Wapinzani kazi ipo: Vijana wa CCM waja na kampeni maalum ya Kuwasambaratisha kila Mkoa
Umoja wa Chama cha Mapinduzi CCM kimezindua kampeni maalum ambayo itafanyika mikoa yote kwa ajili ya kujikusanyia Wanachama na kueleza yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
5 окт 2024