Bondia wa Tanzania, Tonny Rashid akirudisha mkanda wa African Boxing Championship alioupoteza mwaka jana kwa bondia Bongani Mahlangu. Pambano la raundi 12 likimalizika kwa tony kushinda kwa pointi. Tazama matukio muhimu ya "bout" hiyo.
Moja ya kazi ngumu duniani ni hizi Bora hata kulima au kuchunga hii ni moja ya kazi inayokutaka uwe na moyo wa kujitolea kwelikweli maana ukiwa mzembe kidogo tu mwenzio anakulemaza au kukua kabisa Hongera wapiganaji wote kwa uvumilivu
Nimeangalia zaidi ya mara 4 Kama hujui ngumi utasema tony Rashidi amebebwa lakin msouth bondia mzuri sana lakin amepiga ngumi nyingi kwenye gloves hazina point lakin tony amepiga ngumi chache zenye pointi sana ushindi halali kabisa tony hongera kwake
@@amourdaty8528 hujui mchezo wa boxing 🥊 bora ukojoe ukalale au unahic kila kumi inayo rushwa inahesabika ngumi inahesabika kwa kuangalia imepga sehem gan ya mwili si kila sehem tu inahesabika pia kuna aina na uzito wa ngumi yenyewe na point zake
Mtanzania ameshinda kihalali. Watu wanashindwa kujua kuwa ngumi za point ni zile zinazomfikia mtu usoni. Mpinzani alirusha ngumi nyingi lakini zinaishia katika panch, hivyo hazihesabiwi point lkn yeye amedokonyolewa nyingi usoni... na ndomana amepewa ushindi
Huyu bongani ni bondia mzuri Kilichompa Ton Ushindi,ni uwezo wa kujilinda,kupiga panchi zinazoweza kunwa na majaji wote,Bongani kasoro yake atumii akili ya kuakikisha panch zake zinaonwa n'a majaji wote. Ongera Tonny kwa Ushindi
Mimi mtanzania lkn majaji wangumi waongo tonny kapigwa sanaaa tunapeana ushindi wa michongo tukifika nje ya nchi hatuwezi kuutetea mana ubondia wenyewe wa mchongo
Hii ni aibu sana kwa familia ya mabondia nchini mwetu, Mtu anapigwa wazi kisha majaji kwa makusudi wanaamua kumbeba,kwa mwendo huu kamwe hatuwezi kufika mbali,tutabaki na kubeba wanaspot wenye uwezo duni, ukweli nimeusema siw3zi kuwa adui( mnyonge anyongwe lkn haki yake apewe) Bongoni played well supposed to won.
Hujui ngumi wewe angalia ngumi zilizomfikia kichwani ama usoni yule msauz kacheza hewa nyingi na point nikichwani tu ndipo wanapohesabu ndiyo maana ukipigwa moja nzuri kichwani wanaita KO haijalishi ulirusha ngumi zaidi je umempiga usoni?nadhani umeelewa hapo jielewe
Tony alipigwa ila ninachoona ni upendeleo wa waziwazi .. na nyie watangazaji mlitakiwa mchambue mchezo na sio kumsifia tu TONY mnampoteza Radha ya pambano .. wachambuzi kama hawa hawafai kabisa ndio maana mna mkataa RASHID MATUMLA kwakuwa Hana upendeleo na anachana live
Judges from tanzania are always stupied they shouldnt be given chances to rule out . I am tanzanian but they are so disappointing with to much biasness
Hii ni aibu sana kwa familia ya mabondia nchini mwetu, Mtu anapigwa wazi kisha majaji kwa makusudi wanaamua kumbeba,kwa mwendo huu kamwe hatuwezi kufika mbali,tutabaki na kubeba wanaspot wenye uwezo duni, ukweli nimeusema siw3zi kuwa adui( mnyonge anyongwe lkn haki yake apewe) Bongoni played well supposed to won.