Тёмный

SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO 

Crown Media
Подписаться 92 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Спорт

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 173   
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 12 дней назад
Very humble Man...Biteko ww ni hazina kama ukiendelea hv lakin Kikeke bado uko juu sanaa!! Big up to both of you
@dicksonkyando8989
@dicksonkyando8989 10 дней назад
Awe Rais mtarajiwa! Anafaa Sanaa.
@user-uh9xg1pn6i
@user-uh9xg1pn6i 14 дней назад
Dr biteko...uko smart sana kichwani...mungu akutunze i wish siku moja uwe President wa nchi yetu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 дней назад
Sio kwa sababu anajibu vizuri ndo Rais, tunataka kweny cheo chake hiki je umeme upo? na kama upo unakatika katika? watu wengi wanaweza kuongea sana lakini sio kwamba ndo kigezo pekee cha kuwa President. mbona RUTO wa Kenya ana akili nzuri..lakini kwa ss vijana wake wanamgomea kila kona...
@amaningobayi7114
@amaningobayi7114 14 дней назад
Jamani hiki kitu ndio Tanzania tulisubiri sana kikeke hongera sana crown media big up
@charlesmtangi9046
@charlesmtangi9046 14 дней назад
Mwandishi makini jasili mwenye experience ya Hali ya juu umetisha san ❤❤❤❤❤
@e.e5698
@e.e5698 13 дней назад
Crown media wanaweza iovertake hii industry kwa spidi kali sana...vipindi kama hivi na viongozi wakiulizwa maswali ya maana na sio ya kichwa ni muhimu sana...Pia kudos to Dr Biteko...he seems to be a very smart man...
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Hivi redio yao ni ngapi nukta ngapi(masafa yapi)
@vayeen
@vayeen 10 дней назад
Now it make sense why he was crowned Deputy PM. Dotto is way ahead our local politicians, he is intelligent, humble, visionary, highly integrity and a man of people.
@SofiaSaidi-m9f
@SofiaSaidi-m9f 8 дней назад
hajawahi kutokea kiongozi mwenye sifa hizo zote hapa tz😂
@ChansaElie
@ChansaElie 5 дней назад
Xaw
@ChansaElie
@ChansaElie 5 дней назад
Nanapo
@emmanuelmoses5881
@emmanuelmoses5881 11 дней назад
I real love this Man of fearing GOD , yaan ana kila kitu chema kwa watanzania . Bigup DOTTO .
@salumjuma5642
@salumjuma5642 8 дней назад
Sincerely I see Biteko in presidential post some years to come. I once met him at terminal two before even he was appointed, I said to myself this man deserve to be the president one day. The action of being appointed and his presentation cement what exactly I observed. Wishing him all the best..!
@keneth.y
@keneth.y День назад
Dr.biteko hongera kwa uwajibikaji mzuri. Watu wa kata ya nyamiaga kijiji cha Nterungwe vitongoji vya kinyinya na mumnazi hatuna umeme. Tunakuomba tafadhali utusaidie kufikisha miundo mbinu ya umeme tuko tayari kuwa na ushirikiano hili kwetu linakwamisha maendeleo katika maeneo yetu
@eliapendakileo
@eliapendakileo 14 дней назад
Mheshimiwa biteko Tanzania ya baadae inakutegemea sana. Mko watatu lakini mmoja ni Kama nimemuondoa kwenye malengo yangu yaani kwenye serikali ya mama mawaziri vijana na makini ni wewe Bashe na bashungwa lakini Bashe ni Kama maji yamezidiwa na sumu. Chapa kazi mkuu nakuamini tupeleke kesho ilivyo bora
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 14 дней назад
Dr Biteko anajua kujibu hana mihemko ,serikali inabdi ijipange sana maana ndio watu wanazd kuzaliwa
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 11 дней назад
Yaani hiki kipindi, kitaelimisha sana watanzania na kuanza kuwa wazalendo na kuwa na wivu na nchi yetu, maana haya maswali tunajiuliza wenyewe na hatupati majibu na kipinsi hiki ni zaidi ya kusikiliza bunge maswali na majibu. Hongera bro kikeke uko juu ya muda safi safi sana.
