Тёмный
No video :(

VIDEO: HALIMA MDEE NA ESTHER BULAYA WALIVYOKUTANA NA GODBLESS LEMA KANISANI KWA MCHUNGAJI KIMARO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 138 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 118   
@abdallahsaid9531
@abdallahsaid9531 9 месяцев назад
godbless lema nakukubali sana kamanda ang, nataman siku moja tukutane tuongee, naitwa ELIKANA Npo jimbo la sengerema
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Год назад
Chadema wasameheni hao kina mama it takes huge efforts for a women to reach those levels they are, na nyie Chadema mmekuwa sehemu ya kuwajenga hao kina mama. Yalitokea Mengi huko Nyuma tunahitaji Sasa kuyasahau na kujenga mustakabali mpya. It so good to see Lema, Halima, and Esther Bulaya together.
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Год назад
Itakua ni mazoea kwa ccm kufanya ukafiri wakitegemea msamaha apa ni kukaza tu wanakula kodi za bure
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Год назад
Binafs nataman sana na mimi kuona hawa wakina dada wanarud kundini jaman! Sema basi tu ndo maisha yalivyo.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Год назад
Kusamehe In Which Sense? Kuhalalisha walichofanya?
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Год назад
Hii Haina Tofauti na Yule Sijui Mashimo au Malakula anasema Membe Amsamehe Musiba. TANZANIA MNACHEZA. NCHI HII, KATIBA, SHERIA, TARATIBU HAZINA MAANA. WASAMEHE UHUNI????
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Год назад
@@ThobiasMarandu wanazani kila mtanzania ni ndondocha
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Год назад
Kweli nikimuona Kimaro ninafarijika sana. Mungu azidi kukutunza.
@martinegeorge4696
@martinegeorge4696 Год назад
Walitaka kucheza na akili za mchungaji kimaro cheki Sasa anafanya kazi kubwa sana na anawatu wakubwa kwelikweli Mungu akubariki kimaro.
@lisahhans295
@lisahhans295 Год назад
Chadema wooooote hawa.hata kimaro maskn ya MUNGU NA NILIKIA NAMPENDA SANA KIMARO KUMBE UKO HUKOOO....UWIII😊
@samsongechamet5374
@samsongechamet5374 Год назад
Mungu ni mwema,Mh.Rais maono yako yanaonekana hadi Kanisani.
@franaelisumari5108
@franaelisumari5108 Год назад
NAIPENDA SANA TANZANIA 🇹🇿 ,NAWAPENDA SANA WATANZANIA.MUNGU ASANTE KWA KUWA NA WATANZANIA,SIFA NA UTUKUFU NI WAKO.
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Год назад
Hongera Daddy ELIONA KIMARO
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Год назад
Nampenda sana Mhe. Halima kama sio kikwazo cha Dini ningemuomba awe mkewe wangu. Mungu ambariki sana!
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Год назад
ungemuomba au ungemtongoza si mpaka ukubaliwe
@innocentchuwa5269
@innocentchuwa5269 Год назад
Huyu jamaa vipi tofautisha mbingu na ardhi
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Год назад
Acheni kumsifu mchungaji,Anayeujua moyo wake ni Mungu mwenyewe.Mwachenj afanye kazi ya Mungu
@aminimushi6945
@aminimushi6945 Год назад
Mtu akifanya kazi na asifiwe,binaadamu ana nafasi,na Mungu ndiye msimamizi mkuh.
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 Год назад
Dr Kimaro Mungu aendelee kukutunza
@onetoanotherglory2024
@onetoanotherglory2024 8 месяцев назад
Lovely
@doricekibona5993
@doricekibona5993 Год назад
Jamani mbaka Mguru Mchemba yupo haaa🤭🤭👏👏
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Год назад
Hongera sana Mtumishi wa Mungu
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Год назад
Mchungaji Eliona Kimaro. Kanisa lisikutumie kukusanya michango tu, pia litambue na kuheshimu huduma yako yenye kipaji ndani yake.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Kwani haitambuliki?
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Год назад
Mchungaji kimaro ameajiriwa na KKKT,na siyo kweli kwamba ana kanisa lake,hasha!
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Год назад
Acha wenge kwani kulikuwa hakuna wachungaji wengine wa kusimamia hio mchango , we acha wenge hapo ametambuliwa bcz hapo kwao , hafu KKKT ndio imemfanya ajulikane , au umbebe ww xaxa
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Год назад
eriona kimaro nikati ya wachungaji ambao nawakubari sana
@mwalimumbukuzi7273
@mwalimumbukuzi7273 Год назад
Nawapongeza sana wawakilishi na viongozi wa serikali wakiristo,kujitokeza na kuchangia mambo ya kiroho wakiwa na fahari juu ya kazi hiyo.viongozi na wawakilishi waislamu wanaogopa kuitwa wana udini,na hawawezi katu kujitokeza kama timu nzima ya chadema inavoonekana na viongozi wengine,endeleeni na moyo huu usio na unafiki.BIG UP!
