Sio wanawake tu wasaliti hata wanaume pia niwasaliti wakubwa Chamsingi kila mmoja wetu awe makini na mwenzake afanye mambo yake maisha mtaanzisha mkioana
Tufuate miongozo ya dini ili tuepukane na kudanganyana. Love story ya mda mrefu huleta majanga. Someni halafu mkishakuwa tayari. Mutafute wachumba kwa msaada wa wazee wema.Muowane haraka haraka baada ya kuridhiana. Nimsomeshe ndio nimuowe hiyo ni bahati nasibu. Anichukue Forodhani akanilishe mbatata za urojo. Atakuchezea halafu atakukimbia.
Usisononeke sana sio riziki yako bora uchumba uliovunjika kuliko ndoa yenye misukosuko.. Allah atakupa mwenye kheri naww ukiamini hilo basi hutosononeka tena pia mshukuru mungu tu
Amina,Amina,Amina .naandika hii comment chozi lanitoka na cjawahi kusahau na sitosahau.umefanya moyo wangu kuwa na ganzi , umefanya nisimuamini yoyote,umenifanya nisipende yoyote, Inshallah namuachia Allah 😭🙏