Nilikuwepo Msimbazi Centre Kwenye Adhimisho la Daraja Takatifu la Upadrisho Kwa Hawa Mapadre. Mmoja wapo wa Shirika la Mt Joseph Benedict Cottolengo Padre Bernardo Msuya Nilisoma nae Minaki High School. Hongereni sana Mapadre wetu. Mungu awalinde na siku zote katika utume wenu!