Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
Njoo Morogoro Waziri huku ukienda kutoa shida unapewa namba ya simu ya fundi uwasiliena naye ,badala ya ofisi kutoa maelekezo.Maana unambiwa mafindi wako site.
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
Hor. Dr. May you kindly fired out this guys. This days to be sincerely dawasco is *business as usual* Beach Beach every hour water went off. Please step down these team.
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
Niwajeur sana,Greda lilipita kutengeneza barabara mtaan kwetu wakakatakata mabomba,tumekaa week 3 naa hatuna maji,Wakipigiwa majibu yao ni ya nyodo pia mpaka tumeenda ofcn kwao ndo wakatuma mafund tena wanataka pesa tukagoma ndo wakaunganisha maji
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
Mh. Fukuza hayo matahira, watendaji wa moja kwa moja huwa ndo wazembe sana, ukianzia kuchunguza mapungufu kuanzia mamlaka za juu mpaka watendaji wa moja kwa moja utakuta kuna uchafu mwingi sana
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike. Kanchi ka ajabu kweli .
Hao mawaziri mbona wao hawasemi. Km haya magari tunayotumia ni ya gharama sana bei yake ni ya juu mno ili kupunguza gharama tuwaonee huruma wananchi tununueni magari ya bei ya kawaida .hawa mawaziri wao ndio watu wa mwanzo kupigwa na chini
Waziri Wangu Ndiyo ujue watendaji wako niwajeuri sanaaa hata ukiwapigia simu ndivyo wanajibu Kwa jeuri Tusaidie Watakuwa wameanza Biashara ya uuzaji wa magari