Тёмный

CASSIAN AMKEMEA PASTA TON KWA KUPOTOSHA MAFUNDISHO POTOFU EV PASCHAL CASSIAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 142 тыс.
Просмотров 55 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 688   
@JACKLINEMAHENGE
@JACKLINEMAHENGE День назад
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
@sharontv3618
@sharontv3618 День назад
Golden comment❤
@SarahKibiti
@SarahKibiti День назад
❤❤
@elijahmtatuu3128
@elijahmtatuu3128 6 часов назад
Amen Amen
@musachomoitson2350
@musachomoitson2350 День назад
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
@rilekijuma4024
@rilekijuma4024 14 часов назад
Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi
@isdommushi9536
@isdommushi9536 День назад
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
@dh-bioproducts8205
@dh-bioproducts8205 2 дня назад
Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu
@user-gj2gc4en3t
@user-gj2gc4en3t 4 дня назад
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
@kingsonkambey1436
@kingsonkambey1436 4 дня назад
Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 4 дня назад
Amina Amina
@RwidhiaRichard
@RwidhiaRichard 4 дня назад
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
@jenifferjasper1369
@jenifferjasper1369 21 час назад
Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae
@andrewmwakabela8686
@andrewmwakabela8686 4 дня назад
Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie
@rajabmohammed3982
@rajabmohammed3982 19 часов назад
Kindly give us scriptures too
@kelkel4483
@kelkel4483 4 дня назад
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
@Samsonnoahndagw
@Samsonnoahndagw 4 дня назад
Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo
@user-ll6pj1lg3e
@user-ll6pj1lg3e 3 дня назад
umenena vyema
@sigimwangombola5915
@sigimwangombola5915 День назад
Bora ungenyamaza tu
@gitongaz
@gitongaz День назад
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
@ellymtenga8127
@ellymtenga8127 2 дня назад
Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 4 дня назад
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
@AmyeSanga
@AmyeSanga 4 дня назад
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
@venacyibrahim5056
@venacyibrahim5056 2 дня назад
You are right , this is 100% truee
@user-yz3rl8pd6q
@user-yz3rl8pd6q 2 дня назад
Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
@keruboirene
@keruboirene 4 дня назад
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
@AminaIssa-lx9hs
@AminaIssa-lx9hs 18 часов назад
Isaya 54:13
@Godlovesyou1857
@Godlovesyou1857 3 дня назад
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi 🇺🇸
@phillipowwilliam1131
@phillipowwilliam1131 День назад
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
@stevenalex9121
@stevenalex9121 День назад
Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake
@prophetjohnmasso186
@prophetjohnmasso186 4 дня назад
Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake
@tujajackson8142
@tujajackson8142 4 дня назад
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@piusbaruhuwundi8987
@piusbaruhuwundi8987 3 дня назад
Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa
@AmyeSanga
@AmyeSanga 2 дня назад
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
@imanmsuwakollo4460
@imanmsuwakollo4460 Час назад
ila kwa kusikiliza kipande huwezi jua maana au alichomaanisha... ni mpaka usikilize mafundisho yote ndio utajua alimaanisha nini​@@piusbaruhuwundi8987
@imanmsuwakollo4460
@imanmsuwakollo4460 54 минуты назад
Bila kujua nini alisema mwanzo na bila kujua nini alisema mwishoni....uka base na ka clip tu lazima utaona makosa...maongezi yana connect..sasa hapa hatuona connection sababu hatujui ujumbe ulianzia wapi mpaka akasema hivi na aliishia wapi ku connect na clip. Sasa watu tunachukua ka clip tunaanza kutafsiri
@user-dq1ss2uq6u
@user-dq1ss2uq6u 4 дня назад
Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 дня назад
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
@adelinaruhiye8904
@adelinaruhiye8904 4 дня назад
Tru
@adelinaruhiye8904
@adelinaruhiye8904 4 дня назад
True
@rosemarinawiliam3289
@rosemarinawiliam3289 4 дня назад
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
@apostle_AngazaGN
@apostle_AngazaGN 4 дня назад
Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 4 дня назад
​@@apostle_AngazaGNpesa
@cydrahope5251
@cydrahope5251 День назад
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 4 дня назад
Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.
