Terry ameeleza maisha yake kutoka Tanzania mpaka Belgium, ambapo ameeleza alikutana na changamoto ya ndoa ambapo ilibidi aivunje ndoa yake ili apate amani yake
Anakwambia mwanamke hakikisha unakipato chako ili uweze kuanza upya usikae sehemu ambayo unateseka moyoni.
Kua na watoto sio kigezo cha kukosa kupendwa na kupata mtu sahihi.
Never settle for less, ingia kwenye mahusiano kwa nia safi na sio kwasababu ya kupewa maisha mazuri.
Thank you Terry for allowing this to be online
www.oda.international
14 окт 2024