Тёмный

Vyakula vya Wanga ni Hatari | Unaharibu Kizazi Chako| Vipimo Milioni 8 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 79 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 4 месяца назад
Prof Janabi nashukuru kwa elimu yako. Uliyoyasema yote ni kweli, nilipoacha tumia wanga kwa miezi 5 niliona matokeo mazuri sana. Nilikuwwa nikila matunda, mayai na samaki. Ahsante sana Prof
@renataraymond8988
@renataraymond8988 5 лет назад
Hatari sana,hasa watu Wa mijini maofisini.Elimu inatakiwa!
@Deojames98
@Deojames98 2 года назад
Kweli kabisa kazi za maofisini kama mtu asipokuwa na ratiba ya mazoezi ni hatari sana
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 8 месяцев назад
Ahsante prof kwa elimu naomba nikushauri zingatia lishe kula vizuri acha ubahili huo si mwili wako ahsante
@saramartine7330
@saramartine7330 7 месяцев назад
Hahaaa hatariii sana mmh ubahiliiii
@RoseShauri
@RoseShauri 7 месяцев назад
Mbishi huwa hafaidi chagua mwenyewe ule nini halafu uende kwake akakuzibue moyo.Tunabisha lakini matokeo tunaona jinsi watu wanavyoteseka.kula lakini kwa kiasi na mazoezi
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 7 месяцев назад
Sisi tunataka kujua tule nini,,siyo ukosoaji tu.
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 7 месяцев назад
Kawa ambie Wasukuma wanao kula sana
@olivamatama590
@olivamatama590 2 года назад
Mungu atatulipia siku moja.
@Bakari_Mnolela1989
@Bakari_Mnolela1989 Год назад
Atatulipia Nini?
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 8 месяцев назад
😂😂😂atatulipia nini?
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Год назад
MADK MARA NYINGINE MNATUTISHA SANA!!!
@ahz6907
@ahz6907 9 месяцев назад
Kama anakutisha fanya utakayo.😂
@joniajohn4716
@joniajohn4716 5 лет назад
Ahsante Prof
@KleyGeorge
@KleyGeorge 7 месяцев назад
Unatushauri tule NN doctor
@kwisa4899
@kwisa4899 8 месяцев назад
Masomo haya kafundishe kijijini kwenu
@hamzamakame-fy6yp
@hamzamakame-fy6yp 6 месяцев назад
Tutakula ivo ivo tu twamuamin mungu hatuachi tule tu
@ephraimkyando6744
@ephraimkyando6744 2 месяца назад
huyo Mungu ndio aliumba na Bangi..Sasa kwanini hauvuti? Tuzingatie yanayofundishwa maana Mungu hutumia mtu yeyote kutusaidia.
@jamilarumisha7031
@jamilarumisha7031 5 лет назад
Mm niliacha wanga kwa miez 11 kiukweli changamoto za ki afya nilizokuanazo zikaisha wanga na sukar ni hatar sn
@TamuzaKale
@TamuzaKale 4 года назад
Unakula nini badala?
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 Год назад
Sahihi
@abednegopaul2705
@abednegopaul2705 11 месяцев назад
@dr_tinner naweza kuja WhatsApp yako Dr unisaidie ni vyakula gani natakiwa kula maana tumezungukwa Sana na wanga. 🙏
@gllythetraveler2430
@gllythetraveler2430 8 месяцев назад
Tupo weng
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 8 месяцев назад
Bakini tu na vipimo vyenu maan kwa hiyo bei 😮 ngumu
@dietrihs9264
@dietrihs9264 3 года назад
Kufa siku ni moja na mungu akikupa ugonjwa amekupenda, Ule vyakula vya wanga usile utakufa hio hio siku moja 😁😂😂😂
@luthernicholaus
@luthernicholaus 2 года назад
Pia magojwa wanachosha sana jamii na familia. Ni mateso sana kwa mtu binafsi na jamii kwa ujumla
@binhussain3445
@binhussain3445 Год назад
Huyo Mungu amesema tuchukue tahadhari
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Год назад
Tunatakiwa kula kidogo bila kujaza tumbo ili ibaki nafasi ya hewa na maji,shida iliyopo kwetu tunakula hadi matumbo yanatuna mwingine mpaka anashindwa kupumua.Chochote kile kinahitaji kutumia kidogo hata mapenzi ukifanya sana matokeo yake ni uhalibifu;kila kitu inatakiwa iwe wastani.Mtu mwingine anakula chakula cha mchana saa 11 jioni na usiku anakula saa 3 tena pilau na nyama au wali mweupe;anategemea nini hapo?
