Тёмный

MAMA ADAIWA BIL 10 NA TRA, AMSHANGAZA WAZIRI MKUU, ASIMULIA KWA UCHUNGU 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 227 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 168   
@NicholasMgaya-jt8ek
@NicholasMgaya-jt8ek Год назад
Mtanikumbuka kwa mazuri nasio mabaya.
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Год назад
Na hawa ni wale wenye ujasiri wa kusema bado wale wanaosema namuachia Mungu RIP JPM😢
@emmanuelmorris5083
@emmanuelmorris5083 Год назад
Angekuwa magu TRA Jana kazi wangekosa hapohapo bila mjadala
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Kwa kweli Magufuli alikuwa jembe. Ndoo maana maafisa wengi serikalini hawakumpenda. Tutamkumbuka sana Magufuli.
@malandojames5151
@malandojames5151 Год назад
Waziri mkuu ukiona watu wanafunguka kiasi hiki, ujue watu wanaimani Sana na wewe. Kiukweli mamulaka ya mapato mh!!!!
@jrrashidi8955
@jrrashidi8955 Год назад
Sisi wa Tanzania niwashenzi sana atuoneani uruma atakidogo
@zuenakimbago9545
@zuenakimbago9545 Год назад
Wallah magu angekuepo hao tra wote kaz hawana na huyo mwigulu angejiuzulu bila kupenda. Ooooohh R.l.P mwendazake😭😭😭😭
@mhinahalfan2694
@mhinahalfan2694 Год назад
Haya matatizo yalianzia kwa huyo mwendazake, ukiwa sio mfanyabiashara huwezi kulijua hili. TRA wakati ule walichukua fedha za wafanyabiashara kwa nguvu na hakuna aliyepewa nafasi kama hii ya kuhoji. TRA iliua watu kwa pressure kufuatia kufunga account zao na kuwabambikia madeni,, ukienda tofauti unapewa kesi ya uhujumu uchumi.. Msiongee kishabiki
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm Год назад
Wazili mkuu mheshimiwa wetu kiukweli liangalieni Hilo hawa tra wanawavuluga sana wafanyabiashala.pamoja na polisi nao wanakelo sana
@EdithaDickson-ob5yw
@EdithaDickson-ob5yw Год назад
Kwakweli TRA inatunyanyasa sana yaani wafanya biashara tumekua kama watoto wa kufikia Kwa mama wakambo asiye na moyo wa Imani hataaaa.
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 Год назад
Yaani ata ss bukoba ni hivyo2 wanatukomoa
@omarykitenge8283
@omarykitenge8283 Год назад
Huyu Mama ni Mtu na Nusu, how does she get such massive power in business.... An example to keep learning..
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 Год назад
Mtu na nusu nimeipenda hii
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Mama bonge anahera lak8n nchi ya tz inzazambi sana
@user-ic6js4sc8u
@user-ic6js4sc8u Год назад
Ndio mjue kwamba Magufuli Alikuwa Raisi😢
@lidyakisoka-is4ru
@lidyakisoka-is4ru Год назад
Tatizo sio Magu tatizo ni uzalendo wa Kiongozi,alikuwa anasema matajiri anataka waishi kama mashetani?yy ndo mwanzilishi wa ili
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 Год назад
​@@lidyakisoka-is4ru Hujui ulisemalo
@robertmasule4819
@robertmasule4819 Год назад
Kaka hujui ulisemalo, magu alikuwa yupo vzr Sana kuweka nidhamu
@dianakalimba1109
@dianakalimba1109 Год назад
Kbsaaaa huu uozo usingekuwepo
@mohammedsururu4047
@mohammedsururu4047 Год назад
Tuulizeni cc wakulima wakorosho kuhusu magu
@wanguwangu34
@wanguwangu34 Год назад
inatisha mpaka unatoa machozi, huyu dada ni mfanyabashara
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Год назад
Hii nchi ya kishenzi sana inaviongozi washenzi walafi
@festohaule9716
@festohaule9716 Год назад
Hivi Hawa ni Wazawa kweli eheeee!!! Mbona kama sisi ni Wakimbizi tu..Kwanini Tanzania..R.I.P. Magufuli... Tanzania itakulilia Daima milele!!!!!!
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Год назад
P Pp
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 Год назад
TRA Wamekuwa miungu watu. Utaratibu wa kudaiwa kodi wakati muda kampuni au jina la biashara inaandikishwa ni upuuzi mkubwa.