@mashande2373
@mashande2373 12 часов назад
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 4 дня назад
Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 4 дня назад
Kweli hali ni mbaya mno tuombeane
@user-tw9td1qy6l
@user-tw9td1qy6l 2 дня назад
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
@GraceMuthoni-nz3fh
@GraceMuthoni-nz3fh 2 дня назад
Apo umenena
@kelvinmbogela4718
@kelvinmbogela4718 2 дня назад
Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia
@GloryLubango-tv4hd
@GloryLubango-tv4hd День назад
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
@edithmassawe5629
@edithmassawe5629 День назад
Well done
@ndojes711
@ndojes711 День назад
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
@jenifferjasper1369
@jenifferjasper1369 21 час назад
Hakika
@JenniferAela
@JenniferAela 12 часов назад
Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n 2 дня назад
Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,
@hopekatemba7861
@hopekatemba7861 22 часа назад
Yesu aliufia ulimwengu mzima,Tony uzidi kwenda mbele
@EnockMatembele
@EnockMatembele 3 дня назад
Mungu akubarik sana mjoli wa Bwana,, akupe nguvu na maono Zaid amen
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 4 дня назад
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
@bahatadof5543
@bahatadof5543 4 дня назад
Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 4 дня назад
umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 дня назад
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
@mshindimpangala731
@mshindimpangala731 4 дня назад
Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika
@SisterDuu
@SisterDuu 3 дня назад
Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu
@obbytouchez_pro9430
@obbytouchez_pro9430 2 дня назад
🤗​@@SisterDuu
@estermathias8354
@estermathias8354 4 дня назад
Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.
@EvarineMdaki
@EvarineMdaki 4 дня назад
Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.
@JenniferAela
@JenniferAela 12 часов назад
MUNGU mbariki Pastor Tony
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 12 часов назад
Sisi wamkuyuni
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 4 дня назад
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
@PeterSimoni-th2re
@PeterSimoni-th2re День назад
Kifupitu mtumishii miniko nanyimbo zako zotee napenda sana unachokihubiri kupitia njia ya nyimboo Mungu akubarikii
@SuzanneMyles
@SuzanneMyles 23 часа назад
😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤
@Franckmulaj-Officiel
@Franckmulaj-Officiel 4 дня назад
Ni mapepo muchafu inawaongoza awa wantu, brother pascal,ayifayi kumwita ule kijana pasta,asistahili ,kwitiwa pasta.
@TheOsborns
@TheOsborns 12 часов назад
KUMUELEWA MY SPIRITUAL FATHER PASTOR TONY NEEDS A SPECIAL GRACE NA AKILI😌 ,GO LISTEN TO THE FULL SERMONS!!!!, HIZI CLIPS MNAKATA KAKIPANDE FROM THE SERMON KUTUMIA KUKOSOA NA KUFUNDISHA WATU..KWAN UMEKOSA UJUMBE😂 YANI INASIKITISHA SANA !!!!! US THOSE WHO UNDERSTAND HIM WE ARE GRATEFUL TO GOD TO BE ABLE TO HONOR SUCH GRACE IN OUR LIVES 🙏
@theonestrenatus954
@theonestrenatus954 3 дня назад
Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu
@ev_abediespoir490
@ev_abediespoir490 4 дня назад
Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww
@ZakayoKalinga-nq5qy
@ZakayoKalinga-nq5qy 2 дня назад
Ubarukiwe na Mungu sanaa MWalimu @Cassian
@Pendopasilika
@Pendopasilika 5 дней назад
Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba
@alexandernyambo7739
@alexandernyambo7739 4 дня назад
MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 4 дня назад
Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️
@anordchaula3458
@anordchaula3458 4 дня назад
Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea
@PastorVitalisSheshe
@PastorVitalisSheshe 4 дня назад
Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha
@zaralsham3257
@zaralsham3257 2 дня назад
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
@tulimwaipopo-eq3be
@tulimwaipopo-eq3be 3 дня назад
Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya
@Loyalnaxhon
@Loyalnaxhon День назад
Amenii mpendw fanya kazi ya MUNGU Na ss watumw wa mungu tunaomb mungu atup nguv ya kuijua kwel
@jelemiamkudiso4660
