Mbarikiwe somo zuri maana saiv manabii wauongo wamejaa kila kona pasipo mafundsho yakweli kama haya roho nyng ztapotea,,Mungu awabariki kwahuduma nzuri yakutujenga .
Patatokea waalimu wa uongo wanaotumia ujanja na elimu yao kupotosha watu xax me nawauliza watu walijuaje nabii samuel alikuwa mkuu wa manabii kama sio samweli mwenyew ndye aliewaambia?saa ingine mtu kujiita mkuu anapata idhini kutoka kwa Mungu mwenyew kwa ni kadri Mungu apendavyo Mwenyew ,na kumbuka wakati wa samuel Mungu hajaongea na watu eti kuwaambia sas mujue kuwa samueli ni mkuu wa manabii bali aliongea na samwel na samuel akafikisha kwa watu kua Mungu ameniweka kua mkuu ,