Wakati wote kile kimjaacho mtu moyoni ndicho kimtokacho. Kinachofanyika hapa ni kulichafua Kanisa la Kristo aliloligharamia kwa mauti ya msalaba. Hatushangai mambo kama haya kutokea nyakati hizi. Mtu akifarakana na Roho Mtakatifu ni hatari sana! Mteule uwe macho!
Tangie ile Habari ya ugaidi na uislam ulifafanua ipasavyo nakukubari pia uko vzuri naendelea kukufuatilia hongera sana Mr isaya natamani cku moja uje kuwa ustadh utapendeza sana ubarikiwe sana
Hongera kwakufikisha ukwel nahapo wqnaopenda uznifu watakupinga na wanaake wenyewivu watakupinga ila upo sahihi mola.akuongoze ulejee ktk uislam ndio ktk haki
MADA HII NI RAHISI SANA,MFANO DAUDI ALIKUWA NA ZAIDI YA MKE MMOJA,LAKINI MUNGU HAKUMKEMEA KWA KUOA WAKE WENGI,ALIMKEMEA KWA KUPOKONYA MKE WA URIA ASKARI WAKE..HII INA MAANA MUNGU HANA SHIDA NA WAKE WENGI
Mwalimu ubarikiwe sana. Unaelimisha jamii Kwa ukweli. Naitwa Bp Yusuf Lugata wa Geita huduma ya New Deliverance Church International. Naomba kujua wewe unaabudu Kanisa Gani. Naomba utusaidie zaidi kuhusu maisha baada ya kifo. Eschatology... Naomba sana
Kumuuliza ana abudu Kanisa gani ni kukosa akili.Lengo lako ni nini.Huu ni utumwa wa dini badala ya kuwa huru kiroho.Dini au Kanisa gani mtu anaabudu ulikuwa mpango madhubuti wa walioleta vitabu ili kuwatia umaskini Waafrika.
@@leonardchoma3765 na ndoa hawawezi kuzifunga, lakini kuoa mke zaidi ya mmoja utapata tabu kuwatunza na watoto utashindwa kama kupato chako kidogo labda ndio maana walitwambia hivyo ili tusije tukashindwa kutunza familia
Toeni ulofaa apo na uzinifu umewajaa mnajifanya mmeowa mke umoja baadaye akiumwa ao akifariki unaenda kuzini eti yesu amesema tuowe mke umoja unakubali unajificha unamzini mwanamkewa inje .siuowe tu acha uxinifu.iyo nisababu yakwanza mimi nakupeni.ni nyingietu sabab zakuowA wake zaid ya umoja.sbbu matatizo kuwanaume ni meeengi ndiyo mana mungu aliwapangiyeni kuowa wake wengikwanini mko wapingaji?Tena mungu hakupanga kwa sisi waislam tu nisisi wote wajawake sabab sote ni wanadam.mnaswara muislam sote.
Kaka MUNGU akubariki Sana, ila nakupa pole maana elimu ya mke mmoja imetawala Sana mwanadamu na mbaya zaidi elimu zote zinatoka Kwa wazungu. Waafrika tumeacha VYA kwetu tunafuata VYA wageni
Wamasai wakikiristo wanaoa zaidi yamke mmoja nakupongeza sana mwalimu kuendelea kuwaonyesha ukweli huu ingawa wengi hawakuelewi mana wametawaliwa nashetani
Hapa watu waelewe, anayeolewa ni mwanamke tu. Na ndio maana ni rahisi kwa mwanaume kuwa mwili mmoja na wake zaidi ya mmoja. Na ndiomaana hesabu za Mungu haziongopi zenyewe zinabaki na ukweli uleule kwamba mwanaume atahitajika kuoa mke zaidi ya mmoja lakini si kwa kulazimishwa ni kwa hiari.
