Тёмный

UTACHEKA: Kama uko hivi mwaka huu 2020 usiende kwa CHALII YA R 

Timamu Comedy
Подписаться 522 тыс.
Просмотров 1,2 млн
50% 1

Muendelezo wa video kali za kuchekesha kutoka kwa wachekeshaji waliosajiliwa na kampuni ya Timamu TV, Kupitia channel hii utapata video pekee za comedy!
Follow us on social media:
Timamu Comedy - / timamucomedy
Timamu Movies - / timamumovies
Director: Timoth Conrad
Instagram: / timothconrad
Facebook: / officialtimothconrad
Twitter: / timothconrad
Actor: Hassan Daffur 'Bwana Mjeshi'
Instagram: / hassandaffur
Facebook: / bwanamjeshi-1925841417...
Twitter: / bwanamjeshi
Actor: Brian Mrikaria 'Mr beneficial'
Instagram: / mr_beneficial
Facebook: / mr-beneficial-30764660...
Twitter: / beneficialtz

Приколы

Опубликовано:

 

2 янв 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 274   
@abdulsanga57
@abdulsanga57 4 года назад
Hahhahhaha kama bdo unacheki 2020 gonga like tuwe pamoja
@pendondossy2158
@pendondossy2158 4 года назад
Sitaki utani na kima 😹😹😹😹😹😹😹😻😻😻😻😻😻
@johnmerere1608
@johnmerere1608 4 года назад
aisee hii noma aisee gonga like apa jombi
@barakannko8682
@barakannko8682 4 года назад
Kiukweli hawa wajamaa wanatisha kama unawakubali Pita na like
@reginahevarest8003
@reginahevarest8003 4 года назад
Nyokoooooo weee had mlima wa Moto unaujuwa kafue 😂😂 unapenda vya mteremko
@venancechekawa3080
@venancechekawa3080 4 года назад
Uko vizuri
@richardtv8339
@richardtv8339 4 года назад
Hamna kitonga ni mlii... mlima wa moto🔥😂😂😂
@jumamussa3943
@jumamussa3943 4 года назад
Ni moto machalii
@denicekatunzi1098
@denicekatunzi1098 4 года назад
😀😀😀
@jabalitz4424
@jabalitz4424 4 года назад
Gonga like kama unawakubari hawa t comedy
@Ninjaboytz57
@Ninjaboytz57 4 года назад
Tunawakubali
@richardcharles5224
@richardcharles5224 4 года назад
Jabali Tz Hahahaha
@BossMistari
@BossMistari 4 года назад
Jabali Tz Enjoy Your Favourite Official New Video Song... ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1N_f8LpIJTc.html
@tjtv9180
@tjtv9180 4 года назад
Jabali Tz mnatisha
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 года назад
Hivi vichwa😂😂😂😂
@jescaevarister1064
@jescaevarister1064 4 года назад
Hiyo ndio arusha one. Timamu TV mko goodyyy. Like ones
@Queenester1984
@Queenester1984 4 года назад
😂😂😂😂 Chali ya R nishida Dhuuhh Aki ya Mungu niatari
@neemaoigen3594
@neemaoigen3594 4 года назад
Nilitaka nishangae huu ukarimu wa chalii vip?😂😂😂
@officialrockrhymes1858
@officialrockrhymes1858 4 года назад
hiyo haipo
@adbashtv6701
@adbashtv6701 4 года назад
0788996844 Nilichogundua cheki WhatsApp
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 😂😂😂😂😂😂😂 Na yy mwenyew anajua kabisa eti nisamehe tuu ohooo eti naomba sabuni yani hamjawahi kinichosha na mimi sijawahi kuwa hoka wallah
@venancechekawa3080
@venancechekawa3080 4 года назад
Uko poa
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 года назад
@@venancechekawa3080 yap nko p
@mustafajuma2036
@mustafajuma2036 4 года назад
Haaaa uyu jamaa anavituko mzee anakula ajui nini kimatokea mbele
