Тёмный
No video :(

KAMANDA MULIRO: USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ KUTEKWA/ DAR IPO SALAMA/ AJIBU KUHUSU UTEKWAJI 

Crown Media
Подписаться 125 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 200   
@kelvinmwenda1013
@kelvinmwenda1013 Месяц назад
Muliro anakwepa maswali anajibu ki Tz zaidi mjanja mjanja huyu.. Sema Kikeke kajitahidi sana 💪💪 😊😊
@ASALABOY
@ASALABOY Месяц назад
Salim kikeke Anaipeleka CROWN NAMBA MOJA 1
@awemaqway1201
@awemaqway1201 Месяц назад
Tunahitaji kuiona crown tv katik dstv azam pamoja na startimes🎉🎉
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 Месяц назад
Oyaa muriloo kapaaaniikiii sema anajikaza sana
@jameschali6023
@jameschali6023 Месяц назад
Mm nimeacha kufwatilia hii intaviu maana naona kikeke anakaribia kula makofi mtaniambia imeishaje😂😂😂
@OnlyRuky
@OnlyRuky Месяц назад
Mmeona tofauti ya International Muandishi wa habri na wa Tz? 😂😂😂😂😂😂😂😂Kamanda kabanwa but hata yeye yupo vizuri
@nunuuali5316
@nunuuali5316 Месяц назад
Mko juu kazi imeanza vyema kabisa,Allah awaongoze muendelee kupasuwa anga
@user-ov3pk3wv1s
@user-ov3pk3wv1s Месяц назад
Muliro anakwepa msenge sana..
@hajimkilikiti
@hajimkilikiti Месяц назад
Kaka kazi nzuli mzee sn kiba ajafanya kosa kukusaini unabaya uyo umemkaba kwenye kooo
@stn4873
@stn4873 Месяц назад
KAMANDA WA POLISI WA KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM...KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA JESHI LA POLISI MULIRO JUMANNE MULIRO 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@Bambagatz
@Bambagatz Месяц назад
ila Kamanda Murillo amejibu Kikamanda sana maswali ya Kikeke ni ya Mtego sana😂😂😂😂
@bazilmateru915
@bazilmateru915 Месяц назад
Kwanini watu wanatekwa ? Mtu akivunja sheria inabid awe arrested siyo kutekwa . Hujajibu swali
@DenisTarimo-bf4zq
@DenisTarimo-bf4zq Месяц назад
Kikeke upo vzr sana umebobea kwenye skta ya hbr mkuu
@allymohamedclaud7626
@allymohamedclaud7626 Месяц назад
Kamanda muliro yupo sawa kabisaaaa
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Месяц назад
hongereni crown media
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
BBC Kwisha habari yao tumerudi nyumbani
@user-mb8ov2ic1i
@user-mb8ov2ic1i Месяц назад
Asante kikeke hiki ni kipindi bors. Na kanda maluum amenibu kwa mujibu wa kazi yake
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 Месяц назад
Kamanda yuko sahihi, mara nyingi ni matatizo ya kifamilia kisha wanalitupia lawama Mamlaka husika hususan Jeshi La Polisi. Kudos kamanda Muliro🎉🎉
@peacemwakyombe
@peacemwakyombe Месяц назад
I love commander Muliro He is super Inteligent to handle tricky questions from Salim hhahahah
@YusuphuMakange
@YusuphuMakange Месяц назад
Safi sana
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 Месяц назад
Mbona mlilo anajibu kienyeji sana
@SylivesterKilunga
@SylivesterKilunga Месяц назад
Hawezi kusema ukweli
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Месяц назад
Kikeke ndo mwanahar bora tanzania na africa sio wengne machawa❤
@emilioadremaneadremane2706
@emilioadremaneadremane2706 Месяц назад
Muito bom trabalho
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Месяц назад
Kazi nzuri muito bom trabalho
@Traveller_-zl9zm
@Traveller_-zl9zm Месяц назад
One of the best interview
@dicksonmwano9822
@dicksonmwano9822 Месяц назад
Interview makini sana both team to score😊
@ChidAlly
