Тёмный

WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA...
Baada ya Rais Magufuli kuhutubia na Kulivunja Bunge leo Juni 16, Wananchi wametoa Maoni yao juu ya ya hotuba hiyo....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 292   
@katherinesubira2724
@katherinesubira2724 4 года назад
Raisi magufuli haitaji kampeni.kura yangu nilishampatia kitambo sana .wanaoniunga mkono likes hapa👇tujuane
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 4 года назад
Wa Tanzania 🇹🇿 wame anza kujitambua sasa asante sana Rais John Pombe Magufuli Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu endelea kuongoza Nchi yetu ha miaka 💯
@mariamali1887
@mariamali1887 4 года назад
Hongera magufuli. Mimi naishi ulaya. Juzi tulikua tunakikao kazini. Wazungu wakawa wanamuongelea magufuli. Wakawa wanasema.waafrika kama wanaakili wamshikilie huyo rais kwa mikono 2 ataikomboa afrika vile anasema itakua kama ulaya ni kweli .wazungu wenyewe wanamfagilia.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Safi tunaelewa Sana'a
@holyangel4896
@holyangel4896 4 года назад
Usidanganywe kabisa. Hakuna mzungu anaependa maendeleo ya Afrika. Ndio maana akitikea kiongozi mwenye upeo wa kuona mbali atapigwa vita na kutafutiwa visa. Angalia kilichotokea Libya, Egypt n.k
@martinhinda5233
@martinhinda5233 4 года назад
Mkuu uko ulaya nchi gani??
@holyangel4896
@holyangel4896 4 года назад
Watakwambia hivyo hapo usoni. Kwani Afrika ikiendelea wao wanafaidika nini?. Mbinu zao zinafuniliwa taratibu tuu, tuendelee kusali kwa Mungu wetu
@belindamadata7862
@belindamadata7862 4 года назад
Mungu ni mwaminifu wakati wote,Mungu ibariki Tanzania,Mungu tupe afya njema tushuhudie maono makubwa
@christopherkashumba350
@christopherkashumba350 4 года назад
MAGUFULI NI RAIS WA KIKWELIKWELI UMPENDE UMCHUKIE HISTORIA ITAJIANDIKA YENYEWE.
@reginapaschali1148
@reginapaschali1148 4 года назад
Huyu ni baba yetu nampenda Sana mungu akupe maisha marefu miaka ,1000
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
Daaah! It amazing. Kwanza watu wanavyo chambua mambo ya rais magufuli. Mpaka raha yaani. Jamaa kasema. ' anajilaumu kwanini hakumpa kura'🤣
@evodiusmbilla
@evodiusmbilla 4 года назад
The Best President ever in this world, full of purity in His heart
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 года назад
The best president?? ame create ajira ngapi kwa wananchi walio wasomi na wasio wasomi!! na je walioajiriwa ktk mashirika binafsi wametetewa je coz tunajua wanafanya kazi ktk viwanda hali zao ni duni sn na wala hawana mikataba wengi wao, ss unaposema ni raisi bora hebu jaribu kujustify msiendeshwe na media kumpamba mtu ilihali watu wana hali mbaya but wanahofia kuongea tatizo kubwa pia la watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kuelewa mambo huwezi kusema ni raisi bora wakati watu still wana hali mbaya
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 года назад
Naamini wapinzani wanakufa na tai shingoni, ila nawashauri kuwa “kheri lawama kuliko fedheha”;watamke tu kuwa MAGUFULI BABA LAO🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@deussamson293
@deussamson293 4 года назад
Mwaka huuu kuna watu wataaibika baada ya kura kupigwa
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Awa wanangoja akitoka madarakani utaskia alikua the best we subiri tuu
@remigiusmwageni6274
@remigiusmwageni6274 4 года назад
Mimi nishatamka kuwa magufuli baba lao next time kura yangu haipotei Tena
@djmeza411a58
@djmeza411a58 4 года назад
🤣🤣🤣🤣👌wambie watarudi tu aibu wanayo mbowe bado anapata ya hangover
@dianaanyova4026
@dianaanyova4026 4 года назад
Magufuli,hongera,Rais wa Wanyonge, Heri ungekuwa huku kwetu Kenya..Nakupenda bure.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Najua wakenya mnamuitaji Sana'a pamoja muombeni mungu atawapaa
@dianaanyova4026
@dianaanyova4026 4 года назад
Heri nihamie tu Tanzania
@abuufauzan8620
@abuufauzan8620 4 года назад
@@dianaanyova4026 hbr
@dullybattestz826
@dullybattestz826 4 года назад
Actually, nawapenda sana wakenya kama wewe. Tupendane tu coz hakuna anayeishi peponi kati yetu
@saidjuma9389
@saidjuma9389 4 года назад
Ni bora magufuli aongoze tanzania hadi mwisho wa dunia mana huyu mtu ni talent sana congratulation baba lao JPM
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 года назад
Acheni mungu aitwe mungu.kuna nguvu ndani yk magufuli,mie kula yangu haikupotea.Hakiyamungu nilihisi tu aataiweka Ichi yetu vizuri .naleo tunashuhidia .kwakweli tumshukuru mungu,nakumuombea dua njema.Nakupenda mno rais wangu kipenzi.
