Тёмный

MWAKINYO AFICHUA MPANGO WA KUUAWA/ "NILIWEKEWA SUMU"/ AMTAJA BABU TALE/ "HANA HELA YULE" 

Dar24 Media
Подписаться 725 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Mwakinyo #MfaumeMfaume #Twahakiduku

Спорт

Опубликовано:

 

21 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@HajiMasmenti
@HajiMasmenti Месяц назад
Mwakinyo umeongea kwa hekima sana ni kweli vita haiitaji mtu muoga.pambana mungu ndo kilakitu.
@billysavage9746
@billysavage9746 Год назад
March respect 🫡 brother nakubali sana una confidence na majibu yako it means ubaatishi unayo yajibu one ☝️ love ❤️ Tanga Boy 👦
@tomlukonge293
@tomlukonge293 Год назад
Yes nimeichukua iyo ‘’*uwezi pigwa mawe kama auna kitu*’’
@dominicrobert266
@dominicrobert266 Год назад
Mimi ni mkosoaji sana wa champez ktk mambo mengine,lkn exclusive ya Leo kanifurahisha sana.
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Год назад
Shida yako mdogo wangu unapenda kujibu kila unacho sikia punguza dharau kijana acha tukujibie ss ww fanya kazi yako usijifanye unajua kukasirika Sana unasemwa vibaya mungu utakuwa ww
@salminisaleh9249
@salminisaleh9249 Год назад
Ndugu Yangu Salute Sana .Andelea Kupambania Ndoto Yako. Tupo Nyuma Yako Dua Nyingi Kaka Tanga Boy Tanga Kwanzaa
@chegemazuku2623
@chegemazuku2623 Год назад
Brother Hassani Mwakinyo nimekuelewa sana juu ya History ulioitoa,,maana ata uku mtaani kwenye harakati zetu za maisha hayo mambo tunayapitia sana Tena sana!
@farajifundi1160
@farajifundi1160 Год назад
Pole sana mwakinyo mwenyez Mungu atakulinda
@championchumalaizerlazier3537
Nichangamoto ya kimaisha brother Ila mungu awe wetu zote one ❤️
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy Год назад
Mwakinyo anajifunza kutoka kwa May Weather. Mambo ya mtandao ni kitu May Weather anakipenda. Kina hela ukikifanya vizuri.
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania Год назад
Nadhani ifike atua wasanii wapate training ya interview. Bro Mwakinyo unajua kiingereza angalia Antony Joshua anavyotoa interview. Stay hungry, stay humble and keep focusing. Usiwe una mashauzi kama umefika still upo maskini sana pambania kuleta utofauti kama uyo Diamond kwenye ngumi. Naamini ulikua una nafasi kubwa sana kuleta mageuzi kwenye mchezo wa ngumi but naona umeona umefika. Misifa mingi sana. Ayo ni yangu
@bakarithegeoinformatician7406
Huyu ni Mwankinyo na sio antony
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Kweli anaona kama amefika hivi jamaa
@salminisaleh9249
@salminisaleh9249 Год назад
Brother Jitihada Za Mtu Huwezi Kuelewa . Mwacheni Ajivune Amesota Mpaka Hapo Alipo Ni Mafanikio Makubwa Kwake So Tupunguze Makasiriko Mwacheni. Ajivunie Alichokihangaikia
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 Год назад
Mwakinyo mm nakukubali sana ujue ila umekwama wapy bro mbona unapotea haraka bro Fanya kwel urud ulingoni%
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 Год назад
MWENEHU ALLAH AKULINDE SWAHIBA WANGU. KUNA KITU UMEFAURU HAPA DUNIANI NA KEWHO AKHERA BARAKA ZA BIMKUBWA UMEPATA. KUMBE NDIVYO WALITAKA HAWATAKUPATA KWA IDHINI YAKE ALLAH
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 Год назад
Tukiachana na madhaifu ya kibinadamu,Lakini Hassan anajitambua nn anafanya,yupo makini sana na anachokifanya......Mimi namuombea Mungu amfikishe mbali sana kupitia carrier yake......Na yote afanyayo .....!
