Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
haupo peke yako, upo na hao wanaokuuliza maswali kwani vipi kijana, hapo ndipo utakapokumbuka ulivyokuwa unajificha chini ya dawati wakati wa kusoma tebo(table) tena ulikuwa unaomba darasani mchanganywe A na B ili muwe wengi usionekane maaniiinaa...jamani comrade bashe usimchanganyie lugha baba wa watu unazidi kumvuruga
Huyu jamaa (company secretary) achukue hii kama fursa ya kujirekebisha apunguze maneno na kujichekesha chekesha, afanye kazi kama kuna changamoto azipeleke sehemu husika, leo anacheka siku Boss Kubwa JPM akifika hapo ajue kabisa kama hakutakuwa na mabadiliko mood haitakuwa hivyo. Kwa hayo wanayoyafanya ni kutugeuza shamba la bibi na JPM hawezi kuwaacha salama.
Shida iko hivi,Tz bado inapigwa,haijapata watendaji wenye utayari,weledi na uwajibikaji.Ndio maana akitokea wa kujaribu kuwajibika ipasavyo inakuwa kama jambo la ajabu.Wangekuwepo kama mwenye nchi mambo yangekuwa bomba.
Kiukweli mkuu wa mkoa mjanja alaf ni noma sana naenda TRA uyu jamaa kashikwa pabaja aende pia na Nssf utakuta mishara ya NSSF Nitofauti na ya TRA tutakua wazalendo tu waziri (bashe) nae Yuko makini Kama
weka mwekezaji alie serious na kaziwamgapi wamgepata ajira mapato mangapi yanapoteaa wakulima wamgapi wangeuza pamba hasara ni nyingi hapo wek mwekezaji mwenye kutaka kufanya biashara
Hiyo ni Ishuu ya hesabu, kujieleza leo inakuja namba mbili. Jamaa angekuwa ba hesabu sawa na daily records ( Takwimu ) ya kiwanda hangevuta jasho jebamba!! 😓😓 😂😂😂😂
George unajua hii habari napenda kla mda kuiskiliza hawa mawazir wapo makini wte huyu jamaa hana akili namshanga huyu mwenye kiwanda kuweka watu mbumbumbu
Junior Amos awe Waziri kamili tu huyu jamaa . cheki ni miezi kazaa tu tangu aingie mashamba yamepimwa PH masoko baadhi ya mazao yamefunguliwa naomba aje kuna kijiji kimoja huku kwetu takribani ardhi ya kijiji kizima miwa inalimwa ila inakosa soko akipaona huyu jamaa kiwanda kidogo cha sukari kitajengwa aisee !!