@noelashoo6043
@noelashoo6043 10 месяцев назад
Dada God Is Love unatakiwa kuwa Na Kiasi Katika Maisha Hasa Kula Bila Kubebesha Lawama Mungu kakupa Ugonjwa. Hii part Achana Nayo mana huna Ushahid ww wala Mm cha Muhimu wajibika kutunza afya yako kwa Garama Yoyote ikibid Kuacha Kula vitu vya Ajab bila Masaa
@amjudith
@amjudith 8 месяцев назад
A very sad way of thinking 🤔🤔
@elizabethleonce1089
@elizabethleonce1089 3 месяца назад
Waandishi wetu bana wanachekacheka tu kwenye vitu vya msingi
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Год назад
Dr Janabi Hujasema tule Nini
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Год назад
Daktari kuzungumza bila kutoa miongozo ya Nini kifanyike Sasa Wapi na kwa watu wa namna gani hujasaidia
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 7 месяцев назад
Wanao PATA magojwa ya hivyo wengi ni wanakula vitu vya dhurma hata ally haph aliongea akiwa mkuu wa mkoa tabora mnadhulumu viwanja mashamba nyumba Hela mnatesa watu mnafunga watu saingine hawana hatia magojwa lazima yawarudie wenyewe
@georgebundala1915
@georgebundala1915 7 месяцев назад
Unatuongezea hofu,je maisha yanatakiwa kuwa na muelekeo mmoja?Tuteketeze mahindi na mchele na mihogo yote
@salumjuma6073
@salumjuma6073 Год назад
Prof.Mohammed tunaomba uanzishe RU-vid Channel ili kutuelimisha zaidi kuhusu magonjwa ya moyo na vyakula
@abednegopaul2705
@abednegopaul2705 11 месяцев назад
Anayo tayari
@ahz6907
@ahz6907 9 месяцев назад
Ipo.itafute.
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Год назад
Tumekulia ugali wa Dona mboga na maziwa mgando huko nymbn tena unapg kisufuria mtu mmoja😂sema tulikuwa tunatembea kwnd shamba kuchnga na shuke ni kilometer 3, sasa hivi wanetu wanakula huku wamekaa nitatzo kwakwel Asante kwa elim
@ephraimkyando6744
@ephraimkyando6744 2 месяца назад
Haikuwa na shida kwasababu ulikuwa unafanya KAZi na dicho dokta kasema. Ila ukila hivyo halafu ukaenda darasani kusoma ndio shida inaanzia hapo😅
@kipsjr3664
@kipsjr3664 3 года назад
ukiwasikiliza madaktari unaweza usile chakula
@hanifamziray277
@hanifamziray277 8 месяцев назад
Samsasali tulia hapo husomi magazet msikilize doct punguza lishe
@vengageorge6574
@vengageorge6574 7 месяцев назад
Nguvu watapata wapi
@gastorjohn5308
@gastorjohn5308 5 лет назад
Msos Jaman
@deodadeo2016
@deodadeo2016 7 месяцев назад
Huyu jamaa alivyo mjuvi ataishi milele
@solomonsebo2691
@solomonsebo2691 2 года назад
Professor naomba utuambie tule nini na wewe unakula vyakula gani?Asante
@SaimonTanganye
@SaimonTanganye 8 месяцев назад
Huyu mtu ni muongo tuwe makin nae.kila siku ana hili mara hili tusile wanga tutakula nn. Kusoma ni mhim ila kusoma ili kuelimika ni mhim zaidi . Lakn why professor kila siku mtandaon au unataka teuzi. Maisha yetu anajua mungu wengne ni uongo uongo tu mara tusile sukar mara wanga sasa tule nin na uwezo wetu ndo huo wa wanga .
@Newage.designbuild
@Newage.designbuild 8 месяцев назад
Swali, tule nini ambacho hakina wanga?