@ChidAlly Месяц назад
Safi san salim kikeke kujuwa kusimama ktk maswali na kutaka wana nchi tujiwe 😂
@SawayaNm
@SawayaNm Месяц назад
Kamanda katulia sana! Mimi hapa America nili mpa my employee a car aka potea na gari ya kazi! 2 days later nika report to Police! Wakasema same thing huyu kamanda ana sema! Baada ya 5 days, this guy bring car back 😢😮😅
@user-lt7yx2ms7h
@user-lt7yx2ms7h Месяц назад
Kwa mwenye akili timamu keshapata jibu kama kuna kitu gani kinaendelea kamanda anakwepa maswali sana Dar kila siku watu wanalia vijana wao wanatekwa nahawapati majibu yupo mtoto mdogo wa miaka Minne kasoro namdada wa kazi hadi leo hawajulikani alipo mtuhumiwa yupo polisi lakini polisi hawamuhoji mtuhumiwa watoto wako wapi halafu mnasema tupo salama
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Месяц назад
📌📌📌
@bakariyusuph-uf7nc
@bakariyusuph-uf7nc Месяц назад
Kamanda mtulivu Sana
@user-fr6th1mu7e
@user-fr6th1mu7e Месяц назад
Nakubali sana
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 Месяц назад
Shikamoo kamanda Muliro🤝
@lovisfrederick3629
@lovisfrederick3629 Месяц назад
Hamna kitu hapo ukimsikilza vizuri.
@bintibaibe1958
@bintibaibe1958 Месяц назад
Majibu ya hovyo kabisa haijawahi tokea,hata aliempiga lissu risasi mpk leo hajulikani lakini kujitia mnafanya uchunguzi usioisha wala kueleweka aaahg hapo mmetisha,,salim your the best maswali so technic and forensic lakini anaejibu sasa ni zero brain! No wonder polisi wote ni form 4 failure div 0000
@JacksonKazuba-g3h
@JacksonKazuba-g3h 15 дней назад
Hahahahahaha murilo kabanwa ile mbaya aende akamulze mama aliulzwa maswal mpka akapaniki
@kassimshaka2722
@kassimshaka2722 Месяц назад
Mtangazaji mahiri vs Mwanasiasa wa polisi...this is Tz
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Месяц назад
Safı sana Kikeke 🙏
@theglorious8290
@theglorious8290 Месяц назад
Kifupi watu hawapendi maswali
@eliasmakoye3939
@eliasmakoye3939 Месяц назад
Kamanda Murillo yuko vizuri isipokuwa watanzania tunateswa na siasa na wanasiasa
@SamEducationFoundation
@SamEducationFoundation Месяц назад
Wakwaza nipe like zangu
@fadhilindunguru7946
@fadhilindunguru7946 Месяц назад
Ili zikusaidie Nini?
@JacksonTemba
@JacksonTemba Месяц назад
Kamanda yupo makini sanaa, hana papara kwenye kujibu,
@CosmicWorld2024
@CosmicWorld2024 Месяц назад
Muliro yupo vizuri sana, nimependa namna anavyojibu. Very professional
@geofreyj.1986
@geofreyj.1986 Месяц назад
umeishia langap?
@sadiqadam7971
@sadiqadam7971 Месяц назад
😂😂😂😂 dah, ngoja nikaushe tu maana mwanasheria wangu amesafiri 😂
@johnmessi6831
@johnmessi6831 Месяц назад
Siasa nyingi sana jeshini
@petromahava865
@petromahava865 Месяц назад
kamanda anaulizwa kunasehemu ipo chini osterbay inaitwa karakana , anasema tupo tunafanya uchunguziii daaahhh😅😅. hii noma....
@Bongoonly1
@Bongoonly1 Месяц назад
Ila Kamanda 😂😂😂🙌
@mwanakitenge
@mwanakitenge Месяц назад
Polic hatumuelewi kabisa na majibu yake ila siwezi kuongea mengi kinga yangu ndodo
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 Месяц назад
utamuelewaje na wakati umevaa Dela la Bonyokwa
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад
😂😂😂 Hana mwanasheria.​@@shaurimtanda8285
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw Месяц назад
Kasiri la kikeke tulikumis hom boy endelea kuzidisha ubunifu crown ninyumbani
@Mwamba-hc1jy
@Mwamba-hc1jy Месяц назад
Kamanda katulia hadi raha!!
