Тёмный

VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 1,8 млн
50% 1

Tazama nginjanginja, mikikimikiki ya Dullah Mbabe na Twaha Kiduku kwenye pambano lililovuta hisia za wapenda ngumi.
Twaha Kiduku alikalishwa raundi ya kwanza tu ya pambano, lakini baada ya hapo yaliyofuata ni maajabu.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Спорт

Опубликовано:

 

23 авг 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 335   
@johnbupimali5019
@johnbupimali5019 2 года назад
Twaha ni mtu mmoja yuko makini sana, kingine anapigana na mpinzani wake feya play maana alikuwa na uwezo wa kumuumiza Dulla mbabe. His bravo
@fiderisedward2076
@fiderisedward2076 2 года назад
Mungu abarik kazi yako brodher hujabebwa ngumi zmeonekana tunakukubar miaka 💯
@paulmwangi1439
@paulmwangi1439 2 года назад
Uyu bondia tuna mpenda sana. Ako na eshima sana anakuanga na eshima sana ❤️🇰🇪 ❤️
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 года назад
💖💖
@ahmedlao7273
@ahmedlao7273 2 года назад
Laa ilaha illa Allah muhammad rasul Allah. Kiduku big up bro keep it up. Allah atulinde sote mm na wewe na kila anaekupenda na atuongoze.
@benedictmsami4966
@benedictmsami4966 2 года назад
Refa man of the match, ile twaha kuanguka raund ya kwanza na kusukumiwa kumi zaidi, rwfa angemaliza
@giuseppegumina5576
@giuseppegumina5576 5 месяцев назад
Congratulations Is Italian Boxeur. I LOVE BOXE ❤ I LOVE AFRICA ❤ I LOVE AFRICAN CULTURE ❤ I LOVE AFRICAN PEOPLE ❤
@husseinkinaa9445
@husseinkinaa9445 2 года назад
Big uuuuuup twaha kidogo umemshikisha adabu mawe maweeeeni!!!
@ShaqueeBlackrapper
@ShaqueeBlackrapper 2 года назад
TWAHA KIDUKU NEVER DISAPPOINTS
@ashrafuhussein5544
@ashrafuhussein5544 2 года назад
Mwakinyo
@stevensimbakila5383
@stevensimbakila5383 2 года назад
Ukimtegemea mungu yetu Yana wezekana
@tolepeter3538
@tolepeter3538 2 года назад
Hongera sana mabondia wote. Ila kile ningeweza kusema ni kua ,ni vyema kukubali uamuzi wa majaji, kwani huu ni mchezo wala si vita.Cha pili, kama mchezaji hakuridhika na pambano basi kuna nafasi ya kuomba pambano liregeleo tena. Tusionyeshe hasira tuwe wapole tu.Otherwise hongera sana watanzania. Salamu kutoka Kenya.
@muhamadmaulid694
@muhamadmaulid694 2 года назад
Boy kiduku kifaru , respect kiduku nakukubali mwano .show show......
@aishamaulidi7425
@aishamaulidi7425 2 года назад
Hongera Twaha umecheza mchezo mzuri sana show show kaza buti tupo p1
@JuliusTasius
@JuliusTasius Месяц назад
Twaha hongera kwa kazi nzur
@aishaalliy3131
@aishaalliy3131 2 года назад
Team kidukuuuuu oyeeeeee
@emmakrish2853
@emmakrish2853 2 года назад
Mologor ushind ni wao
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 2 года назад
Ahsante twaha kwa kutuwakilisha vyema wana morogoro
@shabanikamsawa181
@shabanikamsawa181 2 года назад
Nimefurah sana hata mm Dada amina wa morogoro mwenzangu Moro sehemu gani my sister
@roqerz
@roqerz 2 года назад
Hapa Hakuna Mabondia,, Wote Akili Wanatumia kidogo Nguvu Nyingi Ndio Maana Wakitoka Nje ya Nchi Wanapigwa, Mwakinyo Still On Top
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 года назад
Hayo nimawazoyako
@Lumegilemukata
@Lumegilemukata 2 года назад
Nilichokiona dulla ni mvumilivu,laiti angekuwa bondia mwingine angepigwa KO,,big up Kiduku💪💪
@alicejames893
@alicejames893 2 года назад
Gh
@halfahalfa9728
@halfahalfa9728 2 года назад
Mmechelewa sana kupandisha highlights za hili pambano RU-vid
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Год назад
Twaa inatakiwa usimamizi mzuri uyu ni Tyson wa Tanzania
@themountaintv6625
@themountaintv6625 Год назад
Morogoro ni mji wa vipaji Hongera twaha ukae kunogo
@soundjorge4468
@soundjorge4468 Год назад
Tanzania boxing mko vizuri Sana , 🥊🥊🥊🔥🔥🔥🔥🔥
@peterjohn8405
@peterjohn8405 Год назад
Twaha ana nguvu ,ila anatakiwa mwalimu wake amfundishe kuhifadhi pumzi na kupiga target. Anarusha ngumi na mwili mzima mzima. Akipata bondia makini anayeweza ku defend vizuri anaweza akapigika vibaya.