@jelemiamkudiso4660 4 дня назад
Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone
@zubedagadson2220
@zubedagadson2220 День назад
MUNGU akutunze mno baba umeongea ukweli kabisa😢💯
@hanagango6922
@hanagango6922 День назад
Amina mtumish wa mungu 🙏 MUNGU azid kukutia nguvu ya kukemea wanaopotosha neno la mungu
@dnewztz
@dnewztz 2 дня назад
Akiwa mbishi amuulize Godluck Gozbert na ule wimbo wake wa amenyoa Denge. Baada ya pale kila akijititutumua hola. Mungu sio wa Utani
@linahchrissy7574
@linahchrissy7574 2 дня назад
Mungu akubariki sanaa
@SophiaThadei-hx4wd
@SophiaThadei-hx4wd 4 дня назад
Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani
@mslady5824
@mslady5824 2 дня назад
😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.
@elizabethjackson2442
@elizabethjackson2442 10 часов назад
Namuona mbarikiwa mwakipesile. Barikiwa baba
@alicejohn2567
@alicejohn2567 3 дня назад
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
@RyanElias1
@RyanElias1 3 дня назад
God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet
@alicejohn2567
@alicejohn2567 2 дня назад
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
@neemacassian1869
@neemacassian1869 15 часов назад
Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 12 часов назад
😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 12 часов назад
Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo
@jonasmanirakizanzinga7882
@jonasmanirakizanzinga7882 17 часов назад
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani? For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within? Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu. Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
@JohnMfundo
@JohnMfundo 4 дня назад
Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian
@eliyakabuje9522
@eliyakabuje9522 23 часа назад
Ubarikiwe sana mtumishi yaan Asante sana YESU nisaidie 😭😭😭
@BEATRICE-ge7ff
@BEATRICE-ge7ff 4 дня назад
Hii ndiyo injili sasa mbarikiwa sana mtumishi wa mungu
@peterclaud-fm2ty
@peterclaud-fm2ty День назад
nabarikiwa
@rebeccabrown5135
@rebeccabrown5135 12 часов назад
Tonny ulianza na roho umemaliza na mwili diamond your brother Mungu tusaidie kanisa lako limekia nyumba ya biashara
@EstherYoram
@EstherYoram 4 дня назад
Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 дня назад
Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna
@Maryc2G
@Maryc2G 4 дня назад
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
@Maryc2G
@Maryc2G 4 дня назад
God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀
@loveandrew9694
@loveandrew9694 3 дня назад
Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....
@BEATRICETEWA-on6qo
@BEATRICETEWA-on6qo 2 дня назад
Mi pia nlijua hivo et
@lusekelomwasandube2992
@lusekelomwasandube2992 День назад
Mbona anajiita pastor 😂😂
@joannekesa1835
@joannekesa1835 4 дня назад
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 4 дня назад
Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu
@geitandelwa299
@geitandelwa299 4 дня назад
Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 дня назад
Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,
@estermathias8354
@estermathias8354 4 дня назад
​@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh
@jemedalimwakalundwa3520
@jemedalimwakalundwa3520 4 дня назад
Ko eagt irudi kwa tag
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 дня назад
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
@EliasGervasMahega
@EliasGervasMahega День назад
Mungu akutunze nakukutetea katika huduma nuru yakoizidi kung'aa
@user-zj9op4fb7w
@user-zj9op4fb7w День назад
Sijui Yesu akirudi itakuaje? maana watu wanaanza vizuri badae wananichanganya vibaya mno...Mungu akulinde Casiani
@ukweliwanenokatikahili7526
@ukweliwanenokatikahili7526 2 дня назад
Shida Sana , Mtumishi Mungu akutunze
@user-ep9by3ui1v
@user-ep9by3ui1v 20 часов назад
Pôle na kazi kaka 🤝🙏
@daudsospeter-zd3iy
@daudsospeter-zd3iy День назад
Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌 Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅
@JenniferAela
@JenniferAela 12 часов назад
Kweli kbs Dav...😂 ngoja inaitaji akili nyingne kumuelewa Pastor Tony kaitwa kwaajir ya watu gan maana sio kila mtu atamuelewa .
