Тёмный

UPENDO PENEZA HUYOOO CCM -AMBWAGA MANYANGA CHADEMA! -AFUNGUKA MAZITO -"MAANDAMANO ni KUTAFUTA MTAJI" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@globaltv_online
@globaltv_online 9 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 9 месяцев назад
Nimesikitika sana , kweli huu ni usaliti mkubwa kwa CHADEMA. Si nzuri
@chazyteshakimaro4659
@chazyteshakimaro4659 9 месяцев назад
eneza peneza peneza nimekuita mara tatu, MUNGU anakuona na malipo ni hapa hapa duniani!!! blessed
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 9 месяцев назад
Pole sana PENEZA.CHADEMA imekulea na kukuza.
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 7 месяцев назад
Uchaguzi umekaribia mtanunuliwa sana vibaraka wa ccm!
@DuniaCharles-qr3ed
@DuniaCharles-qr3ed 9 месяцев назад
Upendo mungu anakuona malipo ni hapahapa mbinguni hukumu
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 9 месяцев назад
Sijui ccm wamempatia ahadi gani. She is a strong girl. Anyway ndiyo siasa za Tanzania. Bila shaka wamemuahidi something, let us wait and see.
@dennisungonella205
@dennisungonella205 9 месяцев назад
Hapo ni vyeo sio kingine, time will tell
@TrustElbashil
@TrustElbashil 9 месяцев назад
Peneza,peneza mungu anakuona tamaaa ulio nayo
@JaphetLameck-kw4yq
@JaphetLameck-kw4yq 5 месяцев назад
Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.
@NixonGerson
@NixonGerson 9 месяцев назад
Yupo sawa nimemuelewa mimi ni binti huyu ..tumepata mbunge Geita .. mungu yupo..
@thomsanga7956
@thomsanga7956 9 месяцев назад
Yaani amtoe msukuma huyu 😁😁😁 haiwezekani
@angelmteli611
@angelmteli611 9 месяцев назад
Huyu ni Chadema! Ccm kuwen makini!
@J.WEZATv
@J.WEZATv 9 месяцев назад
So emotional
@neemanziku5403
@neemanziku5403 3 месяца назад
Kweli wanafiki wapo na vigeugeu
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 9 месяцев назад
Akuna mungu wa chadema Mungu wawote ongela dada
@ahazinelson6351
@ahazinelson6351 4 месяца назад
Huyu dada yuko vizuri sana nilimfuatilia sana kampeni zake za kugombea ubunge geita mjini CHADEMA.
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 9 месяцев назад
Respect upendo❤❤
@dennisungonella205
@dennisungonella205 9 месяцев назад
Duh, maisha magumu kwa kweli, huyu dada sikuwahi kumwamini kamwe...itakuwa ahadi ya cheo
@dottomatola5905
@dottomatola5905 9 месяцев назад
Na Bado mtasema mmeibiwa
@Mosesndahani
@Mosesndahani 9 месяцев назад
Upendo umechelewa sana kujipendekeza ccm sasa. Weka akiba ya maneno.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 месяцев назад
Uyo dada yuko vizur atapata kazi ,bola huyo kuliko akina halima
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 9 месяцев назад
Ama kweli Njaa haina adabu
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 2 месяца назад
Sura yako wewe siyo mwanasiasa wewe ni kuhubiri neno la Mungu
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 9 месяцев назад
WanaCCM wenyewe wanakushangaa 🤣🤣🤣🤣
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 9 месяцев назад
Dada umekosea Sana ccm watakupoteza hutojulikana
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 9 месяцев назад
Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali. Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 9 месяцев назад
Huyu hana akili huyu
@adammbuba7230
@adammbuba7230 9 месяцев назад
Hongera sana kamandaaa
@EliaEgbert
@EliaEgbert 9 месяцев назад
Karibu sana
@florencemeza6540
@florencemeza6540 9 месяцев назад
Uamuzi mzuri chadema cha wachaga
@mangenyanyondo8691
@mangenyanyondo8691 9 месяцев назад
Daaaah naumia sanaa kukisema chama vibaya ambacho kimekulea
@davidkiswaga4453
@davidkiswaga4453 9 месяцев назад
Kwan wao hawakulelewa na ccm lakini wakaisema na kuilaani na hailaaniwi ww vp
@dennisungonella205
@dennisungonella205 9 месяцев назад
Alikoenda ccm kaharibu kabisaaaa.
