Maansha Allah , The young minister of Tanzania Agriculture is brilliant and wise . The way he Expess the plan was absolutely amazing. People must thanks him especially farmers and government members. God protect you brother Bashe
Na wataenda tyu mh anachosema ndo kinachofanyika shida hiko iv tz janja janja sana watu hawana mitaji labda akili mkichwa ndo hao wanaopata vibali tena kwa kushirikiana na watu wa wizara ya kilimo wanaenda kwenye boda na vibali vyao wanaweka ofsi wanajifanya crearing afu serikali haijui watendaji wanajua upuuzi mtupu ata uende kusajir utazungushwa hupati ili wao wafanye kazi wale hiyo laki nane kazi yao kupewa idadi ya tan za kuemport au kuexport wanakaa hata mil 100 mtaji hawana wanatega wenye mitaji sasa ndo wanawavuta watu toka nje kuwaelekeza mashambani
Itapandisha maana kwaku lazimisha walanguzi kusajili biashara, hii itawaruhusu walanguzi kununua mazao kwa ukubwa kwani watakuwa wanalindwa sasa na sheria
Serikali muwe mnaeleweka. Sasa kampuni na biashara ya nafaka vinahusianaje. Mnataka hata mwenye mtaji wa gunia 50 anayejiunga na wenzake wapakie roli waende namangaasajili kampuni?
Hiko vijijini si ndio wanapolima? Kwann hakuna vyakula vya kutosha? Wewe unataka wenzio walime tu wewe ununue kwa bei ya chini? Huyo mkulima anayetegemea kilimo kwa kila mahitaji yake yote atawezaje kukidhi mahitaji yake kama asipopata faida,? Cha msingi hapa chakula lazima kiwe na thamani ili watu wengi wanaolalamikia serikali hakuna ajira waingie huko kwenye kilimo. Wakiona kilimo kinalipa wengi wataenda kulima
Kama huko vijijiji wana njaa ni uvivu wao na akili zao acha kila kitu kijiendeshe kila mkulima anakumbushwa kutunza chakula chake. Na sio kumnyima haki ya kuuza anakokutaka na kwa bei inayomlipa wafungue mipaka tuuze t
@@georgewilliam6001 shida ni kuwa wakulima walipozuiwa ilikuwa kwa nia njema japo uhasama wa jiwe na wakenya pía ulihusika..... Ila kwa Sasa tofauti ni kuwa vitu vinakuwa formalized Kwanza uwe na kampuni Au business name brella... Second Kama waziri anavyoeleza miaka inavyozidi kwenda mamlaka za serikali ndio zinapaswa kusimama in between kusave interested za wafanya biashara wake na kupitia Hilo even standard zitakuwa improved C's issue haitakuwa wewe kuwa na mazao issue itakuwa ni taifa ndio litakalokuwa linauza mazao Yako na hivyo hata katika world market level na standard Za uzalishali zinakuwa ni rahisi kidhibitiwa ukiachilia Mbali kodi
Sasa huyu msomali mbona anatumia kiingereza sana sasa wakulima wa Tanzania wana muelewa na misamiati ya kiingereza? Kuelimika ni pamoja na kujua unawasiliana vipi na hadhira unayoongea nayo !
Yaani kilimo hakiwezi kuendelea kwa kuruhusu kuuza mazao nje ya nchi sanasana mtatuletea njaa tu na kazi ya hiyo wizara haitaonekana . Mkulima anahitaji teknolojia bora ya kilimo mtaji na ardhi na pembejeo . Kuuza nje ananufaika mfanyabiashara mlaji mta zania atapigika , mkulima atapigika na hakuna cha uchumi kukua utapiamlo utakua kama wote , utajisifiaje kilimo kinakua wakati unga buku mbili ? Waziri wa kilimo tusaidie watanzania tushibe biashara waachie wengine zi zipo wizara zinazohisika na biashara.
BASHE HUKU SIHA ASKARI WANAZUIA MAHARAGE WAMEMUAA MKULIMA WA MAHARAGE SOKO LIMEKUFA HAKUNA MNUNUZI KISS SEREKALI IMEZUIA ANGALIENI WAKULIMA WAMECHUKIA KABISA HII SEREKALI YA CCM
urasimu ndio shida watu wamechoka mtu anaona kufuata sheria atapoteza wiki tatu ni bora akalipe hiyo fine hivi vitu vingeanza kwenye serikali za mitaa mambo ya tin na mambo mengine hata kusajili wakulima halafu viingizwe kwenye mfumo halaf mtu akifika namanga akitaja jina tu tayar mfumo unataarifa zake zote
Bashe baba nilijua tu kama utachemka, Kwa kauli zenu eti tumeifungua nchi mkulima auze mazao yake popote hatufungi mipaka, naona Sasa mnaanza kuweka slow down, mnaanza kuwawekea ugumu wakulima ili chakula kisiende nje Kwa wingi, mlimuona magu kama alikua hana akili, sasa na nyie mnaona jamaa wanavyo kisomba, mgeshagaa kidogo tu wangekimaliza, kaeni chini mjipange ili mumsaidie kulima na mlaji hawa wantegemeana kwani chukula kikiwa ghari sana kelele zinakua nyingi sana mtaani yaani hata nyie watu wa siasa watu wanaona kakama hamna maana, chakula kinapokosekana mnbaki na kisingizio ch vita ya urusi,
Huyo Magufuli alizuia kuuzwa chakula nje kabisaa . Lakini hivi Sasa hakuna zuio isipokuwa kinachosisitizwa ni kufuata utaratibu uliowekwa na serikali kwamba lazima kiwepo kibali cha biashara business license na export license isiwe kiholela tu. Magufuli alopozuia ilikuwa ni kumuumiza mkulima yaani awe analima tu lakini haondokani na umasikini kwasababu hana soko la kumpatia tija yaani aendelee kuwa lofa tu na ndio maana watu wengi walikuwa hawathamini kilimo . Lakini hivi sasa watu watakimbilia kilimo badala ya kukaa vijiweni tu au kukimbilia mjini kuzurura bila ya kazi. Ardhi tunayo kubwa tu lakini kilimo bila ya soko la maana ingelikuwa ni jambo gumu sana kwa vijana kuingia kwenye kilimo. MaMa kaifungua nchi kwahiyo wananchi ni kuichangamkia fursa.
We acha kamba, kwani wakati wanawaruhusu wauze walikua hawajui kama vibali vinahitajika , na kipindi kile magu hakufunga mpaka ila aliweka ugumu wa kutosha chakula nje