@andrewisaya3382
@andrewisaya3382 3 дня назад
Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.
@breezy9398
@breezy9398 20 часов назад
we em kasafishe kalio ndo uje apa ucoment fala ww
@UswegeRichard
@UswegeRichard 23 часа назад
aty mzee wa wachaw 😂😂😂 nani mwingine kasikia hili neno😅 gonga like
@zyonhopefaith3692
@zyonhopefaith3692 4 дня назад
Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....
@veeJesus
@veeJesus 3 дня назад
Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony
@AnnaJackson-zi3xe
@AnnaJackson-zi3xe 3 дня назад
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
@upendoryobafrancis98
@upendoryobafrancis98 2 дня назад
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
@teklaagustino
@teklaagustino 2 дня назад
Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa
@kelvinmbogela4718
@kelvinmbogela4718 2 дня назад
​@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa
@samuelpolepoleruhegeza8139
@samuelpolepoleruhegeza8139 День назад
Huna akili weye mwenye uko unasema wenzako Weye njo aujui kweli kabisa Mimi napenda mapasta wanaosema kweli siyo wewe unaye kosowa wenzako Pasta tony u'are right ▶️▶️👍👍👍👍👍😂
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 4 дня назад
Huyu pascal ameletwa na Mungu
@petronilahkedogo2347
@petronilahkedogo2347 4 дня назад
😂😂😂Aty mungu
@ginimbifamily3995
@ginimbifamily3995 4 дня назад
😂😂😂😅😅😅😅
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 21 час назад
Mungu atusamehe sana
@neemawasha8080
@neemawasha8080 4 дня назад
Mungu akulinze mtumishi Paschal.Mungu alikuleta duniani na kukuacha hai kwa ajili ya nyakati hizi ili Uonyeshe njia bila kupepesa macho.
@user-ep8ob5ty3e
@user-ep8ob5ty3e День назад
Roho ya bwana iko juu yako mtumishi wa Mungu
@salima2658
@salima2658 4 дня назад
Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika
@priscillahpolepole8427
@priscillahpolepole8427 4 дня назад
Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.
@annewanjiru818
@annewanjiru818 4 дня назад
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 4 дня назад
Ameanzaa kulewa sifa ndio maana
@veeJesus
@veeJesus 3 дня назад
Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama​@@annewanjiru818
@BenMudy
@BenMudy 3 дня назад
Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 4 дня назад
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
@AzizalucasMbiduka
@AzizalucasMbiduka 4 дня назад
Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako
@PaulFidel-fi3sh
@PaulFidel-fi3sh 4 дня назад
Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed
@esterpeter8556
@esterpeter8556 3 дня назад
Daniel nani jmn nimfuatilie​@@PaulFidel-fi3sh
@user-oc9gb6jv6o
@user-oc9gb6jv6o 4 дня назад
Ukweli tupu pastor, mungu akubariki.
@emanuelnyaki8074
@emanuelnyaki8074 23 часа назад
Nawewe unajifanya Mungu sasa kwenda huko
@fridberthahaule9489
@fridberthahaule9489 2 дня назад
Hawa akina Natasha, christina shusho, pastor tony, libido ya wachawi na wengineo ndio wachungaji wa dini moja mpya ya dunia nzima nayoitwa chistislam, msishangae,unyakuo umekaribia sana wateule mzidi kujitakasa na wadhambi acha tu wazidi sana kuzitenda
@debyqueen1
@debyqueen1 День назад
Mungu afungue macho ya roho jmn Mambo yanatisha.