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 9 месяцев назад
Ccm oyeeeeeeeee Dada ongela kalibu ccm
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 9 месяцев назад
Huyo dada njaa hana jipya, chadema imemsaidia kujulikana pia alipata pesa sasa zineisha, kaona ccm ndio kuna pesa za kumwaga
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 9 месяцев назад
Ccm wanawanunua chadema tu ndio chama makini ila ulaaniwe na malipo hapahapa
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 9 месяцев назад
Yaani umekubali kununuliwa Unaungaje mkono wakat Sukari Nyama n Nauli Mafuta vimepanda Umeme hakuna Maji hakuna Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 9 месяцев назад
Dunia nzima maisha yamepanda mara mbili mpaka tatu mwamba.. tafuteni point Nyengine
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 9 месяцев назад
@@axmedcumar6196 nambie nchi gani vitu vimepanda bei zitaje kwa majina
@MoiseDilengaOfficiel
@MoiseDilengaOfficiel 9 месяцев назад
Bien 🎉🎉🎉🎉🎉
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 9 месяцев назад
Njaa
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 9 месяцев назад
Wanachadema wote mnaomtakia mabaya upendo ubaya utawakuta nyie kwa jina la yesu hayamfik upendo
@JaphetLameck-kw4yq
@JaphetLameck-kw4yq 5 месяцев назад
Pendeza kumbuka ccm imepora majengo ya selikali na kuyageuza kua ofic za ccm.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 9 месяцев назад
Dada wala usijali tunajua unatafuta fursa CCM.
@emanweljohn1240
@emanweljohn1240 3 месяца назад
Wewe dada hubakia ya kizalendo wewe pole sana
@andrewnyaisa4445
@andrewnyaisa4445 9 месяцев назад
Huyu kaogopa vitisho babaake alitaka kuwawa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 9 месяцев назад
Wanaomsikiliza huyu Upendo wanapotezewa muda wao hana jipya anatafuta ulaji wa tumbo lake wala hajui kuongea
@Zanzibar-e4h
@Zanzibar-e4h 3 месяца назад
Tanganganyika tatizo Leo tamaa mnaweka pesa mbele nandomana viongozi wanakula bata raiya wanazalilika
@gangan4618
@gangan4618 5 месяцев назад
Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 9 месяцев назад
Maskini Pendo ni wa kuonea huruma... maneno yanayomtoka sio yake... Siasa ngumu 🇹🇿 yahitajika msuli
@AlphaMartine
@AlphaMartine 5 месяцев назад
Chadema inalea Ccm Inavuna
@EsterSharikieli
@EsterSharikieli 5 месяцев назад
Wanao mdharau Upendo watamwona akingarra kama dhahabi
@gangan4618
@gangan4618 5 месяцев назад
Kweli atang'aa kama dhahabi.
@Mosesndahani
@Mosesndahani 9 месяцев назад
Upendo mimi naona akili zimekuondoka
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 9 месяцев назад
😂kwanini bro?
@BenezethBwikizo
@BenezethBwikizo 9 месяцев назад
Hongera umechagua kilicho chema dada
@muurasilas
@muurasilas 5 месяцев назад
Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu. Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama. Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.
@annapeter-wb6iv
@annapeter-wb6iv 9 месяцев назад
Siasa sayansi kilimo
@mussathomas7421
@mussathomas7421 9 месяцев назад
Bado siaminiiii
@HassanKings-e7u
@HassanKings-e7u 9 месяцев назад
Kweli anataka nafasi lakini naamini anacho kiongea ni ukweli mtupu mana hapo anayatoa yele ya ndani ya chama
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz Месяц назад
umeshidwa vita msaliti kwendaa
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 7 месяцев назад
Chadema hatubembelezi wahuni huki tunaishi makamanda tupi
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 9 месяцев назад
Huyu mpuuzi tu njaaa inamla
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 9 месяцев назад
Chadema hamna ktu kumbe ofis mmejenga kwa ruzuku ya ccm😂😂😂
@marcokanyama4533
@marcokanyama4533 7 месяцев назад
Anaongea upuuzi TU Japo karibu chama kubwa ambalo Huwa hata wanafiki kama wewe linaishi nao tu...