@user-ss6jm6jt3h
@user-ss6jm6jt3h 12 дней назад
Mashaallah mmetisha sana crown mpo vizur sanaa
@yohannatoroka-ie5ym
@yohannatoroka-ie5ym 15 дней назад
Saf sana crown 👑👑
@hassanihamidu8546
@hassanihamidu8546 13 дней назад
Nilikuwa sijawahi kumsikiliza huyu jamaa anaonekana mzalendo sana huyu mwamba, afu siomnafiki
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 12 дней назад
he is very good..great mind and ideas! kuddo deputy
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 13 дней назад
So humble Dr. Biteko God bless you.
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 12 дней назад
Very humble kiongozi wetu huyu…🫡
@samwellaurence7035
@samwellaurence7035 11 дней назад
Brother Kikeke wewe ni mfano wa kuigwa kwa wana habari wengine, hongera Crown kwa hiki kitu lkn mheshimiwa Biteko ni mtu makini sana... Watanzania tujivunie hiki kichwa, hajawahi kutuangusha hata alipokuwa wizara ya madini awamu ya tano.
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 11 дней назад
Hakika wewe ni Waziri wa pekee unae ongea ukweli mtupu kuhusu kazi yako asante sana mh
@user-qp2mc4gq2q
@user-qp2mc4gq2q 8 дней назад
Hongera sana crown media watanzania tunaitaji media kama hii na wanahabali Kama salim kikeke umenyooka sana kikeke
@ELITE779
@ELITE779 15 дней назад
Salim wewe ni hazina ya taifa kwenye ubobevu wa habari," mimi unanipa fahari sana.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Jamaa anajua sana tena sana
@abdulazizmputeni5416
@abdulazizmputeni5416 11 дней назад
Maswali na majibu yote yamenyooka! Legendary interview
@user-sj9ob8vb3s
@user-sj9ob8vb3s День назад
Mungu awape maisha marefu uko vizur
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 11 дней назад
Hivi doto huwezi kuchukua fomu au unamuogopa boss waka 😂😂😂
@emanuelwakawenga4023
@emanuelwakawenga4023 10 дней назад
Nami nimewaza why asichikue form
@ashaally6993
@ashaally6993 10 дней назад
Biteko anafanana na Uchebe wa Shishi😂...Crown🔥🎉
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 12 дней назад
Habari zako za uhakika na maswali yako ndiyo yetu ..Kikeke mzalendo wetu🙏🏾🙏🏾Unafanya kazi njema siku zote kaka yangu…👏🏾🫡
@NurdinZuberi
@NurdinZuberi 9 дней назад
Hongera sana waziri pia hongereni sana crown media salim kikeke tunakuamini piga kazi kaka.
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 11 дней назад
MH:umeeleweka vizuri sanaa hongera
@omzedstationary932
@omzedstationary932 14 дней назад
VIVAA..TZ..VIVAA
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 14 дней назад
Big up oll fan's on crown media
@navioma4882
@navioma4882 13 дней назад
Hizi camera 🎉🎉🎉🎉❤❤😂
@jamesmethusela1148
@jamesmethusela1148 8 дней назад
This man deserve even Presidential 👑 better than a half, than most of political leaders🇹🇿 we have with too much blaa..blaas! he's So logical, analytical and detailed as he speak it's real makes senses, I bet one day yes @Dotto Biteko
@MauBonde
@MauBonde 9 дней назад
Kikeke kuna maswali hujamuliza na ushaiona system ya wakoloni,,,,,,,,kwanini kampuni za simu ziko nyingi kuliko za umeme na maji tangu Uhuru ,tuache kujiweka nyuma ,ndio mana hela yetu haina thamani mpaka Leo ,,,ni hayo tuuu.