@hilalmohd8941
@hilalmohd8941 Год назад
❤❤🎉🎉kweli yani
@mckobatz5861
@mckobatz5861 Год назад
Nafikiri gari aliyotangaza bab Tale ilikuwa ni Land cruiser VX sio crown km Ile iliyotolewa zawadi ktk pambano la akina Dullah
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 Год назад
Sahii
@hermankihwili1095
@hermankihwili1095 Год назад
Wacha uwongo dulla ilikuwa crown
@aliomari5961
@aliomari5961 Год назад
mwakinyo ulikuwa mkali kitambo ulianza mbwembwe,,sa hii umaarufu unakuacha,,mabondia hata ambao hawakua na jina kama mandonga wamemtanguliza Allah mbele,,juhudi pamoja na azma saa hizi wanakula bata,,,wewe endekeza uswahili na imani za kiganga utaambulia patupu,,chanuka akili akili zako zakujifanya mzungu you will gain nothing,ktka kila jambo failure is the begining of success if you fail try again. wacha utoto its your time to make tanga,,,shine' wacha uswahili,,we are really proud of you,,,but your pride will cost you one day ,,one love bro#+254
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 Год назад
Mshamba sana uyo babu tale wote wivu2
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Год назад
Kuwa mbunge basi anajishauwa. KINGEREZA chenye we chakuungaunga
@joanesasalavaleriano9980
@joanesasalavaleriano9980 Год назад
Pole sana Kaká n changamoto
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
Mwakinyo uko fresh kwenye kujibu maswali
@jizzomonster
@jizzomonster Год назад
Umeongea point sana mwakinyo
@islamkarata9655
@islamkarata9655 Год назад
dulax nyoosha (kidole gumba juu ✊✌️
@islamkarata9655
@islamkarata9655 Год назад
hawatuweziii nakubali champez✊
@rahimhemed1219
@rahimhemed1219 Год назад
Bro cc tunakubarik anytime Wao watapata ILA awatapata zaid yko MUNGU amesha signal
@hilalmohd8941
@hilalmohd8941 Год назад
big up 🎉 Tz champion
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Год назад
Mimi nakuelew mwakinyo, viatu vikiwa vipya vinateleza haswa ukiwa unafanya turning. Na ukiwa warusha jab au right coz Zina involve movement za kiunoo nahivyo kulazimisha movement za miguu nakuweza kupelekea ankle
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Год назад
Mwakinyo juu sana
@richardarord8344
@richardarord8344 Год назад
Bhana bhanaaa mwakinyo haya bhana wewe ongea sisi tunakusikiliza tu tunaisibilia hiyo Adabu sisi aya ngoja tusubilie.
@nabiljumbe
@nabiljumbe Год назад
Mashaallah
@JumaHabibu-ki7hu
@JumaHabibu-ki7hu Год назад
Mwakinyo umenikumbusha mbali sana maandazi ya sukari nishanunua sana Tanga
@hancykajanjathelimitmusic427
Ujumbe mzuri asan bro
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Jamaaa anajielewa sana
@real_pachamilionea
@real_pachamilionea Год назад
one love champion MWAKINYO
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Mungu mwema yani acha wakuchukie ila mungu ndio ana maamuzi yake
@kingbabzubekingbabzube5992
@kingbabzubekingbabzube5992 Год назад
One Love home boy
@masoudhamad1592
@masoudhamad1592 8 месяцев назад
Mimi nakuelewa sana sema tatizo lako ni unaongea sana na kiwadharau wengine ukirekebisha hili utatoboa
@antidiusegbert5562
@antidiusegbert5562 Год назад
Shida ya huyu jamaa is thinking beyond reality
@sabanajunior3243
@sabanajunior3243 Год назад
😂😂😂😂😂
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 Год назад
hiyo ni dar,
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Год назад
Si vizuri kuambatanisha na jina la mtu
@predictioneasyodds2779
@predictioneasyodds2779 Год назад
Ila mwakinyo ana maadui wengi sana
@abdulburaheze9582
@abdulburaheze9582 Год назад
kitu kizuri ndugu yangu huwa akikosi maaduwi mwenyewe nayapitia hayo
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Год назад
Mwakinyo si tupo upande wako liwe jua iwe mvua 🤝
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
ila mwakinyo na sifa unazipenda sana kujiona upo juu sana kuna vijana wangapi wa tz wenye vipaji tofauti na wapo wanaendelea na mambo yao wewe uuliwe ili iweje? na umemchukia sana babu tale
@salminisaleh9249
@salminisaleh9249 Год назад
Vipaji Wanavyo Sawa Lakini Jitihada Zao Hafifu. Yeye Kajitahidi Kasota Kapambana Katumia Muda Mwingi Nguvu Nyingi. Mungu Akamuona Naye so Muacheni Ajivunie Alichokihangaikia
@abdallahsaid1968
@abdallahsaid1968 Год назад