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 года назад
@@mustafajuma2036 🤣🤣🤣🤣
@redjangleofficial7144
@redjangleofficial7144 4 года назад
You guys are the best men😂😂😂😂😂
@richardtv8339
@richardtv8339 4 года назад
Nan kagundua beneficial alikua amesahau kuandka ndzi🍌🍌2 mjeshi akamkumbusha😂😂😂😂
@yohanamollel3585
@yohanamollel3585 3 года назад
Challli R atamlipisha jamaa
@abdulazizkhamisabdallah
@abdulazizkhamisabdallah 4 года назад
Guys hata mm nataka kuanzisha platform ya pranks video hapa Tanzania plzzz naomba support yako kwakuweza kusubscribe hapa👉ru-vid.com/show-UCfqOIzgLcMq0A5DJdCCR72g 🙏🙏
@abdulazizkhamisabdallah
@abdulazizkhamisabdallah 4 года назад
Cheka Point_ abdulaziz_vlogs 👈👈
@movies-uz5bb
@movies-uz5bb 4 года назад
Utafungwa
@abdulazizkhamisabdallah
@abdulazizkhamisabdallah 4 года назад
Adonie Adoncam 😀😀 hapana
@richardtv8339
@richardtv8339 4 года назад
@@movies-uz5bb cyo kufungwa wabongo watamuwa tulivyo na hasira 😂😂😂
@marykimaro6184
@marykimaro6184 4 года назад
Chalii nakubali aseee Mwaka Umeanza vizur..... Nakubal asilimia zote vijana Achen kujilegeza fanyen kaz 🚶
@masoudhamad1047
@masoudhamad1047 4 года назад
Hey mary
@marykimaro6184
@marykimaro6184 4 года назад
🙋
@masoudhamad1047
@masoudhamad1047 4 года назад
Fanya kweli bas izo namba
@masoudhamad1047
@masoudhamad1047 4 года назад
Thanks....+254au +255?
@marykimaro6184
@marykimaro6184 4 года назад
+255
@danieldaudy888
@danieldaudy888 4 года назад
gonga like...kwa chaliiii ya R
@basilisamayyo9973
@basilisamayyo9973 4 года назад
Chaliii you made ma day
@esthermussa3099
@esthermussa3099 4 года назад
Og san
@frenkmvungi5860
@frenkmvungi5860 4 года назад
Umetisha
@leonardmhando2339
@leonardmhando2339 3 года назад
Sory hivi hiyo nyimbo arioimba anaitwa nani
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 года назад
Nawakubali
@budgeter4807
@budgeter4807 4 года назад
Daah, we chalii anakupa vitu unakubali tu😂😂
@mdeeboy846
@mdeeboy846 4 года назад
Hahaha -- sema ukweli nijue vizuri
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 года назад
Ila mzee baba umefukia hatar 😁😁🤣🤣
@nehemiahbalinga4786
@nehemiahbalinga4786 4 года назад
😂 😂 😂 Chalii umetishaaaa
@maikourio9702
@maikourio9702 4 года назад
Ni motooooo
@mathiasmartin7715
@mathiasmartin7715 4 года назад
Wako vizuri jamaa nawakubali sana hongera kwao B blees
@nehemiahbalinga4786
@nehemiahbalinga4786 4 года назад
Gonga like kama unawakubali awaa jamaaaaa
@MrTabasamu
@MrTabasamu 4 года назад
Nimeipenda! Kali sana ila pale anaposema "Naona unaandika?" wangesubiri hadi mwisho ili iwe surprise tosha! Sisemi hivi kudhalilisha ila ni kujengana tu roho safi.Tena nime-subscribe.
@ramadhanimwijage7677
@ramadhanimwijage7677 4 года назад
Ilikuwa Powa zaid alijua labda jamaa anajikumbusha alijebra!
@lawmaina78
@lawmaina78 4 года назад
Siku yoyote Beneficial akiwa mkarimu kwako lazima uvute aerial, uwe makini maana lipo linakuja. Hapo anaandika andika...duh! Kula vyote kisha agiza juisi ya mwisho, akiondoka kwenda kuandaa, sepa jombi sepa, toka nduki.