@patrickkimathkimath6992
@patrickkimathkimath6992 Месяц назад
uongozi ni mgumu jamaniiii😢😢😢
@Alute-son2003
@Alute-son2003 Месяц назад
Habari ya kiuchuguzi 👏👏👏
@stn4873
@stn4873 Месяц назад
Hahahahahah hapo chini kweli chumba kipo karibu na baharini kabisa, panaitwa bondeni😂😂😂😂😂
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Месяц назад
Wao tuna kikakao wcb simbaa wasafi diamond platnumz salamu kikeke kutoka bbc swahili mpaka kwa alikiba crown fm
@eplace3428
@eplace3428 Месяц назад
Kikeke🙌
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv Месяц назад
Crown atari
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Месяц назад
WANASHERIA BWANA: RES GESTAE The common law doctrine only admits evidence which, if not absolutely contemporaneous with the action or event in issue, must at least be so closely associated with it in point of time, place and circumstance, as to be part of the thing being done. “Facts which, though not in issue, are so connected with a fact in issue as to form part of the same transaction are relevant, whether they occurred at the same time and place or at different times and places”. *** Wanasheria kwa herini.
@JninjaH2R
@JninjaH2R Месяц назад
Ameulizwa vingine anajibu vingine 😂😂😂😂😂 0:44
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc Месяц назад
Upo makini kama mimi kaulizwa swali anajibu uzembe huyu mzee
@soundstv4006
@soundstv4006 Месяц назад
Ofisa kama amepanic hivi 😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Месяц назад
👍✌️👊.
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c Месяц назад
Tulio soma Cuba tumeelewa kwamba kwenye katiba imeandikwa ukiikosoa serikali lazima utekwe hii wachache wameelewa ila ipo siku
@JninjaH2R
@JninjaH2R Месяц назад
😂😂😂😂😂 upo sawa
@starjay3052
@starjay3052 Месяц назад
uyo anajua kinachoendelea angalia ata majibu yake na anavokwepa maswali
@mchumasamwel1789
@mchumasamwel1789 Месяц назад
Hot chair, just sticking to the point Salim
@AlyPidas
@AlyPidas Месяц назад
Kamanda uko sawa
@chande2k250
@chande2k250 Месяц назад
😂😂 kamanda muliro anakwepa swali issue Kuwa kijana katekwa dar es salaam na kuwekwa kitho cha police oysterbay jibu swali Hilo
@goodluckmbazi
@goodluckmbazi Месяц назад
Yan mwananchi hana haki kabisa katika nchi yake 😢😢
@Sangaadam
@Sangaadam Месяц назад
Beat around the bush -Lol !
@sundaymushi9640
@sundaymushi9640 Месяц назад
😀😀 kifua kimejaaa nishikeni😂😂😂😂
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 18 дней назад
Kikeke yupo makini sana anajua
@benikillahjoseph3505
@benikillahjoseph3505 Месяц назад
Mimekoment nikafuta😂😂
@user-fn2lo1mx9i
@user-fn2lo1mx9i Месяц назад
Mtangazaji mahiri vs Mwanasiasa wa jeshi.
@seneu.2128
@seneu.2128 Месяц назад
Maswali ya msingi lakini majibu ya ujanja ujanja tuu.
@SamweliHozza
@SamweliHozza Месяц назад
Uyu Afande Anajibu kiakili Sana anakwepa swali Anazunguka
@mdbosco1640
@mdbosco1640 Месяц назад
❤❤
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 Месяц назад
Tanzania ipo salama kabisa 😢mama acha apinge kazi nakazi iendeleee 😅
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Месяц назад
kamanda anakwepa kiakili sana
@deusdeditsimba4452
@deusdeditsimba4452 Месяц назад
Body Language yake haendani na taarifa na majibu anayotoa
@nchanchoommy02
@nchanchoommy02 Месяц назад
Mmh napata mashaka IQ ya huyu polisi
@user-xl6jc2qu6l
@user-xl6jc2qu6l Месяц назад
Kwel ayko sawa
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 Месяц назад
Are you sure...!?