@kamanda007
@kamanda007 3 дня назад
Biteko uko vizuri, chapa kazi
@nancy_kimaro
@nancy_kimaro 4 дня назад
Someone needs to be very intelligent to unsmart Biteko🙌👏😅
@RamadhanShwaibu
@RamadhanShwaibu 14 дней назад
Crown muko vizuri sana maashaallaah
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 14 дней назад
Ilove crown fm
@ericksamwel4814
@ericksamwel4814 16 часов назад
Brother kikeke big up pita humo humo interview imeshiba na kongore kwa boss wangu mh biteko kwa majib mazur
@EtieniRama
@EtieniRama 15 дней назад
Crown mme tisha sn❤❤❤
@user-bb4hy7xq9y
@user-bb4hy7xq9y 14 дней назад
Big up kwa kazi mzuri crown
@wamburawambura1968
@wamburawambura1968 День назад
Nakukubali Biteko.
@Bama959
@Bama959 14 дней назад
Sio jambo rahisi sana kwa sababu linahitaji kwa kasi mwingi sana na kila mtu lazima awe makini kwa kutaka kupata chochote kile kutokana na mradi huo tuwape hongera umefanya jambo la msingi sana lakini tusubiri tuone matokeo ni yapi kwa wananchi wote
@ErnestMmeta-xu5gh
@ErnestMmeta-xu5gh 14 дней назад
Natamani ck moja mh Dotto Biteko aje kuwa Rais yuko tofauti na watawala yeye ana simama cku zote kama kiongozi
@georgeigogo9259
@georgeigogo9259 12 дней назад
Kwanini using ww
@faksa9607
@faksa9607 10 дней назад
Mh Nakuelewa Sana
@mamoniniyoyishura3289
@mamoniniyoyishura3289 14 дней назад
Ahsante sana crown 👑
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 14 дней назад
Kikeke 👍👍👍👍👍🙏
@Abdul-azizSaidNassor
@Abdul-azizSaidNassor 14 дней назад
noma sn crown❤❤
@jacobsimkoko3096
@jacobsimkoko3096 15 дней назад
Kuna sehemu nimecheka, na nimejifunza mengi nikafurahi. Thanks
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 14 дней назад
mora akunze, usipungukiwe uwezo huu ,wakusema nakutenda,wewe nisimutank ya kizazihiki,hongera sana mh.biteko
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn 11 дней назад
Amen
@assanisass6641
@assanisass6641 14 дней назад
Waziri iko vizuri
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 14 дней назад
Hongera Mh kwa kazi iliotukuka
@salamSalehhhhh
@salamSalehhhhh 15 дней назад
Am here 👋👋👋
@emmanuelmathiasmpesa9396
@emmanuelmathiasmpesa9396 11 дней назад
Uyu jamaa anaweza kuielezea hii sekta🙏
@ShortyShorty-mr3jb
@ShortyShorty-mr3jb 14 дней назад
Safi sana mhe waziri
@shabaniswedi8333
@shabaniswedi8333 14 дней назад
Best interview ever
@mussakayenze2276
@mussakayenze2276 14 дней назад
Very nice
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 14 дней назад
Alikiba unatakiwa kumpa salim kikeke zawadi ya v8 mana ndie bora kwetu na crownmedia sikama hana garii hapana ila apewe zawadi ya gari v8 naapewe na dereva wakumuensesha mana bado tunatakiwa kujifunza kwake naujuzi atuachie crownmedia
@davidkitova7100
@davidkitova7100 7 дней назад
Anampaje gari boss wake
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 13 дней назад
Moja ya suala alilokwepa ni kwamba wakati wa JPM umeme ulikuwa haukatiki. Hivyo sababu ni hujuma hukohuko serikalini na wizarani. Walimwogopa jpm hawakuthubutu kukata umeme. Hizo rushwa alizozisema Biteko ndio chanzo cha kukatika umeme
@iskiji1240
@iskiji1240 8 дней назад
Inategemea na sehemu, Mbeya mjini umeme ulikua ni changamoto sana hata kipindi cha Magufuli. Kila kona ilikua majenereta tuu. Toka mradi wa rufiji uwashe mtambo wa kwanza angalau tunamaliza wiki umeme haujakatika.