@raibethnicholaus1493
@raibethnicholaus1493 4 года назад
Jpm 100%
@presseg.6362
@presseg.6362 4 года назад
Tanzania wenye akili ni wengi Sana, safi sana JPM juuuuuuuu
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 года назад
Kabsaaaa kuna nguvu ndan yake viva JPM vivaaaa
@joshuamatagane8105
@joshuamatagane8105 4 года назад
Hongereni sana Watanzania kwa kuwa na Rais mcha Mungu, mshukuruni Mungu.
@philipoinzag2379
@philipoinzag2379 4 года назад
Mie sio CCM lakini kwa jpm aedelee kuongoza hata miaka kumi 10 Tena sifikirii kama tutapata Rais kama makufuli Tena
@angelamarlow510
@angelamarlow510 4 года назад
Ww ni mzalendo kwanza sio ccm lkn umeongea vyema mpendwa
@jamesmasome359
@jamesmasome359 4 года назад
Nimewasikiliza watu mnaojitambuwa Asante sana.
@florashauri9228
@florashauri9228 4 года назад
Hakika tuna takiwa tumshukuru sanaaa Mungu kwa kutupa Rais mwenye weledi na upeo wa hali ya juu.Naomba tumpe miaka mingine mitano atufanyie mambo makubwa zaidi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti,Mungu aendelee kumlinda na kumpigania
@shikaneno8861
@shikaneno8861 4 года назад
Sio endapo tutamchagua achaguliwe asichaguliwe lazima aongoze hakna mjadala atakaye mkwamisha atakwamishwa
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 года назад
Hakuna mwingine ni magufuli
@henryndosi1114
@henryndosi1114 4 года назад
Wapinzani uchwara kina zitto na genge lake wapate salam
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 4 года назад
Huyu jamaa akae tu km Mugabe
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 года назад
Naona aibu, najisikia vibaya kwanini sikumpa kura yangu enzi za mabadiliko. Inamaana sikuyaona mabadiliko ya nchi yangu yapo wapi??? 😟😟😟😞. Rais Magufuli nisamehe sana. Mwaka huu sitofanya makosa lazima upite kwa kishindo. Unatujali sana Raia wako. Unatupenda mno na sisi tunakupenda Dad.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 4 года назад
Watu wa arusha mmenifurahisha sana yaani rais wetu Mungu akubariki sana watu wa ar umetufurahisha sana kura za nďio baba huna mpinzani hao wengine wanachechemea tu
@hanifahassan9138
@hanifahassan9138 4 года назад
Kma uko pamoja na mawazo yangu gonga like twende pmja
@hanifahassan9138
@hanifahassan9138 4 года назад
Ila hongera Sana KWA kuwa Rais makini kura yangu nitakupa si lazima unilipe kitu Amani ya nchi yatosha kuwa malipo tuhangaikie kazi tz tumekosa ajira baba
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
Naomba watu tusiishie tu kumsifia JPM. Naomba twende tukampigie kura hiyo October.
@johnkairithia9713
@johnkairithia9713 4 года назад
kweli huyu ni raid was watu kabisa kabisa nikipata fursa ningekata nauli nine nimupigie kura ,nirundi kwetu Kenya tena .hongera raisi mafukuli.!!!
@hamyou2579
@hamyou2579 4 года назад
Wadugu zangu wa tazania mm siko mtazania ila kwa raisi JPM na mm na mkubali
@jacobgasper8623
@jacobgasper8623 4 года назад
Anafanya kaz nzur kaka
@saimonjulius1319
@saimonjulius1319 4 года назад
Una rais anautubia masaa mawili bila kusoma yote yapo kichwani hadi namba za samaki waliopo baharini na ziwani.
