Тёмный

USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 349 тыс.
50% 1

Kwa TKO raundi ya sita, Mada Maugo amemkalisha Karim Mandonga.

Спорт

Опубликовано:

 

10 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 263   
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 2 месяца назад
Hongera Pendo Njau,wanawake tunaweza unatuheshimisha sana,Mungu akubariki
@suleymandachi782
@suleymandachi782 2 месяца назад
Mbona hamuobi toshee choo pamoja mnaweza au mnafundishwa tabia za umalaya
@AminaLibisa
@AminaLibisa 2 месяца назад
Yani ngumi sukunyo 😂😂😂kasukunyuliwa.mwenyewe mandonga mtu kazi
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 2 месяца назад
🤓🤓🤓🤓🤓
@user-hz9tx1mi1h
@user-hz9tx1mi1h 2 месяца назад
Pendo njau dada ang ana huruma sana ilitakiwa utuachie mandonga wetu mpk afie uwanjani
@omarmutta4999
@omarmutta4999 2 месяца назад
Wakenya tunamshabikia Mandonga.Akiachilia Sungunyo.Akishinda kashinda,Akishindwa kashinda.
@user-uf4pb1hl2k
@user-uf4pb1hl2k 2 месяца назад
Mandonga nipo na ww Hadi wakuuwe😅😅
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 2 месяца назад
😂😂😂😂😅
@user-tl1ep9it8r
@user-tl1ep9it8r 2 месяца назад
😅😅😅😅😅
@emmanuelmdawida504
@emmanuelmdawida504 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 hapo sawa
@noushaddammam8805
@noushaddammam8805 2 месяца назад
uyo madonga anakera sana yani akipigana kidogo tu anakumbatia mwenzie
@nofatwamasha3475
@nofatwamasha3475 2 месяца назад
Kwa kweli nikiatazama kwa kina Mandonga huenda akawa na matatizo ya kichwa baadae,ni bora aache huu mchezo
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 2 месяца назад
Mandonga tupo na wew adi wakuuwe
@bilshanmartin7660
@bilshanmartin7660 2 месяца назад
😂😂😂😂
@SweetberthOscar
@SweetberthOscar 2 месяца назад
Hahahaha😂😂😂😂😂😂
@engineerismael2186
@engineerismael2186 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@wizzyjabary7777
@wizzyjabary7777 2 месяца назад
Uhakikaaaaa
@KelvinAntony-pj6pu
@KelvinAntony-pj6pu 2 месяца назад
😂😂😂😂😂
@Masimba-t7u
@Masimba-t7u 2 месяца назад
Sema waaamuzi wetu wazidishe umakini sana hapo ukiangalia vizuri utaona kapigwa ngumi ya kisogo
@mathewmweteli9428
@mathewmweteli9428 2 месяца назад
Huyu refa boya tu. Kazi zingine ni za kiume aisee.
@dullahmakoko6608
@dullahmakoko6608 2 месяца назад
Hongera mandonga 😅
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 2 месяца назад
🤢🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
@emmanuelmwangila5358
@emmanuelmwangila5358 2 месяца назад
Ngumi mbaya sana wanakumbatiana ivyo2 akuna mchezo mzr
@KageraPs
@KageraPs 2 месяца назад
Mchezo mtamu sana huu, natamani ungeruhusiwa kufundishwa na kuchezwa shuleni kuanzia chini ili kukuza vipaji kwa vijana wengi kuanzia chini.
@geofkabo7843
@geofkabo7843 2 месяца назад
Milembe wanaweza wakapelekwa weng
@zonko0488
@zonko0488 2 месяца назад
Mandoga akipata kocha mzuri anaweza kuwa bondia mzuri. Naona ana style nzuri sana....lakini technically bado kidogo.
@user-ih1pk1vs4q
@user-ih1pk1vs4q 2 месяца назад
Hawezi kuwa bondia mzr anabahatisha tu ukosefu wa ajira
@complex7582
@complex7582 2 месяца назад
Kwa umri huo
@alexanderchacha8585
@alexanderchacha8585 2 месяца назад
Yewah jarorya erokamano kwakweli imezidi kutuheshimisha Wana Rorya na Mara kwa ujumla❤❤🎉🎉
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 месяца назад
NDONGA ANA IMPROVE
@petermuyanzi2869
@petermuyanzi2869 2 месяца назад
This is comedy not boxing,,be serious lol!!!