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Год назад
Harafu wabunge wanasema mama hanaupiga mwinyi kwa sitairi hii kweri kupga mwinyi kwa kuwaibia wananch kweri haki itemdeke
@user-rd6mo1zb6g
@user-rd6mo1zb6g Год назад
Hivi mwingulu si ajiuzulu tuu.huyu mamaake nahisi hajiwezi kwake
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 10 месяцев назад
Mwanamke Sasa awe jasili Kama huyu sio Kama Hawa nguchilo wahuku kitaa wa kutuma na yakutolea ❤❤❤❤❤
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
nchi imeoza rushwa rushwa.kila ukicha
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Год назад
Hii Nchi kuna Watu unaweza kuwadharau kumbe ni Mabilionea. Wewe mbona bado Msichana hayo Mabilioni umefanyaje kuyapata? Kweli riziki ya Mtu
@umubyeyisandra
@umubyeyisandra Год назад
😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli
@mozaaly3487
@mozaaly3487 Год назад
Riziki anatoa mungu usijadili kapataje unakufuru .mungu humpa amtae na kwa muda wowote .umasikini na utajiri yote ni mitihani ya mungu anakuangalia utashukuru au utakufuru Mwenyezi mungu(s.w) atujajalie wenye kufanikiwa na mitihani aliotujaribu
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
Wenye pesa wakogo kawaida sana
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Год назад
Wala huwa hawaonyeshi, na ukimuona hapo wala huez jua, sas wewe uwe na vimilion vyako unatembea kwa maringo hatari
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Год назад
@@mwitaagness455 😜😜😜😜
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Magufuli angewaita ikulu chap, bi fulan yupo bize na mambo ya hovyo
@kazumbelive1987
@kazumbelive1987 Год назад
ukiona mwanamke ana ndevu ujue ana akili sana.
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Год назад
ndevu na akili nini 😅😅😅 bro hii ni hormone za kiume tu
@JAYSON.J.KILAPILO-pi1yl
@JAYSON.J.KILAPILO-pi1yl Год назад
Umenenaa mubashara sanaa Ndugu yangu @kazumbelive1987. Mungu akujalie maisha marefu damu yangu.
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
​@@willykaovela5485 mbona mie ninazo😂😂😂
@himidijenga535
@himidijenga535 Год назад
Ni kweli haswa
@MwanaidiRulimbiye-uf1mr
@MwanaidiRulimbiye-uf1mr Год назад
Hakika hujakosea ila zinakera sana tunakuwa kama wanaume
@PhilipoBukombe-qs9or
@PhilipoBukombe-qs9or Год назад
Yaani hii nchi Kuna watu wananyanyasika kama wakimbizi
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Год назад
Yesu wangu nyie...
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Год назад
Chadema njooni huku mseme maana mlikuwa mnasema Jpm alikuwa anaonea wafanyabiashara je haya yametoka wapi ?
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa Месяц назад
Hii ndio nchi yetu, Mimi sijutii hata kdg kutoka huko. Tunawaambia mnawaumiza watu hawasikii. Na kushauriwa hawataki
@issamagambo1879
@issamagambo1879 Год назад
Rest in peace magu
@othumanomari1589
@othumanomari1589 Год назад
TRA mhu lnna Lillah wainnaillaihi Rajiun 😭😭
@lameckmbele5901
@lameckmbele5901 Год назад
Mungu awasamehe sn hawa viongozi kwani nimataperi sn ugumu wa maisha tunaopitia watanzania ni kwasababu ya TRA
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Год назад
Yaan TRA TRA TRA sijui kama watamwona Mungu siku ya mwisho
@HellenLemilya
@HellenLemilya Месяц назад
Waziri mkuu wetu ana busara ya kutosha umeenea kiti chako
@arqaammsongelwa7567
@arqaammsongelwa7567 Год назад
Oko sahihi boe,ila kwawakati huu hakuna atakaekuelewa kwakua wote wana perpressure juu ya yanga yao
@RichardKafwa
@RichardKafwa Месяц назад
Pole mm
@allyfutto8763
@allyfutto8763 10 месяцев назад
Dhurma imeshika hatam rushwa shikamoo 🇹🇿
@jumamavind7713
@jumamavind7713 Год назад
Hawa wafanya kazi wa TRA inaelekea baazi yao niwatoto wawakubwa ndiyo mana wanakuwa vibiri sana kwwafanya biashala
@idrissaomba8803
@idrissaomba8803 Год назад
nazani Marehemu angekuwepo hawa jamaa wangelala ndani
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 Месяц назад
Ya wafanya biashara ni hayo. Tusubiri ya wakulima.