@hanashhanash535
@hanashhanash535 Год назад
jamaa ako kama Tyson 💯✍️ alafu akuwe na foot work position
@zuberimohammedi201
@zuberimohammedi201 Год назад
Safi,tatizo kiduku ni walimu wake in reality kiduku walimu wake si walimu wa ngumi bali wa kubeba vitu vizito
@jumamakuri9176
@jumamakuri9176 2 года назад
Dula hamuwezi Twaha, ajipange tena mwakani!!!
@fatmarashid3629
@fatmarashid3629 2 года назад
Msiwe mnachelewesha video bhn, sio vizuri
@josephclemence4441
@josephclemence4441 2 года назад
Kiduku oyeeeeeeeeeeeeeeeee🙏🙏🙏
@galuyegaluye2813
@galuyegaluye2813 2 года назад
Mmmh kwa Wimbo Wa Dulla Bingwa Alikua ameshapatikana kwenye Intro Tu🤣🤣🤣🤣
@davidmajor9807
@davidmajor9807 2 года назад
Kumbe shida ilianzia kwenye nyimbo ya dura kaingia na taarabu
@issubajaji7924
@issubajaji7924 2 года назад
Twaha ww ndiyo tanzania one. karibu sana mtwara ata huku tunataka raha
@hanashhanash535
@hanashhanash535 Год назад
Twaha uko sawa sana Ila jaribu zoezi ya kamba kuruka juu uko na nguvu Sana Ila miguu inahitaji power ✍️ anyway your champion 🏆
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 2 года назад
refary yuko vizuri sana
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 Год назад
Moja sheria ya bondia.bor ni anajua ku kwepa ngumi htrahi hlo kwa kiduku kapass then antupa ngum nying san sem akipa da nguv za miguu na kumove kwenye position sahihi atakua ka win sana
@fakihassani3
@fakihassani3 9 месяцев назад
Dlla jasiri maashaallah
@alinyange8186
@alinyange8186 2 года назад
Pamoja twaha kazi tumeiona
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 Год назад
Twaa pia Ako sawa sana kwakweli
@abrahampalanjo2306
@abrahampalanjo2306 2 года назад
Naikubali sana
@ramsokundowela7134
@ramsokundowela7134 2 года назад
Twaha kiduku
@abmropeamadeus7286
@abmropeamadeus7286 2 года назад
Ilo Jamaa la morogoro linanguvu Sana, kashida kwa haki kabisa
@anthonsylvester2400
@anthonsylvester2400 2 года назад
Hyo mjamaa wa Morogoro ni noma xan
@francismwandia5265
@francismwandia5265 2 года назад
Vgjj
@icclcharters3389
@icclcharters3389 2 года назад
Maoni yangu Twaha bondia mzuri,nguvu anazo isipokuwa punches bado shallow lazima aongeze bidii to get maximum power from the ground to legs hips shoulders and fist must deliver it,kifupi improve stamina and techniques,atulie asipige kwa jazba:end result ya knockout zilizompata ni weak stance. dulla mbabe:Good punches but medium power,lazima aongeze nguvu, defence is weak when blocking punches anatakiwa ajifunze ku redirect force not to fight against it. Overall results:Crown wangeikata nusu(draw match)👍
@saidomari001
@saidomari001 2 года назад
sijaona sababu ya Dulla kulalamika na maamuzi,akubali matokeo Twaa yuko vizuri kumliko
@dipletitus9967
@dipletitus9967 2 года назад
Huyo referee sio professional kabisa kwani ni lazima fighters wa touch gloves 😅 , and the craziest thing she said ety sintoruhusu pambano mpaka mtouch gloves
@CANNYMAN
@CANNYMAN 2 года назад
We ni professional mchambuz au hater tyu
@aidongitau7214
@aidongitau7214 Год назад
Yani wacha nkucheke tu😅😅 hii si Wrestling usiwe mbumbu katika masumbwi kazi ya referee mwanzo nkupeana General instructions 1, Obey my commands at all times 2, Protect yourself at all times 3, Any questions? Kisha utaskia referee akisema touch them up (yani touch gloves) na kila bond anarudi kwa corner yake na referee anaendelea kuwa sawia na majudge na time keeper.