@JoshuaOjijo
@JoshuaOjijo Месяц назад
Raisi sana, Badala ya chapati Asubui, Anza na Miogo ya kuchemsha, mengine nitakueleza baadae
@praygodmtui1407
@praygodmtui1407 9 месяцев назад
Dada acha wenge
@ElitzabethMichael
@ElitzabethMichael 7 месяцев назад
😅😅😅
@CharlesNdaki-mb5kt
@CharlesNdaki-mb5kt 2 месяца назад
Sasa useme tule nini sasa et
@AzharluqmanHema
@AzharluqmanHema Год назад
Huyo alijinenepea 😂😂😂😂anapumulia gesi hta aibu hna
@marynkya2841
@marynkya2841 8 месяцев назад
😅😅😅😅
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 7 месяцев назад
Sasa tule nini jaman?
@ntegrity277
@ntegrity277 Месяц назад
Kwani wazee wetu walikuwa wanaishi je? Hizo million mnakomoa watanzania walipa kodi, JANABI TULE NINI SASA
@kainimkini2073
@kainimkini2073 7 месяцев назад
Aongee tule nini sasa sisi hatuna shida tutafanya kile kinachotakiwa anaongea mengi mno huyo doctor au tuache kula kabisa
@emiliananaombakulizanimeot3658
@emiliananaombakulizanimeot3658 9 месяцев назад
Docta Jamaica je Watton wakila mate kila siku inakuwaje
@mazaramatucha
@mazaramatucha 8 месяцев назад
Kizazi which?
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 года назад
Kwenda zako kama ugonjwa unao ni wako tuu mimi toka nazaliwa chakuka kikuu ni ugali na uji vyoote ukibadili ni wali nao unakula siku ya skukukuu tu eiza pasaka klismasi ndo tunakula wali usitutishe
@godloveorio8029
@godloveorio8029 Год назад
Aseme tule nini sasa maana ugali na wali ndo vime tukuzia hadi sasa.
@lightnesscharlse2281
@lightnesscharlse2281 3 года назад
Tule nn jamani
@mwanjinzara8009
@mwanjinzara8009 Год назад
Tule vyote kwa wakati ila.kidogo sukali ikiwezekana tusiguse bia mwisho mbili nazo unywe saa.mbili au tatu chakula cha jion mwisho kula saa moja maxoezi tusisahau pia😅😅
@emmanuelmpaliyenutritionist
@emmanuelmpaliyenutritionist 2 года назад
Huyu kazingua, akale shule upya. Vyakula vya msingi kula Ni vya wanga. Wazazi wamekuwa wakila vyakula hivyo vya wanga, (viazi, mihogo, ugali, maharage n.k) magonjwa hayakuwasumbua Kama Sasa. Tatizo he should backup with scientific evidence. Bongo tunakwama wap🤾🤾🤾
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Год назад
Nikwel lkn walikuwa wanaenda shamba pia kuchunga mifugo chkula kinatumika tatzo Sasa hivi tunakula tumekaa Mungu tusaidie
@emmanuelmpaliyenutritionist
@@radhiambwana3353 hakana anayekula akiwa amekaa vi ginevyo nikiwete. Lakini pia mjini tunakula kwa kupima, utashangaa Mtu asubuh amekula mandazi matatu au matano na chai. Mjini hatuli Kama watu wa vijijini. Na siku hizi watu wanafanya jogging. So kuna mengi. Point ya kwamba walienda shamba ni soft sana.
@suzanejeremiah3463
@suzanejeremiah3463 3 года назад
Ana rangi Kama roho yake
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 8 месяцев назад
Hahahaha
@faizaomary2036
@faizaomary2036 5 лет назад
Tule nn docta
@mohamedkisalala4523
@mohamedkisalala4523 5 лет назад
Tule nini sasa
@irenekatambe1090
@irenekatambe1090 4 года назад
eti jmn
@TamuzaKale
@TamuzaKale 4 года назад
@@irenekatambe1090 Hahaahahaha
@suleimanhamad920
@suleimanhamad920 4 года назад
Sasa tutapunguza baada ya kuelimika
@Ric0974
@Ric0974 2 года назад
Vitamini kwa wingi!
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 8 месяцев назад
Na wewe Dr kutwa kucha unatutisha sasa tule nini? Utaepukaje vitu hivyo?
Далее