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 2 месяца назад
Wadau wa ngumi naomba tujuane kwa like hapa..... Nawapenda
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 месяца назад
Ndonga ameacha kupiga miti now anashinda gym naona body imekata
@yassinmarijan1994
@yassinmarijan1994 2 месяца назад
2po kaka
@MaikoGeofrey-nt4uc
@MaikoGeofrey-nt4uc 2 месяца назад
😂
@MaikoGeofrey-nt4uc
@MaikoGeofrey-nt4uc 2 месяца назад
Yupo vizuri mandonga asaivi
@MaikoGeofrey-nt4uc
@MaikoGeofrey-nt4uc 2 месяца назад
Poch Nene a'k'a kama babaima
@peternduva-yv7mw
@peternduva-yv7mw 2 месяца назад
The referee was poor. You only stop the fight if the boxer is out completely.
@kelvin8324
@kelvin8324 2 месяца назад
Countless head blows...... akipigwa a chizi nani ataleta 😅singinyo Nairobi ...n by the way,miss Njau is one of the top female referee in East n Central Africa
@ALEXVICTOR-wk4pl
@ALEXVICTOR-wk4pl 2 месяца назад
MANDONGA TUKO PAMOJA MPAKA WAKUUE😂😂
@user-vd8oq7it6v
@user-vd8oq7it6v 2 месяца назад
😂😂😂jamani
@wizzyjabary7777
@wizzyjabary7777 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 2 месяца назад
Maugo ni Boxer, angalia ile punch ya K.O, very technic. Mandonga zaid ya kukumbatia sijaona boxer 😊
@user-wx1ll3gs9l
@user-wx1ll3gs9l 2 месяца назад
mandonga anafurahisha sana ila watamua
@user-hn6kv6xe7m
@user-hn6kv6xe7m 2 месяца назад
Tanzania Bado mupo nyuma mchezo wa ngumi ,hapo mm naona sioni mpiganaji yaani ni mfano wa boxing tu😂
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 2 месяца назад
Hawa ni comedy- boxers😂
@user-id3pf9tr4r
@user-id3pf9tr4r 2 месяца назад
One love bro, mandonga wewe ni Sisi na Sisi ni wewe ukiona ngumi nzito kimbia, uzima wako nibora Sana kwetu kaka.
@esaladennisandayi5409
@esaladennisandayi5409 2 месяца назад
Hakuna boxing Tanzania bila Mandonga. Pemda usipende
@kisurangusa554
@kisurangusa554 2 месяца назад
Mandonga achana na ngumi kuna siku utafia ulingoni😂😂😂
@user-qc5kq2zm2b
@user-qc5kq2zm2b 2 месяца назад
Mada maugo kaja akiwa amepaniki hataki fea lakini mandonga mtu kazi kaja kwa furaha halafu muda wote anataka fea
@yassinm69
@yassinm69 2 месяца назад
Namkubali saana mandonga ,hizo ni ngumi bana
@benikayange2605
@benikayange2605 2 месяца назад
Tim mandonga mpooo❤❤❤
@hamisimkulu6571
@hamisimkulu6571 2 месяца назад
Kumbe maugo ameisha hivi mandonga tunajua sio boxer
@JerrySamuel-zz4pz
@JerrySamuel-zz4pz 2 месяца назад
Sign the contract big boy 👊👊🏋‍♀️🤛
@JacksonMilambo-k1k
@JacksonMilambo-k1k 15 дней назад
Namukubari mwandonga
@saidothman4527
@saidothman4527 2 месяца назад
Daah mandoga ww poa sana
@wizzyjabary7777
@wizzyjabary7777 2 месяца назад
Mandogo akipigwa kapiga akipiga kapigaaa🔥🔥😂😂
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 2 месяца назад
Champion mandonga yupo kisport zaidi.
@mapachaentertainment2300
@mapachaentertainment2300 2 месяца назад
Mdomo huwa unamponza mandonga na mm nakuja dar nataka pambano na mandonga nimkande
@SamManyota
@SamManyota 2 месяца назад
dada yetu mtangazaji naona nae nisha biki wa damu wa mandonga mtu kaz
@mwinyisarai-rm5oo
@mwinyisarai-rm5oo 2 месяца назад
MANDONGA TUKO PAMOJA NA WEWE MPAKA WAKUUWE
@alfredmambo5834
@alfredmambo5834 2 месяца назад
NJAA MBAYA SANA.....