@hamza.abubakarhamza.abubak997
Hi
@assab3167
@assab3167 Год назад
Kazi kazi
@hasanjambi9871
@hasanjambi9871 2 года назад
Mungu ndo Kila kitu
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Год назад
Dullah mnyonge
@omarmzee758
@omarmzee758 2 года назад
Huyu jaman ndo dula mbabe ninaemskia au dula makabila???
@tiffahsalimsalim500
@tiffahsalimsalim500 2 года назад
Hongera twaha kiduku
@richarddabryin9126
@richarddabryin9126 2 года назад
Yaani nyimbo tuu inaonesha nani mshindi
@fatmarashid3629
@fatmarashid3629 2 года назад
Dullah ana kiburi ndo maana kadundwa
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 2 года назад
Nice game, bravo Twaha kiduku 👊 🥊🥊🥊
@kaismwanjonde7771
@kaismwanjonde7771 2 года назад
Dulla mbabe alijpanga
@yustasaid4785
@yustasaid4785 2 года назад
Ama kweli dula amechezea vitas.big up twaha
@saidomari001
@saidomari001 2 года назад
majaji wako sahihi,hupenda kuregelea kutizama hii fight kwasababu ni nzuri hii fight
@anthonysangawe8094
@anthonysangawe8094 2 года назад
Safi
@victorbais6215
@victorbais6215 2 года назад
Mm nilifurahishwa na mtangazaji😂😂😂😂
@leticiarugakira2367
@leticiarugakira2367 2 года назад
Twaha tuna believ in u
@mikebaltazar2402
@mikebaltazar2402 2 года назад
Anae jiuona mbabe akapigane na efe ajagba Nigeria
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 года назад
Nenda wewe unaemjua
@godblessnkyale8980
@godblessnkyale8980 2 года назад
Dulla mnyonge 😂 Aliingia Amesukaa kilichochomktaaa Hadiii nyweleee zilifumkaa amaà kwerii ujanjaaa siii kuwaiiii ujanjaaa Ni kupataaaa😂😂😂😂😂👏
@kngshassan5202
@kngshassan5202 2 года назад
Hivi upiganaji huu ndio mnaweza kupanbana na mwakinyo ndio kweli ngumi hazina mwenyewe ila kwa upiganaji huu dah mwakinyo hebu muacheni kwanza yy yupo kimataifa zaidi.
@godytz6874
@godytz6874 2 года назад
Mwakinyo ndo nani
@habilmeshack9462
@habilmeshack9462 Год назад
Huyo mwakinyo muuza mapambano melete
@kambaajunior842
@kambaajunior842 Год назад
Wewe ngumi zenyewe hujuw naxdhani km unajuwa Sheria zangumi
@faisamsaid254
@faisamsaid254 Год назад
Jidanganye
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 2 года назад
Tanzania is doing good in Boxing nowdays
@kimscharos9156
@kimscharos9156 3 месяца назад
Tatizo lilianzia hapa!