@castromemba6311
@castromemba6311 9 месяцев назад
Huyu Dada ni Mtanzania kweli mbona Kama Mnyarwanda.
@selegioelias9076
@selegioelias9076 5 месяцев назад
Swaligani Sasa Tusi their bone to rule
@HemedKiama
@HemedKiama 9 месяцев назад
Nakuhurumia pumbaf,ndio umeisha,kweli ndio mana wanajeshi kwa wasaliti Kama hawa hukumu yao ni kunyongwa,!..
@florencemeza6540
@florencemeza6540 9 месяцев назад
Nenda kaandamane
@ChrispiniBuruchard
@ChrispiniBuruchard 5 месяцев назад
Hata vitabu vinasema tuishi nanyie KWA hakili we niyuda
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 9 месяцев назад
Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im 3 месяца назад
Njaa inamsumbua
@mashakaalfred7827
@mashakaalfred7827 6 месяцев назад
Chadema wasikujibu maana wewe nimujinga
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 9 месяцев назад
Upendo wa Maisha Plus kipindi cha Masoud enzi zilee nani anakumbuka alivyofanya jini mmoja akapandisha mashetani akapiga vibao
@afropatriot7769
@afropatriot7769 9 месяцев назад
Kagame/aic recruit
@victaboy7273
@victaboy7273 9 месяцев назад
Siamini wanasiasa tenah
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 9 месяцев назад
Chadema kama inawauma chomoen
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 8 месяцев назад
Sio nchi Yako SEMA pesa zaidi
@selegioelias9076
@selegioelias9076 5 месяцев назад
Huyu dogo ni mnyamaru kagame One Their bone to rule
@selegioelias9076
@selegioelias9076 5 месяцев назад
Hima empire tusi empire
@mangenyanyondo8691
@mangenyanyondo8691 9 месяцев назад
Cheki wanaccm walivokodoa macho mwenzenu anakuwa mkuu wa mkoa
@FratteMlay
@FratteMlay 5 месяцев назад
Ajielewi huyo umeamua kuondo funga mdomo wako ipo cku utajutia maneno yako
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 9 месяцев назад
Fala na toa njaa zako hapo.
@zunnually5886
@zunnually5886 9 месяцев назад
Asiwe katumwa na Chadema huyu dada!!
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 месяца назад
Wewe nimuongo nyie lambalamba usaliti mkijua katiba inawaleta hamna lolote napoteza muda kukusikiliza
@adammbuba7230
@adammbuba7230 9 месяцев назад
CCM NI KUBWAAAAAAAAAAAAAAA😂😂😂😂
@GodfredAlfredNgarama
@GodfredAlfredNgarama 7 месяцев назад
Kinachokuhamisha ni njaa tuu hauna jipya
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 9 месяцев назад
Mimi katibu wa kata ya ludete nakutakia safari njema lakini mkumbuke mawazo aliye uwawa kikatili sana dada yetu upendo umesahau ni?
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 9 месяцев назад
Pumbafu kabisa huyu
@3349-c7l
@3349-c7l 3 месяца назад
Anakula matapushi yake mwenyewe
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 месяцев назад
Tayari ubunge unao dada usijali
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 9 месяцев назад
Sasa elimu yako unaenda kufanya kazi
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo 3 месяца назад
Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza
@ChrispiniBuruchard
@ChrispiniBuruchard 5 месяцев назад
Hunajipya wewe dada.,.
@mashakaalfred7827
@mashakaalfred7827 6 месяцев назад
Wewe mujinga
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 5 месяцев назад
Kwendraaa tetea tumbo lako unadhan kwa akili mgando kama zako unauwezo wa kulbadili hili taifa
@danielndam5997
@danielndam5997 9 месяцев назад
Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 5 месяцев назад
Wewe dr.wiblod silaa nyote hamuna chama nyote mulikua makada wa ccm Tanzania hamuna chama ila vyama vitakuja vibaraka mutapata shida
Далее
Three NEW MAPS in Update 0.31.0 Nightmare | Standoff 2
01:48
Wait for it 😂
00:19
Просмотров 2,1 млн
Patricia Kaliati wamangidwa pa mlandu wa treason
9:15