Jamani kiukwel mchungaji Tony na mwelewa ila naomba nitoe ushauli tu asiwe anatumia sanaaaaaaa rugha ya kigeni kiswahili kidogo kiingeleza kingiiiiii mmmh...uku kwetu wasomi wachache..
Jamanii anaee uamini naamini asie amini . Anyamaze Hakuna alie lazimishwa. Kusikiliza hajui kwamba dhania ni zambii kumdhania mtu ni dhambi chakufanya njia nirahis sana ingia magotini muuulize mungu je ni mtumishi wake. Mbona mungu najibu NA mungu anaongeaa. Rahi si tu hivo..
unatafutaa hela kwa jina la mchungaji 😂😂😂😂hela ngumu sana hizi sas unaweza kujikutaa unapataa laana kwasababu ndogo kama hiii ajaja kukulazimishaa kwenu umuamini lakin kwann umuongelee kama amekulaa sadakaa zako broo
Jamani kiukwel mchungaji Tony na mwelewa ila naomba nitoe ushauli tu asiwe anatumia sanaaaaaaa rugha ya kigeni kiswahili kidogo kiingeleza kingiiiiii mmmh...uku kwetu wasomi wachache..