@katarinaJ
@katarinaJ 4 дня назад
Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢
@Bambagatz
@Bambagatz 4 дня назад
Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.
@clarissengeni8885
@clarissengeni8885 День назад
Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.
@alinependo-bk4jj
@alinependo-bk4jj День назад
Kweli shetani yupo kazini Mungu tusaidie
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 2 дня назад
Nikweli wanamakosq ila ungewaombeq wawe kama wewe au zaidi nasio kuwasema bila kuwaombeq anaeukumu ni mungu tu nao wewe🎉❤
@stevenalex9121
@stevenalex9121 День назад
Nini maana ya kemea, karipia onya?
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 День назад
@@stevenalex9121 nani sasa Mungu au wewe usie kuwa na mbingu?
@AngelMyinga
@AngelMyinga День назад
Hajahukumu anakemea
@EditingTrial01
@EditingTrial01 4 дня назад
Napenda unavyo pambania injili ya kweli
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 4 дня назад
Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 2 дня назад
Naam mtumishi wa Mungu aliye hai
@RamadhaniMusa-jg2cu
@RamadhaniMusa-jg2cu 4 дня назад
MAHUBIRI YAKIWASHINDA ,MSIHONE HAYA ;HACHENI . USIWATUMIKIYE MABWANA WAWILI ENYI WAGALATIYA ,...NANI KAWAROGA.😢😢😢😢😢😂😂😂😂 AMAKWELI MUNGU ANACHEKA.
@clarissengeni8885
@clarissengeni8885 День назад
Kwa mwandiko huu Pastor Tony huwezi kumuelewa
@Tinner-cc7mw
@Tinner-cc7mw 2 часа назад
I wish bro hyo nguvu unayotumiaga kuwahubiri watu ungeitumia kuihubiri injili ingekuwa vzr zaid alaf acha kuhukumu hakuna mkamilifu chini ya jua ila kama ww n mkamilifu acha tujifunze kwa matendo yako na sio kwa maneno yako ya kuwasema wengine vibaya
@peter_paulofficialy
@peter_paulofficialy 3 дня назад
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
@lwimboderick7479
@lwimboderick7479 3 дня назад
Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi. Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.
@jmonlinetv4932
@jmonlinetv4932 2 дня назад
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
@mathiasdioniz5891
@mathiasdioniz5891 2 дня назад
Msikilize vizuri mwinjilisti kaka, alafu soma biblia, "ya hadharani yanakemewa hadharani..."
@albertfrancis6557
@albertfrancis6557 2 дня назад
Wewe mwenyewe umemalizia Kwa kuombea like...Dah! Dhambi inayofanyika hadharani hukemewa hadharani Ndugu yangu!
@michaelmagwaza-bc6mk
@michaelmagwaza-bc6mk 2 дня назад
Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 дня назад
Ton.anaanza kusifiaa wasanii wa dunia kma nabii mkuu no dev kisongo Arusha wanamsujudia kma mungu wao..na wakiweka nyimbo za Amonais na wengne wengi..wakicheza madhabahuni....n nabii wao
@galyezamtaganyirwa-qv7vc
@galyezamtaganyirwa-qv7vc 2 дня назад
Imani ya kweli ifuateni,ni sabato .Kaeni katika pendo lake kwa kushika amri za Mungu na imani ya Yesu,ufun 14:12
@yvonnewitandaye1873
@yvonnewitandaye1873 4 дня назад
Watu hawa mujui Yesu; Yesu arikuwa ni Mungu kati ya wanadamu •
Далее
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Просмотров 33 тыс.
Каха и суп
00:39
Просмотров 2 млн
СКАМ НА TWITCH
14:07
Просмотров 236 тыс.
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
Просмотров 33 тыс.
BILA KUWA NA SIFA HII WEWE SIO MKSTO EV PASCHAL CASSIAN
30:56
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
Какая Милота ❤️
0:10
Просмотров 4,5 млн