@eliajoseph6865
@eliajoseph6865 4 года назад
Sijaona raise wa kumfananisha na JPMdunia mzima MNGU akubaliki
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 года назад
Kiukweli kwenye Dini kwenye serkali kwa ninaowajua mm mungu hajawahi kutujalia anayefana a na magufuli yani kila jambo alilolifanya naiona ni kubwa mno sioni Hata dogo nikitafakari amepata wapi hakili ya kufanya pesa za sherehe ya uhuru zitumike kujenga taifa badili ya Kula watu wachache Nashangaa nikitafakari anaweza je kupambana na wazungu wanaomzidi kila kitu pesa mabunduki kwaajili ya chawote wa tz na shangaa eee yani anatupenda anatupenda mno ajabu
@mohamedissa6017
@mohamedissa6017 4 года назад
Ivo ni raisi gani kama magu?.magufuli uko juu. Mzee huna haja ya kumaliza pesa kwenye kampeni. Umepita subili tu kaapishwa.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
No one like JPM in the word safii akunaga
@venstonvedasto
@venstonvedasto 4 года назад
Huyu ni Elia Joseph nnayemjua au
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 4 года назад
nngemwomba mheshimiwa Rais asizunguke kuomba kura sisi Watanzania Mzee ni Msomi kuliko wote Duniani maana anatuaminisha kwa Mungu
@nicethamanonga5855
@nicethamanonga5855 4 года назад
Chadema kwisha habari yake .mpaka watu wa chuga wamemkubali jpm mambo ni motoooooo
@abdillahiyusuf9557
@abdillahiyusuf9557 4 года назад
Mm ni Abdillahi Salim.kutoka Mombasa Kenya. Niko naswali. Jee naweza kumpigia kura raisi MAGUFULI?
@dullybattestz826
@dullybattestz826 4 года назад
Bro tunashukuru kwa upendo wako. Bahati mbaya haitawezekana, but we love you KENYANS
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 4 года назад
Msijute 2020 mpeni kura zenu ni rais mzuri sana tujivunie tumchague magufuli kwa kishindo kikubwa
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 4 года назад
Magufuli MUNGU AKULINDE
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 4 года назад
Amiin
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 года назад
Viva magu vivaaa
@martinjohn8139
@martinjohn8139 4 года назад
JPM Jembe
@jacobgasper8623
@jacobgasper8623 4 года назад
Huyo ndo raix wetu John uko juu
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 года назад
Kweli kabisa. Kaka Acha mungu aitwe mungu kiukweli hata mm 2015 nilikua sipo tz kwahiyo siku chagua pia ktk watu wa serikali nilikua sijui mtu aitwae magufuli lkn baada ya uchaguzi nilichungulia tz nilipo oona aliyeshinda ni CCM ingawa siku jua nilikasilika sana lkn kumbe mawazo anayotuwazia mungu ni mawazo ya amani wala sia mabaya nawashukuru wote waliyoongozwa kumchagua jpm wakati huo
@oman7710
@oman7710 4 года назад
Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabarik viongozi wetu
@saimonjulius1319
@saimonjulius1319 4 года назад
Nina nenepa niposikia hayo maneno kijiweni kwetu nilipigwa nikimtetea magufuli leo nikifika kijiweni naitwa profesa wa siasa
@essaumlange2079
@essaumlange2079 4 года назад
😂😂😂😂
@imunyapato4319
@imunyapato4319 4 года назад
Apewe 100 kwa 100 Niko kenya
@henryndosi1114
@henryndosi1114 4 года назад
MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
@piuskusekwa3128
@piuskusekwa3128 4 года назад
Hongera jpm
@stanslausangelus8714
@stanslausangelus8714 4 года назад
Hata Mimi najuta huyu Rais amefanya makibwa
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 года назад
Najuuta kutokumchagua JPM, naumia sana mpaka chozi linanitoka.Sifanyi upuuzi tena.
@saidsimba8586
@saidsimba8586 4 года назад
Mwaka 2015 kurayangu haikupotea,pia namwakahuu 2020 haitapoea kamweeeeeeeee!