@EagleCrown-pb9qv
@EagleCrown-pb9qv Год назад
Amina 🙏🏿🇹🇿🤔
@arafatimarusu-4715
@arafatimarusu-4715 Год назад
Kazi nzuri 👏👏👏
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Год назад
Siasa viva Roma utabiri wako ume wekewa Wakfu Allah leo lema kasimama na mwigru
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Huku ni Kwa Yesu Kristo Kila mtu anakaribishwa karibu sana
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Год назад
Haya yote ni matunda ya mama etu rais wetu Samia kutuleta pamoja Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki rais wetu.Amani,Umoja na Mshikamano viwe ngao yetu .Siasa sio uadui❤️
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Год назад
Mungu amewaleta pamoja sio mtu
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 Год назад
​@@baghabaghaingwengwe1750 Mungu hutumia mtu
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Год назад
@@baghabaghaingwengwe1750 naamini hivyo ila MUNGU hakushuka chini amemtumia mama 😀
@linnamlay3643
@linnamlay3643 Год назад
@@lusajomwaipopo5042kweli kabisa .
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 Год назад
@@linnamlay3643 exactly
@dellykiwelu
@dellykiwelu Год назад
Amina
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 Год назад
Hii ndo Tanzania tunayoitaka .tusibaguane kwa vyama sisi tuunganishwe na utaifa wetu .vyama vitapita lakin Tanzania itabaki daima
@visualservices8897
@visualservices8897 Год назад
Mi nikajuwa Lema na halina hawaongei siasaa
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 Год назад
Ndugu ripota, uko vizuri lakini KKKT hatuna kanisa la Mchungaji flani eg kanisa la mch Kimaro
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Год назад
Mdee madawa yamekuuwa😊
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 Год назад
Halima nilikua nakukuubali Sana ila dah! Najua hamna mtu mwenye ugomvi na ela illa kunawakati ela zingine inabidi uzipishe. Halima yani kila nikiwaza siamini kamanda.
@revocatuskato9474
@revocatuskato9474 Год назад
ilibidi akubaliane na hali iliyokuwepo wakati huo,alikuwa hana chaguo jingine zaidi ya kuchukua hela maana ata angezikataa angeishia kutekwa na kupotezwa kama siyo kuuawa au kupewa kesi zisizokuwa na dhamana.
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Год назад
Esther Bulaya kutoka Mara..... Mbunge .... Halima Mdee kutoka Kawe... Mbunge mstaafu ??? Lema .... Mwugulu..
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Год назад
Mm nasema inchi hii Kuna maigizo Sana sana ndomaa hatuendi unafiki unafiki hizo sadaka mnaahidi sawa na viongozi wanashangilia kwa sababu wanatoa pesa Ila kumbukeni hela za masikini wa inchi hii tanzania huwa naumia Sana basi tu
@mamanimama2618
@mamanimama2618 Год назад
Ok
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Год назад
Kuna siku mnakua wastaharabu sana sana.kama Leo mmekua safi
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Год назад
Napata Shida sana kusema Udhalimu ni Haki. Na Haramu ni Halali?. Mhe. Lema Macho yake hayana Pazia kama ulivyoyaona. USO Umeumbwa na Haya!?. Nasubiri 'palee' Kula Matapishi yangu mwenyewe. Siasa za Wanasiasa Ndani ya Kanisa la Kisasa. Mshahara wa Wabunge Wasio na Baraka za Chama ukitumika kulijenga Kanisa. Bora Niuze Gongo na Bangi Kuliko Unafiki MATHAYO 23. SOMA mwenyewe.
@onesmombele2571
@onesmombele2571 Год назад
Mungu awabariki sana
@ebenezernnko8251
@ebenezernnko8251 Год назад
Mdee na Bulaya wezi wa kodi zetu hapo wanatupiga changa la macho ni mafisadi kama wengine tu
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 Год назад
Good but siyo vzr kwenda na sare za chama kanisani
@doricekibona5993
@doricekibona5993 Год назад
Samahani naomba kuhuliza kwani huyu Mchungaji Kimaro ameamishwa Dar lini?
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Год назад
Hajahamishwa alienda kutoa shukrani kwenye usharika wa Kondeni matala usharika wa nyumbani kwake alikozaliwa Moshi.
@bushbabytz
@bushbabytz Год назад
Halima Mdee Na Bulaya wajue kuwa wao hawawezi kuwa juu ya Chadema, Chadema ni kubwa zaidi yao
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Год назад
Lema aibu lazima kamchezo anakajuwa sasa hv wanapasua kuku kupitia ruzuku toka kwa hao 19
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Год назад
mashoga akili hamna
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Год назад
Kanisani au pikniki
@estermathias8354
@estermathias8354 Год назад
Mbona lema kama ana ka aibu flani hivi🤭🤭
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Год назад
Umeonaee!!!???
