa Kütahya maamzi magumu ,yupo Mungu amekuandalia ubavu wako dada huyo baba haikuwa mpango wa Mungu,
@hellenmwasalwiba6555
@hellenmwasalwiba6555 5 месяцев назад
A very strong woman, may God continue to bless you.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 5 месяцев назад
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh dada yangu pole sana umepata shida sana mungu mwema
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 5 месяцев назад
Hongera wajina mimi nnimependa unabidi ufuate moyo unachotaka
@jacqulinemihayo3544
@jacqulinemihayo3544 5 месяцев назад
Hongera sana Terry..maturity kubwa..hongera shena kwa interview nzuri.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Shukran dear Terry is amazing 🥰
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 5 месяцев назад
Ninachokiona dd unaheshima sana na bahati mashallah
@WandishaNatianota
@WandishaNatianota 5 месяцев назад
Super Woman❤
@evelynlyimo1557
@evelynlyimo1557 5 месяцев назад
Pongezi za dhati kwa wadada wenzangu wanaojitambuaa,,.Terry hapo Dela kumwacha mwanaume kiistarabu nimekuelewa bila doubt..yaani unaamua kufungasha ujiendee ukapate amani...I really admire such a lady who can say I'm done and dusted,,hugs to you,,be courageous be smarter be amazing 👏
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
❤️❤️
@praisetashblessed7065
@praisetashblessed7065 5 месяцев назад
Mawaidha mema kabisa dada zangu.nimesoma mengi toka kwako mgeni wetu leo hongera na Mora akulinde dear na jamii yako.
@ruthkyambila397
@ruthkyambila397 4 месяца назад
Hongera sana binti una "courage" sana nimeipenda story yako.Sina la kusema juu yako ila Mungu akupe maisha marefu ,Watoto na mumewe wako wa sasa
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 5 месяцев назад
Kwa kweli taf Lady mpole mazungumzo mazuri. Bonsoir madame Je Suis tres contant
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 5 месяцев назад
Barikiwa sana dada mwenyezi mungu akutangulie
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 5 месяцев назад
Nimempenda huyu dada yupo very understanding
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 5 месяцев назад
Tegemezi ni kasumba tu, ambayo wengi tunatakiwa kujibadilisha na kujiwezesha wenyewe na kuongeza nguvu. Mazungumzo mazuri, asanteni.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
🙏🙏
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus 5 месяцев назад
Binafsi sipendi kuwa tegemezi yaani we acha tu Mungu anajua
@ednaednamillanzinia2826
@ednaednamillanzinia2826 5 месяцев назад
Alifunga ndoa halafu akikaa bongo mwakana nusu kama sijakosea ndio aende ulaya,mm nilifunga ndoa 2018 ,niliamia Finland 2021 ,kwa hiyo nilisota kidogo ila nimejifunza kitu ,kwanini Mungu aliruhusu nisote kidogo.Nashukuru Mungu kwa yote na rehema zake.
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 5 месяцев назад
Mambo warembo, nawapenda, naomba kama hupendi hiki kipindi acha kuliko kutukana sisi tunajifuza vingi sana , kuweni wasarabu msikometi vitu visivyo faaa pls wa tz wazangu.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Ni mtihani kweli, kuna watu wanachuki mpaka wanashangaza sijui hata wanafanya nini hapa..
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Ulipata nguvu ya kuachana baada ya kupata kazi. Hongera Ila mwisho wa siku maisha hayafanani,kila mmoja ba na bahati yake kuna wadada wanafanya kazi lkn waume zao hawana muda na pesa zao wanapewa kila kitu
@dayana5513story
@dayana5513story 5 месяцев назад
Ubarikiwe sana mrembo hakika nimejifunza kitu,stay blessed shena ❤
@hora8707
@hora8707 5 месяцев назад
Asante kwa story
@flaziaisack4038
@flaziaisack4038 5 месяцев назад
The lady is so composed.. nimemfurahia❤
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
❤️❤️
@ESTHERKamala-qp7gi
@ESTHERKamala-qp7gi 5 месяцев назад
Ongera sana Teddy wambie wasikie watoto wetu uku wasikie
@praisetashblessed7065
@praisetashblessed7065 5 месяцев назад
Dada Terry asante sana kwa darasa la siku.ya leo.
