Тёмный
No video :(

VIDEO: ZAYLISA atoa MPYA "Sipendi KUZINI/Niliogopa/HAJI MANARA/Naishi NAE/ 

Rick Media
Подписаться 870 тыс.
Просмотров 38 тыс.
50% 1

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 83   
@umfahad2609
@umfahad2609 7 месяцев назад
Huyu mdada ni mpole sana jamani. Na ni mzuri saana Ma sha allah. 😍
@RisasiRisasi-uj8fk
@RisasiRisasi-uj8fk 7 месяцев назад
Zai upo vizuri sana kwa majibu, maana hawa waandishi maswali yao yanaboa sana,safi sana
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 7 месяцев назад
Mtu anauliza swali halafu analijibu mwenyewe kwa kirefu na kisha anataka jibu toka kwa mhusika
@Tiffany340
@Tiffany340 7 месяцев назад
Wanaume wengi wanafeli kwenye kumtunza mpenzi /mke waambie zai 😂😂😂 tunadanganyikaga kwa vitu vidogo tu ..mjifunze kutunza wanaume wapenzi wenu
@Zainab_salat
@Zainab_salat 7 месяцев назад
Sio wote hata wanaume wapo gubu kwani hujawahi kuona basi wewe wapo dunia nyingine😂😂😂😂
@mrsab303
@mrsab303 7 месяцев назад
You are lovely ❤❤❤❤
@zakiaissa8202
@zakiaissa8202 7 месяцев назад
❤❤❤
@catherinemtweve2748
@catherinemtweve2748 7 месяцев назад
Kwa kweli mekap aaah hapana
@johanjoha5262
@johanjoha5262 6 месяцев назад
Kwani maswali gani mnafika mbali
@Afsah90
@Afsah90 7 месяцев назад
Waandishii vilazaaaa sanaaaaaa loh....asking an immature question aiseeeee
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 7 месяцев назад
Ndo maana ya waandishi wahoji vitu vya ndani ili na ss tujue
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 7 месяцев назад
Shikamoo make up daaaa
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw 7 месяцев назад
Mashekhe mumtizame vizur akiwa maulidni hakuna kama shekh anazalilisha uisilamu
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 7 месяцев назад
Manara anafeli wanawake wote akiwa nao huwa akiwa matembezi kutoka naona huwa yy anafuraha akiwa na mpenzi wk anajiachia lkn wao hao wapenzi huwa hawana furaha mwisho wa siku wanamuacha hv huyo zeylisa anajitetea lkn kiukweli video nyingi sio hiyo mkono tu wa manara hajauwona ht akishikwa na manara huwa km hapendi hv km Hana furaha huyo sijui km hato muacha subirini atafute tu mwanamke wa kawaida dullah kashindwa ataweza yy na dulla msuzi mwanaume mdogo na alivyo haji amtake anataka pesa na umaarufu tu huyo km alivyo yule dulla tu na kabwagwa
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw 7 месяцев назад
Mm huyu manara
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 7 месяцев назад
Unavo jishawuwa sasa kama si manara huyu 😅😅😅😅😅😅😅😅 unaeongelea duuh ila hiii dunia
@user-bo3nt4ji2c
@user-bo3nt4ji2c 7 месяцев назад
Mbona km kakasirika kidogo km anataka kulia😅😅😅
@alhabsi6430
@alhabsi6430 7 месяцев назад
Eti anaomba wasizungumzie hayo mambo🤣
@boragilbert
@boragilbert 7 месяцев назад
Iyo mek up sasa😭
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 7 месяцев назад
Rushaina ni mzuri na alikua haeki cna mecap na ht hajipambi cn
@esterpaul5856
@esterpaul5856 7 месяцев назад
Mbona huyo bugatti tushamla saaana hlf msumbufu kwel kwel kwenye hela na kinga.. we zai muulize analikumbuka chimbo la pale chini ya best bite?? Acha kujishquwa ww
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 7 месяцев назад
Ester kweli ?
@esterpaul5856
@esterpaul5856 7 месяцев назад
@@fettyrashid9042 Yaan sijui nikuambiaje..huyu kaka anachexea wanawake sana..hata huyu atamuowa atamuacha.
@user-fm3nu5xl3u
@user-fm3nu5xl3u 7 месяцев назад
Ilo dada linaringa sana anajibu kwakujishaua yaan
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Ndio!! Analala na Bugatti hapo sasa
@sofiajumaa4538
@sofiajumaa4538 7 месяцев назад
Hamna huyuu nimpole tuu na hapendi hayo maswali aulizwe ila Ndio kisha kua maarufu na kayataka yy a jitahidi tu ajibu
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад
​@@sofiajumaa4538eti mpole angekua mpole wanaume wasingemtwangwa
@mozasalum8742
@mozasalum8742 7 месяцев назад
Mbona mdamkubwa halafu hakuna maswali ya mana
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 7 месяцев назад
Unaona hajibu km atakaa nae au atadumu nae hajui hayo majibu tu yanamaswali yk haji analiwa tu
@lucianagodson437
@lucianagodson437 7 месяцев назад
USO umekongorikaaa
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 7 месяцев назад
kama wako
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад
Eti hakuona akipewa mkono 😂😂 mjini shule
@umfahad2609
@umfahad2609 7 месяцев назад
Waandishi acheni kumsumbua huyu mdada. Ni mpole saana. Anaonekana amechoshwa na maswali yenu.
@hassanabdullah2191
@hassanabdullah2191 7 месяцев назад