@mosesmdindile332
@mosesmdindile332 14 дней назад
Big up kikeke
@user-dt9iz2gq3s
@user-dt9iz2gq3s 14 дней назад
Hii inapatikana kwenye ving'amuzi gani
@erickkinyamagoha5618
@erickkinyamagoha5618 7 дней назад
Kikeke upo vizuli crown inakuwa kwa kas sanaa
@user-qz8gn6bn6r
@user-qz8gn6bn6r 14 дней назад
Noma
@aoloathumani10
@aoloathumani10 13 дней назад
Yaan upembuzi ni miaka 2!! Mmh sidhan kama kipind cha mzee ilikuwa inafanyika hivyo🙆🙆
@rejobu9723
@rejobu9723 14 дней назад
🎉🎉
@chiefnyanda3260
@chiefnyanda3260 10 дней назад
Good sir
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 14 дней назад
Baba wataifa katika habari hongera kwakua bora sikuzote salim kikeke
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 14 дней назад
sawa kiongozi🎉🎉
@abukhadija1993
@abukhadija1993 15 дней назад
❤❤❤
@FatmaChezo
@FatmaChezo 12 дней назад
👏👏
@MTSshebatiakilihalisi8787
@MTSshebatiakilihalisi8787 14 дней назад
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 14 дней назад
Crown media, shikamooni, yaan inapofka sehemu mnazungumzia jambo Fulani, linaoneshwa, mfano mlipozungumzia Mambo ya mashine, mkaonyesha video ya mashine, HONGERENI SAAANA, HII NI KIWANGO CHA JUU SANA
@abatinkalango4571
@abatinkalango4571 10 дней назад
🙏🙏
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 14 часов назад
sinaga tabia ya kusiphi mtu ila huyu biteko anajibu vizuri
@kalphoncemayala5000
@kalphoncemayala5000 День назад
Hi
@saiddgsmg
@saiddgsmg 14 дней назад
Salm kikeke upo vizuri
@jamesmbaraka634
@jamesmbaraka634 10 дней назад
Biteku uko vizuri sana waswasi wangu watu ulio nao je watakusaport ufike mbali maana ndio maadui wakubwa wanaoturudisha nyuma.
@danielshauri6390
@danielshauri6390 10 дней назад
Biteko ni kichwa sana “ salute 🫡
@mbembelatv
@mbembelatv 12 дней назад
Here
@ericksamwel4814
@ericksamwel4814 16 часов назад
Boss kikeke mwalike na waziri wa mawasiliano huku Kuna mitamdao daaah inatumaliza
@user-xn3ju5gp5p
@user-xn3ju5gp5p 11 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 10 дней назад
Samia team kama nikocha mama kikombe utachukua maana unavyojua kupanga inatisha kama gadioler
@asnalimtv7690
@asnalimtv7690 11 дней назад
Hatari Sana
@user-uq6uv7mb4o
@user-uq6uv7mb4o 10 дней назад
Kikeke tutazid kukufatili adi mwisho wa maisha yako wanainchi wanataka kujua vitu kama ivo sasa watajuaje kama tusipo pata watu kama hawa mfano kikeke
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 14 дней назад
✌️👊👍.
@user-uq6uv7mb4o
@user-uq6uv7mb4o 10 дней назад
Biketo nimekuelewa sana Maheshimiwa unajibu vuzur sana sana unastahiki kuwa hapo asant
@chuseboy6325
@chuseboy6325 11 дней назад
Camera kali sana
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 11 дней назад
Kikeke uyo
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 12 дней назад
Salim Kikeke mwambie waziri Dubai umeme hauzimwiii na huwezi kuwa na maendeleo ktk nchi bila ya energy by the way interview kama hii ungeeka hot line number wananchi wakamuuliza live
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 15 дней назад
Safisana Kikeke
@richardsule4454
@richardsule4454 14 дней назад
Kwa nchi yenye uchu na maendeleo Nishati ni uti wa mgongo wa maendeleo,,,Uthubutu wa serikali bado ni mdogo kwenye vyanzo vingine vya nishati, hususani upepo, jua na joto ardhi, kwani vyanzo hivi vimekua vikizungumzwa tu na tafiti zisizo kua na ukomo
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 13 дней назад
Kwani hichi chanzo cha bwawa la umeme la nyerere unaona kitakuwa hakina tija?