@kngshassan5202
@kngshassan5202 2 года назад
Hivi tuseme ukweli upiganaji huu kweli ndio mnataka kupigana na bondia mwakinyo tusitaniane jamani wacheni ushabik uchwara hawa bado sana wanapigana kama kuku majogoo
@ewhite2806
@ewhite2806 2 года назад
Hakuna wa kupigana na Mwakinyo hapa
@JacksonFanuel
@JacksonFanuel Год назад
ANAJUA SANA
@rizikijaha3390
@rizikijaha3390 2 года назад
Mwenye kushindwa ngumi zake nzito ako poa sana Bora awe faster atakua deontay wilder junior kwa knock out
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Год назад
Ila kiduku anajitaidi sana azidishe tekiniki na mazoezi
@user-oe3bu8sc4i
@user-oe3bu8sc4i 3 месяца назад
Twaha nihatari Sana
@user-pu9fq9cv5c
@user-pu9fq9cv5c 11 месяцев назад
Hili pambano lilikuwa noma sana
@udiabdullah5261
@udiabdullah5261 Год назад
Kiduku uyu jamaa anapumzi mzur sana
@kiya0910
@kiya0910 7 месяцев назад
Bado nacheki hii pambano dulla aliyakanyaga na Jena pia akayakanyaga Kwa katopa daah kiduku smtu poa
@user-gw5lb9ju5m
@user-gw5lb9ju5m 7 месяцев назад
Tuko pmja
@allyseleman7787
@allyseleman7787 6 месяцев назад
Naomba pambano na dullah
@user-wl8fg8ne1f
@user-wl8fg8ne1f Месяц назад
Unatufa😅😂
@patrickmangale1594
@patrickmangale1594 Год назад
Nakubali kiduku🤜🤛
@mohamedzuber3830
@mohamedzuber3830 2 года назад
Safi sana
@hanashhanash535
@hanashhanash535 Год назад
huyu Twaha anakaa kama Tyson 💯✍️
@thomasmapunda1772
@thomasmapunda1772 2 года назад
Vitasa
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 года назад
Moro town stand up✌️
@BONGELANEEMA
@BONGELANEEMA 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-MOMMwViyIaU.html
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
Vizuri sana kwa la ilaha ila illah mohamed rasul allah dini yake ni uslaam bismlah arahman alrahim mimi kutoka makaa nimefurahi kwa kaka wetu twaha
@venturejackson6357
@venturejackson6357 4 месяца назад
Twaha unatakiwa urudi kwenye huo mfumo ☝️ ulkuwa mfumo noma xan amin brother
@samsongwambiye9704
@samsongwambiye9704 2 года назад
Mwakinyo anaweza kumuua kiduku
@erickmsigwa88
@erickmsigwa88 2 года назад
Kabisa kiduku gut zake huyoko makini nazo mwakiinyo noma atalegeza tumbo lake ataomba poo kiduku
@ngwanasongowelero7153
@ngwanasongowelero7153 Год назад
Mmmh noma sana
@abdullaothman3772
@abdullaothman3772 2 года назад
Kila nikirudia kuangalia hii clip nachukia sana ujinga wa Ushirikina wa huyu kiguru mlemavu na huyu dullah shoga, limeacha kufanya mazoezi kwa bidii limeishia Ushirikina kwenye michezo
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 Месяц назад
Watu wanamsifu kiduku,,,,lakini asijaribu pambano na Mwakinyo ataumbuka.
@jumaobudo6823
@jumaobudo6823 2 года назад
Mwakinyo
@user-fr8jp9ui8l
@user-fr8jp9ui8l 9 месяцев назад
Dulla akiwacha kiburi basi atafanikisha ndoto zake
@abdallahhamis7888
@abdallahhamis7888 2 года назад
Sawa
@georginaluoga731
@georginaluoga731 2 года назад
wimbo alio ingilia dulla mbabe🤣🤣🤣🤣 ndio man alishindwa
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 Год назад
Kila nokijaribu kutafuta kosa la refa Pendo njau hapa silioni!! Bali naona tu kosa la Dullah baada ya kumuangusha Kiduku alibakia hapohapo wakati alipaswa kwenda kwenye neutral corner ili kumpa nafasi refa aanze kumhesabia Kiduku.
@feisalomar-hr3hq
@feisalomar-hr3hq Год назад
Huwez kuona ila Kwa hapa nw nimeona pendo njau alileta mapenzi twaha alipo anguka na kuisabiwa nakurud Tena chini asiinuke moja Kwa moja ni mchezo umeisha na pia amepigwa ngumi nyingi bila ya kujibu mchezo ulikuwa umeisha dulla Yuko sahihi kaonewa
@user-dz6zq2xd5w
@user-dz6zq2xd5w 2 месяца назад
Kaonewa, wawe wanajifunza kucheki marefa WA ulaya namna wanavyo hesabu, mchezo umekuwa umeisha kwa kuwa hakujibu mashambulizi pindi alipo anguka Twaha,kaonewa Dulla
@rajabupetermoses7338
@rajabupetermoses7338 2 года назад
Dulla mbabe alishinda Kwa ko Kwa Sheria za ngumi
@twaibuiddy6851
@twaibuiddy6851 2 года назад
Unazungumzia sheria ipi iyo Dullah angeshinda endapo Twah angeshindwa kuweka guard
@kibokoyaotz4509
@kibokoyaotz4509 2 года назад
Angeua km anaweza ukiona twaha ameendelea na amempiga dulla maana yake anamuweza..