Zey wachana na hawo wanahabari ni wajinga sana usikubali wanahabari kama Hawa wenye wanaingilia private life ya watu Kaa mbali nawo watakuyia husda
@user-jd9jv7di5n
@user-jd9jv7di5n 7 месяцев назад
Make up shikamo
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 7 месяцев назад
Mbon anazidi kuzeeka au mimi sioni vizir😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Huoni vizuri
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 7 месяцев назад
Wivu wanawake tupunguzeni
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад
Make u haimpendez​@@mapishiyetumazuri2312
@josephlorri431
@josephlorri431 7 месяцев назад
Kapigwa mangumi huko maporini.. amewekwa mjelele
@priscajube4239
@priscajube4239 7 месяцев назад
Hapana bwana mrembo. Labda walivorekodi
@tatungwele2728
@tatungwele2728 7 месяцев назад
Unavyolinga sasa utasema kwa manara utaushi milele 😂😂😂 safari bado
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 7 месяцев назад
Wewe Dada umenivunja mbavu 😂😂
@yasminmohamed604
@yasminmohamed604 7 месяцев назад
😂 😂😂mlango huwooo mwz 9 tu
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 7 месяцев назад
Sijui kama atakaa nae huyo bwana
@uwimana6533
@uwimana6533 7 месяцев назад
Tumuachie mungu ,ww nibinadamu 😂😂
@user-jj9br3ve1n
@user-jj9br3ve1n 7 месяцев назад
Mekap kha nyau mbaya
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Sawa umbwa
@chany9950
@chany9950 7 месяцев назад
Make pe siyo zuri jmn mimi siwezi kujiweka make pe non non👎👎👎
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 7 месяцев назад
Amezeheka
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Sasa ule USO ni wako? Tuliza mshono bibi
@esterpaul5856
@esterpaul5856 7 месяцев назад
Hlf ww ni zai sio bure..Nikweli una sura ya uzee na unaonekana unashida ya afya​@@BarbaraPatience-qt9cc
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 7 месяцев назад
@Chany9950 hongera sana, I wish nikuone bila make up maana mmebaki wachache
@faridasaleh4982
@faridasaleh4982 7 месяцев назад
Acha wivu
@alhabsi6430
@alhabsi6430 7 месяцев назад
Mmekosa kazi munauliza mambo ya haramu sio ya halali kunafaida gani
@sitimwarakwe1830
@sitimwarakwe1830 7 месяцев назад
Acha kupoteza mda copy yko n Dula makabila
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Copy ya nini Fala wewe
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 7 месяцев назад
😂😂
@sitimwarakwe1830
@sitimwarakwe1830 7 месяцев назад
@@BarbaraPatience-qt9cc Fala n ww uko
@user-ic2xb5en9b
@user-ic2xb5en9b 7 месяцев назад
KwKwel maswali Yao yanachosha
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Zay pia nimpole!!!! Hawa wanahabari ni wajinga sana maswali ya utoto kweli
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 7 месяцев назад
huyu si mke wa dulla makabila au nimekosea
@mariajemutai2968
@mariajemutai2968 7 месяцев назад
Ndiye
@pcmchealthcare9339
@pcmchealthcare9339 7 месяцев назад
Siye
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 7 месяцев назад
@@pcmchealthcare9339 mwaka juzi si walifungwa ndoa jaman na kudai wanapendana sana ,acha nichek yale mahojiano yao,
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 7 месяцев назад
@@mariajemutai2968 wameachana tayari au ,maana sielewi
@arafatali2796
@arafatali2796 7 месяцев назад
Sikaachwa kias khah
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 7 месяцев назад
Make up imemzeesha mashav yametumbukia mbon
@sabitinaeastafrica5822
@sabitinaeastafrica5822 7 месяцев назад
Zaylisa you’re making bigger mistakes by the way you’re young woman 😂
@nunuuali5316
@nunuuali5316 7 месяцев назад
Zarau za nini dada? Wenzio walizechezea hizo hela wakaziacha so tulia dada
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 месяцев назад
Wacha atumie ni wakati wake....isikutie dhambi
@user-ik4ki3zo8c
@user-ik4ki3zo8c 7 месяцев назад
Mnafiki huyu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 7 месяцев назад
Mwanamke unaolewa kila wakati nini kinakushinda kwenye ndoa wewe
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 7 месяцев назад
Tamaa hivi haji asingekua na ela angemkubali
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 7 месяцев назад
Rushaina ni mzuri kuliko wewe Bila make up hutizamiki
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 7 месяцев назад
Wivu tu
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 7 месяцев назад
Kabisa
@FathimaZubair-jt4cg
@FathimaZubair-jt4cg 7 месяцев назад
😂😂😂ni kwl hatizamik nlion clip tik tok😂😂😂
@AdmiringRedRose-wm5be
@AdmiringRedRose-wm5be 7 месяцев назад
❤❤❤
Далее
журавли в пятницу
00:14
Просмотров 71 тыс.