@raibethnicholaus1493
@raibethnicholaus1493 4 года назад
Ntapiga kula kwa jpm mapema sana
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Safi Sana'a chukua hatuaa
@christophersamatta8924
@christophersamatta8924 4 года назад
Magufuli baba lao Mungu aendelee kukutetea baba angu
@shadowhatory154
@shadowhatory154 4 года назад
JPM baba lao👏👏👏👏
@allymuy965
@allymuy965 4 года назад
Tubalisheni katiba afanye Kama robati Mugabe. Nazani uchumi wetu tunaweza kuishinda sauzi na naijeria tukawa wa kwanza afrika
@beatricenicholausiwasa7601
@beatricenicholausiwasa7601 4 года назад
Jamani kwa nini asitawale moja kwa moja
@lilymandari9872
@lilymandari9872 4 года назад
Haiwezekani
@diamondgeyser7987
@diamondgeyser7987 4 года назад
Wapinzani ikiwa mtaendesha siasa za ustaarabu na mkiwa wazalendo wakati wa furaha hamtakuwa na fadhaa.
@robertterry8909
@robertterry8909 4 года назад
Diamond Geyser point sana kiongozi
@rogerslaurence2235
@rogerslaurence2235 4 года назад
Asante asante! Huyo ndiye jpm mtumishi wa Mungu
@chescomwakipese3422
@chescomwakipese3422 4 года назад
Chuma letu
@munajafu3080
@munajafu3080 4 года назад
Mimi nilimpa kulangu kwiukweli sikukosea kumpa
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 4 года назад
Kula ni kula chakula sema kura
@tanzaniakwanza9564
@tanzaniakwanza9564 4 года назад
Huyu JPM lazima apate bonus ya miaka mingine mi5 ili atusogeze kidogo kisha ndo astaafu, katiba sio msaafu, kwanza zipo nchi zinaongozwa bila katiba na zinakimbia kiuchumi.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Katiba ni mawazo yetu tukiamua inawezekana
@abdillahiyusuf9557
@abdillahiyusuf9557 4 года назад
Sio aongeze mitano peke. Ni andele mpka amri ya Allah utakapo kuja kumchukuwa roho yake. Hakuna kusataafu. Hata bba wanyumba huendekeza uwongozi wa family yke mpka kufariki. Xx yy ni baba wanchi asiwache mke na watto wakafedheheka.
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Ata 20
@eugenwalisindo9293
@eugenwalisindo9293 4 года назад
Kura yangu haikwenda bure
@sedriqueira3383
@sedriqueira3383 4 года назад
Hebu mturuhusu na sisi wakaao chiii za ije tumuchague .
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 года назад
Hahahaha umenichekesha
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 года назад
Irankunda Sedrique :Kama wewe ni raia wa Tanzania, unaenda ubalozini wa chi uliyopo kwenda kupiga kura
@angelamarlow510
@angelamarlow510 4 года назад
😃 aah nyie mtamuibaa
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 4 года назад
JPM ni hatari....tambueni, tumuelewe ili hata tukiona anafaa kukaa zaidi ya miaka kumi tujue kwa nini tunafanya hivyo! Tutengeneze utaratibu wetu tu!
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 года назад
JPM ni baba lao. Mungu aendelee kumlinda dhindi ya maadui wa ndani na nje. Atatufikisha mbali
@geofreymhina1821
@geofreymhina1821 4 года назад
Mungu ambariki huyu dingii
@veronicamollel8975
@veronicamollel8975 4 года назад
Mheshimiwa jpm tunakukubali hakika tumeamini tuna Jembe toka chato Zaidi ya askofu
@mussandekezi491
@mussandekezi491 4 года назад
Hakuna Kama Magufuri, anaebeza shughuri alizofanya ni msaliti na sio mzalendo. Mungu ampe maisha mema na matefu
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 4 года назад
Kufanya kosa sio kosa, kosa nikurudia kosa. Oct 2020 mpigie kura ya ndio JPM.
@hoseamtiro4439
@hoseamtiro4439 4 года назад
Huyo ndie mzee baba
@bobochieng8026
@bobochieng8026 4 года назад
Kenyans watch out. We may not be the largest economy in the region in a few years time if we continue burying our heads in the sand.
@neemamussa1745
@neemamussa1745 4 года назад
Asante Mungu kwa ajili ya Rais wetu.
