Baadhi ya wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kutoka kabila la watutsi wanaozungumza lugha ya kinyarwanda wanasema wanaishi kwa hofu kubwa tangu vita vilivyozuka upya kati ya jeshi la Congo na kundi la waasi wa M23 wilayani rutshuru. Wanasema wanapokea vitisho kwa watu wasio kabila lao haswa wafuasi wa kundi la M23. #kurunzi
17 окт 2024