Hongera kwa kupata raisi kama huyo NA hongera kwa wazazi wake walimlea heshma uaminifu NA akili NA anajiamini NA hijabu yake imempendeza hio ndio mafunzo ya kiislaam kweli anajua anaye fanya mungu ampe janat alfrdaus NA kila mtu atazungumza NA mungu wake na ataulizwa kwa umry wake mali yake dini yake NA makosa yake