Sema bibilia inasemaje ACHA ujinga na uchawa achane kutumia vibaya neno LA mungu Kwa sababu ya kutetea manabii wa uonge kumbuka ikosiku inakuja hayo unayosem utajibu mbele za mungu ACHA tafri za hovyo ACHA uchawa lusekelo ni mlevi anafundisha uongo nawe nisehemu ya mlevi muongo mnanganyifu mwalimu wa uongo na mungu anakuona
Biblia ndiyo nini?Hiyo Biblia haikushuka toka mbinguni.Iliandikwa na wanadamu na kufanyiwa marekebisho mara1647 kwa maslahi ya Wazungu ili tuwe mafukara.Hadi hii leo Mashoga wanaendelea kukifanyia marekebisho Kitabu hicho.Kama ukuu wa Mungu unadhihirika kwenye Kitabu kiitwacho Biblia au Qur'an basi huyo ni Mungu aliyefeli.Kwenye vitabu huko ndiko kulikojaa utapeli,mauaji,wizi,ubaguzi nk.
Hata kama ungeoa wanawake 100 uta zaa wana wake wengi kuliko watoto wa kiume kwa hoyo haita saidia kama ni tamaa za kimwili owa tu lakini hutaweza kuwamaliza wana wake.
wakristo hawaruhusiwi kuoa mke zaidi ya mmoja, ili pate nafasi hii adimu kwa madhehebu mengine, ili waoe wake wawili, watatu, wanne, lazima wasilim wawe waislam ndio wapate idhini ya m/mungu, inje ya hapo indeleeni kuzini mtakuja kujuta siku inakuja mtakusanywa km udongo wa mfinyazi na kupondwa pondwa na kutupwa motoni kwa upofu wa mioyo yenu kukataa kuiona kweli ya m/ mungu
Huyu dishi limeyumba na hajielewi anaeleza suala la ndoa kwa mitazamo ya kidunia Mara aikosoe Biblia kuwa ilipotoshwa na kujiona yeye Yuko vizuri na historia zake za kishetani. Tukisema hivi anasema tunamtukana. Ni Mpumbavu sijawahi kuona Ila yeye anavyojiona ni bonge la Mwalimu. Yeye kama anadai wakristo hatuongezeki na akijiona yeye anafundisha sahihi, ana mpango wa kuoa wake wangapi kama mwl wa Neno la Mungu?
Imeandikwa kwa sababu ya ugumu wa mioyo usifikili walipooa wanawake wengi Mungu alifulahi.hapana yesu alisema ni.ugumu wa mioyo na inaonyesha kuna vitu mtumishi wa Mungu akivifanya Mungu anachukizwa ila anakuwa hana jinsi wakati mwingine anasamehe wakati mwingine mapatilizo hayaishi.usilahisishe.bensoni.yeye aliyeumba aliumba mke na mume ukiwa.bize.na Mumgu sana hata mume mmoja mke mmoja bado ni mzigo watu wanalahisisha kuwa na Mungu mfano.hata.mwiislamiki.anae.swali swala.tano.Mungu anamfunulia jinsi.dunia ilivo.na.siri.nzito.naamini.hawezi oa mke zaidi ya mmoja maana majukumu ya Mungu majukumu ya mke majukumu.yake majukumu ya watu majukumu ya watoto wake awafundishe kumcha.Mungu wanadamu tuache masiara
Mwalimu wewe ni teacher mzuli sana Kwafundisho hili haupo sawa Biblia. Marko 10:6 [6]Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke. SIYO MUME NA WAKE
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Tena Yesu anawambia ni kwa sababu ya tamaa.naomba mtoe maandiko maana ndiyo msingi.alafu kama mtu anahitaji kuoa wake wawili aoe kwani mmezuiliwa na naniii?
Ww sio mtumishi WA Mungu ww umetumwa na ibilisi maan unaipinga biblia! Unapotosha neno la Mungu! Paulo alisema ktk wagalatia 1:8 kuwa akija Malaika kutoka mbingun na kufundisha tofaut na Sisi na alaaniwe! Sasa ww unafundish kinyume na biblia! Mungu aksaidie Sana!
!!! Kijana Umekufa kiroho,na shida umeokokea kwa hawa wanao jiita mirume na nabii asilimia kubwa hawa Neno la Mungu hawana ,wao wameshika vifungu vya kujilinda na mafanikio ,sio kweli ya Mungu ya kumfanya mtu aokoke !!! Mimi namshukuru Mungu nilisha wakimbia ,nimechunguza nikajuwa kweli hawa wauza mafuta ,na maji hawa hakuna kitu asilimia kubwa mafundisho yao niyakuzimu,yani yakishetan kabisa. Jaman makanisa yakweli yanayo hubiri kweli ni TAG , EAGT FPCT Na mengine Ambayo hawauzi vitu hawa ndo wanahubiri Neno kifadhaha lla sio hawa wauza vitu hawa
Wakristo tusome biblia mbona inaonyesha aliyeumba aliumba mke na mume tunakwama wapi ukiwa siliasi.na.Mungu kwanza ndoa ni kitu kidogo sana msifikili watu wate.wanapenda ndoa ndoa zenu.hizo kila mtu alivojaliwa
Maoni ya wengi wanakupinga mwalimu Benson, wewe unafundisha ila haujashauri watu waoe mke zaidi mmoja Ila unatoa elimu, binafsi nimeelewa nimeongea kitu Mimi nimesoma theology ngazi ya bachelor
Una tuletea mambo ya kihuni kuoa wanawake wengi iyo hapana Tena uyo mzee wa upako ndo hamna kitu upako Gani at wachukua watu wasio mjua yesu au mungu na tume wajua mambo yenu ya kupotosha jamii
Sasa imekua ni mpango wa shetani kuwapoteza ata wateule wa Mungu. Kuweni na Akili maana ata Yesu anasema uwezi tumikia mabwana wawili lazima utampenda huyu na kumchukia huyu kwahiyo ata ndoa hipo hivyo pia.Suhala la kumpangia Mungu uko ni ukosefu wa Akili za kiroho mnafikiria kibinadam kuliko ki Mungu. Fikirieni kua nini Maana ya Mungu? Ni uweza ambao umeshinda uweza wote wa kila kitu Mbinguni na Duniani swala la kusema mkizaliana kidogo sijui mtakuwa wachache.Mmmh hapana Yesu Kristo alikuja kutufunulia habari za ufalme wa Mungu tu.kwahiyo yaacheni magugu na ngano safi viote pamoja ili mwisho kila mtu abebe mzigo wake.
Acheni mawazo ya kizungu hayo.Sisi Waafrika tulimjua Mungu kwanza kabla ya kuja hizi dini za kigeni ambazo zinawavuruga Waafrika mpaka wanakuwa wehu.Hivi wewe unafurahi Sana wanawake waendelee kufanya umalaya ili Hali iliwezekana kuwa mke halali wa Mtu mwenye mke mmoja?Kama kuwa na mke mmoja ni dhambi Mbona hatuwaoni mkitumia nguvu zenu zote ikibidi hata kufa kuupinga ushoga unaoenezwa na hao hao waliokuletea hiyo Biblia?
Ningependa kukuuliza mwalimu Isaya, je, wewe umeokoka? Na kama umeokoka, umeokoka lini na nini tofauti yako, kabla ya kuokoka na baana ya kuokona? Na pia, unauzungumziaje wokovu? Je, unamwamini Roho Mtakatifu? Ni hayo tu, kwa sababu mimi niliyeokoka na kubadilishwa na Yesu, hata upige kelele kiasi gani, huwa siambui lolote kabisa. Ninaamini elimu hiyo anaweza kuiamini vizuri sana, mtu ambaye hajaokoka kwa sababu hana roho wa Mungu!
Unaweza kuwa na mke mmoja lakini mtaani unahawara je hapo anayetenda dhambi ni yupi kati ya mwenye wake wawili au mwenye mke mmoja na anahawara nje naomba jibu
Bado unahitajika kusoma inje ya box kwa sababu unawaza kulingana na kile unachokijua tafuta kile usicho kijua ili uweze kusaidika. Unachotakiwa kukijua ni kwamba Ukristo haujaanzia kwenye Roma Empire,kunatofauti kubwa kati ya ukristo na wokovu na unatakiwa kujua kuwa Mungu wetu sio wa Wingi ni Mungu wa Utakatifu.
Biblia. Mathayo 19:5 [5]akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe SIYO WAKEZAKE na hao wawili watakuwa mwili mmoja NIWAWI mwalimu apo haupo sahihi
Ukweli ni kwamba wanawake ni wengi kuliko wanaume na hii ni nature siyo mpango wa binadamu. Lakini mimi naamini Mungu si mjinga kuruhusu wanawake kuwa wengi. Kumbuka tunaambiwa kila binadamu aliyezaliwa ni mpango wa Mungu. Kwa lugha nyingine Mungu anajua kabisa kuwa wanawake watakuwa wengi lkn anauhakika kuwa mwanaume mmoja anatosha wanawake hata 500!! Na anawamudu vzr sana. Hebu ujifunze hata kwa wanyama, dume mmoja wa ng'ombe anatosha boma nzima, yaani hata ng'ombe 100 anaweza kıwazalisha vzr tu. Kwahiyo mimi naamini kuwa na wake wengi wala si dhambi hata kidogo.
Sipendi kutaja Jina Langu kwasababu Za kiusalama. Swali Langu Ni Hili Bwana Benson. Nini kifanyike Ili 1.kufufua Huo Ukweli Uliofichwa na Wazungu kwa lengo La kuitawala Dunia. 2. Nini Kifanyike kwa Kanisa Ili Liweze kuulewa Huu Ukweli na kuufundisha Ili Waumini Wa Kikristo Waongezeke?
Wewe ni mwalimu wa neno la shetani Kama makalio ya wanawake yanakuchanganya kaoe tu wewe. ,halafu inaonekana unamgogoro na mke wako unamtafta namna ya kumuacha
Achana na habari ya dhana katika neno la Mungu huo ushahidi wa utetezi wako ni mwepesi mnoo! Rejea mpango wa MUNGU pale Edeni aliumba mtu mume na mke..full stop! Habari za kudanga unawezaje kutumia kuwa kigezo cha utetea hilo? Naye mwanaume atawaacha wazazi wke na kuambatana na mkewe,hawatakuwa wawili tena bali mwili mmoja..wewe Isaya umejikita kwenye masimulizi ya mifumo ya maisha huna ushahidi wa kimaandiko..mzee wa kupakwa anasapoti vitu vingi vya kipuuzi mfano anahoji hadi Uungu wa Yesu sasa nyie nanyi ni wa kubishana nanyi au tuendelee kuwaombea?
Isaya hapa huwa mnachemka Daud kusema mpakwa mafuta aliangalia mafuta yalitoka kwa nani ma ndio maana leo yohana anasema zijaribuni roho sio kila roho inatokana na MUNGU
Ndugu ZETU wanatoa uumbaji WA kwanza Adam na hawa.kwani muhidi si iliumbwa punje MOJA mbona jkiipanda inatoka ZAIDI ya MOJA??? MUSA alisema MTU akiwa na wake wawili mmoja anampenda na MWINGINE anampenda wrote wakamzania WANA?? Taurati upo SAWA mwalkmu isaya
Mm Biblia sijawahi kuielewa kbsa. Mtume Paulo ni mtume wa mungu kweli , huyu mrumi na crusader ktk jeshi la kirumi anakuwaje mtume , huyu Mr P ndio kaharibu image ya Yesu . mara Yesu mungu , mara mtume ,mara mtoto wa mungu ......
Mimi ni muislam lakini naona hao wakristo wenzio" wanao kupinga ni wenda wazimu kweli, maana hata mtoto aliye tumboni mwamamayake anawezaelewa unacho kisema.
Mi naona wazungu wanatuchezea tu akili zetu. Wanasisitiza ndoa ya mke mmoja halafu baadaye wanaruhusu ndoa ya mikata na baadaye ushoga!! Na wanatishia kuwa asiyekubali mpango huu anawekewa vikwazo kweli 😥. Mimi sasa hivi nitakuwa najifunza kwa wanyama wala si binadamu kwasababu wanyama hawajadanganywa. Wanaukweli wa asili.
Hivi kwani ni wazungu walioamuru muoe mke zaidi ya mmoja? Kwa hiyo ni dhambi kuoa mke mmoja na Mungu atawatupa jehanamu watakaofanya hivyo? Kama ndivyo Mwalimu anayefundisha Haya ana wake wangapi mpaka Sasa anapotufundisha? Kama anaye mmoja ni wapi Mungu aliagiza tuoe wake wengi?