@user-zh2ko6nj5g
@user-zh2ko6nj5g 2 месяца назад
great achievement Mandonga
@mgogobeleko1411
@mgogobeleko1411 2 месяца назад
Tatizo wachambuzi mnaongea sana mpaka mnakela aiseeeee
@vincentnyabuto4605
@vincentnyabuto4605 2 месяца назад
Mandonga akubali tu achane na ngumi miaka himenda
@abdimakame7929
@abdimakame7929 2 месяца назад
Nandonga ww ni Professional Boxer 😃😃😃
@AmaniCosmetix
@AmaniCosmetix 2 месяца назад
Mpenisifa afe
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d 2 месяца назад
Mandonga mtu kazi baba nakukukubali😂😂😂😂
@danielmeleji6302
@danielmeleji6302 2 месяца назад
Yaani kama ni hivi Tanzania bado tuko nyuma kwenye mchezo wa ngumi😅
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 месяца назад
Dada utangazaji wako hauna muelekeo😂
@boscomfundo7953
@boscomfundo7953 2 месяца назад
Mandonga ni mcheshi, mtu wa fair
@joycekaishozi1177
@joycekaishozi1177 2 месяца назад
madaktari bingwa wa vichwa wapo wangapi TAnzania 😮😅
@salimakida95
@salimakida95 2 месяца назад
😂
@eddyboy1719
@eddyboy1719 2 месяца назад
Mandonga ni mdomo tu...ata mi naeza mtoa na round ya kwanza
@allyismaili1049
@allyismaili1049 2 месяца назад
Yaani ngumi Moja tu Kisha wanakumbatiana mandonga ni shida
@user-hk2oz2eg4j
@user-hk2oz2eg4j 2 месяца назад
Yaani hii ndio shida ya Mandonga akipigana. Nimeangalia michezo yake mingi kiukweli ndio tabia yake ya kukumbatia kwenye mapambano yake.
@mapikomkindu565
@mapikomkindu565 2 месяца назад
Ahhh kampiga kisogoni ngumi ya mwisjo.mnampaje ushindi ina maana hamuoni
@bushbabytz
@bushbabytz 2 месяца назад
Mandonga tupo pamoja na wewe mpaka siku wakuue ulingoni😅
@salamamboda419
@salamamboda419 2 месяца назад
hongera mandonga
@KennethNgoleka-fh5mi
@KennethNgoleka-fh5mi 2 месяца назад
HUYU NDO ALIKUWA MBABE PALE MSAMVU? WALIMWOGOPA HUYU?
@YohanaKagambo
@YohanaKagambo 2 месяца назад
Tatzo azam tv na azamu media wana camera magumash maana camera zao mbovu
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Mandonga aendelee comedy 🤣, kwenye ngumi watamwua
@yohnayesaya5840
@yohnayesaya5840 2 месяца назад
Liandaliwe pambano Maugo vs kaoneka .
@IssaIddi-zb1ef
@IssaIddi-zb1ef 2 месяца назад
mandonga Mzee wa kuyumba
@SaudarajabuMzogela
@SaudarajabuMzogela 2 месяца назад
Pamoja sana nduguzetu
@YusuphOmary-hd6le
@YusuphOmary-hd6le Месяц назад
Mwkinyo
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 месяца назад
DAÀAAA MANDONGA HANA KITU KABISA MAKOCHA FANYENI KAZI MABONDIA HAWANA UWEZO KITAALAMU
@user-xr7bx1on5e
@user-xr7bx1on5e 2 месяца назад
Mandongoh tupo na wewe mbaka ufie ulingon
@user-dw4ve4xp3x
@user-dw4ve4xp3x 2 месяца назад
Ila mandonga Leo katulia sana…
@ochuMay05
@ochuMay05 2 месяца назад
Huyu ndio Mandonga tunayemjua sisi..😂
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 2 месяца назад
Wote walevi tu😂😂😂
@khamisisuedi1056
@khamisisuedi1056 2 месяца назад
Hii ni professional boxing kweli 😂😂
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 2 месяца назад
Mandonga Rudi stand utakufwa wewe
@rasjamal9854
@rasjamal9854 2 месяца назад
Mandonga yupo ktk maokoto akipigwa sawa ana juwa nimi anataka ktk maisha yake,Hila jitahidi usshinde maneno mengi kila siku
@user-xe5xt6ue1s
@user-xe5xt6ue1s 2 месяца назад
Sisi ata wakitupiga kama tumewapiga2
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m 2 месяца назад
Muache I..afe. Njaaaambaya
@mengikibona1405
@mengikibona1405 2 месяца назад
Anakumbatia sana uyo mandong
@IsmaelKabuye
@IsmaelKabuye 2 месяца назад
Hili pigano halina mvuto kabisa,ila mm nko kenya nalitazama
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 2 месяца назад
