Тёмный

LUSINDE AWAPA ONYO CHADEMA, "JICHO LA VIONGOZ WA NCHI HII YANAMTAZAMA MSIGWA, ATAJITAFUTIA MATATIZO" 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 178 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Lusinde awapa onyo Chadema, "jicho la viongozi wote wa nchi hii yanamtazama Msigwa, asije mtu akamtishia, atajitafutia matatizo, mimi mjumbe na mjumbe mzito nawaambia, sasa wewe nenda nyumbani kwake sijui na kikopo cha mafuta ya taa, bwana wee"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@allanmoshiro123
@allanmoshiro123 2 месяца назад
ccm wamewalipa watu Fulani, kakundi kwa ajili ya kushangilia tu. MACHAW
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 месяца назад
Teknolojia tu hiyo
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Chadema mnakijua kinawatisha ndo maana mna sema muda wote chadema tu.
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya 2 месяца назад
Siasa za Tanzania ni za ovyo. Wananchi tunayafuatilia sana.
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 месяца назад
Kazi ya mafisi ni kununua watu kwa kodi zetu huo ni ukweli usiopingika
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Hulipokua chadema hulikua mbwa sasa leo umekuja kwetu umekua mtu safi.
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Kumbe ukitaka kuonekana cheza chedema.lazima uwonekane.basi msigwa hupo sahii.
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Nchi hii haiko huko.msilete ujanja wenu.mkaja mkafanya yenu mkasema ni chama kile.kumbe
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 2 месяца назад
KWa pesa za wizi mnaweza kuwa dunia nzima. Ufisadi wa mali za wananchi hizo. Inakuja siku. Na nyinyi vitisho vya nini. Ni nyinyi ndo mnawatishia wananchi. Tunahitaji tüme huru na Katiba mpya ya wananchi. Si ombi ni haki yetu. Yaani Msigwa kumbe ni muhimu na maarufu sana kwa ccm kuliko wote wa ccm. Kumbe hamna wenye kuona mbali huko.
@mathewungani9724
@mathewungani9724 2 месяца назад
Lusinde Kiboko
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 2 месяца назад
Keisha taaaaa
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Wakamtongoza leo.mmemtongoza nyinyi linatongozwa tu
@StanleyShoo-x7u
@StanleyShoo-x7u 2 месяца назад
Inapendeza bila kutaja chadema akuna usingizi
@HamisLeo
@HamisLeo 2 месяца назад
Kashindwa uenyekiti kanda ndo amehama
@boniphaceedward3185
@boniphaceedward3185 2 месяца назад
Sasa hiyo inasaidiaje? Maish ya Wananchi? Mbona siasa zetu mnaitaja CHADEMA tu
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 месяца назад
Asante sana ccm ,ndio chama sahihi
@DavidKagulu
@DavidKagulu 2 месяца назад
Wanahutubia watoto tu hakuna mwenye akili timamu akawasikiliza Hawa inzi wa kijani
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 месяца назад
Matusi ndiyo hoja .!!Muwe na kauli njema Mnaona kenya hata Tanzania inaweza kuingia kwenye vurugu .
@loserian-mj1gj
@loserian-mj1gj 2 месяца назад
😢
@DavidKagulu
@DavidKagulu 2 месяца назад
Mccm bhana ,Yani sijui wanaona watanzania Bado ni wajinga???
@HamisLeo
@HamisLeo 2 месяца назад
Watu wa iringa wamechukia
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 месяца назад
Siasa za majungu zipo Tanzania , Kenya wanasimamia siasa halisi
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Hamia Kenya Fala wewe,hujui yanayoendelea Kenya kwakuwa huna akili
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 месяца назад
@@walidmgonja3644 ukweli unauma sana 🤣🤣
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 месяца назад
Kwahiyo kuvunja maduka na kuiba ndio siasa halisi?
@michaelchombo8956
@michaelchombo8956 2 месяца назад
Ccm imechokwa na watanzania ndo maana uchaguzi mnatumia mabavu
@mwitamwikwabe6611
@mwitamwikwabe6611 2 месяца назад
Ongea poiti mzee mzingwa ndye nn umekuwa wimbo
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад
Sio, ccm hii ya majizi
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Sio kweli hakumanisha hicho.mmekata maneno.hiyo wizi wakuls walimwibia nan.namzurumati wajinga ndo.mnawambia hayo maneno.yeye kazurum nini magum yapi mbona haligombea hskashindwa.hasingeshindwa hangeama.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 месяца назад
None sense
@mwitamwikwabe6611
@mwitamwikwabe6611 2 месяца назад
Kumbe mzigwa amezoleka kutongozwa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 2 месяца назад
Acha tamaa wewesi chadema?
@kagombaEnok
@kagombaEnok 2 месяца назад
Wewe kibajaji una ngumu gani wewe kujifanya mjanjaaa
Далее
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,4 млн
#LIVE: GODBLESS LEMA ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU
2:48:21
Просмотров 1,2 тыс.
MSIGWA AZUNGUMZA WATU WASICHOKIJUA NDANI YA CHADEMA
32:54
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25