@Kisaboleonards
@Kisaboleonards 4 года назад
Najivunia utanzania kumpata jpm
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 4 года назад
Heshima katujengea tunaenda kifua mbele
@faustinefesto7705
@faustinefesto7705 4 года назад
Mungu ni mwema
@edsboresha2571
@edsboresha2571 4 года назад
Huyu mwamba anaeitwa Magufuli Anabalaa, alipoizima corona kibabe nimemkubali,me namuelewa
@mako331
@mako331 4 года назад
Yani nacheka sana nikiona eti kina Msigwa ndio wanataka kuwa Raisi yani kwa ufupi upinzani umeishiwa
@daudisaid6198
@daudisaid6198 4 года назад
Mc nguli upo vizuri mkuu wangu God bless you
@frolencemkongwis2461
@frolencemkongwis2461 4 года назад
Magufuli safiiiiiii kabisa wewe ndiye tuliekusubili
@polloz77
@polloz77 4 года назад
Safi
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 года назад
Safi sana.
@eliajoseph6865
@eliajoseph6865 4 года назад
Kula YANGU haikwenda bule nilichagua jembe hongera sana Raisi wangu MUNGU Akulinde
@silvamsophe4392
@silvamsophe4392 4 года назад
Ila magufuli hakuna wakufananishwa naye ni mtu wa pekee duniani mungu ambariki nampenda sana my precedent
@rahelimgalla9225
@rahelimgalla9225 4 года назад
Aise chuga mmemkubali magu basi mwaka. Huu 💯 anazo
@starvennja2480
@starvennja2480 4 года назад
our president magufuli God is gonna bless you
@mainguburemo6186
@mainguburemo6186 4 года назад
Ni Raisi wa Dunia kweli. Umesema kinachotokea moyoni
@hanifahassan9138
@hanifahassan9138 4 года назад
Mm nasema ya moyoni mwangu kuwa asiwazidishie mishahara wafanyakazi ila awajiri waliokuwa Hawana kazi kwani tupo wengi mtani tunazuga zuga baba litizame Sana hili
@apt9620
@apt9620 4 года назад
Hapa kaz tuu
@joycekarim9184
@joycekarim9184 4 года назад
Sìna cha kusema bali nashukuru mungu kwa kukuleta wakati unaokubarika Raisi wangu usiogope mungu yuko nawe usiku na mchana🙏
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
In fact yaaan kama ndugu zangu wa Arusha mnakubali rais magufuli , basi naamini huu mwaka atapata asimilia nyingi sana kunako uchuguzi. Maana watu wa Arusha mlikua upande wa mlengo wa kushoto miaka ming. Nimefurahi kwakweli. JPM ni rais wa dunia kwa Sasa.
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 года назад
JPM umetisha sana RAIS wangu
@masatumanyama6782
@masatumanyama6782 4 года назад
Mimi nipo Marekani, Yani watu tunashangaa jinsi raisi anavyofanya miradi mingi kwa muda mufupi sana kama sgr, ndege, bwawa rufiji, hosipital na flyovers me nashauri asizunguke kupiga kampein, aombe tu kura kupitia tv na redio kama juzi alivyofunga bunge, watu wote watasikia sera zake
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
Wewe ndo una akili sana. Hongera sana. Sio kama Mange kima, na wapinzani wenzake. Kila siku kupinga tu
@maryambarayan7599
@maryambarayan7599 4 года назад
Mbona cc majirani zenu twawaonea wivu mzuri tuu. Atakua rais wakwanza kushinda bila kampeni kwani hahitaji aliyofanya yanaonekana ni mchapa kazi na nyinyi ni watu wakutumia bongo sio vibaraka wa wamagharibi kama cc. Peace be with you guys but pray for US too
@dullybattestz826
@dullybattestz826 4 года назад
In Sha Allah Atawajaalieni mnachokitaka. Sisi hatujafika 100% but we are trying, Alhamdulillah
@mariamika2834
@mariamika2834 4 года назад
Oooyooooo piga kelele kwa raisi wetuuuu ,chezea anko magu ww nakuombea uishi miaka mingi kwanza tunaendelea kupiga kura za nn wakati tunamkombozi wetu hakuna kama magufuli ....
@olathom7ya756
@olathom7ya756 4 года назад
Arusha ccm oyeee.
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 4 года назад
Magufuli ni raisi ambae anazungumzwa katika vyombo vya habari vya dunia,hususan kuhusu papai kuwa na Corona.
@zablonkapinga9931
@zablonkapinga9931 4 года назад
Magufuli kwa ujumla no Rais wa pekee hapa Nchini na Duniani kwa ujumla anamsimamo wa pekee yake na hayumbishwi na mtu au Nchi yoyote Big up Mr President tupige kura za wabunge tu na madiwani Rais apumzike asubiri kuapidhwa tu
@remigiusmwageni6274
@remigiusmwageni6274 4 года назад
Ndio jpm wangu
@rashidchid2067
@rashidchid2067 4 года назад
Safi sana jpm
@samsonjoseph670
@samsonjoseph670 4 года назад
Kweli mwaka huu hakuna campeni, magufuli baba lao!.
