Тёмный

WAKILI KIBATALA ATOA TAMKO KALI SAKATA LA WAKILI MWABUKUSI, "NI AIBU KWA NCHI, TUNAONEKANA WAJINGA" 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

7 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 13 дней назад
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o 13 дней назад
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
@kakawataifa6752
@kakawataifa6752 13 дней назад
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 13 дней назад
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
@user-fw6dp9iy4i
@user-fw6dp9iy4i 11 дней назад
Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 13 дней назад
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
@user-fx3xj3on5j
@user-fx3xj3on5j 13 дней назад
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 13 дней назад
Mabukusi oyeeeeee
@user-fx3xj3on5j
@user-fx3xj3on5j 13 дней назад
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
@mlangotv8465
@mlangotv8465 13 дней назад
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 13 дней назад
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 13 дней назад
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
@patrinraura1397
@patrinraura1397 12 дней назад
Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda
@generosennko8343
@generosennko8343 12 дней назад
As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri
@user-cz4pu9py5s
@user-cz4pu9py5s 13 дней назад
Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 12 дней назад
Kibatala❤❤❤❤❤❤
@anosiata8242
@anosiata8242 13 дней назад
Safi sana kibatala umeongea point
@AthumanDauda
@AthumanDauda 13 дней назад
Akili kubwa sana
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 13 дней назад
Safi sana this our country 😢 😞
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 12 дней назад
Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili Mwambukusi na Fattuma Karume.
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 12 дней назад
Kibatala hongera kwa kulitambua hili
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 12 дней назад
Safi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 12 дней назад
✌️👍👊.
@dilludillu2747
@dilludillu2747 12 дней назад
Safi sana
@froma3732
@froma3732 4 дня назад
Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA
@boaziamos1224
@boaziamos1224 13 дней назад
Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani
@midventmax
@midventmax 12 дней назад
Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 12 дней назад
Safi sana umeongea kisomi
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n День назад
Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??
@ChristerKoku
@ChristerKoku 13 дней назад
Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.
@fredyfile623
@fredyfile623 13 дней назад
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 13 дней назад
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 13 дней назад
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
@JumaYusuph-o4h
@JumaYusuph-o4h 10 дней назад
Kama Kibadala kasema mi nani nipinge
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 12 дней назад
Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu
@WigesaNyerere
@WigesaNyerere 13 дней назад
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 13 дней назад
Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 12 дней назад
YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS
@bibletv9818
@bibletv9818 13 дней назад
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@RevocatusMchau-mp2mg
@RevocatusMchau-mp2mg 12 дней назад
Umemsikiliza vizuri?
@harunamtiko117
@harunamtiko117 13 дней назад
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.
@ndingolivin-qy6xk
@ndingolivin-qy6xk 11 дней назад
Safi sana
Далее
WAFANYABIASHARA TANZANIA WALALAMA
7:19
Просмотров 2,6 тыс.