Тёмный
No video :(

"WEWE USINITISHIYE MKWALA SITISHWI NA SIOGOPI" AFSA AMTISHIYA RC MAKONDA "MAKONDA NAOMBA UNISAMEHE 

Adil TV
Подписаться 185 тыс.
Просмотров 63 тыс.
50% 1

#AdilTV

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@msomaliwilliam
@msomaliwilliam Месяц назад
Makonda unatisha sana. Nakuombea siku moja uwe Rais wa Tanzania mungu akulinde
@user-uy8ig8wz7b
@user-uy8ig8wz7b Месяц назад
Nakubali makonda ninoma pambana baba weka lake yako apa
@AshaRamadhani-px9ov
@AshaRamadhani-px9ov Месяц назад
Kusema ukweli nilikua namchukia sana huyu baba mungu anisamehe.😢😢 Makonda hongeraaaa sana na Mungu akuweke
@mumuog7876
@mumuog7876 25 дней назад
Upo Kama mimi mtupu
@CyprianSapi-tq7qj
@CyprianSapi-tq7qj Месяц назад
Jah akulinde wewe,makonda usijekusahau maneno yangu.Utakuwa Raisi watanzania siku moja.Asante
@MERYEDWARD
@MERYEDWARD 5 дней назад
uko vizuli Mungu akuzidixhie neema😊😊😊😊😊😊
@RulaRajabu
@RulaRajabu 23 дня назад
Nijembe mkomboza umejitolea kwajili ya watanzania hongela sana ubalikiwe sana
@SalimHamzaFadhili
@SalimHamzaFadhili Месяц назад
Makonda mungu akulinde na maadui wabaya
@bashiruhassani1017
@bashiruhassani1017 День назад
Makonda wen 🔥🔥
@RutaEmmaMachumu
@RutaEmmaMachumu Месяц назад
Ila mama jmn..... Hamuoni Mkuu wa Mkoa lkn kamuona Diwani.....😂😂😂😂
@atukuzwesanga4982
@atukuzwesanga4982 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@luganomasanja6196
@luganomasanja6196 Месяц назад
Mama anasema kamuona Diwani ila mkuu wa Mkoa hamuoni.
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 24 дня назад
Nimempenda sana mh,Diwani.
@OtimalyMayemba
@OtimalyMayemba 21 день назад
makonda kama magufuli nampenda sana kauli mbiu zake aje ajenge taifa
@ntirapinjocy1984
@ntirapinjocy1984 13 дней назад
WE love makonda❤❤❤
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 6 дней назад
DAH INASIKITISHA SANA MAKONDA FANYA KAZI USITISHIKE ,ATAKUCHUKIA KILA MWENYE MAKANDO KANDO YAKE
@samwelnjau301
@samwelnjau301 22 дня назад
Mungu akubariki kaka
@gileadmushi8294
@gileadmushi8294 16 дней назад
Pastor 🙌🙌🙌
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 29 дней назад
😢😢😢😢😢Haki ya mtu haipotee jmn watu watu achen kuzulum watu ni laaaaan kubwa san😢😢
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 16 дней назад
diwani yuko vzr sana huo mgogoro ni tata .
@zebedayoloilukumai.8813
@zebedayoloilukumai.8813 Месяц назад
Mungu akulinde Makondo wetu
@jesckamolel5693
@jesckamolel5693 Месяц назад
Et diwan diwan gan wew nyumbu njaa tupu tu huna lolote pumbav sana huyu diwan
@ndagijimanakibibi7381
@ndagijimanakibibi7381 Месяц назад
Makonda nukupenda kweli mungu andeleee kukulinda
@JADIDITWAHA
@JADIDITWAHA Месяц назад
Chapa KAZI boss angu
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 16 дней назад
huyu diwani na maamuzi yako sawa alikua anaenda vzr.amekatizwa tu maelezo yanakwenda .na hicho anaongea makonda ndio hicho diwani amesema ni kwenda kukatiwa mashamba kwa walio wauzia
@Nagelleislamictv
@Nagelleislamictv Месяц назад
Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde wewe ukona utu kama mister maghufuli Mungu akusaidie sana na akupe hekima na busara mimi Ahmed kutoka Kenya nafurahia kwa uongozi wako
@luganomasanja6196
@luganomasanja6196 Месяц назад
Ila mama katisha, yeye ni kipofu hamuoni mkuu wa mkoa ila kamuona Diwani yupo hapa kwenye mkutano.
@user-id5qt9hp6x
@user-id5qt9hp6x 29 дней назад
😂😂😂😂
@ramadhanikalungwana8377
@ramadhanikalungwana8377 24 дня назад
Ameambiwa na wapambe !!! Ni kweli haoni!!
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Ni busara ya kawaida tu...ila mh makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya haki za wasio na sauti. Ameshuka chini kabisa kwa walio chini kabisa kwa jamii
@HappyBlini-zd8ej
@HappyBlini-zd8ej Месяц назад
Makonda Makonda. Makonda Mungu wa mbinguni akulinde mwanangu. Malaika. Mikaeli. Akulinde. na ule. Upanga unaokula kuwili adui asiwe karibu. Nawe
@AdamuMsaghaa-jb5uc
@AdamuMsaghaa-jb5uc Месяц назад
Makonda njoo singida utusaidie nasisi
@user-mc7lh6js3o
@user-mc7lh6js3o Месяц назад
Kweli , napenda kuasikiliza makonda❤❤❤❤
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Месяц назад
Excellent Makonda
@MohamedMrija
@MohamedMrija Месяц назад
Hongera makonda
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Месяц назад
16:20 sasa kama inaripoti kwako hukuona na wewe kama kuna tatizo?
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 Месяц назад
