Тёмный

HOTUBA YA MWAKA MPYA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN TAREHE 31 DESEMBA 2023 

Ikulu Tanzania
Подписаться 290 тыс.
Просмотров 4,6 тыс.
50% 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa salaam za mwaka mpya tarehe 31 Desemba, 2023.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 14   
@EmmanuelElias-g7b
@EmmanuelElias-g7b 9 месяцев назад
Hongera sana rais wetu wa Tanzania Mh Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuriiii kwa taifa letu, Mungu ibariki Tanzania ❤
@jaywi5681
@jaywi5681 9 месяцев назад
Ni kweli 2023 ulikuwa Mwaka wa Mageuzi. Tunakutegemea sana Mhe. Rais katika kutimiza matakwa ya Utekelezaji wa Mageuzi hayo Mwaka huu 2024. Amiin
@DanielYohana-mt3bi
@DanielYohana-mt3bi 8 месяцев назад
Our national our present lovely u mom.mimi nakukubali sana mama
@levispaultitus8623
@levispaultitus8623 9 месяцев назад
Hongera kwa uongozi wako Mungu akuwezeshe kwa majukumu bora ya kujenga taifa letu❤
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 9 месяцев назад
KUDOS TO MAMA WE❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@obadiazabroni6518
@obadiazabroni6518 9 месяцев назад
Kongore kwako mama,wakulima tunakutegemea sana
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 9 месяцев назад
Hongera kwa kupata raisi kama huyo NA hongera kwa wazazi wake walimlea heshma uaminifu NA akili NA anajiamini NA hijabu yake imempendeza hio ndio mafunzo ya kiislaam kweli anajua anaye fanya mungu ampe janat alfrdaus NA kila mtu atazungumza NA mungu wake na ataulizwa kwa umry wake mali yake dini yake NA makosa yake
@bodyaman
@bodyaman 9 месяцев назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 4 месяца назад
um plz pthooreshaa ulifanikiwa kilimo nganii
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 4 месяца назад
m hizoo helee za subuu school vola ship ulixitosa lwa mfuko ngani ndio hataukiondoka upatee kuendelea
@seif3401
@seif3401 9 месяцев назад
Unawekeza Mali za bara unaijenga zanzibar
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 9 месяцев назад
Hotuba yako haitusaidii kabisa tanganyika yetu kwanza na bandari yetu turudishie
@amabilis-mariesangu9500
@amabilis-mariesangu9500 9 месяцев назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡
@amirikabwe
@amirikabwe 9 месяцев назад
😂
Далее