Тёмный

WAZIRI BASHUNGWA ABAINISHA HATUA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BARABARA NA MADARAJA MKOA KAGERA 

Wizara ya Ujenzi
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 1 тыс.
50% 1

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amebainisha hatua za utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Ujenzi inayoendelea kutekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkoa wa Kagera hususan ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja.
Bashungwa ameeleza hayo Wilayani Muleba Mkoani Kagera katika Ibada ya Shukrani ya Miaka 12 ya Uchungaji wa Askofu Grayson Mutegeki Katunzi pamoja na Harambee ya Ujenzi wa Kanisa Anglikana Mt. Yohana Kimbugu, iliyoambatana na Ibada maalum ya kuwaombea Viongozi wa Kitaifa na Serikali.
#wizarayaujenzi

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2   
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 2 месяца назад
Mbona Barabara ya Tabora Mbeya haiongelewi, harafu waziri unadanganya watu eti serikali inajenga mabarabara Kila Kona , acheni siasa za uongo.
Далее
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
Просмотров 1,3 млн
Wildest 10 SECONDS OF HIS LIFE 🤯 @TomIsted
00:14
Просмотров 1,1 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 607 тыс.
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
Просмотров 1,3 млн