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 20 дней назад
Mbona wasomi wapo wengi fukuza haya magumegume yanayotesa watu!
@petromsomba4523
@petromsomba4523 Год назад
Pole mama mungu atasimama upande wako
@maganeyxasan8768
@maganeyxasan8768 Год назад
Kweli noma
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 Год назад
Hawa tra wa Tanzania inatakiwa cku moja wapewe maduka yakuuza hata miez miwili alafu wafatiliwe mapato maan wao wananyang'anya hela zawatu hachukui kod nais vile2 masomo yao yakikodi hayako saw igen nchi jilani
@annahmwakabenga3877
@annahmwakabenga3877 Год назад
Hongera sana kipenzi
@user-hq5mo3dx7l
@user-hq5mo3dx7l Год назад
TRA jamani watumbuliweeee
@user-cx2qx5fc3w
@user-cx2qx5fc3w Год назад
Rip magufuli mtetez wawanyonge
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Месяц назад
Anadaiwa bajeti ya nchi hata bahresa halipi hivi
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Год назад
TRA Wapendwe zaidi na Mungu
@allyfutto8763
@allyfutto8763 10 месяцев назад
Aibu aibu aibu kwa serikali ya Tz kushindwa kudhibiri RUSHWA kanakwamba inaruhusiwa rushwaTz🇹🇿
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Watanzania wanapitia mambo magumu sana.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Mhmm hichi chombo TRA ni hatari sana mtu anamkopo bank mzigo umezuiliwa yani sijui watu waishi vipi
@yasinichankanda2090
@yasinichankanda2090 Год назад
Yaani hiki kikao laiti magu angekuepo idara ya TRA wote wangepigwa chini wote na waziri wa fedha angetenguliwa hapo
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Год назад
Hayo ni manyanyaso ya serikali kwa raia wake
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Jamani jamani wazili msaidie huyu mama
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Год назад
Bilion 10 sasa hata upewe huo mzigo jaman ufanye biashara,itapatikana?????
@princekarani7836
@princekarani7836 Год назад
Haiwezi kurudi,labda useme urudishe pesa kiasi basi tu
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm
@RIZICKZEBEDAYO-fy6gm Год назад
Mh wazili mkuu Kuna wakati Hawa tra wengine wawajibishwe tunatengtena roho za watu wanao Anza kuvaa roho za ujasili
@ManaseManase-in3bg
@ManaseManase-in3bg Год назад
Pole mama angu 😭😭
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 Год назад
Nchi yetu lkn tunaishi kama watumwa jaman hv watu wenye dhaman serikalin kwnn mnaona wasio na ajira kama machizi tu
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Год назад
Tanzania nchi ya hovyo kweli kwenye madini wageni mnawasamehe Kodi wazawa sasa wanavyokabwa
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 Год назад
TRA wanaonea na Wanaonewa vilevile, sasa uangalie hawa wakubwa kwa sababu wakubwa wanatumia mgongo la wadogo kuhalalisha mamboz zao....na walarushhwa ndo wanadidimiza uchumi na haki.....
@umbaliche
@umbaliche Год назад
Hii story haijakamilika, CD imeruka sana. Kuna shida kubwa zaidi.
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 Год назад
Huyu mama anasema aja fanya biashara miezi minane pesa ya kununua nyumba mtaa wa nyamwezi na aggrey bilioni 10 kapata wapi? Huyu mama anatakiwa achunguzwe kiundani sanaa. Hujafanya kazi miezi minane alafu leo ukanunue nyumba bilioni kumi aaaaaahhhhh jamani kweli Tra wanazingua ila watu kama hawa tuwe makini nao
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Год назад
​@@hilmialjahdhami9787..Kila biashara inauendeshaji wake na inajitegemea we mbn una chuki na mama wa watu.!? Kwahiyo asizungumzie changamoto za biashara ya nguo aliko wekeza kwa sbb ana Mali nyengine.!? Au wewe sio mfanya biashara.!? inamaana hujui km Kila biashara Ina mtaji wake na ili ikiwemo inatakiwa ijiendeshe kutokana na kile ulichowejeza.!?
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Год назад
Waambiee mamaanguu 😢😢
@farajiissa560
@farajiissa560 Год назад
Mm sina iman na hii serikal ya dhaifu ya majangili magendo
@theodagharo3069
@theodagharo3069 Год назад
Yaani mbn tunateswaa hv
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Tanzania inatia aibu uchafu mwingi Sana. Mwigulu na jop lako mtalaaniwa
@albertratera9096
@albertratera9096 Год назад
Wameshalaaniwa tayari
@elizaberthbenard6413
@elizaberthbenard6413 Год назад
Hao mbwa tra hao siku yakihama wakwanza kutupwa motoni wanasiasa baadae tra
@linuskhamsonda9206
@linuskhamsonda9206 Год назад
watu wanauliza hivi Term Kuubiga mwingi kwa hali hii Bungeni liendelee kutumika?