@Andrewbendera
@Andrewbendera Месяц назад
Ila Murilo..😢
@spendjulius-qz9mt
@spendjulius-qz9mt Месяц назад
Kwanini kwa mfano ni nyingi saaaana.....😮
@SawayaNm
@SawayaNm Месяц назад
Shida kubwa ya wananchi wana ona Police ni kama Mungu! Communication between police and citizens is very rough all over the world! At the same time police abuses their power no wonder wananchi don’t trust Police institutions! 😢😮
@fadhilishabani4368
@fadhilishabani4368 8 дней назад
huku mtangaazaji aktaja SACP Title inaandikwa ACP
@hamismanga
@hamismanga Месяц назад
Mwishoni nimemuelewa kamanda
@dr.barakankondo1919
@dr.barakankondo1919 Месяц назад
Hapa tu ukisikiliza kwa kutafakari unaona kabisa hakuna haja ya kusubiri uchunguzi katika suala hili
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 Месяц назад
😂😂kimeumana,
@adammayogho300
@adammayogho300 Месяц назад
Mifano kibaoooo
@Chekibobu
@Chekibobu Месяц назад
Anatunga 😂😂! Hii Nchi tunalindwa na Mungu tu! Ila hapa Jeshi hatuna
@samniza1763
@samniza1763 Месяц назад
Police is the first place to go hata kama mtu amekutwa amefariki, sasa watu waende wapi? Kama hamuwezi ongelea matukio ya kupotea. Haijalishi kazi ndio hiyo, so you need to do it until that person is found. If the police can't be the first to come out then the country is not safe.
@shamslukumay2627
@shamslukumay2627 Месяц назад
Karakana😂😂😂😂
@soundstv4006
@soundstv4006 Месяц назад
Ofisa kama amepanic hivi
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад
If you're not curious it's true that you can not understand what is meant. Have a beautiful flower Mr. Kikeke.
@dinosmack
@dinosmack Месяц назад
Africa
@Chekibobu
@Chekibobu Месяц назад
Hili Jeshi ni Bovu kweli kweli
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd Месяц назад
Ungekuwa ushabakwa hauna marinda kwa ajili yao tupo salama
@geofreybowden5477
@geofreybowden5477 Месяц назад
Izo on za magari vp tna
@EmmanuelNdahya-ud5nj
@EmmanuelNdahya-ud5nj Месяц назад
Apo Sina comment 😂
@yussbreezy918
@yussbreezy918 Месяц назад
Huyu Afande mbona ana story za kitoto san😂 ni msomi kweli huyu?
@kingsanya6860
@kingsanya6860 Месяц назад
😂😂😂😂 police 🙌🙌
@nikky4757
@nikky4757 Месяц назад
Aina ya majibu yanatia mashaka kwa nini mtu usitoe jibu lililonyoona wakati mtu alitokea dar means kuna kukwepa maneno yasije yakapishana
@seleshaban48
@seleshaban48 Месяц назад
Ila kikeke.. We ni mchokozi
@rashidyally4336
@rashidyally4336 Месяц назад
Saws
@fahdizahor8792
@fahdizahor8792 Месяц назад
Hizo honi vp salim
@mohamedallyrajabu8301
@mohamedallyrajabu8301 Месяц назад
Polisi wetu hawana ushirikiano na jamii hata umjue mhalifu wapi yupo hawa wezi kuku saidia niwazembe wa hali ya juu
@MaghobaGeorge-lq4yg
@MaghobaGeorge-lq4yg Месяц назад
Elewa neno tunalipokea na tunalifanyia uchunguzi mbona mbishi kikeke?
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 6 млн
Salama Na Masoud Kipanya
52:05
Просмотров 18 тыс.
Bishop Jacob Wamwea guborwo mbeca ciake ciothe ni mikora
1:08:46