@miriethdjozep6556
@miriethdjozep6556 5 месяцев назад
Im proud ov u terry 100%
@roseswedi5274
@roseswedi5274 5 месяцев назад
I love this lady...she knows her worth.. The first guy was a narcissist.. She doesn't give up..kindly go back n learn full time nurse
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 5 месяцев назад
Kumbe live Sikuwa nimechelewa sana,mahojiano yaneenda kwa kusikilizana kwa utaratibu mzuri hongereni kwa utulivu wenu.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Shukran dear
@JaniferMichael
@JaniferMichael 5 месяцев назад
Huyo dada anaongea vizuri sana anaongea taratibu mpaka raha
@reneebill3742
@reneebill3742 5 месяцев назад
Well done Terry, it's brave to share your story. I am super proud of you❤❤❤
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
Thanks darling 😘😘
@AngelBulo
@AngelBulo 3 месяца назад
We wanadamu wote ni sawa. Nilidet na black America guy guy ni uchungu mazee
@immaculatakadyanji5927
@immaculatakadyanji5927 5 месяцев назад
Mahojiano mazuri sana.
@MmungaMbele-u1o
@MmungaMbele-u1o 5 месяцев назад
Pole sana.
@samsunggalax8258
@samsunggalax8258 5 месяцев назад
Oh u are strong woman mami❤
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 5 месяцев назад
Da shena naitwa Fatma nipo turkey Kuna mambo nayaweka sawa Inshallah Natashea nawewe story maana Kuna yule dada alisema waturuki wanatesa mm nipo kinyume nayy ila mm nimeolewa ngoja niongee na Mr akiniruhusu nitakucheck.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Karibu sana dear
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 5 месяцев назад
Nakusubiriaa kwa hamu uje maana na admire sana utamaduni wao hasa chakula jamani natamani siku niende nikale chakula chao tu kisha nirudi vinaonekana vitamu sana😅 kuhusu kuolewa nao bado najitafakari labda mpaka nikishaona interview yako😅
@aminahashim6882
@aminahashim6882 5 месяцев назад
Nasubiri maana naipenda sana iyo nchi sijui nitafikaje huko
@mmarycalvin6395
@mmarycalvin6395 5 месяцев назад
Turkey is a good country. But you need to have a reason to be here in Turkey.
@OlipBeautyCorner
@OlipBeautyCorner 5 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅
@LucyJoseph-pb4um
@LucyJoseph-pb4um 4 месяца назад
Safi ujumbe mzuri
@DarKopo
@DarKopo 5 месяцев назад
Nimekupenda ulikuwa na misimamo yako😊
@jacqulinemihayo3544
@jacqulinemihayo3544 5 месяцев назад
Hutakiwi kukata tamaa,watu wazuri bado wapo😊kikubwa jua unataka nin?.Kuwa independent ni muhim sana kuwa na cha kwako.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
❤️❤️
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 5 месяцев назад
Kabisa watu wazur bado wapo
@happystevemaganga1873
@happystevemaganga1873 5 месяцев назад
Nimempenda huyu dada Ana akili sana❤
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 5 месяцев назад
Nimependa Sana huyu Dada
@hellenelias8854
@hellenelias8854 5 месяцев назад
Hapo ndo napowaheshimu wazungu,uhusiano utaisha ila kama watoto wapo watawajali hadi mwisho. kuna cha kujifunza kutoka kwao.
@Selinawangusu
@Selinawangusu 5 месяцев назад
My sister Terry 🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
Hello darling ❤️❤️❤️❤️😘😘
@glorymrema9239
@glorymrema9239 3 месяца назад
GIVING UP IS NOT IN MY DICTIONARY, Nmeupenda huu msemo na nitatembea nao🤝🏼
@amoskipruto5872
@amoskipruto5872 5 месяцев назад
Huyu dada ni mrembo sana
@ednaednamillanzinia2826
@ednaednamillanzinia2826 5 месяцев назад
Asante Shane kwa interviews motomoto
@halimamkuta5704
@halimamkuta5704 5 месяцев назад
Terry ni super woman nmempenda naongea taratibu
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 5 месяцев назад
Wazungu wenyewe wana kwenda Africa kuolewa na wanaishi vizuri tuu Tena vijijini Hata WA Masai
@benadethalupembe-cj7ot
@benadethalupembe-cj7ot Месяц назад
dada shena sipati video zako mpya
@marykatunzi2613
@marykatunzi2613 5 месяцев назад
Hongera dada
@NzeyimanaVéronique
@NzeyimanaVéronique 4 месяца назад
Uyu dd kW kweri ananifurahish na mutaradibu
@irenembura8045
@irenembura8045 5 месяцев назад
Nimekupenda sana unavyoongea na unajiamini saana, sio kama wengine yuko ulaya mwaka tuu hata kiswahili kuongea ni shiida!!!