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Год назад
Mhmmm yesu mwenyewe hakuwahi kuingia kanisani kimaro piga pesa namie naanzisha kanisa langu kea biashara nzuri
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
Kumbe halima mdee ni mkristo?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Milard hatuna kanisa la Mchungaji Kimaro
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Год назад
Kweli tuna kanisa la KKKT
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Год назад
Acha ujinaga hapo KKKT sio kanisa la Kimaro ,
@gwajetheentertainer363
@gwajetheentertainer363 Год назад
Inawezekana hawa Bulaya na mwenzie wanakulana kweli hawa
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
Mh jmn
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
Mke wa halima mdee si huyu ester Bulaya
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
jmn kwann?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
@@messiasulleydidy2585 kwa sababu viashiria ni vingi mbona kusoma unaweza ukawa usijue ila picha nayo dah
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Год назад
Sauti ya zege mnafikiiiii
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Год назад
Ila ajasema mbunge wa chama gani
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Год назад
Kwani apo uwanja wa taifa naskia
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Год назад
Huyu padre amebarikiwa kuwa kiongozi
@veeJesus
@veeJesus Год назад
Sio Padre ni mchungaji
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Год назад
@@veeJesus wewe ni KKKT
@veeJesus
@veeJesus Год назад
Eee
@chescokagali5962
@chescokagali5962 Год назад
Unaifahamu historia ya kanisa lako vizuri
@veeJesus
@veeJesus Год назад
@@chescokagali5962 Usiniulize maswali namjua Yesu dini kaa nazo wewe me hazinipelek kokote
@merekwangujati158
@merekwangujati158 Год назад
Tuna KKKT sio kanisa la Kimero , samahani mildayo
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Год назад
Samahanini kimario kapelekwa kanisa gani baada ya kijitonyama
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Год назад
wana c.c.m mbona wanafaa pia nguo zao za chama kanisani.kanisa halichagui mavazi
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Год назад
Kwani Esta na halima ni mke na mume au kila sehem akiwa mmoja na mwenzie yupo🤔
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Год назад
Mashostito pika pakua
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
@@wemakingdaily1462siyo kweli Halima ni mume Ester ni mke.
@faharikhamisi3091
@faharikhamisi3091 Год назад
Ester I love you My loving sister ila nafuta furaha ya kweli Una uzuni kubwa ninishida
@yuzotv458
@yuzotv458 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂mtoto Mdogo huwezi Tafsiri hilo chemo miaka 1000.
@estersaul8180
@estersaul8180 Год назад
Mahali NI pazuri.. Ndugu wanapokaa kaa
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Год назад
NA WALE WATUMISHI WASIO MPENDA KIMARO WAITISHE HARAMBEE KAMA HIZI ILI TUONE KIBALI WALICHO NACHO TOKA KWA MUNGU. USHAURI WANGU WATUMISHI TUPENDANE DUNIA IPATE KUTAMBUA KWAMBA TUNAPENDANA
@gladnesskombe1664
@gladnesskombe1664 Год назад
MUNGU IBARIKI NCHI YETU BARIKI VIONGOZI WOTE WAKI DINI NA WAKISIASA TUIJENGE NCHI YETU
@machaggechacha243
@machaggechacha243 Год назад
Mafisadi watarajiwa.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Hongera sana daddy 😍🔨
@mhifadhi797
@mhifadhi797 Год назад
Siasa siasa Haina adui Wala rafiki wa kudumu
@flaviankimat5233
@flaviankimat5233 Год назад
ni nguo kama nguo nyingine
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Год назад
Wanafanya tu siasa mpaka kwenye nyumba za ibada.
@georgepam1231
@georgepam1231 Год назад
Kifo hicho dangerous
@isayakitaponda8337
@isayakitaponda8337 Год назад
Sure
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Год назад
Hapo Ndipo mnapofeli waislam mambo ya wakristo hayawahusu kaeni kimya
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc Год назад
Piga pesa kimaro za wajinga
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Год назад
Hivi halima ni mbunge wa chama gani vilee!.
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Год назад
Viti maalum
@barakamutabazi2824
@barakamutabazi2824 Год назад
Sihsa mbaya sana
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Год назад
Kuvaa gwanda la chama cha siasa kanisani Ina maana gani?
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Год назад
Haina maana yeyote wewe unahisi inamaana Gani?
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Год назад
Kwani Nikienda na gwanda kanisani Mungu hawezi kusikia?
@gladnesskombe1664
@gladnesskombe1664 Год назад
Lina maana mama samia hana ubaguzi wa vyama
@mathewtwimanye92
@mathewtwimanye92 Год назад
@@gladnesskombe1664 ha ha ha ha tumsamehe bure mavazi yake ya kawaida aliyaacha Canada
@simbakyasi4039
@simbakyasi4039 Год назад
sasa magwanda ya chama hadi kanisani kweli!!! mmmhhhhh
@lucianagodson437
@lucianagodson437 Год назад
Mch. Kimaro hii Kaz Yako ya uchungaji mungu alikubarikia tangu tumboni kwa mama yako
@aishalucas3502
@aishalucas3502 Год назад
Kabsaaaa
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Год назад
@@aishalucas3502 why yeye na asiwe mchungaji mwingine yeyote?? ulishawahi kujiuliza?????
Далее
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 81 тыс.
УГАДАЙ ЕДУ ПО ЭМОДЗИ! #shorts
00:57
Просмотров 81 тыс.