Watanzania bado kujieleza hatuwezi hususani mbele ya viongozi. Sasa huyo dereva (Katibu) amepata nafasi ya kuongea na Waziri lakini anaongea PUMBA mwanzo mwisho. Hana utulivu katika kuwasilisha hoja zake.
. Samia alisema Magufuli ndiye hakuwa na uhusiano muzuri na jirani zetu. . Alisema hakuwa ha uhusiano mzuri na Kenya. Kenya haitaki kabisa Tanzania iendelee. Hawa kuanza leo. Tangu wakati wa Rais Nyerere mpaka akaufunga mpaka wetu. Lakini yote akatupiwa Hayati Magufuli wanasema mama katatuwa matatizo na majirani zetu. Sasa Samia yuko wapi? Kenya ni majirani wabaya sana Samia hakufanya chochote. Ni sifa za uwongo mtupu. Tanzania haina matatizo na majirani zake. Tatizo liko Kenya kwa rushwa.