Haya matatizo yalianzia kwa huyo mwendazake, ukiwa sio mfanyabiashara huwezi kulijua hili. TRA wakati ule walichukua fedha za wafanyabiashara kwa nguvu na hakuna aliyepewa nafasi kama hii ya kuhoji. TRA iliua watu kwa pressure kufuatia kufunga account zao na kuwabambikia madeni,, ukienda tofauti unapewa kesi ya uhujumu uchumi.. Msiongee kishabiki
Riziki anatoa mungu usijadili kapataje unakufuru .mungu humpa amtae na kwa muda wowote .umasikini na utajiri yote ni mitihani ya mungu anakuangalia utashukuru au utakufuru Mwenyezi mungu(s.w) atujajalie wenye kufanikiwa na mitihani aliotujaribu
Hawa tra wa Tanzania inatakiwa cku moja wapewe maduka yakuuza hata miez miwili alafu wafatiliwe mapato maan wao wananyang'anya hela zawatu hachukui kod nais vile2 masomo yao yakikodi hayako saw igen nchi jilani
TRA wanaonea na Wanaonewa vilevile, sasa uangalie hawa wakubwa kwa sababu wakubwa wanatumia mgongo la wadogo kuhalalisha mamboz zao....na walarushhwa ndo wanadidimiza uchumi na haki.....
Huyu mama anasema aja fanya biashara miezi minane pesa ya kununua nyumba mtaa wa nyamwezi na aggrey bilioni 10 kapata wapi? Huyu mama anatakiwa achunguzwe kiundani sanaa. Hujafanya kazi miezi minane alafu leo ukanunue nyumba bilioni kumi aaaaaahhhhh jamani kweli Tra wanazingua ila watu kama hawa tuwe makini nao
@@hilmialjahdhami9787..Kila biashara inauendeshaji wake na inajitegemea we mbn una chuki na mama wa watu.!? Kwahiyo asizungumzie changamoto za biashara ya nguo aliko wekeza kwa sbb ana Mali nyengine.!? Au wewe sio mfanya biashara.!? inamaana hujui km Kila biashara Ina mtaji wake na ili ikiwemo inatakiwa ijiendeshe kutokana na kile ulichowejeza.!?
Mi naona TRA watafute namna nzuri ya kukusanya kodi ambayo ni fair na sio kuwindana km panya road. Hafu ni aibu polisi kujifanya TRA kwani kazi zao zimeenda wapi?
Yaani watu wako na shida maskini sasa bilion kumi vitenge hiyo haki kweli?kwan viongozi kazi yenu nini hamuwatembelei watu wa chini?bila mgomo ina maana waziri mkuu usingefichuliwa hayo