Kina chakujifunzaapo kupitia maneno ya mwakinyo
@fadytashfeen8090
@fadytashfeen8090 Год назад
Champez one time
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 Год назад
Mwakinyo wangu anapigana ngumi pamoja mtandao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Год назад
Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi
@nimrodsigulu6249
@nimrodsigulu6249 Год назад
Mwamba anajikuta Sana huyu...😃😃😃
@hanafisaidi5516
@hanafisaidi5516 Год назад
Namuelewa sana sema ulinichaniaga mkeka wangu wa milio. 14,000,000 sema bado damu yangu komaa kwenye gemu hata sisi changamoto hizo twaziona sana mtaani komaa wewe waipepe lusha bendela yetu vyema sana
@HusseinRj
@HusseinRj Год назад
Jamaa Yuko poa sana
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Kuna wengine wanamuona mshamba ila ndio wivu ulivyo
@mgangasamandua464
@mgangasamandua464 Год назад
Xaf broo upo xahihi binadam wabaya can aisee
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Ushauri Wangu Usipende Mazoezi Ya Jimu Sana Kapande Milima Na Piga Miti Mawe Kukuza Uzito Wa Ngumi Jiwe Nasio Kupiga Masipochi Ayana Faida Na Mashine Za Mbio Pia Azina Faida Kwa Pumzi Unakimbia Apo Apo2 Ukanyagi Hata Jiwe Simama Kama Zamani
@platinummarcus1341
@platinummarcus1341 Год назад
Nimependa ukataji wake wa maneno, ni kama Mwana FA. Alafu naona anaongea poa sioni shida hapo ni nini? Ila kakosea aliposema kuwa wengekuwa watu wa DSM
@zainabuhabibu1167
@zainabuhabibu1167 Год назад
.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Год назад
Hata shetani hapendi Mlevi mcheza kamali anapenda anapenda msikitini na kanisani😂😂😂😂😂
@Chemba67
@Chemba67 Год назад
Huyu mcheza Taaarabu ana shida sana.........
@Marjeby
@Marjeby Год назад
Huyu mtanga kitu kikubwa kabisa kinacho msumbua ni ukosefu wa elimu haku muelewa mama yake kipindi ana mwambia soma kwanza halafu ndio uendeleze kipaji chako na kibaya zaidi kujifanya kila kitu anacho ongea kama anatumia akili nyingi acha utoto wewe akili utazitoa wapi wakati cheti ulichonacho nyumbani ni cheti cha kuzaliwa tu
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Год назад
Akili sio cheti bro vyeti hata machizi milembe wanavyo.😂😂😂
@mgenihanen7837
@mgenihanen7837 Год назад
Wewe una cheti uko wapi sasa!acha makasiriko tafuta pesa!
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Год назад
Elim yann ss namaisha yass hayaitaj hata elim wanachuo kibao tunapiga nao debe mitumba ilala
@kingbabzubekingbabzube5992
@kingbabzubekingbabzube5992 Год назад
Sawa wataka asome somo gn na kz yake ni mvulumuano wa mangumi naskuiz ukisoma sana huo nimtego unaweza letewa offa ya ushoga ukaichukulia poa kwahiyo kikumbwa home boy wetu amtambue Allah
@tonynganyange1481
@tonynganyange1481 Год назад
Team makasiliko
@abdulirashidi8439
@abdulirashidi8439 Год назад
Alikul maandazi ya sukarii😂
@ramadhanmtoo245
@ramadhanmtoo245 Год назад
yani mwakinyo mm ni shabki yako kindaki ndaki yani ila ninalo jambo laniuma sana natamani sku moja nionane na ww niongee na ww jambo moja tuu yani wee acha tuu
@saluyaadamz
@saluyaadamz Год назад
Mi namuaminisana mwakinyo
@PUTINN365
@PUTINN365 Год назад
Ukiwanacho watakuloga ukiwa Huna hivohvo
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Год назад
Hii video niliiona wiki nyingi zilizo pita, au ni muendelezo!?
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og Год назад
Ngja ukutane na twaha akuue ata ukikataa ulingni atakuua ata MTAan pumba ww
@mirroyjunior8348
@mirroyjunior8348 Год назад
📸📸📸📸📸📸
@uwesurwambo3666
@uwesurwambo3666 Год назад
Sema nn mwakinyo jfunze kingreza mdogowangu
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 9 месяцев назад
Ila huyu jamaa ni mashauzi
@barazamwaja3868
@barazamwaja3868 Год назад
umekua maneno mengi ngumi kidogo
@sumamelody6197
@sumamelody6197 Год назад
Kinacho ua kipaji cha huyu chalii ni mdomo wake mwenyewe
@Mshuzacharles
@Mshuzacharles Год назад
tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Год назад
Siku akipigwa nitafurahi Sana maana sio bondia Tena Bali kashakuwa mtangazaji na mwongeaji Sasa , siku hizi namkubali Sana Twaha kiduku ndio true boxer tz huyu mbabaishaji na mbahatishaji anaogopa kukosea tangu alipopatia Mara ya kwanza anaogopa kuuharibu Tena kwa hofu ya kukosea.