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 года назад
😂😂😂😂 Ana andika kumbe Ana maana yake duh
@petrosully828
@petrosully828 4 года назад
bab imeish hy mwak 2019
@petrosully828
@petrosully828 4 года назад
anapg mahesb bb ucion anaandk
@BossMistari
@BossMistari 4 года назад
mla chake Enjoy My New Official Video Song... ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-1N_f8LpIJTc.html From Chugastan.
@aboubakarmgongo5730
@aboubakarmgongo5730 4 года назад
@@BossMistari Imeisha iyo!
@vincentwilliam3602
@vincentwilliam3602 4 года назад
Mlimaaa wa motoo...atoeee io kimango..........mpe soap
@hamispeter9043
@hamispeter9043 4 года назад
hii nouma sana....hakuna kitonga ni mlima wa mto 😂😂😂
@yohanapetro4937
@yohanapetro4937 4 года назад
Jiandae kulipa siunaona Chali Anaandika Siyo bre
@kenedymalale645
@kenedymalale645 4 года назад
😄😄 ngoja nkuwashiie jombii
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka jamn hadi machozi kafuwe ukimaliza kuosha vyombo majeshi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nadhifajuma6485
@nadhifajuma6485 4 года назад
jamaa ana write tuy 🤣🤣🤣🤣🤣af Chalii hajagundua
@harunathomas516
@harunathomas516 Год назад
❤️🥂♥️🥳❤️🥂😍nawapenda sana
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂 Yani nyieeeeee
@samueljohn0478
@samueljohn0478 4 года назад
beneficial is a 🐐🔥🔥
@yassiniabbassi6674
@yassiniabbassi6674 4 года назад
Hahaha hii ya motooo
@simonmzazi8046
@simonmzazi8046 4 года назад
mlima wa moto!!! hahahahaha!!!!! mjeda ee umeniuwa mbavu
@ezekielfabiano3994
@ezekielfabiano3994 3 года назад
😂🤣😂🤣😂 nzur sana hii chug boy
@tumainisimoni2497
@tumainisimoni2497 4 года назад
Nzuri r chuga ipo roon kwang
@khatibbakariofficiallvideo9207
@khatibbakariofficiallvideo9207 2 года назад
Makin Sana chaliii
@hermanseme4403
@hermanseme4403 4 года назад
Ndo huyoooo yeye chaliii
@annamungure5284
@annamungure5284 4 года назад
Yaaan mm mtuh km huyoo cjuiii namtimua km mbwaaaaa yaaaan
@forreal1338
@forreal1338 4 года назад
Ah kmk simtembelei rafiki yeyote mwaka huu who is with me put a like
@jbseven_94
@jbseven_94 4 года назад
Kizazi sana hii
@jessicalaizery6839
@jessicalaizery6839 3 года назад
😂😂😂😂☝️sawa bhna
@olakidero5503
@olakidero5503 4 года назад
Moto San👍👍
@eliasulley177
@eliasulley177 4 года назад
Atar faya from manyara 😁😁😁😁😁
@kareemclassic462
@kareemclassic462 4 года назад
Heee hustuki tu bwana mjeshi
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 4 года назад
😌😌😌chalii nlijua leo kashukiwa na malaika wa ukarimu kumbe doooh 😂😂😂😂
@afelistmichael4371
@afelistmichael4371 4 года назад
Rahma Khassani 😂😂😂.mm mwenyewe nilikuwa najiuliza ukarimu wote huu wa chalii kuna shida itakuja mbeleni 😁😁😁😂
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 4 года назад
Afelist Michael 😂😂😂😂😂😂
@afelistmichael4371
@afelistmichael4371 4 года назад
Rahma Khassani 😅😅😅😂😂
@afelistmichael4371
@afelistmichael4371 4 года назад
Rahma Khassani unalipia hadi kuangalia tv wakat ww ni mgeni 😲😲
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 года назад
Wakwanza Ku view
@yusuphmenjano
@yusuphmenjano 4 года назад
hafai chalii
@jabalitz4424
@jabalitz4424 4 года назад
Unajua beneficial
@barakarobert9516
@barakarobert9516 4 года назад
Hahahah!! Hayo mamisosi kwl mtu hatayalipia
@mengielia7403
@mengielia7403 4 года назад
Nimependa sana kinyimb hicho msan gan huyo
@jofreyntangu2644
@jofreyntangu2644 4 года назад
Nimecheka sana
@emmaculatemalii1513
@emmaculatemalii1513 2 года назад
Nitogeshe hela yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ElisioVicenteMadimba
@ElisioVicenteMadimba 10 месяцев назад
Bwana mjeshe maongezi yako yananinogea sana.
