Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.
Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali. Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .
Yaani umekubali kununuliwa Unaungaje mkono wakat Sukari Nyama n Nauli Mafuta vimepanda Umeme hakuna Maji hakuna Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga
Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.
Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu. Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama. Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.
Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm
Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza
Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli