Patrick nyembela huwa nakuheshmu sana broo katka ufea ila jana kama ulianza kutoka kwenye uhalisia wako hv yan msouth akiwa ana score nyie mnapga story,ila aki score kidunda mnatangaza huo ni unazi wa hovyo sana.
Mm nilijua huyu kidunda atafia ulingoni Jana maan alikuwa anakimbia huku anatia huruma maan alikuwa haoni hadi huruma ndio maan round zilikuwa haziishi ili kumbeba kidunda asije akafia ulingoni...
Kidunda kadundwa! Nikijumlisha sekunde ambazo Kidunda kabebwa zinafika jumla ya dakika Tano Hadi Saba! Yani round inaisha Bado Kuna sekunde 40,35,25 hii sio kweli! Kidunda amepigwa Sana! Tena dogo kamwonea Kidunda Huruma
Kuiabisha taasisi kivip wakati huo ni mchezo ambap yeyote anaeweza akashinda tu,mbona Bonabucha alipgwa Kenya,Gilinya Tano nae alipg mzungu M1 alichosndw kumpg knock out tu na ubngw akapew mzungu...!! Mbona huyo Mjeshi Wa Uganda nae kadhbitiwanvkali na bwan mdogo tyu MT
Ni matokeo sahihi kabsa ingawa ingekua nchi zingne kidunda angetangazwa mshindi....!! Ni fight ngumu iliyojaanufundi na ununda flan hiv!! Mmetufurahisha sana wadau hususani mimi binafsi 🥊
Hahahah...muamuz alitakiwa kumaliza pambana hili round y 9 kwasababu kidunda alikuwa haoni pia alikuwa anatoa damu nyingi mdomon...so refa alitakiwa kumaliza pambana hili ila sijui aliogopa kitu gani...
Apa ndy tunauwona ule msema mcheza kwao utunzwa ila ukweli ni kwamba kidunda kachezea kichapo tu tuachen kubebana bebana tunahudumaza mchezo wa ngum sisi wenyewe
Hii mechi ya boxing sasa, yani ngumi zipo sexy ufundi unaonekana,energy is superb,tunaona jab,counter punch,combination na vitu vingine kiduku alituhujumu mashabiki lile pambano
Nimegundua wasouth Africa wanazingatia sana kutembea katika ring (foot work) na upiga jab.Nimeona kwa profesa na huyu Wallem na hata Vabaza.hii tulikua nayo zamani kwa mabondia wetu kama mambea bakari.Mbwana matumla miyeyusho Nassibu nk
Sele amejitahidi, lkn asirudiane na huyu dogo hamuwezi kwasasa aanze kujiandaa kuwa kustaafu awe Mwalimu, kwasababu umri umeenda pumzi na speed zinamuacha apigane na bondia wa umri wake
Huyu dogo msouth mtu mbad sana alimtoa manundu Kiduku, Kidunda amekutana na mtu hatari pambano likirudiwa itakuwa balaa Kidunda anatakiwa kujipanga kwelikweli
Kidunda ni bondia mzuri sana na alistahili kushinda kwa fauls alizocheza huy dogo ndio zimemaliza nguvu ya kidunda,pili umri mtu na baba yake all in all Tz we are best in fighting althogh south africa are more than talented.
Sijui Pius Mpenda anacheza katika uzito gani, ila ndiye bondia atakayemuweza huyu..! Pius Mpenda pekee ndiyo anaweza kuingia ndani na kumpiga ngumi huyu jamaa..!!!
Yote sawa lkni kw hay matokeo yni bro kidunda katuanguxha maana sis! Atuja mzoea ivi afu wkati mwingine machmpioni w bongo kuna ki2 cha kujifunza hap angalia pmbano vzr! Na tujiandae vya kutosha..😂 ..
Kweli mtanzania lakini mimi unafki siwezi jana kapigwa kila haina ya ngumu ndio mana mabondia wetu wakitoka nje ya nchi wateseka tujichunguze sisi wenye kwanza
IMENIBIDI NIRUDIE KUANGALIA GAME NZIMA NMEGUNDUA WABONGO WENGI HAWAJUI MCHEZO WA NGUMI WANAANGALIA NANI KAVIMBA AU KATOKA DAMU SIO NANI ANA POINT NYINGI MAJAJI WAKO SAHIHI NA ISINGEKUWA KIDUNDA KUTELEZA ANGESHINDA PAMBANO KACHEZA VZURI SANA ✅
Kuvimba Kwa Mtu sio ndo kupigwa. hii Ngoma ni droo kweli. Msouth anamwili mkavu Ngumi Nyingi zimeingia lkn akuvimba. Kidunda Mwili wale uson ni mtenge lkn ananguvu Sana. Hii n droo kweli
Ajui chochote nn ukweli tumepigwa msouth ni boxer anapigana kwa akili, kidunda ni fighter anatumia miguvu trust me hata wakirudiana kidunda anapigwa huyo msouth
Mabondia wa bongo wajifunze kitu hapa, kulazimisha KO na kukamia ni kumpa nafasi mpinzani. Msouth toka round ya kwanza hadi tisa anapiga jabs tu, ana score points na anahifadhi pumzi. Pumzi ilipopungua kwa kidunda kaanza kufunguka ngumi za ukweli
Nyie watangazaji wa ngumi ni moja kati ya viumbe vya hovyo kabisa kwenye huu mchezo, hamna weledi mmejawa tu na ushabiki..., jamaa anapigwa nyie mnasema anapiga... Poor pipo
Wachambuz wanaharibu pambano, mkiamua kutangaza Kama mpira hakikisheni mnatangaza kwa pande zote, round ya kwanza kidunda kupigwa jab zisizohesabika hamsemi then round hii kidunda anapiga ngumi za shingo mnasema anashambulia huku kumbe hapigi target... Then mashabiki wanadhani kidunda anapiga kweli kumbe hamna kitu. Mtua anakayemuweza huyu kijana ni mfaume akiacha bhangi, salum mtango akiongeza uzito wa punch na pumzi, mwakinyo (anajua kucheza mapambano magumu na kushinda kwa point), na Ibrahim class coz anajua kucheza mechi ngumu na kwenda na Kasi yamchezo na anajua kushambulia haraka anaposhambuliwa
dah! aliyepiga kengere ktk hil pambano hafai hata kidogo round y 10 kamaliza pambano wakat bado kuna sekunde 39 za kucheza na sheria sekunde 10 kabla ya kumaliza inatakiwa upige kengere y taarifa hla hakukua na ktu hiko, round y 11 kazidisha sekunde 30 na round y 12 kamaliza sekunde 28 kabla yani alikua anapiga pale anapojiskia km ingekua hak kidunda hasingemaliza round y 10 kwa hari aliyokua nayo
Huyu Wellem mjanja sana, anaruka ruka mostly kukuchosha tu , alafu mwepesi sana ktk jap na hiyo inamuweka huru muda wote na kukusoma papara zako ili akumalize
Dogo nilimfuatilia cku nyingi na alipotaka kucheza na kiduku mm nikajua kbsa kiduku atapoteza na kidunda alivyomtaka dogo pia nikajua kidunda atapoteza kutokana na uwezo,dogo yupo vzri sana ila kwa upande wa mashabiki wanaotaka huyu dogo acheze na TEMBO Hassan Mwakinyo mm nasema kbsa na Comment yangu ihifadhiwe vzri kama kumbukumbu,dogo atapigwa na hassan tena vibaya sana.