Tunashauri kama watumishi wa Mungu serikali iache ubabe iache vitisho kwa raia Machozi ya wananchi yatawagarimu pale ambapo Mungu mbabe wa Dunia atakapo shughulika dhidi ya waonevu
Yani mimi kamaningekua jaji ningemleta mbowe mwaka maratatu mahakamani baadaye ningemfunga miaka 56.jela Kashindwa kulipua vituo VYA mafuta Sasa Wanawaua Viongozi wa Serikali Miaka mia jela sio mnaleta mahakamani kila wiki.! Angekua marekani angekoma funga huyo sio mnamchekea
Usimtajetaje raisi wetu samia hajakwambia ukiuke sheria. Mnakunya wenyewe kisha unamwambia raisi zoa. Huyo raisi kwanza sio hazi yenu. Ni amili jeshi mkuu. Mkiiba kuku mnamshilikisha samia .kuweni na adabu huyo sio daraja lenu kama unavyohisi
Tatizo la akina mama wa Chadema ni kuwa Saa Nyingine mbalazimisha Na Kumwambia Rais hamtojali kitu, na Saa nyingine mnamwomba Awasaidie. Sasa yeye atashika lipi?Shikeni upande mmoja, kama mnaomba , omba; na Kama inalazimisha basi lazimisheni throughout, msitangetange Kama kipepeo kwenye maua mengi. Mnamchanganya na Anashindwa kuwaamini. Omba Tulia, subiri jibu.
Jadi yetu wa Tz Ni utani iwe kwa makabila, dini, timu za mpira, n.k. Inashangaza serikali mmetuangusha katika vyama.... Hivi kwa nini msitumie jadi yetu ya utani... Kama ilivyo kuwa wakati wa kuanzisha vyama hivi Nyerere akiwepo.. uchu na uroho wa madaraka ndicho kinasumbua...site tu mavumbi na mavumbini tutarudi. Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
🤣🤣mama huna familia au huna, kazi nyumbani kwako ? Eti ana familia, kwani inahusuu muone hicho ni kiherehere chake, pamoja na ww ivi kweli wewe unajitambua kwa mnaweza, shindana na serikali... ?
Elimu haijamkomboa ata kdg ndugu yangu unamaisha gan ww unaetetea uasi........ask yourself......,........... binadam wote n sawa hakuna aliyezaid ya wenzake ndo maan wote runakufa even hao wanao accuse wenzao ipo siku yao hakuna maref yasiyo na ncha
Musa Musa unaongea nn akiri wamekuzid ad wanawake kweli? Wanawake wanawaza future Lkn jitu Zima upo Tu kama tahira hajui kusoma ata picha hauoni??? Mambo yanayoendelea hauoni kwambia ipo siku yatatuletea shida sisi sote???
@@prosperjohn5849 mwendo wa viboko tuuu ndio tushamaliza ccm pumbavu Sana nyie mnaacha kwenda kutafutia watoto zenu ugari mnaanza kukusanyana mahakamani mnachukulia hapo club nini