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 5 месяцев назад
Umehonae yuko vzr
@dominaferuzi3901
@dominaferuzi3901 5 месяцев назад
Wazungu wana maisha kama yetu tamaduni ndio zinatofauti Wazungu wana tabia zote tulizonazo watanzania zote mbaya na nzuri
@dominaferuzi3901
@dominaferuzi3901 5 месяцев назад
Pia wadanganyifu na ubabaishaji kuna wanaobabaisha
@AngelMinga-x6b
@AngelMinga-x6b 2 месяца назад
Naomba namb yako ddaa
@SophiaJoseph-k9m
@SophiaJoseph-k9m 2 месяца назад
❤❤
@AngelBulo
@AngelBulo 3 месяца назад
Dada nimependa msimamo wako. Wewe ni super woman
@AgripinaPaul
@AgripinaPaul 2 месяца назад
Mtu anawezaje kudeti?
@winniemyamba1630
@winniemyamba1630 5 месяцев назад
Terry! Shoga etu miss you
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
😍😍😍 upo kumbe nawewe huku
@winniemyamba1630
@winniemyamba1630 5 месяцев назад
Terry nazama DM umenikosha
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
@@winniemyamba1630sawa karibu
@karthala6676
@karthala6676 5 месяцев назад
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 5 месяцев назад
Wabaya sio woote na Wazuri wapoo Isolate. Tamaa
@jasminemussa
@jasminemussa 5 месяцев назад
❤❤❤terry
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
❤❤❤
@Selinawangusu
@Selinawangusu 5 месяцев назад
Tupé nafasi Na sisi huku Sweden, tukupe expeariance yetu , itawasaidia watazamaji wengi
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Karibu sana Tuwasiliane whatsapp +4367764790884
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 5 месяцев назад
Huyo mtanzania alikuwa anaenda n'a kurudi sababu ni Mask a covert narcissist alikuwa has other supply /supplies huwa wako hivyo ,hongera ulikuwa n'a msimamo angekuumiza sana .
@angelibrahim5539
@angelibrahim5539 Месяц назад
Jamani Nina ndooto ya kuorewa bari na afirika samahani Nina omba ushauri nimepata Muchumba ambae rafiki yangu arinionganisha Yuko zibwabe tuna wasiriana kwa njia ya wasap ira ana watoto Saba nami Nina mtoto moja tuu naomba ushaur
@samniza9015
@samniza9015 5 месяцев назад
Ni mentality ya Huko Huko home. Malezi sijui!! I don't know, nimeondoka bongo nikiwa bado shule, nikafika hapa kuendelea na masomo na culture ya huku ni wote mnatafuta, wapo wenye pesa ambao wanataka uwe Mama wa nyumbani kama mahali popote pale duniani, but majority is we work and contribute .
@bugesimataso6478
@bugesimataso6478 4 месяца назад
Yani suala la kujitegemea kiuchumi ni kitu cha muhimu sana ata kwa sisi ambao tuko nyumbani Tanzania.
@ChantalMugirwanake-p3k
@ChantalMugirwanake-p3k 5 месяцев назад
I want to help someone but dont know how maybe you can advise??