@samsonmalya2063
@samsonmalya2063 4 года назад
Nakubali san
@urassahonest
@urassahonest 4 года назад
You guys are creative ❤
@goodluckmodo4718
@goodluckmodo4718 4 года назад
og sanaa
@godfreymahavile4688
@godfreymahavile4688 4 года назад
pole jombi😂😂😂😂
@barakalayzer6846
@barakalayzer6846 4 года назад
Kweli mwaka umeanza vizuri
@abedjohnathan481
@abedjohnathan481 4 года назад
Kali ya mwaka
@japhetnyangusi4113
@japhetnyangusi4113 4 года назад
Ni shida atoe kimango ajui chali kaprinti
@georgenoel8099
@georgenoel8099 4 года назад
Sawa mzee bb
@fizkid_tz4900
@fizkid_tz4900 4 года назад
Ahhh hatar Sana wazee
@beblessedwithgospellyrics1
@beblessedwithgospellyrics1 4 года назад
Yan bwana mjesh bogaz kwel.. 😂😂
@mukhtallymandwanga4872
@mukhtallymandwanga4872 4 года назад
Nawaelew san wazee
@sekavumotvseka7338
@sekavumotvseka7338 4 года назад
Charii mbona wamkazia jamaa yeye tumemis kisambaachake bwana
@nasmahamisi9289
@nasmahamisi9289 3 года назад
Nakukubali sana chsli angu yani nakupa comment yahela yote haikatai haikatoksi
@ramadhanboi6485
@ramadhanboi6485 4 года назад
haha tunacheka ki 2020 sema kdg mbadilishe cku moja moja tumechoka kila siku mjeshi ndo anaonewaga yeye
@mthailandmweusi3026
@mthailandmweusi3026 4 года назад
Kumanina zenu mnaoomba like wot3 was3n3 sana ais3 wenyemali eenyewe hawajaomba we unakuja kuwaj3 acha usenge umekasilika nifate msenge sikuzote ww
@raxmedia6805
@raxmedia6805 4 года назад
Amna cha bule 2020
@christopherlusendeka5557
@christopherlusendeka5557 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiihahahhahah
@rajyuzoo7895
@rajyuzoo7895 4 года назад
Falcon Stratergy ni moja ya stratergy ambayo imesaidia watu wengi sana ikiwemo sisi wenyewe katika kujifunza biashara ya FOREX kutokana na unique approach yake katika Technical Analysis ya FOREX MARKET. Strategy hii imeandaliwa na founder wa FALCON TRADING COMMUNITY ambaye ni raia wa uingereza MARK HUTCHINSON ambaye ametrade FOREX kwa miaka 10😇 ....... Ili kuipata strategy hii lazima uwe member wa FALCON COMMUNITY ,na ada ya kujiunga ili uwe member ni Pounds 97 {300,000 tsh} kwa mwezi au pound 247 {750,000 tsh} kwa miezi mitatu😫😢.. Lakini sisi kama vijana tunatambua kuna watu wengi wanatamia kujifunza FOREX na kuweza kuendesha maisha yao kwa uhuru {FINANCIAL FREEDOM} lakini kwa sababu za kiuchumi wameshindwa kujifunza coz siyo kila mtu anaweza lipia FOREX COURSE kwa laki 2 au 3 au zaidi , na wapo baadhi wamepoteza pesa zao kwa matrader wengine ambao wanawafundisha nusu nusu na baadae kuwaacha kwenye mataa..