Bondia Amiri Matumla ameshinda kwa pointi kwenye pambano dhidi ya Reagan Pacho katika pambano la raundi kumi. #MtataMtatuzi #VitasaNight #UsikuWaVitasa #MwakinyoVsAllotey #GoldenBoyPromotion #Vitasa #Boxing #MtataMtatuziSeason2
Uyo Amir kapewatu ushindi kama ngumi kufika usoni ndio point basi mkongo kashinda jamaa kapelekasana moto kwaAmir ila mnampambatu wa nyumbani cjapenda Tueni wakweli mana tunaona 😊
Ni kipaji kizuri sana lkn nimempenda nidhamu na kujishusha hana majigambo na anamuheshimu kila mtu.Namuombea mungu aweze kua na ulengaji makini zaidi kama Ami yake mbwana matumla atafika mbali sana
Huyo dogo Amiri anavyomove na kuambush mapigo faster na kwa umakini kajidhihirisha ana uinternational ndani yake. Huyu tumpe miaka mitatu tu ni zaidi ya Hassan Mwakinyo.
Unazingua waandaaji wot Kam mlikua mnamambo yenu mue unawawek watu wazi maan Kwa ivo mnavo Fanya mtakosa hata mashabik wenu ko mnapokua mmehairish mambo yenu mue mnatoa taarifa mapema nasokusubir mpaka watu wamepotez viingilio vyao ndo mnakuja kusem mnavo vijua we unadhan Nan atakuelew etty