Simba nimeifuatilia Sana, tangu ianze pre season hd sasa kuna maeneo iko imara yaani ni zege, kocha kaimarisha eneo lote la ulinzi kiasi kuwafunga ni kazi ngumu. Hata ikitokea wkirusu ka goli ka moja huenda baada ya mechi 10. Eneo ambalo linasukwa ni mbele tu hawa jamaa wakicheza mechi 3 tu watakuwa wameingia kwenye mfumo kwani mapungufu Yao ni kidogo Sana na wanashinda mtalia hp baadaye midomo yenu itawaponza
Mkitaka hameni ligi hii, tume hoka visingizio vyenu, mara oohh bahasha,mara oohh gsm, oohh mara marefa, oohh mara kiwanja cha azam na taifa vina majini, tumechoka hameni mwendeni zanxibar au kenya, Uganda.
Simba wameamuwaaaa na bdo wafungaji hata wa 5 wafike nisawa tu kikubwa wawe wataalam wa kulenga golini ❤❤❤ mo dewji Mlete Mayele ama Fei toto kwa gharama yeyoteee
Simba wakati anachukua kombe mara 4 mfululizo timu nyingi hazikuwa na uchumi mzuri ilifika kipindi mpaka baadhi ya timu za mikoani walikosa nauri za kusafiria kwenda kucheza mechi simba ikatumia udhaifu huo kutawala ligi leo hii ligi inaushindani wanataka kuturudisha nyuma
unardixhwa nyuma kvp mdhamini mmoja haruhusiwi kudhamini timu zaidi 1 inayocheza ligi Moja mf fly Emirates,anadhamini Arsenal,Ac Milan,PSG,na real Madrid je unavyoona apo zinacheza ligi moja
Baada ya simba kuongoza misimu4, then mnavyochukua ninyi mara3, kuna timu gani Katie ya hizo ambazo hazikua na nauli zimeonesha ushindan ktk kuwania ubingwa'.
Kwaujunga unao fanyika kwa katika lingi yetu GSM kuzamini timu zaid ya6 uuniupumbavu wahali yajuu duniani kuna ujinga uliopo katika ligi yetu yewezekana TFF kunakitu wanapata kwa GSM tunaamini kwailo
kwanza nawapongeta sana viongozi wetu wa Simba, msimu huu mmesikiliza kilio Cha Wana Simba, tunaomba Fred maiko abaki, chonde viongozi Fredi abaki Simba tunaimani na fred
Azam hana tabu.tatizo lipo kwenye boss wenu anadhamin 6 na anakua ana uakika 36 point uu ni usenge unaofanyika tz .dunian kote akuna mdhamin anaedhamin team zaid ya moja kwenye nchi husika.tff wala rushwa
TFF ktk hili wanajikuta ni wa mchongo kabisa. Sanaa ni fitina ndio uendelee GSM lazima afanye figisu tu kumtoa mpinzani wake nje ya uwanja pitch kwao ni mazoezi tu
Ushamba tu, wanaacha tengeneza timu zao! Mnahangaika GSM eti asizamini timu zaidi ya moja, kuna kosa gani? Huko ulaya utakuta mzamini mmoja anazamini timu zaidi moja katika league moja. Kinachozuiliwa ni mmiliki mmoja kumiliki timu zaidi ya moja, kwenye ligi moja!!!
Simba wasitupangie sheria za mpira wetu. Azam wanafadhili timu ngapi?Pale TFF mmejaa Simba watupu mbona hamsemi wapunguzwe tuweke wa timu zingine? Na kwa nini mnaolalamika ni simba tu na vilabu vingine vimekaa kimya ? Na kosa lenu ni usajili mbovu uliopelekea kufanya usajili mkubwa na bado mmekosea tena maama bado mnatafuta mfungaji. Shida nyingine ni kwamba badala ya kumsikiliza kocha anapenda wachezaji wa aina gani nyie mnasajili hata bila kumwajiri kocha , kocha anawakuta wachezaji waliosajiliwa na Mo. Mo sio kocha wala hawajui wachezaji wala mpira. Simba mmefungwa na Yanga mara tatu mfululizo kwani mnafadhiliwa na GSM? Mkubali kuwa timu lenu ni bovu acheni visingizio.