Pambano hili ndio bora zaidi ya yote. Naomba mada maugo na francis cheka wakutanishwe tupate burudani
@EliasMateleka
@EliasMateleka 2 месяца назад
Cheka Ni Moto wa kuotea mbali
@user-zz9xg7sk4f
@user-zz9xg7sk4f 2 месяца назад
Kwani mandonga Hana demi WA kukumbatia anakunbatia watu uwanjani
@makeyhunter2006
@makeyhunter2006 2 месяца назад
Pambano lina round sita mtangazaji anasema mandonga anaweza asifike round ya 8😂
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 месяца назад
😅😅😅😅😅😅hapo sasa
@mrikongosi3151
@mrikongosi3151 2 месяца назад
Mandonga aombe mech ya marudiano na maugo
@praymwalu
@praymwalu 2 месяца назад
Mandonga hajuwi pambana
@AfonsoAugs
@AfonsoAugs 2 месяца назад
Mandonga bora awe mwigizaji tu
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 2 месяца назад
😂😂😂nyie mpeni kichwa huyo mandonga aje afie huko ulingoni
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 2 месяца назад
Usijichanganye kwa tembo harmonize kaka tutakupoteza
@Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt
@Thuhddhjggkhfgnktfdsgbyrt 2 месяца назад
Harmonize hajapigana hata pambano moja , au alivyomkaba baba levo au vile Ana mwili unafikir anajua kupigana
@HassanSaid-pw8us
@HassanSaid-pw8us 2 месяца назад
Pesa ni ki2 kingine kbsaa wkt mandonga anapigan na kaoneka alikuw mwembamba km mm lkn cheki xaxa hivi nyuma ana Busta km treiler ya super doll
@athumaniashimu1568
@athumaniashimu1568 2 месяца назад
Metish
@stanastana3199
@stanastana3199 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 2 месяца назад
Pendo ni Refa bora zaidi nchini
@issakisalu9237
@issakisalu9237 2 месяца назад
Hawezi hata kufika round ya nane alafu hii round ya Sita ndio final Dah kweli kichwa cha mwendawazimu😊
@PanyaBuku-qo7tu
@PanyaBuku-qo7tu 2 месяца назад
Mandonga kawa mavi pumbaaaff
@Best_tz
@Best_tz 2 месяца назад
Ukimpiga kama kakupiga na akikupiga kakupiga tu 😂😂😂
@bakarikisuda4948
@bakarikisuda4948 2 месяца назад
Maugo katulia sana
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 2 месяца назад
Ngumu hazina laza mandonga ana kumbatia sana
@abuuzahirkiroti7862
@abuuzahirkiroti7862 2 месяца назад
Jamani watanzania badilikeni yaani huyu Madonga awachezea watu akili
@sugashTv
@sugashTv 2 месяца назад
Madonga sibondia. Aende wrestling
@AllyBahjuni
@AllyBahjuni 2 месяца назад
Ni Hatariii kwelikweli😂😂😂😂
@user-me2yw7ys8e
@user-me2yw7ys8e 2 месяца назад
Mandonga jaman
@DaxMatoch
@DaxMatoch 2 месяца назад
Kaka mandonga sio bondia
@shabanimkavu3404
@shabanimkavu3404 2 месяца назад
Asa huyu mandonga du naona anakimbatia tuu😊😊
@immtm4930
@immtm4930 2 месяца назад
timu mandonga tukipigwa tumeshinda na tukishinda tumeshinda.. mtu kazi
@atislady3400
@atislady3400 2 месяца назад
Asante maugo
@issazalala4907
@issazalala4907 2 месяца назад
Yani maugo na mandonga 😂 wanacheza malede ngumi mbovuu
@user-fq9dd4mu6y
@user-fq9dd4mu6y 2 месяца назад
Mandonga anapenda kweli kukunbatia
@thekibosoundband7489
@thekibosoundband7489 2 месяца назад
Sasa kama mandonga kapigwa na bondia mzee namna hii atamuweza nani 😅😅😅😅😅
@EzekieliNgwale-fh4br
@EzekieliNgwale-fh4br 2 месяца назад
Asante. Je,ndani tundu moja,wastani mbegu ngapi?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 месяца назад
Duh ngumi za kisogoni hatari sana
@evanslyimo5835
@evanslyimo5835 2 месяца назад
Njaa kali
@outlook300
@outlook300 2 месяца назад
Watangazaji mko biased kwa maugo
Далее
Jakaya Kikwete sauti
1:57
Просмотров 1,2 тыс.
Erali va Abdurozik Super Jang Bo’ldi
13:01
Просмотров 607 тыс.
ERALI YUTGANDI NOXAQLIK BO'LDI 😧
0:59
Просмотров 457 тыс.