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Год назад
Watu wanabuliwa jamani .ila naimani na majaliwa atawasaidiq
@raismalingumutz8473
@raismalingumutz8473 Год назад
Tenda haki muongo mungu dunia mapito
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 Год назад
Hatuna wasomi....
@estermwakatundu3028
@estermwakatundu3028 Год назад
Na ambao hatuwez kuongea inakuaje?
@MohamedKaboza
@MohamedKaboza Месяц назад
Eemungu tusaidie
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 Год назад
Hii nchi ni hovyo mno.
@jersonmpeka4984
@jersonmpeka4984 Год назад
Tra Mbingu wataisikia toshekeni na mishahara yenu
@rabwarab574
@rabwarab574 Год назад
🇹🇿INASIKITISHA SANA😭
@humphrehnkya9370
@humphrehnkya9370 Год назад
Hatari jamani
@jumambarale699
@jumambarale699 Год назад
Magufuli baba sijui nisemeje ....
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 Год назад
Duuh mtihan sn wallah tz wanatia aibu kwa tabia zao chafu😢
@annasamba8478
@annasamba8478 Год назад
Mama pole mungu ata simama
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Год назад
Mwigullu apumzike tuu jamani
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 Год назад
Daa
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Год назад
Dah hawa TRA ndio mafisadi wakubwa wa nchi
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Год назад
10b???????
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Год назад
Now nchi wanakla wakbwa t dadeki
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Tanzania wamachinga wanadaiwa billions kodi duuh sasa kama zambia ni wapo lockland bado chini hii ni aibu
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Год назад
Huyu mama anapei aisee
@leopardkomba8434
@leopardkomba8434 Год назад
Kwa nn mkurugenz wa tra asisimamishwe!!!?
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Год назад
@@leopardkomba8434 tutamsimamisha
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 Год назад
Daaaa hakyamungu tra no nyoko kabisa
@isaiahthomas3059
@isaiahthomas3059 Год назад
Huyu nae wazir mkuuu siyupo hapoo
@elizaberthbenard6413
@elizaberthbenard6413 Год назад
Baba magufuli kila nipitiapo krip zako natoa chozi hawa kenge uliotuachia wanatuua
@robertphilip385
@robertphilip385 Год назад
Katiba mpya nilazima
@abdallahkassim318
@abdallahkassim318 Год назад
Haya yote si kwamba serekali hawajui, wajanja ndio wataelewa
@shijathedon5453
@shijathedon5453 Год назад
Dah 😢
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Год назад
Mi naona TRA watafute namna nzuri ya kukusanya kodi ambayo ni fair na sio kuwindana km panya road. Hafu ni aibu polisi kujifanya TRA kwani kazi zao zimeenda wapi?
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Год назад
Inatia Huruma kabisa,TRA wanakera
@SylvesterKiyabo-tm5yw
@SylvesterKiyabo-tm5yw Год назад
8
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Год назад
Yaani watu wako na shida maskini sasa bilion kumi vitenge hiyo haki kweli?kwan viongozi kazi yenu nini hamuwatembelei watu wa chini?bila mgomo ina maana waziri mkuu usingefichuliwa hayo
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Mfanya biashara atakayenunua ilo contena hapo kariakoo ni mpumbavu
@4hestatecompany20
@4hestatecompany20 Год назад
Tunakutaman uwe rais
@user-nd6bw5qc9e
@user-nd6bw5qc9e Год назад
Naimani na Majaliwa oya oya2
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Год назад
Kuna watu wanateswa sa hivi
@PeterMpejiwa-gz2oy
@PeterMpejiwa-gz2oy Год назад
Mahubili
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 Год назад
Mmmmmmhhhhhhhhh
@leopardkomba8434
@leopardkomba8434 Год назад
Mwigulu n jipu linalo nuka halina mtumbuaj tu
@mariammwinyi6444
@mariammwinyi6444 Год назад
😭😭
Далее
Редакция. News: 128-я неделя
57:33
Просмотров 2 млн
На фейсконтроле 💂
09:41
Просмотров 875 тыс.
skibidi toilet zombie universe 37 ( New Virus)
03:02
Редакция. News: 128-я неделя
57:33
Просмотров 2 млн