Тёмный
No video :(

UWANJA WA KINONDONI WA ZINDULIWA RASMI | KINONDONI VUMBI LA PEPEA KUTOKA KWA WAPENZI WA MPIRA 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Jambo la kwanza lililotufanya tufike hapa ni kwamba zile ndoto zetu zimetimia. Tulianza na dhamira tulikuwa tunataka tuwe na kitu kama hiki (tuwe na uwanja wetu). Dhamira ya kuwa na timu miaka takribani Saba iliyopita. Tukisema sisi kama Kinondoni ni wakusanya ushuru. Tunaendeshwa na wananchi wauza karanga, wauza maji na vidogo vidogo wanavyochangia kwa halmashauri ya Kinondoni- Meya Manispaa ya Kinondoni Meya Mh Songoro Mnyonge

Опубликовано:

 

15 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@VenanciModrick
@VenanciModrick Месяц назад
Wanahabari wa mchongo hamjatwonesha uwanja zaidi ya kupiga store
@mrpaulbinezekiel110
@mrpaulbinezekiel110 Месяц назад
Tunazidiwa na KMC
@joojombi2341
@joojombi2341 Месяц назад
Kabla ya kuanza mahojiano mngetuonyesha uwanja wenyewe, na vyumba vya wachezaji nk
@immasaid2938
@immasaid2938 Месяц назад
Huyo meya ako na akili sana ya biashara
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu Месяц назад
Huyu meya ndo anatakiwa kuwa waziri wa michezo.
@Hamissi-s1f
@Hamissi-s1f Месяц назад
Acha uwongo mwadishi mwenge sio katikati ya jiji
@salumalriyamy
@salumalriyamy Месяц назад
Katikati kati ya Kijiji sio?
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw Месяц назад
sasa mwenge wapi au unakariri tu
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Месяц назад
​@@NM-yl2uw Mimi naishi maeneo haya haya ya Mwenge. Katikati ya jiji (City Centre) ni Posta sio Mwenge.
@mrpaulbinezekiel110
@mrpaulbinezekiel110 Месяц назад
Simba tumeshindwa hata kutengeneza uwanja kama huu
@JumaaBoriKidogo
@JumaaBoriKidogo Месяц назад
Simba inaviwanja zaidi yahivi ttz jogràfia tu
@joojombi2341
@joojombi2341 Месяц назад
Wizi mtupu huo kwakweli mbna hakuna sehemu ya kukaa watizamaji wa mechi uwanja mzima???
@petermogha7025
@petermogha7025 Месяц назад
Baba shukuru hata kidogo Kuna vyam karine hakuna kitu
@user-us7yu2cj9l
@user-us7yu2cj9l Месяц назад
Kmc hawajajenga uwanja sema manispa yakinondoni ndio imejenga uwanja
@husseinmejja8041
@husseinmejja8041 Месяц назад
Kwani kmc c ndio timu ya manispaa 😅
@papiasdyausa176
@papiasdyausa176 Месяц назад
KMC maana yake ni Kinondoni municipal council
@MohamedyMsagati
@MohamedyMsagati Месяц назад
Umeandika pumba Sana
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Nini maana ya KMC? Na timu hipo chini ya nani? Upumbavu mtupu umeropoka
@petermogha7025
@petermogha7025 Месяц назад
Hapo ni elimu ya uelewa tu​@@damianmcba9525
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,5 млн