Kuna kademu kanamchanganya sana, anatafuta njia ya kukaoa anashindwa anatafuta kuungwa mkono, na kwahakika hutapata kamwe, baki na ualimu wako wa kishetani,
Huyu jamaa ni mpotoshaji wa hali ya juu sana mtanielewa siku si nyingi ss ni wakosefu lakini tusikubali mafundisho ya mashetani hoja za kuoa mke mmoja au wake wengi si hoja ishu ni uwezo wa binadam kuacha dhambi narudia tena huyu jamaa anajiita mwalm wa neno la Mungu amepataje cheo hiki? Mtu ambaye yuko kila mahali anasema anaongea na qatu wanao penda kujifunza si wanaopinga mm ntakupinga masaa 24 zungumza watu kuacha dhambi kuoa kuoa hoja za ajabu sana unatuletea nadharia mara hamas, ukraine, urus mara America sasa ww fuata dini inayorusu wake wengi mafundisho yako yatasaidia nn mana tayar ukrsto ushasema mke mmoja tupe testimony kama ww tayar ushaoa wake wengi na chips za mbeya unazo kula kama utawaweza bado naema ww n mtafta hela
Kumbukumbu la Torati 21:15-17 [15]Akiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; [16]ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu; [17]lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.
@@loner_wolfHa ha ha ha ha ha ha bado kidogo tu mkuu jamaa zetu wamechemsha sana mara kuoa ni mke mmoja sasa hivi tena Mwanaume na Mwanaume Ruksa, Mwanamke na Mwanamke ruksa sasa lipi jema jambo ambalo andiko linaruhusu na tunalisoma kwa macho yetu ama jambo ambalo andiko linakataza??
@@elishadodi8787 hahahs watu kwa kupenda kuhukumu!! Kwa hiyo Mungu kupenda sana uzao wa wake wanne wa mwanaume mmoja alikosea na Kuwaita kabila kumi na mbili za Izrael?
Kwani wewe bensoni hivi huwezi kuzaa watoto wengi kwa mke mmoja? Mbona china sheria yao kuoa ni mke mmoja tu na wana watu bilion zaidi ya moja sasa. Wewe vipi
Naona kama mtu namwita shetani na mwenda wazimu na mimi najiona mwenye haki,basi inanibidi niangalie sn maneno yangu maana yaweza kunionyesha mi ni mtu wa jinsi gani kabla ya kumkosoa yule anayeongea,nadhani kitu cha muhimu ni kuleta hoja yenye ushahidi wa kimaandiko kuwa hiki kinachosemwa hapa ni cha kweli au cha uongo,sio wote tunaosikiliza tuna mawazo mgando ila tuna mawazo mseto yanayotafuta kweli ni ipi kama watu wa Beroya
NENO LA MUNGU SIO LOGIC HATA SIKU MOJA, NA MUNGU HAFUNDISHWI KWA HEKIMA NA PHILOSOPHY HATA SIKU MOJA, Hii mitandao inatumiwa sana kama jukwaa la shetani kuchanganya watu, Kama wewe una MTAKA MUNGU, Rudi kwenye MSINGI wa BIBLIA Soma Neno mwenyewe ukimwomba MUNGU, ulitegemea kusikiliza WATU wengine katika ZAMA HIZI ZA UOVU HUWEZI KUMJUA MUNGU
Mwalimu huku arabuni kuna mwarabu wa kirsto lakini ni wachache sanaa kwakuto kuzaliana alafu unakuta mchungaji alie African anasema waislamu wana waua wakirsto wezetu
Wote wanaomwamini mwalimu Isaya, na Isaya mwenyewe hawana Roho Mtakatifu. Kama mtu umeokoka na unaye roho wa Mungu ndani yako, huwezi kukubaliana na uchafu huu. Ni kwamba, hatuongezi watu katika imani au katika dini zetu, kwa kuzaliana katika Ukristo, bali tunaongezeka katika Wakristo kwa kuokoka. Watu wakishaokoka, ndiyo wanakuwa Wakristo. Biblia haina mapungufu yoyote, labda katika utafsiri; ndiyo maana tunajaribu kuangalia kwenye tafsiri nyingine, lakini asili ya biblia haina tofauti.