Kuna mzazi kama shilole ambaye hakufanikiwa kusoma na alidanga sana lakin kabadilika na kuwaonyesha wanake njia sahihi ambayo yeye hakupita na kuna mzaz kama kajala ambaye anampitisha mtoto wake njia ambazo yeye pia alipitia 😢 ila yote maisha kikubwa uhai nasemaje kikubwa uhai kuna mzaz pia anataman mtoto wake ambaye hayupo dunian arud hata awe mcharuko kama paula ila awepo tu duniani😢 Mungu ni Mwema tushukuru kwa kila jambo
Hongera sana binty umeonyesha jitihada kubwa kwenye elimu baada ya kuona jinsi gani maamko alivyokuwa anafait 7bu kuna watoto wengine hawajali wala hawaoni wazazi wao jinsi wanavyo wahangaikia kwa faida yao wenyewe baadae
Watu kusahvi wanafaulu sana mitaala ishabadilishwa masomo yote ni kuchagua ABCD... Elimu ya sahv ni mteremko mpka hesabu kuchagua lohhhh... Hakuna competition sahv ujinga tu
Acha wivu wewe dada, sawa imebadilishwa lakini mbona wapo wanaofeli?? Mtoto amefanya vizuri anastahili pongezi,, wewe kaa na wivu wako, mwanamke unajaka la moyo😏
Ani skuizi elimu Ni kujitambua,kujiheshimu na kuitwa tu Fulani amesoma,,,sema skuiz wadogo zetyu wanafaulu Sana Ila ukimaliza chuo ndio utajua division one ni deal au connection Ni deal🤣🤣🤣🤣🤣🤣hongera mdogangu
kweli wazanzi wanaelewa iyo resque muzanzi anafanya anjili ya wayoto wasonge bali 😂😂shishi umenikubusha bali sana .ijapokuwa leo niko kwenye musimamo muzuri.ila ulipp ogeya risque mwanamuke anafanya anji ya watoto ni meliya maisha haya nisiri kubwa sana.shishi inarikiwe dada
Shishi hajajiachia rudi ukajifunze lugha mwili tu mungu kampa ila shishi anavyo pambana angekonda ila mola ndio aliempa afya huyu dada ni halali kutafuta kila kona yumo
@@mishikombowato1457 hamna kitu Kama hicho ni kujiachia akipunguza kula vyakula vya wanga na akifanya mazoezi atapungua tu siku hizi wanawake wengi wana vitambi