@elingimiemakundi1229
@elingimiemakundi1229 5 месяцев назад
Kindly check with me
@maishayetu6182
@maishayetu6182 5 месяцев назад
What kind of help do you want to offer
@AngelBulo
@AngelBulo 3 месяца назад
Nilivumilia ikanishinda
@LeilaMussa-sn8uz
@LeilaMussa-sn8uz 4 месяца назад
Dada ninejifunza mengi kupitia hii story hii but nahitaji ushauli nina mzungu ni from Germany tunamahusiano miaka mi 3 sasa lakini hana future yeyote simuelewi nishauli nifanye Nini
@JazilaSiraja-st8cu
@JazilaSiraja-st8cu 2 месяца назад
Huyo anaetukana achana nae kuathirika kisaikology s jambo dogo😂😂
@flomenakamugisha
@flomenakamugisha 5 месяцев назад
Shena naomba nielekeze namna ya kulipia kwenye app
@agathathobias8690
@agathathobias8690 5 месяцев назад
Mahojiano yamependeza usikivi umetulia
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
🙏🙏
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 5 месяцев назад
Nmekuja susikiliza yasonihusu😊😅😅😅 nna usingizi ila ntasikiliza tu😂
@benjaminwabenga9068
@benjaminwabenga9068 5 месяцев назад
Kipindi kizuri sana.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
🙏🙏
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 5 месяцев назад
Sana
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 5 месяцев назад
Usikate tamaa na uhai bado upo
@karthala6676
@karthala6676 5 месяцев назад
Watu wawache kufikiri mzungu anamapesa. Umaskini télé ulaya
@ChantalMugirwanake-p3k
@ChantalMugirwanake-p3k 5 месяцев назад
Dada Shena naomba number yako please.
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 5 месяцев назад
Huwezi pata mali ya mzungu , hujachuma nae , hasa hapa Belgium . Chuma chako 😅
@maernov4257
@maernov4257 4 месяца назад
Dada nakupataje naitaji kuongea na ww nimependa kipindi chako
@ChantalMugirwanake-p3k
@ChantalMugirwanake-p3k 5 месяцев назад
Dada Shena naomba number yako please
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Hata mi hiyo ndoa ingenishinda Wazazi tena kuingilia mambo yenu sio issue
@chapter2719
@chapter2719 5 месяцев назад
Huyu dada nampongeza kuolewa na usingle Mama watoto watatu lakini kutuambia alikuwa anagari na kazi siamini maana hiyo nchi ni ngumu sana
@Terryhermajesty
@Terryhermajesty 5 месяцев назад
Kwanini usiamini? Kila mtu Mungu amemuandalia maisha yake hatufanani. Asante kwa pongezi 🫶🫶
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Nchi zote ni ngumu kama huna documents na hujaamua kusoma lugha zao na taratibu zao.. Ugumu unaweza ukawa umeupata wewe na wengine wasipate 🤷‍♀️
@tinaminja5500
@tinaminja5500 5 месяцев назад
How r uuu
@meshofatma1033
@meshofatma1033 5 месяцев назад
Nimekukubali sana dada yan upo kama mimi
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 5 месяцев назад
Naomba namba yako mimi ni ltaliy roma
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
+4367764790884
@DoreenMwanga-dg7xp
@DoreenMwanga-dg7xp 5 месяцев назад
Jamani mtu anayetukana ajalazimishwa kuangalia mbona kuna vitu vingi vya kuangalia tuwe na adabu muda mwingine tuheshimu mda wa mtu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 месяцев назад
Tena anaangalia mwanzo mwisho ili atoe matusi, Afya ya akili ni muhimu sana
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 5 месяцев назад
Da shena achana nao hao
@angelibrahim5539
@angelibrahim5539 Месяц назад
Arikua na mke ira arifariki naomb ushauri dada yake
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 4 месяца назад
Ukisikia Mwanamke anawashauli wenzake wajitegemee,wasitegemee waume zao basi vua viatu,kimbia sana Shetani. Feminists like this 1 are the reason women break families. For selfish Happiness
@sellysang7504
@sellysang7504 5 месяцев назад
Hi beautiful people 💕 hi Shane I left a message for you in WhatsApp ❤❤❤❤🎉
@Keyjop
@Keyjop 5 месяцев назад
@officialdatingasistance mbo kuipata hiyo app imekua ngumu saana ..naipataje?
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Ingia play store, dating app nyingi sn kazi ni kwako hakuna ugumu wowote
@annamallya8756
@annamallya8756 5 месяцев назад
❤❤❤
@hedayamohammed2781
@hedayamohammed2781 5 месяцев назад
@jackiesfood
@jackiesfood 5 месяцев назад
❤❤
@MonicaGaino
@MonicaGaino 5 месяцев назад
❤❤
@Oman-p8x
@Oman-p8x 5 месяцев назад
❤❤
Далее
KOSA LA MOYO KUPENDA: SIMULIZI TAMU YA SAUTI.
2:00:37
Просмотров 7 тыс.