Mnasema uwanja wa azam na uhuru wameweka uchawi ili muwe mnafungwa, huo kweli ni uelewa kwa dunia ya leo? Mkacheze lgii ya zanzibar au kenya, football limewashinda hapa bongo, washirikina na visingizio kibau, msubirini andambwire wa prison ambaye hadhaminiwi na gsm awanyoshe ndani nje ndo mkome visngizio. Na mwaka huu kazi mnayo, mtapigwa na timu nyingi.Tatizo hamjitambui kuwa mna usajiri mbovu, mna porapora wachezaji hovyohovyo bila kujali bado wana mikataba na timu zao.
Hasada haijawahi muacha mtu salama hivi kipindi mo ameweka udhamini wa mo coconut kwenye jezi ya namungo na coastal mlipiga haya mayowe au alizuiwa? Au aliacha mwenyewe?
Umasikin wako ndo unakufanya ushindwe kumiliki vitu vingi si ukiona mtu anadhamini team nyingi ni kwamba ana uwezo mkubwa, so sisi watanzania kwa kuwa tunawaza kubebwa tu kubwabwaja na kuongea tumbo bila kufikili maendeleo
Tatizo ninyie msiyo fuatilia mazungumzo siyo GSM kufadhili.Tatizo GSM ana fadhili lakini ana klabu yake pendwa Yanga, kudhihirisha hili ni pale anapo hojiwa na majibu Yanga bingwa.Sasa wewe ni baba wawatoto 7 kwanini umtaje mmoja ? Hata km ni bora km baba ubaki na lako moyoni. Sasa hivi 6 vingine maana yake ni sehemu ya kuchukuwa points tu .
Nampira wa kucheza. Na kipa. Sio mpira wanatuuzi mpira. Nikati. Sio kila mpira. Kucheza na kipa nihatari nakipa. Kila mda. Yupo mbele hadi. Mita 25huyo kipa ao streka
Tatizo ni elimu.. Azam .. anatoa pesa na timu yake imepigwa.. kwahiy timu zisipate pesa ili washindwe nauli ili muwe mnawalipia gest mpate ushindi.. ambiwe mzee Azam anatoa pesa kwa timu zote mbona anatota.!
wameanza na bado,tatizo wa simba hawajitafakari watachelewa sana,azam ana mkataba na vilabu vyote,emilates waliwahi kudhamini vilabu vyote england,mmeanza kuweweseka,mnajenga tim mulikuwa wapi ndiyo faida mlichelewa na kumtukana mangungu
kwani umeona emirate kajikita sehemu moja kama realmadrid arafu aseme ni bingwa ni real Spain msimu huu. kwasasa Sisi ni bora ndo mana hatuyaoni hayo ila nyakati na wao wakiwa bora na MO amewekeza kama GSM ndo tutajua kwanini huo utoto hautakiwi kuwepo.
Tumia akili broo kuwekeza matangazo ya kuonyesha nakuwekeza pesa kwenye vilabu ili awayengenezeee jez nivitu viwili tofauti na mzamini wa matangazo ya kuonyesha mpira wetu
@@barutiabuu9492 haya sports pesa vp anafanya nn kwa sababu gsm sio mmiliki ni mzamini mjuwe mana sasa mshakuwa hamna pakukimbilia ndo mana poleni sana vibonde wetu cw
unakumbukumbu vzr wakati sport pesa anadhamini Simba yanga singida na namungo je GSM alikuwa anadhamini timu gani sport pesa ni main sponsor na ndo mana aliwekwa mbele je angalia vilabu xxiv vyote vina mvaa GSM hii inaleta ubabaifu wa matokeo kwa xx haliwezi onekana ila kwa badae tutaona clip zikird upande wa pili
Kuna tatizo kwenye mashabiki wa Simba siyo Bure. Hili suala TFF wangelitolea ufafanuzi. Maana hawa mbumbumbu wameanza kabla hata ligi haijaanza na timu yao ni mbovu watatusumbua