@saluma.m.el-harthy9265
@saluma.m.el-harthy9265 4 года назад
Tahadhari: Raisi wetu ni Raisi wa kujivunia lakini tusimpe sifa za unabii Tukajitia matatizoni
@agustinoezekiel367
@agustinoezekiel367 4 года назад
Hadi machozi yananilenga
@habibmohamed4766
@habibmohamed4766 4 года назад
Siyo wewe tu kaka
@agustinoezekiel367
@agustinoezekiel367 4 года назад
@@habibmohamed4766 tuzid kumuombea tu huyu Mzee maana hatuna cha kumlipa
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
😥
@remmymsakusy1875
@remmymsakusy1875 4 года назад
Hotuba imeongelea vitu HALISI VILIVYO FANYIKA. Lakini kwa kuwa siasa ni maisha ya Kila siku, kipindi kijacho baada ya kura yangu kwake rais, ajitahidi kusimamia kabla au baada ya uchaguzi huu kukutana na viongozi wenzake wa KISIÀSA ili kuwa na maridhiano ya pamoja. Hata Mussa ktk kitabu Cha mwanzo sura ya 18, alishauriwa na mkwewe baada ya kumwona anahangaika mwenyewe toka asubuhi Hadi jioni Tena bila Kila.Tanzania tunahitaji uongozi wa pamoja, kutoka taifa Hadi kitongoji Tena kwa makundi yote kiserikali, kisisa na kijamii. Tofauti ya kisiasa iliyopo ngazi ya kitaifa inaleta shida saana huku chini ktk kujiletea maendeleo. Tunahitaji maendeleo ya VITU na WATU PIA Baba wa Taifa hili amebaki ktk MIOYO ya WATU kwa KUTULETA PAMOJA WATANZANIA. Kwani sisi wananchi ndiye wenye mamlaka kwa viongozi wetu.
@eyumededu2948
@eyumededu2948 4 года назад
Tatizo wapinzani asilimia kubwa wakiafrika wanabebwa na wazungu kumbuka kipindi Arusha ilivochafuliwa na chadema 2015 ili isipate watalii na kina zito lissu jaribu kufwatilia vzr tuendelee kumwomb Mungu tuwe na sauti moja al in al
@tanzanian8847
@tanzanian8847 4 года назад
Nilichojifunza kutoka kwa watu wa Arusha hasa hawa waliozungumza hapa nikwamba " ukiona wananchi wanakupinga, ujue wewe kama kiongozi hujawafanyia lolote la maendeleo, ila ukiona viongozi wa upinzani wanapinga ,hao wanatetea matumbo yao wapate madaraka sio kutetea wananchi". Maana haiwezekani ndg zetu wa Arusha wamkubali JPM halafu wapinzani waendeleo kumpinga Magufuli. Hao viongozi wa upinzani wanatetea agenda zao, sio wanachi kamwe.
@dullybattestz826
@dullybattestz826 4 года назад
Fact brother
@nuruhmangoli1232
@nuruhmangoli1232 4 года назад
Akimaliza tz aje Kenya
@eyumededu2948
@eyumededu2948 4 года назад
😂😂😂😂
@vdhjhdhdhhhd9332
@vdhjhdhdhhhd9332 4 года назад
Ni kweli yasemwayo..t unakupenda rais wetu..naye pia anatupenda..mzalendo
@amanijolam4140
@amanijolam4140 4 года назад
MUNGU ibariki Tanzania bairiki Rais wetu
@robertkasanula5728
@robertkasanula5728 4 года назад
Well done
@masumbukogusha6568
@masumbukogusha6568 4 года назад
Watanzania tujiukize Nani kamleta magufuli CNA Malibu nampenda sana raise yangu
@khamisiiddi9321
@khamisiiddi9321 4 года назад
Aisee
@weshibmabula9430
@weshibmabula9430 4 года назад
Chadema kwishaaa
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 года назад
Kama Arusha wanasema hivi , kuna nini tena ???
Далее
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,4 млн
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
Просмотров 2,9 млн
The Match That Made Ronaldinho Retire
13:33
Просмотров 1,2 млн