😒. Hivyo basi tumeona tusaidie watu ambao wangependa kujifunza FOREX ila hawana uwezo wa kulipa malaki au mamilioni.. Kwa Tsh 24,000\= tu tutakupatia FULL FALCON FOUNDATION COURSE kuanzia mwanzo kabisa yaani introduction to FOREX mpaka mwisho🤩,ambayo kwa kawaida inapatikana kwa Tsh 300,000 kama ni member wa FALCON COMMUNITY ya bwana MARK🤔. Lakini sisi tutakupatia kwa 24,000Tsh tu,na utakua ume-save Tsh 270,000😊. Lakini pia tutakuadd kwenye group letu la whatsapp ambako utakutana na traders wengine hivyo tutakua tukibadilishana mawazo na kushare analysis zetu pamoja na Weekly webnair ambazo tutakua tukianalyze pair mbali mbali kwa pamoja kila jumapili... Malengo ya kufanya hivi ni kusaidia vijana wengi wapate Financial Freedom na kujipatia kipato cha kuendesha maisha kupitia biashara ya FOREX.. Wasiliana nasi kupitia whatsapp number +255737550632 @BeesFx
@tzboyclassic9596
@tzboyclassic9596 4 года назад
Yechu yechu dingiii😂😂☑️
@petermaina7111
@petermaina7111 3 года назад
Wah Chali wa R 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eliaikamollel6992
@eliaikamollel6992 4 года назад
Mlima wa moto
@mohamedidd3161
@mohamedidd3161 4 года назад
Hivi nilinawa eee duuuuu
@gsscombat4742
@gsscombat4742 4 года назад
Makin chalii ya R
@festovenas502
@festovenas502 4 года назад
Hahahaha nahisi analipa
@edwinwilbert842
@edwinwilbert842 2 года назад
Nakubali mkubwa
@vincentmtinangi334
@vincentmtinangi334 4 года назад
Good comedy 2020 I loked it
@peterreward9151
@peterreward9151 4 года назад
2020 huo Ndo Mpango mzima
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 4 года назад
Naomba sabuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abrahburaheze8879
@abrahburaheze8879 4 года назад
makini snaaaaaa
@danieltunga7025
@danieltunga7025 4 года назад
🤣🤣🤣🤣pilau mwenzake ndizi🤣🤣🤣🤣
@comrademlewaisavile336
@comrademlewaisavile336 4 года назад
Vita imeanza uku wanyabi vs char ya r
@michaelmahuma6626
@michaelmahuma6626 2 года назад
Umetisha chuga hakuna vya bule
@amosmasanyiwa4113
@amosmasanyiwa4113 4 года назад
Sijashiba kama breakfast bwana mjesh jaman
@selinamkapa5884
@selinamkapa5884 4 года назад
😂😂😂😂dah
@glorysimon775
@glorysimon775 4 года назад
Nimechekaa kwa nguvu hatar
@stanleyminja3393
@stanleyminja3393 4 года назад
Mjeshi ukimaliza utajuta kwenye kulipa
@kevinkevoo3154
@kevinkevoo3154 2 года назад
Huhuh akiamungu uyu afai
@fozyafozya4060
@fozyafozya4060 4 года назад
Hahahaha...Noma sana
@hamispeter9043
@hamispeter9043 4 года назад
Tamu eeenheeee 😂😂😂
@silinathomas7526
@silinathomas7526 4 года назад
Funguka baba
@tolumnyama3935
@tolumnyama3935 4 года назад
Ni mlima wa moto.
@allyteta7260
@allyteta7260 4 года назад
Ahahaha chizi ww
@jovinmdee4207
@jovinmdee4207 4 года назад
nakubal bloood
@asamunique5174
@asamunique5174 4 года назад
Uroho komoooooooo
Далее
It works! #beatbox #tiktok
00:15
Просмотров 2,9 млн
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
Просмотров 449 тыс.
MC Jessy UNCUT - Mama,I Made It!
18:46
Просмотров 693 тыс.
Angalia hii joti akiwa anabishana na bosi wake
6:43
Просмотров 714 тыс.
MSAMBAA kapigwa MAREKANI / CHALII HANA HURUMA
4:36
Просмотров 651 тыс.
Baba Mwenye Nyumba
19:06
Просмотров 93 тыс.
Пельмешка 🤣
0:18
Просмотров 3,4 млн