@plaizoboy2647
@plaizoboy2647 2 года назад
Noma
@gfunk7440
@gfunk7440 2 года назад
Kiduku🔥
@kngshassan5202
@kngshassan5202 2 года назад
Waendelee tu kupambana huku huku chini kwanza
@riffatsaid2256
@riffatsaid2256 2 года назад
Hata me ningekuwa mwakinyo siwez nikakubali kutia saini, maana kwa ngumi kama hizi unaweza jikuta unashushwa CV yako hiv hiv.
@Coronavirus-jb8ch
@Coronavirus-jb8ch 2 года назад
Xxx
@soundjorge4468
@soundjorge4468 Год назад
Great fight , real warriors TANZANIA BOXING RESPECT ' 🥊🔥🔥🔥🔥
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 года назад
mwakinyo asthubut mzık wa Twaha atajamba checherr yy asubir wazungu wanakula mayaı cıo mıhogo moro n kıla kıtu ngum moro -Tz.
@mtv6829
@mtv6829 2 года назад
Mwenzie kaingia na wimbo wa kibabe yeye kaja na taarabu kwanini asipigwe
@haledimndewe9087
@haledimndewe9087 2 года назад
Mmmm sijui atagiza tena
@abujumanne7570
@abujumanne7570 Год назад
Ila tuache maskhara dulla mgumu kwenda chini amekula ngumi nyingi sana
@mustadsalama7470
@mustadsalama7470 2 года назад
Kiduku
@jichomtandaoni8281
@jichomtandaoni8281 Год назад
7:45 Uzoefu unahitajika sana, baada ya dulla kumdondosha twaha alitakiwa akimbilie kwenye neutral corner ili refarii aanze mapema kumhesabia twaha, matokeo yake anazunguka zunguka tu kama mwehu😀 referii katumia muda mwingi kumuelekeza yeye aende kwenye Kona anayotakiwa kwenda na huku twaha anatumia muda huo ku recover
@gwantahbrainhalisi3527
@gwantahbrainhalisi3527 Год назад
Umechambua kitaalam sana.
@bernardjenga3737
@bernardjenga3737 Год назад
And kengere ya kumaliza round imegongwa sekunde -10 baada ya round kuisha...so wamepigana dakika 3:10 so Dulla alipewa advantage ya kuendelea kushambulia..
@jichomtandaoni8281
@jichomtandaoni8281 Год назад
@@bernardjenga3737 🤝uko sahihi isipokuwa unakosea kusema zile sekunde za nyongeza Dulla amepewa "advantage" aendelee kushambulia, kwenye ngumi sekunde zikiisha kengele inagongwa bila simile sio Kama kwenye mpira kwamba Kuna dakika za nyongeza, ikiwa refarii anaona kuna tukio linapoteza muda ambalo halijasababishwa na bondia kwa makusudi basi atamuelekeza mtunza muda asimamishe muda wakati huohuo sio kuja kuongeza muda mwishoni! Kwa hiyo yale yalikua ni makosa aidha ya mtunza muda kujisahau au anaye display muda tunaouona kwenye screen
@ochengcollines
@ochengcollines Год назад
Correct score.
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 2 года назад
Kamati za ufundi vitasa, waganga wapo au hawapo🤣🤣🤣
@cellinethomas4715
@cellinethomas4715 2 года назад
Show show 🤓🇹🇿👋
Далее
#FT :SIMBA 4-1 YANGA Magoli Yote Haya Hapa
7:11
Просмотров 5 млн
Haidari Mchanjo Vs Said Chino | Full Fight
36:18
Просмотров 26 тыс.
Segurança do Messi 😬 #shorts #futebol
0:34
Просмотров 14 млн
Et toi ? Joue-la comme Pavard ! 🤪#shorts
0:11
Просмотров 1,8 млн