@richardsule4454
@richardsule4454 13 дней назад
​kituo cha nyerere kina uwezo wa kuzalisha MW 2000+ na ukiweka vyanzo vingine vya nishati vilivyopo yaani vilivyokamilika ni kama MW 4000+, malengo ya serikali ilikuwa ni kuzalisha MW 10000 ifikapo 2025 yaani mwaka kesho ili kukidhi ongezeko la mahitaji na kuchochea maendeleo ya viwanda,,,Je, huoni kwamba tunaishi nyuma ya malengo na mipango?, Je, huoni kua kuna uitaji wa kua na vyanzo vya uhakika zaidi kama vile jua na upepo?
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 13 дней назад
@@richardsule4454 unajua kwa sasa tunahitaji MW ngapi ili kukidhi mahitaji ambayo tunayo sasa ivi kwenye umeme? Hiyo MW ni malengo ya serikali kubaki na umeme mwingi wa ziada kwa miaka ya mbele lakini kama ulikuwa haujui sisi kwa sasa tunahitaji MW 400 bwawa litazalisha MW 2200 ,hivyo basi kwa miaka ya sasa utaweza kukidhi na ni hatua kubwa mnoo na ndio maana wanasema hawataishia hapo wataendelea kuangalia njia nyingine mpaka kufikia hizo MW 10000 , kwa maana ichi bado ipo na itaendelea kwa vizazi vijavyo hata kama sisi hatutakuwepo kwahiyo wako sawa kuendelea kuongeza
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 13 дней назад
Lakini sio kwamba umeme utakaotoka bwawa la mwl nyerere hautatosha kwa mahitaji ya sasa na ziada kubwa itabakia ndio maana walisema tutautumia na hata kama kuna inchi itahitaji inaweza kufanya nao biashara maana ziada itakayobakia ni kubwa labda sasa huko mbeleni kasi ya maendeleo na viwanda iongezeke basi huo wa ziada utakuwa unaoungua kutokana na matumizi
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 9 дней назад
😂😂😂😂😂😂Kikeke ukitaka majibu nenda kwa Mweshimiwa Doto kifaa cha uhakika hicho😂😂😂😂
@KapscomAfricaLtd
@KapscomAfricaLtd 7 дней назад
Hakuna selection niliyomuunga mkono Bi mkubwa kama hii, sio hao wengine wamekaa kidili dili tu!
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 12 дней назад
Salim Kikete Umefanya jambo la muhimu sana Huwezi kuwa na maendelea au kupata maendeleo ni energy solution ni kujenga Umeme wa nuclear huo ni ujinga mambo ya miti sijui gari aache ujinga huyo wwziri Dubai umeme hauzimwiii
@greysonmatogo4662
@greysonmatogo4662 12 дней назад
Kikeke na Biteko wote smart upstairs
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 10 дней назад
Kijana mdogo hekma kubwa na busara mungu akuongoze
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 13 дней назад
Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu. Unatoa majibu sahihi as ante.
@MauBonde
@MauBonde 9 дней назад
Nishati zote zipo zote hapo,........kunani,,,,,............
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 14 дней назад
Kikeke yunusi wazarendo
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 9 дней назад
Asante Biteko😂😂😂😂
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 11 дней назад
Ukenda pale wasafi unamkuta lokole na baba levo
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 11 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@samsonyemmanuel5160
@samsonyemmanuel5160 11 дней назад
😂😂😂😂😂
@samsonyemmanuel5160
@samsonyemmanuel5160 11 дней назад
Asante studio
Далее
UCHAMBUZI KUHUSU JUMA AWESO NA SIMBA
14:14
Просмотров 10 тыс.
JIRANI:  MWIJAKU, RIYAMA ALLY, MARYAM KITOSI, AUNT SADAKA
2:19:00
Почему треки липкие🤔
0:31
Просмотров 7 млн