Diwani yuko vizuri na ukifuata kelele za mob unaweza kumuonea
@andrew29468
@andrew29468 Месяц назад
diwani yupo vizuri
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 24 дня назад
Hapo wazi kabisa mtu alieuza ndie mhakifu , ni kwanini mnaruka eneo hilo wakati mhakifu yuko?
@eliaorgenes676
@eliaorgenes676 16 дней назад
Diwani ako na busara kubwa sana.
@venasmlega6727
@venasmlega6727 28 дней назад
Makonda ww ni zaidi ya rais nakuombea sikumoja uje kuwa rais
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz Месяц назад
Shenzi kabisa watu wanapenda sana kuzulumu Mali za watu
@user-pu8bp3tw5s
@user-pu8bp3tw5s 29 дней назад
Tz itarud kwenye msitari wa MAGUFURI siku MAKONDA akiikamata. Naamimini ipo siku Lakini siyo leo ni pale ifikapo 2030 au 2035
@matitutvonline4184
@matitutvonline4184 Месяц назад
Mbona waliojenga wamewaacha 😂😂 ? Hawa jamaa ni wahuni sana ilifaa wenye dochuments wawalipe fidia na sio kuwapeleka porini wahuni sana hawa jamaa. MAKONDA KATIKA HILI BIG UP SANA. WAMEKUWA NA DHULMA YA WAZI SANA.
@kambaragemwatya498
@kambaragemwatya498 Месяц назад
Hapoo makonda anaye mtetea sio mwanamke ..mbona watu wa haki za binadam hawwpo
@venasmlega6727
@venasmlega6727 28 дней назад
Kiongoz akiwa msukuma huwa ni hatari kwakuongoza vzr
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Месяц назад
Diwani/mchungaji upo vzr tu,, Sema ulishayakuta madudu yamefanyika.
@menyajoseph9729
@menyajoseph9729 Месяц назад
diwani nimbuzi lakini aliva ngozi la kondo kama ma sheikh watafuta kondo mwisho akachinjwa kama kondo
@Paplick9
@Paplick9 Месяц назад
Poul makonda 💥💥🙌🙌
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Месяц назад
Jamaa kaingia kwny kuminanane
@meckgodfrey7334
@meckgodfrey7334 Месяц назад
Viva makonda viva
@zebedayoloilukumai.8813
@zebedayoloilukumai.8813 Месяц назад
Wachungaji wanatakiwa wahubiri injili sio siasa
@Isackhamka
@Isackhamka Месяц назад
kwanini usiingie kwenye kapeni muheshimiwa make wewe unafaa kuwa raisi au wazili mkuu
@oneonego705
@oneonego705 Месяц назад
Unaweza kwa kiwango cha juu kutatua mambo
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 29 дней назад
❤❤❤❤❤❤
@AthumanyMvula
@AthumanyMvula Месяц назад
😂huyo mama kasema haoni mala kamuona diwani yupo hapa sa cjui kaonaje kama yupo
@ShangeMbogo
@ShangeMbogo Месяц назад
Watoto wake ndio wanae muona na waka mwambiya bibi diwani yupo yele pale ndio maana kasema yule
@EvelyneNifasha-zc6jr
@EvelyneNifasha-zc6jr Месяц назад
Jmn mpak kuchanganyikiwa😂😂😂
@jitulamtumba
@jitulamtumba 27 дней назад
Mama anasema hauni ila nashangaa kamuona mbaya wake kwanza ncheke😂😂😂😂
@venerandakisaki94
@venerandakisaki94 27 дней назад
Amemuona kwenye ulimwengu wa roho 😅😅😅
@mumuog7876
@mumuog7876 25 дней назад
Nahis atakuwa kaambiwa kuwa mbaya wako yupo😊😊
@yahayabakali-x7y
@yahayabakali-x7y Месяц назад
Simba
@deusNjimba
@deusNjimba Месяц назад
WATU. WA. ARDHI. NI. WEZI TU. ARDHI. ZA. WATU
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Месяц назад
Bibi ushamuona Diwan lakin mwanzo ulisema huon
@winfridalazaro296
@winfridalazaro296 22 дня назад
Hahahahahah
@josephatkiliko2546
@josephatkiliko2546 Месяц назад
Amemuonaje wakati haoni?
@wilsonmasaindiammasi2779
@wilsonmasaindiammasi2779 Месяц назад
Kaambiwa na watoto wake hutaki?
@fredyambrose7562
@fredyambrose7562 Месяц назад
Siioni mi kipofu ila diwani namuona
@user-pu8bp3tw5s
@user-pu8bp3tw5s 29 дней назад
Hata mimi naishangaa kauri hiyo, ila atakuwa alimuona kwa njia ya roho mtakatifu
@ManuuNgingo-cs3hx
@ManuuNgingo-cs3hx Месяц назад
Huyo mchungaji tapeli tu
@maichile3557
@maichile3557 28 дней назад
Qchefu nyimbo zake
@Boaz22
@Boaz22 Месяц назад
Sasa mama umemuonaje diwani wakati umesema hauoni😂
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Месяц назад
😂
@kenedytheonest2798
@kenedytheonest2798 29 дней назад
Mgorogoro bibi jamani poole
@josephudoba5563
@josephudoba5563 Месяц назад
Hao walio uza hamkuwakamata Kwa nini
@jaydenbedas5729
@jaydenbedas5729 Месяц назад
Serekalee
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Месяц назад
1:21 hela enzi ya Nyerere zinatumika?
@Paplick9
@Paplick9 Месяц назад
Ana maanisha alikusanya toka enzi hizo
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 29 дней назад
Makonda😂😂😂😂😂
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Месяц назад
Ni maswali madogo ila ukijichanganya tu
Далее
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,7 млн