@islamkarata9655
@islamkarata9655 Год назад
m#enge Sana w~w~😄
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Год назад
@@islamkarata9655 si ndio ukweli huo bro mwakinyo hataki kupigana Tena sababu anaogopa kupigwa sio mpiganaji atafute kazi nyingine ya kufanya hiyo haiwezi.
@maarufumustwapha7445
@maarufumustwapha7445 Год назад
Hassan Hassan Hassan hassan
@PUTINN365
@PUTINN365 Год назад
Wanadam😢😢
@mustaphahashim7532
@mustaphahashim7532 Год назад
Bwegee tu huyuu hana jipyaa ni ujinga mtupu
@cleartzboy
@cleartzboy Год назад
Unaleta nguo wakt wakt watu wanataka ngumi boyaa kwel
@lama6310
@lama6310 Год назад
Wewe Fanya Vyotee Kuma Wewe lakin Sisi Tunamjua Twaha Hawez Kufanya Usenge Huo.Endelea Tu Kuchamba Ila Mambo Ya Sumu Msingizie Mwingne .
@Mshuzacharles
@Mshuzacharles Год назад
tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@AmosSniper
@AmosSniper Год назад
Namkubali sana huyu mwamba, ndiye bondia bora Tanzania kw kizazi hiki
@Chemba67
@Chemba67 Год назад
Tuma video uliyofanya sparing na Terence Crawford? I doubt if you had such worthful chance with him. Cant say its impossible but your profile is too low for such opportunity.
@njiaUpdate
@njiaUpdate Год назад
It may be that so,
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Год назад
Kiki za ajabu tanga wangapi mabondia wa maana na hakuna hio story
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 Год назад
Kumbuka ulisema umetoka familia bora ukichimba uwanyani kwenu utatoa vipande vyasubaru. Sasa ilikuwaje ulale chini chumba kivuje
@abbysule2390
@abbysule2390 Год назад
Baada ya baba ake kufa maisha yalibadilika
@saidmansoury1526
@saidmansoury1526 Год назад
Ww nimshamba tena limbukeni na utafika kuwa maarufu daima
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 Год назад
@@abbysule2390 nimekuelewa kaka. Upo sahihi
@abbysule2390
@abbysule2390 Год назад
Ahsante my brother
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 Год назад
@@abbysule2390 🙋
@jumbekipeme1441
@jumbekipeme1441 11 месяцев назад
Mwakinyo wewe pambana tu dogo
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Misifa kibaooo
@ibrahimsamson4193
@ibrahimsamson4193 Год назад
Wewe bhana unaongea Sana...mswahil n mswahili tu
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Sumu uwekewe ili iweje.. utasaidia polisi
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Год назад
Aisaidie polisi kwani kamtuhumu mtu Kwa jina lake? Muacheni aongee tu.
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
@@mashramadhani1989 atamtaja polisi.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Год назад
@@josephlorri431 haiko hivyo hapo unamaanisha polisi wamkamate mwakinyo Kwa kauli yake? Hawezekani na hata watoa shuhuda waliokuwa majambazi wauwaji wachawi wakitushuhudia humu RU-vid hawajawahi kukamatw.
@athumanmakunja941
@athumanmakunja941 Год назад
Uyo ndo mtu wa pwani halisi bwana😂😂 kwa pesa zipi watu wamfanyie mawindo ivo jamaa anaumwinyi flani ivi ni wakumpotezea tu
@bigtime593
@bigtime593 Год назад
Asaidie police ataje huyo mtu na huo mgahawa, huyu jamaa hakuna kitu kichwanj huwezi ongea hivo ni kesi ya ujibu hiyo dogo
@jeremiahluki7896
@jeremiahluki7896 Год назад
Ndiyo Mambo ya Africa huku ukiwa na kipaji watu wanakuua wakikukosa wanaua kipaji chako pole sana Mwakinyo
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Год назад
Kweli kabisa
@athumanmakunja941
@athumanmakunja941 Год назад
Wameshauwawa wangapi apa kwetu Tanzania😂 uyu jamaa ni mpuuzi tu kwa hela ipi alionayo mbaka awindwe. Kuna mda ukiwa mpuuzi unajiona kila mtu mbaya tu
@nativeGold.10
@nativeGold.10 Год назад
Ofcourse yan
@highthemetv7857
@highthemetv7857 Год назад
​@@athumanmakunja941 wewe mwenyewe unamjua mwakinyo yeye hakujui ...angekua mtu mdogo usingemjua
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
@@athumanmakunja941 we mbona hufamiki apo ndo ujue anakitu kakuzidi ko kuandamwa ni kawaida acha upuuzi kaka janjaruka usiwe kama msukule🏃🏃🏃
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Год назад
Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi
Далее
Кто сделал Катар богатым? #shorts
0:59